logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Matukio
  • Na JZ The Brand
  • February 2, 2022

Mwanamke Anyongwa Nyumbani Kwake

Jeshi la Polisi mkoa wa Geita linaendelea na uchunguzi kufuatia tukio la mauaji ya mke wa mfanyakazi wa mgodi wa dhahabu wa GGM aliyefah . . .

Top Story
  • Na JZ The Brand
  • February 2, 2022

Watu 25 wauwa na umeme sokoni Kinshasa

Taarifa za hivi punde zinaarifu kuwa watu wasiopungua 25 wamekufa katika mjini mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kinshasa, baada y . . .

Top Story
  • Na JZ The Brand
  • February 2, 2022

Maporomoko ya udongo yaua 14 Ecuador

Watu wasiopungua 14 wamekufa na wengine 32 wamejeruhiwa na maporomoko ya udongo yaliyotokea usiku wa kuamkia kaskazini mwa mji mkuu wa Ecu . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 2, 2022

Waziri Gwajima Apokea Ugeni Wa ‘un Women’, Waonesha Utayari Kuboresha Miongozo Ya Wizara

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wanawake na Makundi Maaum, Dkt. Dorothy Gwajima, amepokea ugeni wa Shirika la kupigania haki za wan . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 2, 2022

Serikali Kupima Utendaji Kazi Wa Taasisi Zake Kielektroniki-Waziri Mhagama

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama amesema Serikali inaboresha Mfumo w . . .

Afya
  • Na JZ The Brand
  • February 2, 2022

Lucy Nyawira, mchungaji aliyemficha mumewe kuwa ana maambukizi ya HIV kwa miaka saba

Hii ni hali ambayo mama huyu anaiona kama sehemu ya wito wake wa maisha kwamba atoe nasaha na awe kielelezo cha kuishi na virusi vya HIV . . .

Afrika Mashariki
  • Na JZ The Brand
  • February 2, 2022

Rwanda - Uganda: Kwa nini mpaka haujafunguliwa kikamilifu

Furaha ya wengi ilitoweka wakati watu wachache tu waliruhusiwa kuvuka mpaka wa Gatuna/Katuna, ambao ulipangwa kufunguliwa tena Jumatatu.Kw . . .

Mastaa
  • Na JZ The Brand
  • February 2, 2022

Ami Faku kutua Dar, rekodi hizi ndio zimempa umaarufu Tanzania

Ni Mrembo kutokea Afrika Kusini, Ami Faku ambae kwasasa ndie Malkia wa muziki unaofahamika kwa jina la Amapiano. Ami Faku ni msanii wa siku . . .

Top Story
  • Na JZ The Brand
  • February 2, 2022

Sakata la mtoto kumuua mtoto mwenzake, familia yatoa kauli

Familia ya Marehemu Ally Khalifa Bakari, Mtoto mwenye umri wa miaka tisa ambaye amefariki mara baada ya kupigwa na kitu chenye ncha kali . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 2, 2022

Kesi ya Mbowe:Shahidi Mwanajeshi akana kukamatwa

Shahidi wa 12 upande wa Jamhuri Luteni Denis Urio katika kesi ya Ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADE . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • February 2, 2022

Mwanamke Aolewa na Ndugu yake wa Damu Bila Kujua na Kumzalia Watoto 3

Mwanamke Mrwanda, Mukandamage Domitila aliwashtua wengi baada ya kufichua alikuwa ameolewa na ndugu yake wa damu moja.Domitila alizaliwa mna . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • February 2, 2022

Mwanafunzi Apokezwa Kichapo cha Mbwa kwa Kula Chapati ya Mwalimu Mkuu .

Mwanafunzi wa Shule ya Gremon Education Center eneo la Bamburi, kaunti ya Mombasa anauguza majeraha mabaya katika Hospitali ya Rufaa ya Coas . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • February 2, 2022

Aneera Kabeer: Mwanamke wa Kihindi aliyebadili jinsia ambaye ombi lake la kutaka kufa limezua taharuki

Mnamo Novemba mwaka jana, Aneera Kabeer alihudhuria mahojiano yake ya 14 ya kutafuta kazi katika miezi miwili akiwa amevalia kofia, bara . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • February 2, 2022

Baba wa Polisi aliyejinyonga mahabusu ataka uchunguzi

 Wakati Jeshi la Polisi likieleza jinsi mkaguzi msaidizi wa polisi Grayson Mahembe alivyojinyonga akiwa mahabusu, hatua iliyoibua h . . .

Viwanda
  • Na Asha Business
  • February 2, 2022

Waziri Kijaji: Tanzania Itaendeleza Ushirikiano Wa Kibiashara Kati Ya Tanzania Na Uingereza

Waziri wa Uwekezaji Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb.) amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Uingereza nchini Mhe. . . .

Teknolojia
  • Na Asha Business
  • February 2, 2022

Dkt. Nchemba Ateta Na Chama Cha Watoa Huduma Za Simu Tanzania

Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) amekihakikishia Chama cha Watoa Huduma za Simu Tanzania (TAMNOA) kuwa S . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • February 2, 2022

Watu Tisa (9) Wanashikiliwa Na Jeshi La Polisi Mkoa Wa Mwanza Kwa Tuhuma Za Mauaji

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linawashikilia watu wanne ambao:- 1.Robert Daud, miaka 42, mume wa mganga, mkazi wa katunguru, 2. Sylives . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • February 2, 2022

Watu zaidi ya 20 washikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za mauaji Kilindi Mkoani Tanga

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro amesema kamwe Jeshi hilo alitavumilia vitendo vya kujichukulia sheria mkononi vinayofanyw . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • February 1, 2022

Uchaguzi WaSpika: Mtia Nia Awaacha Hoi Wabunge

WAKATI wabunge wakiendelea kusikiliza hoja za watia nia wanaowania kurithi mikoba ya Job Ndugai, Bungeni jijini Dodoma, Ndonge Said Ndonge, . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • February 1, 2022

Straika Mkongo Aanza Nyodo Simba

MARA baada ya kufunga bao lake la kwanza tangu kuanza kwa msimu huu, mshambuliaji Mkongomani ndani ya kikosi cha Simba, Chris Mugalu, ameibu . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • February 1, 2022

Kibwana Anahesabu Siku Yanga

BEKI kiraka wa Yanga, Kibwana Shomari na mwenzake Abdallah Shaibu ‘Ninja’, wanahesabu siku tuza kurudi uwanjani mara baada ya kupona maj . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • February 1, 2022

Kwa Mara ya Kwanza, Meena Ally Afunguka Kila Kitu

IKIWA ni wiki chache baada ya mtangazaji wa Clouds Media, Meena Ally kuchafuliwa mitandaoni kwa kusambazwa picha ya ngono asiyohusika na . . .

Siasa
  • Na Asha Business
  • February 1, 2022

Boris hataki kutoa majibu mahsusi kutoingilia uchunguzi wa polisi

Naibu Waziri Mkuu wa Uingereza Dominic Raab amesema waziri mkuu wa nchi hiyo, Boris Johnson, hawezi kutoa majibu kamili juu ya dhifa kadha . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • February 1, 2022

Waandishi wawili wa habari wakamatwa na Taliban

Waandishi wawili wa habari wanaofanya kazi na kituo binafsi cha televisheni nchini Afghanistan wamekamatwa na maafisa wa kundi la Taliba . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 1, 2022

Mwaka mmoja wa mapinduzi ya kijeshi Myanmar waadhimishwa kwa maandamano

Wapinzani wa utawala wa kijeshi nchini Myanmar wameadhimisha mwaka mmoja wa mapinduzi ya kijeshi nchini humo kwa mgomo wa kitaifa kuonyesh . . .

Afrika
  • Na JZ The Brand
  • February 1, 2022

Nchi za Kusini mwa Afrika zajiandaa kukabiliana na kimbunga cha pili

Kituo cha Huduma za Hali ya Hewa cha Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (Sadc) (CSC) kimeonya juu ya mvua kubwa ambayo inaweza kusab . . .

Siasa
  • Na JZ The Brand
  • February 1, 2022

ashinda uspika kwa kura zote

Bunge la Tanzania limemchagua Dk Tulia Ackson kuwa spika wa bunge hilo.Dk Tulia amefanikiwa kuwagaragaza wagombea wenzake nane wanaotoka vya . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 1, 2022

MKUU WA WILAYA SONGWE AKAGUA UJENZI WA BARABARA,AISHUKURU SERIKALI

MKUU wa Wilaya ya Songwe Simon Simalenga amefanya ziara ya kutembelea ujenzi wa barabara yenye kipande cha urefu wa kilomita 7 kutoka Ka . . .

Muziki
  • Na JZ The Brand
  • February 1, 2022

Sugu arejea kwenye muziki

RAPA mkongwe na mmoja wa waasisi wa muziki wa Kizazi Kipya nchini Tanzania, Joseph Mbilinyi almaarufu Sugu, anarejea rasmi kwenye muziki . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 1, 2022

KURA ZA SPIKA KUPIGWA LEO

 Bunge la Tanzania limeanza vikao vyake hii leo huko jijini Dodoma, ambapo limeanza shughuli zake kwa kuendesha uchaguzi wa spika mpya . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 1, 2022

ATCL Yapewa Maagizo Bei za Tiketi

NAIBU Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Atupele Mwakibete ameitaka idara ya Masoko ya Kampuni ya Ndege ya Tanzania (ATCL) kufanya tafiti na k . . .

Teknolojia
  • Na JZ The Brand
  • February 1, 2022

NDEGE YA UMEME

Ndege inayotumia mfumo wa umeme kwa 100% badala ya mafuta iliyotengenezwa na kampuni ya Israel Eviation Marekani imebakiza wiki chache kabla . . .

Afrika Mashariki
  • Na JZ The Brand
  • February 1, 2022

Kenya yawarudisha nyumbani washukiwa wa mauaji Uingereza

Kenya imewarudisha raia wawili wa Uingereza nchini humo ambako wanasakwa kwa mauaji.Taarifa kutoka kwa Idara ya Upelelezi wa Makosa ya Jin . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • February 1, 2022

Marekani na Urusi zakabiliana katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa

Balozi wa Marekani Linda Thomas-Greenfield alisema upelekwaji huo ulikuwa mkubwa zaidi Ulaya kuwahi kuonekana katika miongo kadhaa.Mwenz . . .

SOKA ULAYA
  • Na JZ The Brand
  • February 1, 2022

Aubameyang ajiunga Barcelona bure

Pierre-Emerick Aubameyang amejiunga na Barcelona kwa uhamisho wa bure baada ya kuondoka Arsenal, uhamisho huo unatarajiwa kutangazwa leo . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 1, 2022

Familia zaidi zalia watoto kupotea mikononi mwa polisi

 Wingu limetanda katika familia ya Salmin Shame (33) kijana anayedaiwa kupotea katika mazingira ya kutatanisha tangu usiku wa Desem . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 1, 2022

BUTIKU MWENYEKITI MPYA TAASISI YA MWALIM NYERERE

BODI ya Wakurugenzi ya Taasisi ya Mwalimu Nyerere (MNF), inayomaliza muda wake imemteua Joseph Butiku kuwa mwenyekiti mpya wa bodi hiyo. . . .

Habari
  • Na JZ The Brand
  • February 1, 2022

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MAREKEBISHO YA KANUNI ZA MIUNDOMBINU YA UTANGAZAJI KIDIJITI NA KANUNI ZA LESENI

1. UTANGULIZI Katika kuboresha mazingira ya utoaji huduma za Mawasiliano nchini, Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari i . . .

Habari
  • Na JZ The Brand
  • February 1, 2022

MAKAMU WA RAIS KUMUWAKILISHA RAIS SAMIA HAFLA YA KUTOA MAAMUZI YA MWISHO UWEKEZAJI MRADI WA BOMBA LA MAFUTA UGANDA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango akiagana na viongozi mbalimbali wa mkoa wa Dodoma wakati akiondoka ka . . .

Habari
  • Na JZ The Brand
  • February 1, 2022

Rais Samia afanya uteuzi wa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu

. . .

Kurasa 197 ya 212

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category