logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • December 6, 2025

Vibali 72 vyatolewa kw a mabasi kuongeza nguvu za safari mwisho wa mwaka

MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imesema mpaka sasa imeshatoa vibali 72 vya kuruhusu wamiliki wa mabasi kuongeza mabasi ya muda ya kusafirisha abiria katika kipindi hiki cha mwisho wa mwaka . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • December 6, 2025

Taasisi za kimataifa zatakiwa kuiacha mifumo ya kitaifa kufanya kazi yake

SERIKALI imesema imezipokea na kuzifanyia kazi taarifa na matamko mbalimbali yaliyotolewa na nchi rafiki, mashirika ya kimataifa na taasisi za maendeleo kuhusu Tanzania na matukio ya uvunjifu wa amani . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • December 6, 2025

Mapigano yanaendelea kurindima Kivu Kusini licha ya mkataba wa amani wa Washington

Siku moja baada ya kusainiwa kwa mkataba wa amani kati ya Kinshasa na Kigali nchini Marekani, mapigano mengi yameendelea kurindima mashariki mwa DRC siku ya Ijumaa, Desemba 5. Milipuko kadhaa ilisikik . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • December 5, 2025

Waziri Ndejembi aitaka TANESCO kusambaza Mita Janja nchi nzima

Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi, amelielekeza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuhakikisha linasambaza mita janja mpya za umeme katika mikoa yote nchini ili kuongeza ufanisi, kurahisisha hud . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • December 5, 2025

Chalamila Aitaka TANESCO Kuchunguza Kauli ya Padri Kitima

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ameielekeza TANESCO kuchukua hatua na kuchunguza kwa kina kauli iliyotolewa na Padri Dk. Charles Kitima akidai kuwa shirika hilo lilizima umeme ili kur . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 5, 2025

Tshisekedi, Kagame wasaini mkataba wa kumaliza vita

Rais Donald Trump wa Marekani amewapongeza viongozi wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo Felix Tshisekedi na Rais wa Rwanda Paul Kagame kwa ujasiri wao wa kusaini mkataba wa amani unaolenga kumaliza mzo . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 5, 2025

Putin afanya ziara ya kihistoria India

Rais wa Urusi Vladimir Putin anaanza ziara ya siku mbili nchini India katika juhudi za kuimarisha ushirikiano hususan katika sekta ya ulinzi. Ziara hiyo imefanyika wakati ambao India inakabiliwa . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • December 5, 2025

937,581 kujiunga na kidato cha kwanza

OFISI ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imesema wanafunzi 937,581 wamechaguliwa kuanza masomo ya kidato cha kwanza mwakani. Waziri wa Tamisemi Profesa Riziki Shemdoe . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • December 5, 2025

Auawa kwa tuhuma za kuiba kuku wa krismas

Mwanaume mmoja auawa na kundi la watu katika kituo cha ununuzi cha Mururi eneo Bunge la Gichugu akaunti ya kirinyanga baada ya kukamatwa akiiba kuku walioandaliwa kwaajili ya kusherehekea Krismas.Kwa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • December 5, 2025

Marekani yasaini mkataba wa msaada wa afya na Kenya

Marekani imesaini mkataba wa msaada wa afya wa dola bilioni 2.5 na Kenya, ambao ni mkataba wa kwanza wa aina hiyo wa pande mbili baada ya Rais Donald Trump kulivunja shirika la misaada la Marekani - U . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • December 4, 2025

Macron akutana na Xi Jinping Beijing

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amekutana na Rais wa China Xi Jinping jijini Beijing, katika ziara ya siku tatu yenye lengo la kusisitiza juhudi za kusitisha vita nchini Ukraine na kuimarisha uhusian . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • December 4, 2025

Miundombinu ya Internet Isimamiwe na Serikali

Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, amesema kuwa miundombinu ya msingi ya internet haipaswi kumilikiwa na makampuni binafsi, akisisitiza kuwa udhibiti wa Serikali ni muhimu ili kupunguza gharama na kuzui . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • December 4, 2025

LATRA yawaita wamiliki wa mabasi kuongeza mabasi kipindi cha sikukuu

Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imetangaza fursa kwa wamiliki wa mabasi kuwasilisha maombi ya leseni za muda mfupi ili kuongeza huduma za usafiri wa abiria kwenye njia zenye uhitaji mkubwa . . .

Teknolojia
  • Na Asha Business
  • December 4, 2025

Meta yaondoa akaunti za watoto Australia

Sheria hiyo mpya inawataka watoto walio chini ya umri wa miaka 16 kuwa na akaunti katika majukwaa kama TikTok, Facebook, YouTube na Instagram.Katika kulinda usalama wa watoto mtandaoni na kupunguza ma . . .

Kilimo
  • Na Jembe Digital
  • December 3, 2025

Kilimo Chatangazwa Kama Kituo Kipya cha Mafanikio kwa Vijana

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe Said Mtanda ametoa wito mahsusi kwa vijana kujikita katika sekta ya kilimo na kusema kuwa wakati umefika kwa vijana kuitumia ardhi kama njia ya kujijenga kiuchumi kupitia mb . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • December 3, 2025

Rais Samia afanya mazungumzo na Naibu Mwenyekiti wa Biashara Jumuiya ya Madola

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Naibu Mwenyekiti wa Biashara wa Jumuiya ya Madola na Baraza la Uwekezaji (CWEIC) Lord Hugo Swire, Ikulu Jiji . . .

Kilimo
  • Na Asha Business
  • December 3, 2025

Mbunge Azza awasihi wananchi kulima mazao yanaostahimili ukame

Mbunge wa Itwangi Azza Hillal Hamad, amewasihi wananchi kulima mazao ambayo yanastahimili ukame kutokana na hali ya hewa kutokuwa nzuri,ambayo inaonyesha kutakuwa na mvua chache.Amebainisha hayo wakat . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • December 3, 2025

Jeshi la DRC na waasi wa M23 watuhumiana kwa ukiukaji wa makubaliano ya usitishaji vita

Jeshi la DRC na waasi wa M23 wanaosaidiwa na Rwanda, wamerushiana maneno kila mmoja akimtuhumu mwingine kukiuka makubaliano ya usitishaji mapigano, siku moja kabla ya viongozi wa Kinshasa na Kigali ku . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • December 3, 2025

Bobi Wine "maisha yangu yako hatarini "

Mgombea urais wa upinzani nchini Uganda, Robert Kyagulanyi Ssentamu maarufu Bobi Wine sasa anasema maisha yake yako hatarini na ameamua kuvaa koti la kuzuia risasi.Hivi Karibuni, Bobi Wine n . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • December 3, 2025

Mudy na Shila kufungwa maisha kwa ubakaji

Hukumu hiyo ya kesi namba 10468/2025 imesomwa Desemba 01, 2025 na Hakimu wa Mahakama ya Wilaya ya Kibaha mkoani Pwani, Fredrick Shayo baada ya upande wa Mashtaka kuthibitisha kutendwa kwa kosa hilo mn . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • December 2, 2025

BARAZA LAMCHAGUA SARA NG'HWANI KUWA MEYA

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela Mkoani Mwanza limempitisha Diwani wa kata ya Buswelu Bi  Sara Poul Ng'hwani kuwa Meya wa Manispaa hiyo baada ya kupata kura 27 na hakuna k . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • December 2, 2025

Wanamgambo wa RSF waliteka eneo la Babanusa, jimbo la Kordof

Vikosi vya RSF nchini Sudan vimesema, vimechukua udhibiti kamili wa eneo muhimu la Babanusa, linalotumika pakubwa kwa usafirishaji kusini mwa nchi hiyo kuliko na utajiri wa mafuta.Katika taarifa yao, . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • December 2, 2025

Mkoa wa Katavi wafungua fursa mpya za uwekezaji katika sekta ya Madini

Mkoa wa Katavi umeendelea kuwa kivutio cha wawekezaji kufuatia maboresho makubwa ya miundombinu, usalama na kasi ya utoaji leseni katika Sekta ya Madini. Afisa Madini Mkazi wa mkoa huo, Mhandisi . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 2, 2025

Waziri wa ulinzi Nigeria ajiuzulu

Waziri wa Ulinzi wa Nigeria Mohammed Badaru Abubakar amejiondoa madarakani wakati taifa hilo likikumbwa na ongezeko la matukio ya kutatanisha ya utekaji nyara hususan watoto wa shule. Hatua hiyo . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 2, 2025

Putin anatarajiwa kukutana na ujumbe maalum wa Marekani kujadili vita ya Ukraine

Rais wa Russia Vladimir Putin anatarajiwa kukutana na mjumbe maalum wa Marekani Steve Witkoff mjini Moscow leo Desemba 2 mwaka huu baada ya Ikulu ya White House kusema ina matumaini makubwa ya kufikia . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • December 2, 2025

Bodaboda waaswa kuzingatia sheria na kupiga vita uhalifu

Katika kuendelea kutoa elimu kwa makundi  mbalimbali ya kijamii ili  kudumisha amani na  kuimarisha usalama pamoja na  kudhibiti matukio mbalimbali ya kihalifu. Kamanda wa Pol . . .

Kilimo
  • Na Jembe Digital
  • December 2, 2025

Mkuu wa Wizara Mhe Nickson Simon akabidhi gari jipya kwa Divisheni ya ardhi kuboresha huduma kwa wananchi

 Mkuu wa Wilaya ya Kibaha, Mhe. Nickson Simon, amekabidhi rasmi gari jipya kwa Divisheni ya Ardhi na Mipango Miji, lengo likiwa ni kuongeza ufanisi na kuwafikia wananchi kwa haraka zaidi katika u . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • December 1, 2025

Mafuriko yazidi kuitesa Sri Lanka vifo vyaongezeka

Idadi ya watu waliofariki kutokana na mafuriko na maporomoko ya udongo nchini Sri Lanka imezidi na kufikisha idadi ya watu 330 huku nchi hiyo ikikabiliana na mojawapo ya maafa mabaya zaidi ya hali ya . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 1, 2025

Vita vya Ukraine vyapaisha mauzo ya Silaha

Ripoti ya Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti wa Masuala ya Amani (SIPRI) yenye makao yake makuu nchini Sweden imesema Mauzo ya watengenezaji wakuu 100 wa silaha duniani yalifikia rekodi ya dola bilioni 6 . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • December 1, 2025

Wasichana 12 waokolewa kutoka kwa watekaji

Jeshi la Nigeria limesema limewaokoa wasichana 12 waliotekwa nyara na kundi la kigaidi la Islamic State West Africa Province (ISWAP) katika jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.Wasichana . . .

Kurasa 4 ya 129

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Mbappé Avunja Ukimya wa Miaka 12 Real Madrid, Aifikia Rekodi ya Ronaldo

    • 4 masaa yaliopita
  • SIMBACHAWENE AVIOMBA VYOMBO VYA HABARI KUFANYA UTAFITI JUU YA RUSHWA

    • 22 masaa yaliopita
  • UN yaomba ufadhili wa dharura kuhudumia wakimbizi Burundi

    • jana

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode