logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 5, 2022

Mlipuko Bangladesh waua 34 na kujeruhi mamia ya watu

Moto na mlipuko mkubwa umesababisha vifo vya takriban watu 34 baada ya vifo viwili kuongezeka na mamia ya wengine kujeruhiwa kwenye ghala moja lililoko karibu na mji wa Chittagong, Bangladesh.Ma . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • June 5, 2022

Ukraine yasema vita viko katika awamu nyingine, vinaweza kudumu hadi miezi sita

Mshauri wa rais wa Ukraine Mykhailo Podoliak amesema mbinu za Urusi zimebadilika katika vita nchini humo na kuashiria kile alichokiita awamu mpya katika vita hivyo. Afisa huyo wa Ukarine alikisia . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 5, 2022

Korea Kaskazini yafyetua kombora la masafa marefu Mashariki mwa Pwani ya Korea Kusini

Jeshi la Korea Kusini limesema leo kuwa Korea Kaskazini imefyetua kombora la masafa marefu kwenye bahari Mashariki mwa Pwani yake hili likiwa tukio la hivi karibuni zaidi katika mfululizo wa majar . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • June 3, 2022

MWANAFUNZI AINGIA NA BOMU LA MACHOZI DARASANI

Polisi eneo la Changamwe katika Kaunti ya Mombasa wanachunguza kisa ambapo mwanafunzi mmoja wa kidato cha nne aliingia shuleni na kitoa machozi.Kwa mujibu wa Naibu Kaunti Kamishna wa Changamwe Michael . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • June 3, 2022

Aliyekuwa mshauri wa masuala ya usalama wa rais Thisekedi kufikishwa Mahakamani

Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, aliyekuwa mshauri wa rais Felix Tshisekedi kuhusu masuala ya usalama François Beya, atafikishwa katika Mahakama ya kijeshi siku ya I . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • June 3, 2022

Meya awataka wananchi kuondoka Sloviansk

Meya wa mji wa Sloviansk, Vadym Liakh amewataka wakaazi wa eneo hilo kuondoka, kutokana na kuongezeka kwa mashambulizi ya vikosi vya jeshi la Urusi. Liakh amesema mashambulizi ya jana ya Urusi, ya . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 3, 2022

Rais Biden amelihutubia taifa akiliomba bunge kuidhinisha sheria kudhibiti vifo vya bunduki

Rais wa Marekani Joe Biden ametoa hotuba huko White House alhamis usiku kwa kulitaka bunge kuidhinisha sheria za kawaida ili kujaribu kuzuia matukio ya hivi karibuni ya vifo vinavyotokana na ufy . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • June 3, 2022

Uvamizi wa Urusi nchini Ukraine watimiza siku 100

Imetimia siku 100 tangu Urusi ilipoivamia Ukraine, Februari 24,  wakati huu mashambulio yakiendelea katika jimbo la Donbas kwa lengo la kuteka eneo lote la Masharik . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • June 2, 2022

Kansela Scholz atetea msimamo wa Ujerumani juu ya kupeleka silaha Ukraine

Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz ametetea mchango wa nchi yake katika kuipelekea silaha Ukraine na ameahidi kupeleka silaha zaidi pamoja na mfumo wa kisasa wa ulinzi wa anga. Katika hotuba aliyoto . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • June 2, 2022

Mkuu wa zamani wa kijasusi Afrika kusini awasilisha mashtaka dhidi ya Rais Ramaphosa

Mkuu wa zamani wa kijasusi nchini Afrika kusini Arthur Fraser alisema Jumatano kwamba aliwasilisha malalamiko ya kisheria dhidi ya Rais wa Afrika kusini Cyril Ramaphosa akimtuhumu kuteka nyara n . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • June 2, 2022

Mwanajeshi wa Umoja wa mataifa auawa nchini Mali.

Mwanajeshi mmoja mlinda amani wa Umoja wa mataifa ameuawa na wengine watatu kujeruhiwa Jumatano katika shambulio la kigaidi dhidi ya msafara wao katika jimbo la Kidal, kaskazini mwa Mali, tume y . . .

Bungeni
  • Na Asha Business
  • June 2, 2022

Bunge laahirishwa sababu Makamba na naibu wake kutokuwepo bungeni.

Mwenyekiti wa Bunge, David Kihenzile leo Alhamisi Juni 2, 2022 ameahirisha shughuli za bunge kwa muda wa dakika 30 kwa sababu Waziri wa Nishati, January Makamba na naibu wake, Stephen Byabato hawa . . .

Bungeni
  • Na Asha Business
  • June 2, 2022

Wabunge wanawake wamshukia Mwenisongole.

Mbunge wa Mbozi, George Mwenisongole ameingia katika mgogoro na wabunge wanawake kutokana na lugha aliyoitumia kutafsiriwa kuwa ilikuwa ya kuudhi.Mbunge huyo amelazimika kufuta kauli yake aliyosem . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • June 1, 2022

Ajinyonga baada ya kujifungua mtoto mlemavu

Mwanamke mmoja mkazi wa Njombe, amejinyonga baaada ya kujifungua mtoto mwenye ulemavu, ambapo Kamanda wa Polisi mkoani humo Khamis Issah, akawasihi wanawake kuwa na huruma na watoto na kuhoji kama . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • June 1, 2022

Ujerumani na Marekani kutuma silaha za kisasa Ukraine

Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz amesema nchi yake itapeleka Ukraine makombora ya kisasa ya kuzuia mashambulizi ya kutokea angani pamoja na mifumo ya radar. Hii ni baada ya Ujerumani kukosolewa kw . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • June 1, 2022

Mafuriko yasababisha vifo vya watu 106.

Idadi ya waliokufa kutokana na mafuriko makubwa na maporomoko ya udongo yaliyosababishwa na mvua za masika nchini Brazil imepanda na kufikia watu 106 huku vikosi vya uokoaji vikiendelea kuwatafuta . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • June 1, 2022

Kundi la Islamic State limedai kuhusika na shambulizi la DRC lililouwa watu 15

Islamic State siku ya Jumanne lilidai kuhusika na shambulizi lililoua takribani raia 15 katika kijiji kimoja kaskazini-mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo siku ya Jumapili. Kundi hilo . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • June 1, 2022

DRC imekubali kuwaachia wanajeshi wawili inaowashikilia wa nchini Rwanda

Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo (DRC) imekubali kuwaachilia wanajeshi wawili wa Rwanda walioshikiliwa na DRC huku mivutano ikiongezeka kati ya majirani hao wawili, Rais wa Angola Joao Lourenco a . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • May 31, 2022

Mamia ya watu wameandamana DRC dhidi ya Rwanda kuliunga mkono kundi la M23

Mamia ya watu waliandamana dhidi ya Rwanda siku ya Jumatatu katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, Kinshasa kuhusu shutuma kuwa Kigali inaliunga mkono kundi la waasi la M23 huku miv . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • May 31, 2022

Ufaransa yaomba uchunguzi kuhusu mauaji ya mwanahabari wa nchi hiyo nchini Ukraine

Ufaransa Jumatatu imeomba uchunguzi ufanyike baada ya mwandishi wa habari wa Ufaransa kuuawa nchini Ukraine wakati gari alilokuwa akisafiria, ambalo lilikuwa linatumiwa kuwahamisha raia karibu n . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • May 31, 2022

Vifo vya raia na unyanyasaji wa haki za binadamu vinaongezeka nchini Mali

Vifo vya raia na manyanyaso ya haki za binadamu yanayofanywa na wanajeshi wa Mali yaliongezeka katika robo ya kwanza ya mwaka 2022 ripoti ya Umoja wa Mataifa ilisema Jumatatu lakini Bamako ilitu . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 31, 2022

Hukumu ya Sabaya yaahirishwa hadi Juni 10

Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imeahirisha hukumu ya kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake sita kutokana na Hakimu kuwa na majukumu men . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • May 30, 2022

KIJANA AFARIKI AKIWA KWENYE CLUB.

MCHUANO wa fainali za kombe la mabingwa wa UEFA, uligeuka kuwa simanzi kwa familia moja Kaunti ya Kilifi. Hii ni baada ya jamaa wao kuuawa kilabuni alikoenda kutazama mechi hiyo kati ya Liverpool n . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • May 30, 2022

Senegal imewazika watoto wachanga 11 waliokufa kwa ajali ya moto hospitalini

Senegal hapo Jumapili ilifanya mazishi ya watoto 11 ambao walikufa kutokana na moto uliowaka kwenye jengo la hospitali, Meya wa eneo hilo alisema baada ya mkasa huo kuibua hasira mpya juu ya hali . . .

Kurasa 43 ya 56

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Habari
news
  • saa moja lililopita

Rwanda Yafunga Zaidi ya Makanisa 10,000 ya Kiinjili kwa Ukiukwaji wa Sheria

Habari
news
  • 2 masaa yaliopita

Askofu Bagonza aonya dhidi ya ‘sumu’ zinazokwamisha maridhiano

Habari
news
  • 2 masaa yaliopita

Polisi Babati wachunguza kifo cha mwanaume kijiji cha Mapea

Habari
news
  • 2 masaa yaliopita

RC Mara aagiza kurejeshwa jengo la WAMACU Tarime na Rorya

Makala
news
  • 3 masaa yaliopita

Hii hapa top 10 ya Magari Yaliyonunuliwa Zaidi Tanzania Mwaka 2025

Makala
news
  • 3 masaa yaliopita

Faida za Maji ya Nazi kwa Wagonjwa wa Gauti Unazopaswa Kujua

Habari
news
  • 3 masaa yaliopita

Marekani yaifuatilia meli nyingine ya mafuta Venezuela

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Rwanda Yafunga Zaidi ya Makanisa 10,000 ya Kiinjili kwa Ukiukwaji wa Sheria

    • saa moja lililopita
  • Askofu Bagonza aonya dhidi ya ‘sumu’ zinazokwamisha maridhiano

    • 2 masaa yaliopita
  • Polisi Babati wachunguza kifo cha mwanaume kijiji cha Mapea

    • 2 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode