logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 25, 2024

Biden aelezea sababu za kujiondoa kuwania urais kwa Wamarekani

Rais wa Marekani Joe Biden amesema "anapitisha mwenge kwa kizazi kipya" alipokuwa akielezea uamuzi kuondoka kwake ghafla kwenye kinyang'anyiro cha uchaguzi wa rais wa 2024.Amesema hayo kwa Wamarekani . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 24, 2024

RAIS DKT. SAMIA AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 24 Julai, 2024. . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • July 24, 2024

Wizara ya afya Gaza yasema watu 39,145 wameuawa katika vita

Wizara ya afya katika Ukanda wa Gaza imesema hivi leo kwamba watuw apatao 39,145 wameuliwa katika kipindi cha zaidi ya miezi tisa ya vita kati ya Israel na wanamgambo wa Kipalestina wa kundi la Hamas. . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 24, 2024

Marekani kuwa mpatanishi wa jeshi la Sudan na RSF

Marekani imelialika jeshi la Sudan na vikosi vya akiba nchini Uswisi, kwa ajili ya mazungumzo ya upatanishi ya Marekani ili kusitisha mapigano kuanzia Agosti 14, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, An . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • July 22, 2024

Bobi Wine anasema makao makuu ya chama chake yamezingirwa

Nchini Uganda, mwanasiasa wa upinzani Bobi Wine amesema maofisa wa usalama wamezingira makao makuu ya chama chake.Hatua hii inakuja kuelekea maandamano yaliopangwa kufanyika siku ya Jumanne ya wiki hi . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • July 22, 2024

Tahadhari wanaougua saratani ya uume wakiendelea kuongezeka

IDADI ya watu wanaougua saratani ya uume inaendelea kupanda kote ulimwenguni kutokana na utafiti na uchunguzi uliofanywa na wataalamu.Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na watafiti kutoka Chuo Kikuu cha . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 22, 2024

Mawaziri wa EU kukutana na kuijadili Ukraine na Gaza

Mawaziri wa mambo ya nje wa Umoja wa Ulaya wanakutana leo Jumatatu kujadili migogoro inayoendelea nchini Ukraine na Mashariki ya Kati.Hata hivyo  mkutano huo huenda ukagubikwa na suala la hatua y . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • July 22, 2024

Wademokrat wadai kujiandaa kumshambulia Trump kwa umri wake

Wademokrat wako tayari kugeuza udhaifu wa kisiasa ambao ulikuwa ukimsakama Biden—Umri wake – na kumshambulia Trump.Hii pengine inawezekana kuwa na athari kwa Donald Trump, ambaye ndiye mgombea mwe . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 22, 2024

Rais Biden Ampa Tano Makamu Wa Rais Kamala Harris Kugombea Urais

Baada ya kutangaza kujiengua kwenye kinyang’anyiro cha Urais wa Marekani, Rais wa Nchi hiyo, Jose Biden amempigia upatu Makamu wa Rais Kamala Harris kugombea nafasi hiyo kwenye uchaguzi utakaofanyik . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 19, 2024

Wananchi wataka kujua hatma ya Saccos yao

Wananchi na Wanachama wa SACCOS Ya Lupembe Iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Njombe Wametaka Kurudisha Kwa Fedha Katika Saccos Hiyo zaidi ya Shilingi Milioni 600 zinazo Daiwa Kutafunwa na Viongozi wa s . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • July 19, 2024

Rais Ruto ateua mawaziri wapya 11, siku nane baada ya kufuta karibu serikali yake yote

Nchini Kenya, rais William Ruto ameteua mawaziri wapya 11 siku ya Ijumaa Julai 19, 2024 jijini Nairobi. Tangazo ambalo linajiri siku 8 baada ya William Ruto kuvunja karibu baraza lake lote la mawaziri . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • July 18, 2024

Polisi wa Kenya wapiga marufuku maandamano ya kuipinga serikali

Polisi wa Kenya Jumatano walisema “hakuna maandamano yatakayoruhusiwa” Katikati mwa mji mkuu, Nairobi, kufuatia maandamano ya kuipinga serikali, yaliyosababisha vifo.Nchi hiyo imekumbwa na maandam . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 18, 2024

Vita nchini Sudan: Pande hasimu zakutana Geneva kuzungumzia mgogoro wa kibinadamu

Mgogoro nchini Sudan ndio mzozo mbaya zaidi wa kibinadamu duniani, unasema Umoja wa Mataifa, huku zaidi ya Wasudan milioni 13 wakiwa wamehama au kuwa wakimbizi. Majadiliano yasiyo ya moja kwa moja yal . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 17, 2024

Ashikiliwa kwa kutengeneza, kusambaza Dawa feki za kulevya

Mtu mmoja mkazi wa jiji la Dar es Salaam, Shaban Adam (54), anashikiliwa na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini – DCEA, akituhumiwa kutengeneza dawa za kulevya.Adam alikamatw . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 17, 2024

Shikika la KidsRight: Haki za watoto zazidi kukiukwa duniani

Shirika la Kimataifa la kutetea haki za watoto la KidsRights limesema haki za watoto zinazidi kumomonyoka kutokana kuongezeka ka migogoro ya silaha duniani kote, ikiwa ni pamoja na vita vya Gaza, Suda . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 17, 2024

Dkt. Samia" wajifunze muda wao bado "

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa, Dokta Samia Suluhu Hassan amewataka wana CCM kuwaacha wengine waendelee kujifunza, kwani muda wao wa kuendesha dola . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • July 17, 2024

Kundi la pili la maafisa wa polisi 200 wa Kenya lawasili Haiti

Kikosi cha pili cha maafisa wa polisi 200 kutoka Kenya kiliwasili nchini Haiti Jumanne kuimarisha ujumbe unaoungwa mkono na Umoja wa Mataifa ambao unaongozwa na taifa hilo la Afrika Mashariki kupamban . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • July 16, 2024

Burundi: Mwili wa rais wa zamani Pierre Buyoya warejeshwa nyumbani

Mwili wa rais wa zamani wa Burundi Pierre Buyoya, aliyefariki kutokana na UVIKO-19 mnamo mwezi Desemba 2020 huko Paris, ambako alikuwa amewasili tu kwa matibabu, na kuzikwa awali huko Bamako nchini Ma . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • July 16, 2024

Wabunge wa Gambia waidhinisha marufuku ya ukeketaji wa wanawake

Wabunge wa Gambia Jumatatu waliidhinisha marufuku ya mwaka 2015 dhidi ya ukeketaji licha ya shinikizo kutoka watu wenye mila za kidini katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi, wakitupilia mbali mswada hu . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • July 15, 2024

Rais ataja shirika analodai linafadhili maandamano ya Gen Z

RAIS William Ruto amekemea wakfu wa Ford Foundation akiihusisha na vurugu zilizoshuhudiwa nchini wakati wa maandamano yaliyopinga Mswada wa Fedha wa 2024 na jinsi utawala wa Kenya Kwanza unaendesha se . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 15, 2024

Bustani ya Mnazi mmoja kuwa chachu ya Utalii

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi amewataka Wananchi kutunza mazingira na kuweka haiba ya mji kuwa safi.Dkt. Mwinyi ameyasema hayo hii leo leo Julai 15, 20 . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • July 15, 2024

Hamas yasema mazungumzo ya kusitisha vita yanaendelea

Kundi la wanamgambo wa Kipalestina katika Ukanda wa Gaza la Hamas, limesema mazungumzo kuhusu usitishaji mapigano yanaendelea na Kamanda wake wa kijeshi Mohammed Deif yuko katika hali nzuri kiafya.Taa . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • July 15, 2024

Rais Joe Biden awaomba Wamarekani kupunguza uhasama wa kisiasa baada ya jaribio la mauaji dhidi ya Trump

Rais wa Marekani Joe Biden Jumapili amehutubia taifa akiwa katika ofisi yake ya White House akiwataka Wamarekani kupunguza uhasama wa kisiasa na kukumbuka kuwa wote ni majirani baada ya jaribio la mau . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 14, 2024

Afisa mkuu wa Hamas atangaza kusitisha mazungumzo ya kusitisha mapigano Gaza

Afisa wa ngazi ya juu kutoka Hamas, kundi la wanamgambo wa Kiislamu linalochukuliwa kuwa ni kundi la kigaidi na Umoja wa Ulaya, amezungumza Leo siku ya Jumapili kuhusu uamuzi wa kundi hilo la kusitish . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 14, 2024

Walinzi wa Trump walivyomuua aliyemjeruhi Trump

Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump amejeruhiwa usiku wa kuamkia leo Julai 14, 2024 wakati akihutubia mkutano wa hadhara mjini Butler, Pennsylvania.Trump, ambaye ni mgombea urais mtarajiwa kwa tik . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 5, 2024

Vituo vya kupigia kura vimefunguliwa kwa awamu ya pili ya uchaguzi wa urais

Wapiga kura milioni 60 wameitwa kupiga kura. Raia wa Iran watachagua kati ya mwanamageuzi Massoud Pezeshkian na Saïd Jalili ambaye ni mhafidhina mwenye msimamo mkali. Katika duru ya kwanza, kiwango c . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 5, 2024

Rais wa zamani wa Brazil afunguliwa mashtaka ya utakatishaji wa fedha

Polisi wa serikali kuu ya Brazil wamemfungulia mashtaka Rais wa zamani Jair Bolsonaro kwa utakatishaji wa fedha na ushirika wa uhalifu kuhusiana na almasi ambazo hazikutangazwa.Kiongozi huyo wa mrengo . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 3, 2024

Rais wa Sierra Leone asaini sheria inayopiga marufuku ndoa za utotoni

Rais wa Sierra Leone Julius Maada Bio Jumanne alitia saini sheria inayopiga marufuku ndoa za utotoni katika nchi ambako maelfu ya wasichana wanaolewa kabla ya kufikisha miaka 18.“Wanawake wetu wamep . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 3, 2024

Tanzania kuuza Mahindi tani 650,000 Zambia

Tanzania inauza mahindi tani 650,000 nchini Zambia ikiwa ni utekelezaji wa makubaliano yaliyofikiwa kufuatia mazungumzo kati ya Rais Samia Suluhu na Rais wa Zambia, Hakainde Hichilema Aprili 26, 2024 . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 3, 2024

Dkt. Ashatu Kijaji Ateuliwa Kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais

Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Dkt. Ashatu Kachwamba Kijaji kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) akichukua nafasi ya Dkt. Selemani Jafo ambaye amet . . .

Kurasa 46 ya 130

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Miaka kumi ya Jembefm

    • 13 masaa yaliopita
  • Madhara ya kichokonoo kwenye meno

    • 14 masaa yaliopita
  • Chaguzi za UDA kupima nguvu zake Mlima Kenya

    • 14 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode