logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Michezo

  • Pata Habari za Michezo Kwa Undani
news
Riadha
  • Na Jembe Digital
  • September 23, 2025

SIMBU AMBAYE NI BINGWA WA MBIO ZA DUNIA AWASILI NCHINI

Katibu Mtendaji wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT) Bi. Neema Msitha, ameongoza mapokezi ya Mwanariadha Sajini Alphonce Simbu ambaye ni Bingwa wa mbio za Dunia kwa Wanau . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • September 23, 2025

Ousmane Dembélé na Aitana Bonmati washinda tuzo ya Ballon d'Or

Mshambulizi wa Paris Saint-Germain, raia wa Ufaransa, Ousmane Dembele, ameshinda tuzo ya Ballon d'Or 2025 usiku wa Jumatatu, akimshinda Lamine Yamal wa Barcelona (Mchezaj . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • September 22, 2025

Waziri Aweso awapa heko timu Maji kwa ushindi wa Michezo SHIMIWI

Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb) ameipongeza timu ya michezo ya Wizara ya Maji (Maji Sport) kwa ushindi walioupata katika Mashindano ya Shirikisho la Michezo la Wizar . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • September 22, 2025

Chelsea inamtaka kipa wa AC Milan Mike Maignan

Klabu ya Chelsea imefufua tena azma ya kumsajili kipa wa Ufaransa na AC Milan Mike Maignan, 30, na huenda ikamjumuisha kwenye orodha ya uhamisho katika dirisha lijalo la . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • September 19, 2025

Yanga Sc leo kibarua wanacho dhidi ya Wiliete FC

Kipyenga cha mashindano ya ngazi ya klabu barani Afrika kimepulizwa wiki hii na leo ni zamu ya mabingwa wa Tanzania Bara, Yanga, ambao watashuka dimbani kuanza safari yao . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • September 18, 2025

Kikosi cha Simba Chatua Botswana kwa Mtanange wa CAFCL

Kikosi cha Mnyama wa Afrika Mashariki, Simba SC, kimewasili nchini Botswana kwaajili ya mchezo wa hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League) dhidi y . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • September 16, 2025

Hawa Hapa Mapilato Yanga Vs Simba leo Uwanja wa Mkapa, Kayoko Kwenye Orodha

JOTO la Kariakoo Dabi linazidi kupanda kwa kasi ambapo watani hawa wa jadi wanatarajiwa kukutana Uwanja wa Mkapa, leo Septemba 16 2025 katika mchezo wa fainali.Ofisa Haba . . .

news
Kikapu
  • Na Jembe Digital
  • September 15, 2025

TFF Yatangaza Viingilio Ngao ya Jamii Simba vs Yanga

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetangaza viingilio vya mchezo wa Ngao ya Jamii utakaowakutanisha mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga SC, dhidi ya watani wao wa . . .

news
Riadha
  • Na Jembe Digital
  • September 15, 2025

Simbu Aandika Dhahabu ya Kwanza: Tanzania na kuingia Kwenye kwenye Historia ya Dunia

Kwa miaka mingi, Tanzania imekuwa ikikumbukwa kupitia mashujaa wake wa riadha kama Filbert Bayi, aliyewahi kuvunja rekodi ya dunia na kushinda medali ya fedha Olimpiki, n . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • September 15, 2025

Folz Awaahidi Mashabiki Raha Kesho, Kapombe Atoa Onyo

Ikiwa kesho macho yote yataelekezwa kwenye Uwanja wa Taifa, ambapo watani wa jadi Simba SC na Young Africans SC watakutana katika Ngao ya Jamii, mchezo unaozindua msimu m . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • September 12, 2025

Je wajiandaaje na siku ya mwananchi leo

Mwananchi day ni tamasha la vibe duniani ndani ya uwanja wa Mkapa leo ni vibe kama lote, na tayali mashabiki wa Yanga SC washaanza kuingia uwanjani kwaajili ya kuifurahia . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • September 12, 2025

UEFA kuboresha kanuni za usajili kwa timu zinazoshiriki Ligi ya Mabingwa Ulaya

Umoja wa Vyama vya Mpira wa Miguu Ulaya (UEFA) umelainisha kanuni yake ya usajili kwa timu zinazoshiriki Ligi ya Mabingwa Ulaya, uamuzi ambao unaweza kupokelewa kwa hisia . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • September 12, 2025

Fainali Ligi ya Mabingwa Ulaya 2025/2026 itachezwa uwanja wa Puskas Arena

Kamati ya Utendaji ya Umoja wa Vyama vya Mpira wa Miguu Ulaya (UEFA) imeamua Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu wa 2025/2026 itachezwa katika Uwanja wa Puskas Arena, . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • September 11, 2025

Fadlu Davids apongeza kiwango cha wachezaji wake

Kocha Mkuu wa Simba Fadlu Davids amepongeza kiwango cha wachezaji wake baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Gor Mahia katika tamasha la 17 la Simba Day lilil . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • September 10, 2025

Hii hapa orodha ya Wafungaji Bora wa Mataifa Mbalimbali Afrika

Safari ya mafanikio huanza kwa kuituma kwa kile ambacho unakifanya kwenye maisha yako ya kila siku. Hapa Afrika kuna wachezaji wengi ambao wamefanya mengi na hata kushiki . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • September 5, 2025

MO Dewji Ajiondoa Uenyekiti Simba, na kumteua Crescentius Magori

Mwaka mmoja tangu kuteuliwa kuongoza Bodi ya Wakurugenzi ya Simba SC, bilionea na mwekezaji wa klabu hiyo, Mohammed Dewji (MO), ametangaza kujiondoa katika nafasi hiyo na . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • September 4, 2025

Simba Yamtambulisha Rasmi mchezaji mpya Kutoka JKT

Klabu ya Simba imeendelea kuimarisha kikosi chake kuelekea msimu mpya wa Ligi Kuu ya NBC na michuano ya kimataifa kwa kutambulisha rasmi usajili wa beki wa kati Wilson Na . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • September 3, 2025

Serikali yatoa tamko Simba na Yanga kutafuta Viwanja Mbadala vya Michezo

Serikali imetoa wito kwa klabu kongwe za Simba SC na Yanga SC, ambazo kwa sasa hutumia Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam, kuhakikisha zinakuwa na viwanja mbad . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • September 1, 2025

Bayer Leverkusen Yamfuta kazi Erik ten Hag Baada ya Mechi Mbili

Kocha wa zamani wa Manchester United, Erik ten Hag, ameondolewa rasmi katika benchi la ufundi la klabu ya Ujerumani Bayer Leverkusen baada ya kusimama katika michezo miwi . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • August 29, 2025

Khalid Aucho Aungana Tena na Kocha Gamondi Singida Black Stars,

KHALID Aucho kiungo wa zamani wa Yanga SC inatajwa kuwa amefikia makubaliano mazuri na Singida Black kuelekea msimu wa 2025/26.Kiungo huyo ni moja ya wachezaji waliowahi . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • August 28, 2025

Yanga yaboresha mkataba wa Mzize baada ya msimu wa mabao 14

Mshambuliaji Clement Mzize wa Yanga SC ameboreshewa mkataba wake ambapo mshahara wake inatajwa itakuwa ni milioni 40 kwa mwezi akiwa mchezaji mzawa namba mbili kukunja ms . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • August 22, 2025

Uwanja wa Nsekela kujenga mshikamano Kerywa

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Hajjat Fatma Mwassa amezindua rasmi uwanja wa kisasa wa mpira wa miguu ujulikanao kama Nsekela Stadium uliojengwa na Abdulmajid Nsekela Mwenyekiti . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • August 20, 2025

Morocco yawasili rasmi Tz kukabiliana na stars CHAN 2024

Kikosi cha wachezaji pamoja na viongozi wa timu ya Taifa ya soka ya Morocco, inayofahamika kama 'Simba wa Milima ya Atlas', kimewasili Dar es Salaam kwa maandalizi ya mch . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • August 20, 2025

Yanga na Simba kukutana Septemba 16 Ngao ya Jamii

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetangaza kuwa mchezo wa Ngao ya Jamii kufungua msimu mpya wa Ligi Kuu Bara 2025/26 utapigwa Septemba 16, 2025 jijinio Dar es Salaam.K . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • August 19, 2025

CHAN kundi D laja na mlinganyo wa point

Kundi D kweye mashindano ya CHAN ambalo linajumuisha nchi za Kongo Brazaville, Sudan kasikazini, Nigeria pamoja na Senegal limekuwa kundi gumu baada ya timu hizo kuwa na . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • August 15, 2025

MGOMBEA URAIS WA SHIRIKISHO LA RIADHA TANZANIA ASISITIZA USIMAMIZI WA KATIBA NA USHIRIKIANO NA WADAU

Mgombea urais wa Shirikisho la Riadha Tanzania, Nsolo Malongo Mlozi, amesema kuwa endapo atachaguliwa kushika wadhifa huo, atahakikisha anasimamia ipasavyo katiba ya shir . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • August 11, 2025

Michuano ya CHAN yazidi kupamba moto katika nchi tatu za Afrika mashariki

Michuano ya CHAN2024 inaendelea katika nchi tatu wenyeji Kenya, Tanzania na Uganda, ambapo hii leo mechi kadhaa zitasakatwa katika kundi C nchini Uganda.Katika kundi C, m . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • August 10, 2025

Kocha Hemed Morocco na Benchi Lake la Ufundi Wanastahili Pongezi Kubwa Sana

Mzee wetu Hemed Morocco na benchi lake la ufundi wanastahili pongezi nyingi sana kwa ambacho wanakifanya kwenye fainali za CHAN 2024! Tusisubiri mambo yaende ndivyo sivyo . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • August 8, 2025

Simba yashika nafasi ya tano vilabu bora barani Afrika

Shirikisho la mpira wa miguu barani Afrika CAF limetoa orodha ya vilabu bora barani Afrika ya mwaka 2025.Klabu ya Simba ya Tanzania imeshika nafasi ya tano katika orodha . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • August 7, 2025

Taifa Stars baada ya ushandi wa jana wapokea kiasi cha Sh milioni 10

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma, ameikabidhi Taifa Stars kiasi cha Sh milioni 10 za goli la mama na kuungwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • August 5, 2025

Mashindano ya Kwanza ya Dunia ya Soka la Roboti Kuandaliwa , Timu 30 Kuonesha Ubora wa AI

Timu 30 kutoka mataifa kama Marekani, Brazil, Ujerumani na Ureno zinajiandaa kwa mashindano ya kwanza ya dunia ya roboti, ambapo roboti hao wenye akili bandia (AI) watash . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • July 31, 2025

Mchezaji wa zamani wa klabu ya Barcelona yang'atwa na mbwa kwenye sehemu zake za siri.

Mchezaji wa zamani wa klabu ya Barcelona inayoshiriki ligi kuu nchini Hispania Carles Perez ,ambaye anakipiga kwenye klabu ya Aris Thessaloniki ya nchini Ugiriki ,amelazw . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 27, 2025

Jonathan Sowah Ajiunga Rasmi na Simba Kutoka Singida Black Stars

Klabu ya Singida Black Stars imethibitisha rasmi kuondoka kwa mshambuliaji wao nyota, Jonathan Sowah, raia wa Ghana, ambaye amejiunga na Simba SC kwa uhamisho wa kudumu.K . . .

Kurasa 2 ya 25

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Mahakama Kuu Kutowa Hukumu Kesi ya Viongozi wa CHADEMA

    • October 29, 2025
  • Juhudi zaidi zahitajika kushughulikia hali mbaya ya kibinadamu

    • October 29, 2025
  • Atakayevuruga amani Ruvuma kukions

    • October 29, 2025

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode