logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Zote Za Kisiasa

  • Pata Habari Zote Za Kisiasa
Afrika
  • Na Asha Business
  • October 2, 2023

Tshisekedi na Fayulu kupambana tena katika uchaguzi wa rais wa DRC hapo Disemba 20, 2023

Tshisekedi anagombania mhula wa pili katika taifa lenye utajiri mkuu wa cobalt duniani, baada ya kushinda katika mhula wa kwanza ulokuwa na utata mwaka 2018.Wajumbe wa mungano wa Union Sacree unaohusi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 18, 2023

Kiongozi wa upinzani azinduwa kampeni ya uchaguzi Liberia

Joseph Boakai, amezindua kampeni yake kuelekea uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba, ambapo atachuana na nyota wa zamani wa soka na rais wa nchi hiyo, George Weah.Kiongozi wa upinzani nchini Liberia, Joseph . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • August 27, 2023

Rais Mnangagwa arejea tena mdarakani

Rais wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa aliyekuwa anagombania nafasi hiyo katika kipindi cha awamu ya pili ameshinda kwa kura asilimia 52.6 dhidi ya mpinzani wake Nelson Chamisa aliyepata asilimia 44Mato . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 25, 2023

Wakamatwa kwa kujumlisha matokeo

Polisi nchini Zimbabwe wanasema wamewakamata watu 41, simu za mkononi, talakilishi na vifaa vingine vya kielektroniki wakati wa msako mkali katika maeneo manne ya jijini Harare mara baada ya kupata ta . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • August 24, 2023

Zimbabwe: Muda wa kupiga kura waongezewa hadi Alhamisi

Maafisa wa uchaguzi nchini Zimbabwe, waliongeza muda wa upigaji kura katika uchaguzi wa rais hadi Alhamisi, baada ya kucheleweshwa kwa hadi saa 10 katika ngome nyingi za upinzani.Hayo yalijiri wakati . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 21, 2023

Trump athibitisha hatashiriki mdahalo wa wawaniaji urais Jumatano

Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump alithibitisha Jumapili kwamba hatashiriki mdahalo wa kwanza wa urais wa Jumatano wa chama chake cha  Republican."Wamarekani wanajua mimi ni nani na kwamba . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 18, 2023

Vyama saba vya kisiasa vinalenga kukiangusha chama tawala ANC

Muungano wa vyama saba vya kisiasa nchini Afrika Kusini umesaini makubaliano ya ushirikiano yanayolenga kukiondoa chama tawala cha ANC katika uchaguzi mkuu wa mwak wa 2024.Kwa mujibu wa makubaliano ha . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 27, 2023

Wanajeshi wadai kupindua serikali ya Niger

Wanajeshi wamedai kuipindua serikali ya Niger siku ya Alhamisi kufuatia mapinduzi ya dhahiri katika nchi hiyo tete baada ya walinzi wa Rais kumzuia Rais Mohamed Bazoum.Kikosi maalum cha walinzi wa rai . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 24, 2023

Chama tawala Cambodia chadai kushinda kwa kishindo katika uchaguzi mkuu wa Jumapili

Chama tawala cha Waziri mkuu wa Cambodia Hun Sen kinadai kuwa kimeshinda kwa kishindo katika uchaguzi mkuu wa Jumapili na kupata karibu viti vyote 125 bungeni.Chama tawala cha Waziri mkuu wa Cambodia . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 23, 2023

Upigaji kura unaanza katika uchaguzi wa haraka wa 2023 wa Uhispania

Wapiga kura wa Uhispania walielekea kwenye uchaguzi Jumapili ili kuamua iwapo watampa Waziri Mkuu wa Kisoshalisti Pedro Sanchez mamlaka mapya ya miaka minne au, kama kura za maoni zinapendekeza, kumre . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 20, 2023

Fatma Karume 'Ukiwa Rais ni Ngumu Kataka Kutoka Madarakani'

"Ukiwa Rais ni lazima uwe makini sana kwa sababu mazingira unayoishi ni unatoka kuwa mtu wa kawaida na kuwa mtu ambaye kila mmoja anakupigia magoti, kama hautakuwa makini hali hiyo inaweza kukupanda k . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 14, 2023

Msajili Aikalia Kooni TLP Nafasi ya Mrema Wapewa Agizo Kufanya Uchaguzi

OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa, imekitaka Chama cha Tanzania Labpour Party (TLP), kuitisha uchaguzi wa kujaza nafasi ya mwenyekiti wake taifa, iliyoachwa wazi na Augustino Mrema, aliyefariki duni . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 10, 2023

Rais Ali Bongo wa Gabon ametangaza anawania muhula wa tatu madarakani

Bongo mwenye umri wa miaka 64, ambaye alipatwa na kiharusi miaka mitano iliyopita, amekuwa akizungumziwa kuhusu afya yake ikichochewa zaidi na kutoonekana kwake kwa umma au katika shughuli zinazotanga . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 27, 2023

Gabon kufanya uchaguzi Agosti 26

Gabon ni nchi yenye utajiri wa mafuta itaandaa uchaguzi wa rais, wabunge na serikali za mitaa mnamo Agosti 26, nchi hiyo ya Afrika Magharibi ilisema Jumanne, huku Rais Ali Bongo Ondimba akipewa nafasi . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 17, 2023

ACT kuandamana hadi Ikulu kwa Rais Samia

Mwenyekiti wa ngome ya vijana wa chana cha ACT Wazalendo, Abdul Nondo, amesema kwamba anawakaribisha wananchi katika maandamano ya amani yatakayofanyika kesho Aprili 18, 2023, yatakayoanzia Manzese ku . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • April 12, 2023

Wabunge wa Ruto kukutana na Upinzani

Serikali ya rais wa Kenya William Ruto, Jumanne, imewatangaza wabunge saba wa Kenya Kwanza watakao shiriki katika mazungumzo na upinzani unaoongozwa Raila Odinga ili kumaliza uhasama wa kisiasa kati y . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 10, 2023

Chadema wataka uchunguzi wa Plea Bargaining

Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimeitaka serikali kuunda tume ya kijaji kushughulikia sakata la  Plea Bargaining ambalo limetajwa kwenye ripoti ya CAG kuwa zoezi hilo liliendeshwa kwa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 4, 2023

Sierra Leone yapiga marufuku mikutano ya siasa ya barabarani

Serikali ya Sieraa Leone Jumatatu imetangaza kupiga marufuku mikutano ya kisiasa ya mitaani ambayo kwa muda mrefu imetumika kwenye kampeni za uchaguzi, ikiwa imebaki chini ya miezi mitatu kabla ya uch . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • March 27, 2023

Rais mteule wa Nigeria awashukia wapinzani, ahofia zuio kuapishwa

Rais mteule wa Nigeria, Asiwaju Bola Tinubu ameelezea hofu yake kuhusu njama za baadhi ya wapinzani wake aliowashinda katika uchaguzi Mkuu kutaka kusitisha mchakato wa mpito na maandalizi ya kuapishwa . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • March 16, 2023

Wapinzani wafanya maandamano kudai unafuu wa maisha

Wanasiasa wa upinzani nchini Kenya, wamesisitiza kuendelea na maandamano ya kitaifa Yatakayo hitimishwa siku ya Jumatatu ijayo (Machi 20, 2023), jijini Nairobi ambayo yanalenga kufikisha ujumbe wao wa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 10, 2023

Xi Jinping achaguliwa tena kuongoza muhula wa tatu

Rais wa China, Xi Jinping amechaguliwa tena kwa kauli moja kuwa rais wa Taifa hilo hi leo Ijumaa Machi 10, katika kura ya wabunge na ataongoza China kwa muhula wa tatu wa miaka mitano, jambo ambalo ha . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • March 1, 2023

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guteress yuko Irak

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema amerejea nchini na kupokelewa na wafuasi wa chama hicho, ndugu na marafiki katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Kiliman . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • March 1, 2023

Uchaguzi wa Nigeria: Bola Ahmed Tinubu Atangazwa Rais-Mteule

Tume Huru ya Kitaifa ya Uchaguzi (INEC) imetangaza rasmi kuwa Asiwaju Bola Ahmed Tinubu wa chama tawala cha All Progressives Congress (APC), ndiye mshindi wa Uchaguzi wa Urais wa Nigeria wa 2023.Mweny . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • February 28, 2023

ECOWAS yasema Tume Huru ya taifa ya Uchaguzi Nigeria yashindwa kutimiza ahadi zake

Jumuiya ya Mataifa ya Afrika Magharibi (ECOWAS) ilisema Jumatatu kwamba Tume Huru ya taifa ya Uchaguzi Nigeria (INEC) ilishindwa katika ahadi  zake kadhaa  ikiwa ni pamoja na kuchelewa na ku . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • February 27, 2023

Mwenyekiti wazamani wa CENI azindua chama cha kisiasa Congo

Mwenyekiti wa zamani wa Tume ya Uchaguzi ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, Corneille Nangaa alizindua chama chake cha kisiasa, miezi kadhaa kabla ya uchaguzi unaotarajiwa mwezi Disemba.Baada ya kuzi . . .

Kurasa 10 ya 17

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Matukio
news
  • January 30, 2026

Marekani Yasema Iko Tayari Kuchukua Hatua Dhidi ya Iran Kuzuia Silaha za Nyuklia

Matukio
news
  • January 26, 2026

Zelensky asaka mifumo zaidi ya ulinzi wa anga

Matukio
news
  • January 20, 2026

RSF walitumia makaburi ya pamoja kuficha uhalifu wa kivita

Matukio
news
  • January 17, 2026

WFP: Uhaba wa chakula wafikia kiwango cha hatari

Matukio
news
  • January 15, 2026

Zelensky kutangaza hali ya dharura katika sekta ya nishati

Top Stories
news
  • January 11, 2026

SOMA KWA FURAHA INITIATIVE YAANZA MWAKA 2026 NA CHUMBA CHA TUMAINI ( CHAMBER OF HOPE )

Top Stories
news
  • December 24, 2025

Miaka kumi ya Jembefm

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Uchaguzi wa Japan: Chama cha Takaichi chatabiriwa ushindi

    • Sasa Hivi
  • Nchemba Awaagiza Viongozi Kutatua Kero za Wananchi

    • 2 siku zilizopita
  • Spika Zungu: Hakuna Udini Kwenye Miradi ya Utalii

    • 2 siku zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode