logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 8, 2022

Ukraine imepandisha bendera yake kwenye Kisiwa cha Snake ikionyesha ukaidi kwa Russia

Ukraine ilipandisha bendera yake ya bluu na njano kwenye kisiwa cha Snake katika Black Sea hapo Alhamis ikionyesha ukaidi lakini Russia ilijibu haraka kwa shambulizi lililoharibu sehemu ya kituo . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 7, 2022

Vyombo vya habari Iran vyasema Jeshi la Mapinduzi limewakamata wanadiplomasia wa kigeni

Vyombo vya habari nchini Iran vinaripoti kwamba Jeshi la Mapinduzi la Iran limewakamata wanadiplomasia kadhaa wa kigeni akiwemo Muingereza mmoja kwa madai ya upelelezi. Lakini serikali ya Uingerez . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • July 7, 2022

Kundi la Boko Haram Lavamia Gereza na Kuwaachia Huru Wafungwa Zaidi ya 600

KUTOKA nchini Nigeria zinaarifu kwamba wanamgambo wa kundi la Boko Haram juzi walivamia gereza moja nchini humo na kuwafungulia wafungwa zaidi ya 600 ambao walikuwa wamefungwa gerezani. Haijuli . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • July 6, 2022

Maziko ya Vijana 21 waliofariki ndani ya klabu kufanyika leo

Ibada ya pamoja ya maziko ya vijana 21, waliofariki katika mazingira tatanishi kwenye klabu moja nchini Africa kusini, inafanyika leo. . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • July 6, 2022

Mvulana wa Darasa la Nane Amuua Mama Mjamzito na Wanawe Wawili

Huzuni umeghubika kijiji cha Poroko katika kaunti ndogo ya Trans Mara Magharibi baada ya mvulana wa darasa la nane kumuua kinyama mwanamke mjamzito na watoto wake wawili.Mvulana wa Darasa la Nane Amuu . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • July 6, 2022

Walioacha shule wakimbilia masomo ya uzeeni kujinusuru

WAZEE na vijana ambao hawakufanikiwa kumaliza mafunzo shuleni kaunti ya Mombasa, wamelazimika kurejea shuleni kukata kiu ya elimu. Kulingana na Mkurugenzi wa Masomo ya Watu Wazima (CDACE) kaunti ya . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • July 6, 2022

Afisa wa polisi afariki akikabiliana na mhalifu

AFISA wa polisi aliuawa kwa kufyatuliwa risasi na mshukiwa wa ujambazi wakati maafisa wa polisi walikuwa wakiingia katika nakazi ambako mshukiwa alikuwa amejificha. Aidha, afisa mwingine wa polis . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • July 4, 2022

Mshukiwa wa wizi auawa mtaani South B polisi wakifanikiwa kutwaa bastola

MAAFISA wa polisi walitibua mpango wa wizi wa mabavu katika jengo moja mtaani South B katika kaunti ndogo ya Starehe usiku wa kuamkia Jumapili. Mshukiwa mmoja aliuawa kwa kufyatuliwa risasi na po . . .

Mtandaoni
  • Na Asha Business
  • July 4, 2022

Akaunti za Twitter na Youtube za Jeshi la Uingereza Zadukuliwa, Jeshi Kufanya Uchunguzi

AKAUNTI za mitandao ya kijamii ya Twitter pamoja na Youtube za Jeshi la Uingereza zimedukuliwa na watu wasiojulikana huku zikionesha baadhi ya maudhui ya sarafu za mtandaoni (cryptocurrency) pamoj . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • July 4, 2022

Shambulio la risasi kwenye duka kubwa laua watu 3 mjini Copenhagen

Shambulio la risasi katika jengo la maduka mjini Copenhagen Jumapili limesababisha vifo vya watu watatu na kujeruhi wengine watatu, polisi wa Denmark wamesema, wakiongeza kuwa wamemkamata mshuki . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • July 4, 2022

Zelenskiy akiri kuondoka kwa majeshi ya Ukraine Lysychansk

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskiy amekiri kuondoka kwa vikosi vya nchi yake katika mji wa Lysychansk mashariki mwa jimbo la Donbass baada ya kuzidiwa nguvu na majeshi ya Urusi. Zelenskiy lakini . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 3, 2022

Raia wenye hasira waandamana kupinga ugumu wa maisha

Waandamanaji nchini Libya wamelivamia bunge kuonyesha hasira zao juu ya kuzorota kwa hali ya maisha na mkwamo wa kisiasa nchini humo.Waandamanaji walilivamia bunge katika mji wa mashariki wa Tobruk . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • July 3, 2022

Takriban watu 19 wameuwawa katika ajali ya basi nchini Pakistan

Watu takriban 19 wamepoteza maisha na wengine 12 wamejeruhiwa katika ajali ya basi la abiria lililoteleza na kutumbukia kwenye korongo la kina kirefu katika barabara ya milimani kusini magharibi m . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 3, 2022

Mafuriko yasababisha maafa mjini Sydney

Maeneo mengi ya mji wa Sydney yamefunikwa na maji kutokana na mafuriko yaliosababishwa na mvua kubwa ilionyesha katika mji huo mkubwa zaidi nchini Australia. Maji yenye kina cha mita 1.5 yamevizin . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • July 3, 2022

Sita wafa ajali ya gari Dodoma

Watu sita wamefariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa kwenye ajali iliyohusisha gari ndogo kugonga na mkokoteni uliokuwa unavutwa na ng’ombe katika Kijiji cha Lugala Wilaya ya Chamwino mkoani . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • July 3, 2022

Wafugaji wanaolisha mifugo mashamba ya wakulima kukamatwa

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki amemuagiza Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Zainab Telack kuhakikisha anawakamata wafugaji wanaopiga wakulima na kulisha mifugo yao katika mashamba yenye mazao.Ndak . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • July 1, 2022

Waandamanaji 7 wauawa katika maandamano ya kupinga utawala wa kijeshi nchini Sudan

Waandamanaji wasiopungua 7 wameuawa Alhamisi nchini Sudan wakati maafisa wa usalama wakijaribu kuzuia mikusanyiko mikubwa ya waandamanaji wanaodai kumalizika kwa utawala wa kijeshi, madaktari wa . . .

Habari
  • Na Asha Business
  • June 29, 2022

Marekani yafungua uchunguzi baada ya wahamiaji 51 kufa kwa joto ndani ya Trela

Idadi ya vifo vya wahamiaji wasio na vibali waliotelekezwa kwenye trela lenye joto kali mjini Texas imepanda hadi 51 jana Jumanne, huku Rais Joe Biden akiwalaumu wale aliowaita wahalifu wenye utaa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 29, 2022

Jeshi la Sudan lafyatua mizinga eneo la mpaka na Ethiopia

Wanajeshi wa Sudan wamefyatua mizinga wakati wa makabiliano katika eneo la mashariki lilalozozaniwa ambalo linapakana na Ethiopia. Hayo ni kwa mujibu wa afisa mmoja wa Ethiopia, ikiwa ni tukio la . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • June 29, 2022

Zaidi ya wanawake 100 wameuawa nchini Syria

Zaidi ya watu 100 wengi wao wakiwemo wanawake wameuawa kwenye kambi moja nchini Syria katika muda wa miezi 18 pekee Umoja wa Mataifa ulisema Jumanne ukizitaka nchi kuwarejesha makwao raia wao. . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • June 28, 2022

Zaidi ya watu 40 wakutwa wamekufa kwenye lori

Takriban watu 46, wanaoaminika kuwa wahamiaji, wamepatikana wamefariki kwenye lori lililotelekezwa viungani mwa San Antonio, Texas. Afisa wa zima moto alisema watu 16 wakiwemo watoto wanne pia wam . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • June 27, 2022

Idadi ya watoto waliokufa kutokana na mitetemeko ya ardhi imeongezeka na kufikia 155

Umoja wa Mataifa umesema idadi ya watoto waliokufa kutokana na mitetemeko ya ardhi nchini Afghanistan sasa imefikia 155. Asasi ya misaada ya Umoja huo, OCHA imesema watoto wengine wapatao 250 wa . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • June 27, 2022

Mwili wa mchimba dhahabu wapatikana baada ya miezi 8

 Mwili wa mchimba dhahabu Tom Okwach ulipatikana Jumapili, baada ya siku 205, tangu timbo la Abimbo, Kaunti ya Siaya, kuporomoka Desemba 2, 2021. Wakazi walikuwa wakichimba mtaro karibu na t . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • June 27, 2022

Miss Bbrazil 2018 Afariki Baada ya Kufanya Upasuaji

Gleycy Correia ni aliyekuwa Miss Brazil mwaka 2018 ambaye amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 27 baada kufanyiwa upasuaji (sajari) kutoa mafindofindo. Kwa mujibu wa vyombo vingi vya habari vya . . .

Kurasa 40 ya 56

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Habari
news
  • 2 masaa yaliopita

Mbunge wa Ilemela agawa pikipiki kwa vijana

Habari
news
  • 5 masaa yaliopita

Familia za waathiriwa wa maandamano kuandamana hadi ikulu ya rais kudai haki

Habari
news
  • 7 masaa yaliopita

Rwanda Yafunga Zaidi ya Makanisa 10,000 ya Kiinjili kwa Ukiukwaji wa Sheria

Habari
news
  • 7 masaa yaliopita

Askofu Bagonza aonya dhidi ya ‘sumu’ zinazokwamisha maridhiano

Habari
news
  • 7 masaa yaliopita

Polisi Babati wachunguza kifo cha mwanaume kijiji cha Mapea

Habari
news
  • 8 masaa yaliopita

RC Mara aagiza kurejeshwa jengo la WAMACU Tarime na Rorya

Makala
news
  • 8 masaa yaliopita

Hii hapa top 10 ya Magari Yaliyonunuliwa Zaidi Tanzania Mwaka 2025

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Mbunge wa Ilemela agawa pikipiki kwa vijana

    • 2 masaa yaliopita
  • Ajiua kwa kujinyonga kwenye banda la mbuzi Manyara

    • 5 masaa yaliopita
  • Familia za waathiriwa wa maandamano kuandamana hadi ikulu ya rais kudai haki

    • 5 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode