logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • January 22, 2026

Bobi Wine Aeleza Hatari Anayokabili Baada ya Uchaguzi Tata Uganda

Kiongozi mkuu wa upinzani nchini Uganda, Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine, amethibitisha kuwa kwa sasa yuko mafichoni akihofia usalama wa maisha yake, huku hali ya kisiasa nchini humo ikiendel . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 22, 2026

Waziri Mkuu Aongoza Mkutano Kazi Wa Mawaziri, Manaibu Mawaziri

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameongoza mkutano kazi wa Mawaziri, Makatibu Wakuu na Viongozi Waandamizi wa Serikali uliofanyika Januari 21, 2026, katika Ukumbi wa Kambarage, Hazina, jijini Dodoma . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 22, 2026

Uchaguzi wa urais na wa wabunge kufanyika Desemba 6

Kiongozi wa utawala wa kijeshi nchini Guinea-Bissau, Jenerali Horta N'Tam, ametangaza Desemba 6 kama tarehe ya uchaguzi wa urais na wa wabunge unaokusudiwa kuashiria madaraka kurejea kwa raia, kulinga . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 22, 2026

Donald Trump arudia matamshi ya ubaguzi wa rangi dhidi ya Wasomali na mbunge Ilhan Omar

Siku ya Jumatano, Januari 21, katika Jukwaa la Uchumi Duniani huko Davos, na kisha siku iliyotangulia katika Ikulu ya White House, katika kumbukumbu ya miaka ya kwanza ya kurudi kwake madarakani, Rais . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • January 21, 2026

CCM yajivua lawama CHADEMA kuzuiwa siasa

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema hakihusiki kwa namna yoyote na uamuzi wa Mahakama Kuu wa kuzuia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kufanya shughuli zake za kisiasa.Ufafanuzi huo umetolewa . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 21, 2026

Rais wa Chile awateuwa mawakili wa Pinochet kuwa mawaziri

Rais mteule wa Chile anayefuata siasa kali za mrengo wa kulia Jose Antonio Kast amewateuwa wanasheria wawili wa dikteta wa zamani wa nchi hiyo, Augusto Pinochet, kuongoza wizara za ulinzi na haki za b . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 21, 2026

Maelfu ya Wakurdi Waandamana Ujerumani

MAELFU ya raia wa asili ya Kikurdi wamejitokeza katika maandamano kwenye miji mbalimbali ya Ujerumani wakionyesha mshikamano na wenzao kufuatia mapigano kati ya vikosi vya Wakurdi na wanajeshi wa seri . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • January 21, 2026

Marekani kusitisha maombi yote ya visa za kudumu za uhamiaji kwa nchi 26 za Afrika

Kama sehemu ya sheria mpya za uhamiaji zilizoungwa mkono na Rais Donald Trump, Marekani imetangaza kuanzia Jumatano, Januari 21, kusitishwa kwa maombi yote ya visa za kudumu za uhamiaji kutoka nchi 75 . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 21, 2026

Jeshi la Marekani laikamata meli nyengine ya Venezuela

Jeshi la Marekani limekamata meli nyengine ya mafuta inayomilikiwa na Venezuela kwenye Bahari ya Karibi, kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na jeshi hilo siku ya Jumanne (Januari 20).Kamandi ya Kusini . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 21, 2026

Mashambulizi Ukraine na Urusi Yaua Raia na Maafisa

UKRAINE na Urusi zimeripoti vifo na majeruhi kufuatia mashambulizi ya pande zote hali inayoonyesha kuendelea kwa mapigano makali kati ya mataifa hayo mawili.Kwa upande wa Ukraine raia watatu wameuawa . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • January 21, 2026

Muhoozi azua sintofahamu kwa kutoa wito wa kuuawa kwa kiongozi wa upinzai Bobi Wine

Hasira imeibuka mtandaoni baada ya Mkuu wa jeshi la Uganda, Muhoozi Kainerugaba, kutoa mfululizo wa machapisho ya uchochezi kwenye mitandao ya kijamii, hususan kumtishia kumsaka na kumuua kiongozi wa . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • January 21, 2026

Viongozi wa Kijiji cha Namwanga Wajiuzulu kwa Pamoja

VIONGOZI wote wa Serikali ya Kijiji cha Namwanga Kata ya Hezya Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe wamejiuzulu nyadhifa zao kwa pamoja wakilalamikia kile walichokitaja kuwa ni ukandamizaji na udhalilishaji . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 20, 2026

Kesi waziri kupokwa pasipoti yanguruma

KESI iliyofunguliwa na aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara Geoffrey Mwambe katika Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam akipinga kunyang'anywa hati yake ya kusafiria imesikilizwa leo.Kes . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • January 20, 2026

Chifu aruhusu watoto kuomba karo ya Gredi 10 kutoka kwa raia

KATIKA kisa cha kusikitisha Chifu wa Turbo Kaunti ya Uasin Gishu William Koros ameruhusu familia ya watoto saba mayatima kuwa ombaomba ili kupata karo ya kumpeleka mmoja wao kujiunga na Gredi ya 10.Am . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • January 20, 2026

Uganda yarejesha huduma za intaneti, isipokuwa mitandao ya kijamii

SERIKALI ya Uganda imerejesha japo kwa kiwango fulani tu, huduma za mawasiliano baada ya Rais Yoweri Museveni kutangazwa mshindi katika uchaguzi mkuu ushindi ambao umepingwa na upinzani wake.Kutokana . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • January 20, 2026

Rais Samia Atuma Salamu za Pole Kifo cha Mzee Mtei

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Mzee Edwin Isaac Mbiliewi Mtei kilichotokea usiku wa kuamkia Januari 19 mwaka huu jijini . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • January 20, 2026

Mkuu wa Jeshi Uganda Atishia Maisha ya Bobi Wine

Mvutano wa kisiasa nchini Uganda umeongezeka zaidi baada ya mkuu wa jeshi la nchi hiyo Jenerali Muhoozi Kainerugaba kutoa vitisho vya wazi vya kumuua kiongozi wa upinzani Bobi Wine kufuatia uchaguzi m . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 20, 2026

Viongozi wa Ulaya kutunishiana misuli na Trump

Viongozi wa Ulaya wanashiriki Jukwaa la Uchumi Duniani (WEF) ambalo litafanyika mjini Davos wakati mvutano baina yao na mshirika wao wa kijadi Marekani ukizidi kufuatia kitisho cha Donald Trump kukitw . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 20, 2026

Waumini 163 watekwa nyara kanishani Nigeria

Makundi yenye silaha yawateka nyara waumini 163 wa Kikristo baada ya kuyavamia makanisha mawili katika jimbo la Kaduna kaskazini mwa Nigeria.katika taarifa zilizotolewa Januari 19 mwaka huu zilisema k . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • January 20, 2026

Syria yasema wafungwa 120 wa IS watoroka jela

Serikali ya Syria imesema kiasi cha wafungwa 120 wa kundi lijiitalo Dola la Kiislamu (IS) wametoroka gereza la Shaddadi lililokuwa likidhibitiwa na wapiganaji wa Kikurdi (SDF) kaskazini mashariki mwa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 20, 2026

Heche" Tumempoteza mzee Mtei"

Gavana wa kwanza wa Benki kuu ya Tanzania (BoT), na mwasisi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edwin Mtei (94), amefariki dunia usiku wa kuamkia Januari 19 mwaka huu.Kwa mujibu wa taarifa . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • January 20, 2026

Watu kadhaa wametekwa nyara katika mashambulizi dhidi ya makanisa nchini Nigeria

Polisi wa Jimbo la Kaduna walmesema kwamba watu wenye silaha za kisasa walishambulia makanisa hayo mawili huko Kurmin Wali, jamii ya msitu katika wilaya ya Afogo, siku ya Jumapili yapata saa 5:25 mcha . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 19, 2026

Iran Yakiri Maelfu Kuuawa Katika Maandamano, Takwimu Zazua Mabishano

Msemaji wa idara ya mahakama ya Iran amesema hadi sasa hakuna adhabu yoyote ya kifo iliyotolewa inayohusiana na maandamano ya hivi karibuni ya kuipinga serikali.Afisa mmoja wa serikali ya Iran amesema . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 19, 2026

EU Yaitisha Mkutano wa Dharura Baada ya Trump Kutishia Ushuru Mpya

Mabalozi wa Umoja wa Ulaya wanazidisha juhudi za kumzuia Rais wa Marekani Donald Trump  asiwawekee washirika wa Ulaya ushuru mkubwa, wakati wakijitayarisha na hatua za kulipiza kisasi endapo ushu . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 19, 2026

Rais wa Guatemala atangaza hali ya hatari

Rais Bernardo Arevalo wa Guatemala ametangaza hali ya hatari ili kukabiliana na magenge yaliyouwa maafisa wanane wa polisiAmbapo Arevalo alisema kuwa tayali vyombo vya usalama vimerejesha udhibiti wa . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 19, 2026

Viongozi wa Kimataifa Waalikwa Kusimamia Awamu ya Pili ya Makubaliano ya Kusitisha Vita Gaza

Waziri wa Mambo ya Nje wa Hungary Peter Szijjarto amesema kuwa Waziri Mkuu Viktor Orban amekubali mwaliko wa kujiunga na bodi ya kimataifa itakayokuwa na jukumu la kusimamia utekelezaji wa hatua zinaz . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • January 19, 2026

Ruto achukua washauri wa kiuchumi wa Raila

RAIS William Ruto amewachukua baadhi ya wapangaji mikakati waliokuwa wakihudumu katika ODM chini ya aliyekuwa waziri mkuu marehemu Raila Odinga kumsaidia katika safari ya kuhakikisha nchi inapiga hatu . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • January 19, 2026

Watu wasiopungua 21 wafariki baada ya treni mbili kugongana

Watu kadhaa wamefariki na wengine kujeruhiwa siku ya Jumapili, Januari 18, kusini mwa Uhispania, msemaji wa kikosi jamii, Guardia Civil, ametangaza, wakati treni ilipoacha njia yake na kugongana na tr . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 19, 2026

Kihongosi aagiza Mganga Mfawidhi achukuliwe hatua

Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi, amemtaka Mganga Mfawidhi wa Halmashauri ya Itigi kuchukua hatua za kinidhamu dhidi ya Mganga Mfawidhi wa Kituo . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 17, 2026

Watu saba wauawa katika machafuko Uganda

Takribani watu saba wameuwawa katika machafuko usiku wa kuamkia leo katikati mwa Uganda ikiwa ni siku moja baada ya uchaguzi wa kitaifa ambao unaonekana kumrejesha madarakani Rais Yoweri Museveni kwa . . .

Kurasa 4 ya 138

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Nchemba Awaagiza Viongozi Kutatua Kero za Wananchi

    • 2 siku zilizopita
  • Spika Zungu: Hakuna Udini Kwenye Miradi ya Utalii

    • 2 siku zilizopita
  • Ukraine na Urusi zimefanya ubadilishanaji wa wafungwa

    • 2 siku zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode