logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
ukraine
  • Na Asha Business
  • June 14, 2022

Zelensky ataka nguvu ya Ujerumani katika vita vyake na Ukraine

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky ametoa wito kwa Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz kuchukua msimamo ulio wazi zaidi katika mzozo wa taifa lake na Urusi.Akizungumza na kituo cha televisheni cha Uj . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • June 14, 2022

Mahakama ya Senegal imemuhukumu kiongozi wa waasi kifungo cha maisha jela kwa mauaji

Mahakama nchini Senegal Jumatatu ilimhukumu kiongozi mtoro wa waasi na wanaume wengine wawili kifungo cha maisha jela kwa mauaji pamoja na uasi wa kutumia silaha kutokana na mauaji yaliyogharimu . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • June 14, 2022

Raia takribani 100 wameuawa kaskazini mwa Burkina Faso

Watu wenye silaha waliwaua takribani raia 100 katika wilaya ya mashambani kaskazini mwa Burkina Faso karibu na mpaka na Niger mwishoni mwa wiki chanzo cha usalama kilisema. Washambuliaji waliw . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • June 13, 2022

Watu kadhaa wauawa na maelfu kuyahama makazi yao kufuatia shambulio

Nchini Burkina Faso, watu wenye silaha waliwashambulia wakazi wa eneo la Seytenga, karibu na mpaka na Niger usiku wa Jumamosi Juni 11 kuamkia Jumapili Juni 12, shambulio amba . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • June 13, 2022

DRC inaishutumu Rwanda kuwasaidia waasi wa M23 katika mashambulizi ya Bunagana

Mamlaka katika eneo la mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) ilisema wanajeshi wa Rwanda wakiwa na silaha walisaidia mashambulizi yanayofanywa na kundi la waasi wa M23 siku ya Juma . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • June 13, 2022

Vikosi vya Russia vimeshambulia kiwanda cha kemikali kilichopo Ukraine

Vikosi vya Russia vilishambulia kwa mabomu kiwanda cha kemikali kinachohifadhi mamia ya wanajeshi na raia katika mji wa Sievierodonetsk huko mashariki mwa Ukraine siku ya Jumapili lakini gavana . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • June 13, 2022

Baada ya Panya Road Dar, Panya Kalowa waibuka Dodoma

Mbunge wa Viti Maalum, Fatuma Toufiq ameibua sakata la kikundi cha uhalifu maarufu Panya Kalowa ambacho amesema kinawasumbua wananchi wa Kata ya Dodoma Makulu jijini Dodoma. Toufiq ametoa kau . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • June 12, 2022

Mwili wa padre waokotwa Mbeya

Mwili wa padre wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mbeya wa Shiriki wa Wasionari wa Afrika (White Father), Michael Samson umeokotwa jijini Mbeya.Mwili huo umeokota katika mto Meta meaneo ya Sabasaba j . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 12, 2022

Kiongozi wa upinzani nchini Venezuela Guaido ashambuliwa

Kiongozi wa upinzani nchini Venezuela aliyejitangaza kuwa rais wa mpito Juan Guaido, ameshambuliwa kimwili hapo jana.Video zilizochapishwa katika mitandao ya kijamii na tovuti ya kituo cha habari . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • June 10, 2022

Ukraine yasema imeyapiga maeneo ya wanajeshi wa Urusi mkoani Kherson

Ukraine imesema leo kuwa imeyapiga maeneo ya jeshi la Urusi katika mkoa wa kusini wa Kherson ambako jeshi la Kyiv linapambana kulikomboa eneo lililokamatwa na wanajeshi wa Moscow katika siku za mw . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • June 10, 2022

Watu 7 wauawa katika shambulio dhidi ya kambi ya wakimbizi wa ndani mashariki mwa DRC

Watu 7 waliuawa katika shambulio kwenye kambi ya waliyohama makazi yao katika eneo la mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo lenye ukosefu wa usalama, polisi wamesema Alhamisi †. . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • June 10, 2022

Watu 19 wafa ajali ya basi Mafinga

Watu 19 wamefariki dunia baada ya basi dogo aina ya Costa kugongana kugonga lori lililokuwa limeharibika karibu na eneo la Changarawe, Mafinga mkiani Iringa.Akizungumza i leo Ijumaa Juni 10, 202 . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • June 9, 2022

Hatima ya Donbass iko kwenye jiji la Sievierodonetsk, kulingana na Zelensky

Katika siku ya 106 ya uvamizi wa Urusi nchini Ukraine, Alhamisi Juni 9, fuata moja kwa moja taarifa za hivi punde kuhusu mzozo huo. . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • June 9, 2022

mwanamke wa India amtusi Mtume Muhammad

India inakabiliwa na shinikizo la kidiplomasia kuhusu matamshi yenye utata yaliyotolewa na afisa w angazi ya juu wa chama tawala cha nchi hiyo - Bharatiya Janata Party (BJP) ambaye alimtusi Mtu . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • June 9, 2022

Miili yapatikana mjini Mariupol, huku hofu juu ya mzozo wa chakula ikiongezeka

Mamlaka nchini Ukraine imesema wafanyikazi wamepata miili zaidi ya watu kutoka vifusi vya majengo yaliyoharibiwa kwa vita mjini Mariupol, wakati kukiwa na wasiwasi wa kuongezeka kwa mzozo wa chaku . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • June 9, 2022

Wagambia waomba rais wa zamani Jammeh arudishwe nchini

Makundi ya waathirika nchini Gambia Jumatano yameitaka serikali kuchukua hatua madhubuti kumrudisha rais wa zamani Yahya Jammeh wiki mbili baada ya serikali hiyo kuahidi kumfungulia mashtaka kwa . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • June 9, 2022

Wanandoa wafariki baada ya kurudiana

MTU na mkewe waliokuwa wametengana kwa miezi mitatu walifariki saa chache baada ya kurudiana pikipiki walimosafiria ilipogongana na lori kwenye msafara wa kampeni kaunti ya Meru. Jackson Mawira a . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • June 8, 2022

MWALIMU WA BIOLOJIA AKIRI KUTOA MAFUNZO YA UGAIDI

Mwanamke Mmarekani amekiri kuongoza batalioni ya wanawake pekee ya wanawake wa kile kinachoitwa kikundi cha Islamic State nchini Syria, pamoja kupanga njama za mashambulizi katika ardhi ya Marekani . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • June 8, 2022

nchi nne za Afrika magharibi zinasema zimewaua wanamgambo wa kiislamu 805

Kikosi cha kimataifa kinachojumuisha wanajeshi kutoka Nigeria, Niger, Cameroon na Chad Jumanne kimesema kiliua zaidi ya wanamgambo wa kiislamu 800 katika kipindi cha miezi miwili katika eneo len . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • June 8, 2022

Russia yakabidhi kwa Kyiv maiti 210 za wapiganaji wa Ukraine

Russia imekabidhi kwa Kyiv maiti 210 za wapiganaji wa Ukraine, ambao wengi wao walifariki wakiulinda mji wa Mariupol usitekwe na wanajeshi wa Russia katika mapigano makali yaliyofanyika kwenye k . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 7, 2022

Mvutano kati ya China na Canada waongezeka juu ya doria za anga Korea Kaskazini

Mvutano wa kidiplomasia kati ya China na Canada unaongezeka tena, wakati kila mmoja akimshtumu mwenzake kwa uchochezi kwa kutumia ndege zao za kijeshi zinazoruka karibu na Korea Kaskazini. Mapema . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • June 7, 2022

Msako wa kuwatafuta waliofanya shambulizi kanisani Nigeria unaendelea

Mamlaka na mashahidi wamesema shambulio katika kanisa katoliki magharibi mwa Nigeria limeonyesha kila dalili kwamba lilikuwa ni tukio la kupangwa. Licha ya washambuliaji hao kutotambulika, wataala . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • June 7, 2022

Wanajeshi wawili wauawa na waasi wa M23

Wanajeshi wawili wa DRC wameuawa Jumatatu katika mapigano dhidi ya waasi wa M23 huko mashariki mwa nchi, jeshi la DRC limesema. Ni ghasia za hivi karibuni katika mzozo huo wa muda mrefu a . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • June 7, 2022

Mwanamume Aaga Dunia Akifanya Mazoezi Kwenye Gym

Mwanamume mmoja alizirai na kuaga dunia akifanya mazoezi katika ukumbi wa mazoezi maarufu kama gym kwenye barabara ya Koinange jijini Nairobi.Mwanamume huyo mwenye umri wa miaka 51 na kukimbizwa kwa h . . .

Kurasa 42 ya 56

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Habari
news
  • 47 dakika zilizopita

Askofu Bagonza aonya dhidi ya ‘sumu’ zinazokwamisha maridhiano

Habari
news
  • 53 dakika zilizopita

Polisi Babati wachunguza kifo cha mwanaume kijiji cha Mapea

Habari
news
  • 60 dakika zilizopita

RC Mara aagiza kurejeshwa jengo la WAMACU Tarime na Rorya

Makala
news
  • saa moja lililopita

Hii hapa top 10 ya Magari Yaliyonunuliwa Zaidi Tanzania Mwaka 2025

Makala
news
  • saa moja lililopita

Faida za Maji ya Nazi kwa Wagonjwa wa Gauti Unazopaswa Kujua

Habari
news
  • saa moja lililopita

Marekani yaifuatilia meli nyingine ya mafuta Venezuela

Habari
news
  • saa moja lililopita

Wayahudi watakiwa kuhamia Israel kuepuka chuki

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Askofu Bagonza aonya dhidi ya ‘sumu’ zinazokwamisha maridhiano

    • 47 dakika zilizopita
  • Polisi Babati wachunguza kifo cha mwanaume kijiji cha Mapea

    • 53 dakika zilizopita
  • RC Mara aagiza kurejeshwa jengo la WAMACU Tarime na Rorya

    • 60 dakika zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode