Bunge la Marekani mnamo Novemba 20 limeijadili Nigeria. Wiki tatu zilizopita, Donald Trump aliitaja Nigeria kama nchi "inayotia wasiwasi kuhusu uhuru wa kidini." Ikulu ya White House inadai kwamba jam . . .
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi leo Novemba, 20 mwaka huu amekabidhiwa rasmi ofisi na aliyekuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mheshimiwa Dkt. Doto Mashaka Biteko kwenye ofisi za . . .
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameiagiza Tume Huru ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati wa Uchaguzi Mkuu kuchunguza kwa kina taarifa za madai ya . . .
MWAKA mmoja baada ya Rais William Ruto kuahidi kwamba atamaliza changamoto zinazokabili sekta ya afya, kupunguza gharama ya maisha na kuimarisha uchumi wa nchi, ni ufanisi mdogo ndio umepatikana Waken . . .
Washtakiwa 93 waliokamatwa kwa kesi za uharibifu wa mali, kufanya Vurugu na unyang'anyi wa kutumia silaha Novemba 19 walifikishwa tena katika Mahakama ya Wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza huku upande . . .
Rais wa Marekani Donald Trump ameapa kumaliza vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Sudan. Hii ni kufuatia ombi la mwanamfalme wa Saudi Arabia Mohammed bin Salman.Trump amekemea kile alichokiita "ukatil . . .
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhandisi Hamad Yussuf Masauni amesema Ofisi hiyo imepanga kupanua wigo wa elimu ya Muungano na Mazingira kwa wadau ikiwemo vyombo vya h . . .
Kupitia taarifa ya Jeshi hilo iliyotolewa jana Novemba 19, 2025, chanzo cha kifo hicho kinadaiwa kuwa ni wivu wa Chanzo cha tukio hilo kimetajwa kuwa ni wivu wa kimapenzi.Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita . . .
Ingawa kivutio cha safari yake kitakuwa mkutano wa kilele wa G20 jijini Johannesburg mnamo Novemba 22 na 23, rais wa Ufaransa anakusudia kutumia ziara hii kwa upana zaidi "kufufua" uhusiano kati ya Uf . . .
Zaidi ya wakazi 150 wa Mtaa wa Mbae Mashariki, Kata ya Ufukoni, Manispaa ya Mtwara-Mikindani wamepokea hati miliki za maeneo yao kupitia Kliniki ya Ardhi inayoendeshwa Kata kwa Kata.Kliniki hiyo maalu . . .
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Emmanuel Nchimbi amewasili Jijini Lusaka nchini Zambia Novemba 19 mwaka huu kwaajili ya kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani . . .
Mahakama nchini Gabon imewahukumu wasaidizi tisa wa aliyekuwa Mke wa Rais wa Gabon, Sylvia Bongo, na mwanawe Noureddin Bongo, kifungo cha kati ya miaka miwili hadi kumi na tano jel . . .
Waziri wa Afya Mhe. Mohamed Mchengerwa ameahidi kuimarisha ushirikiano kati ya Wizara ya Afya na Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM TAMISEMI) akisisitiza kuwa dham . . .
Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde amewataka Watumishi wa Wizara ya Madini na Taasisi zake kutambua kwamba maelekezo yaliyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Hassan kuhus . . .
Waziri wa Nishati Mhe. Deogratius Ndejembi amewaagiza Watumishi wa Wizara hiyo kufanya kazi kwa bidii ili kutimiza Vipaumbele vya Serikali katika Sekta ya Nishati ikiwemo kufikia Megawati 8000 ifika . . .
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Samia Suluhu Hassan, ameunda Tume Huru ya kufanya uchunguzi wa matukio ya uvunjifu wa amani yaliyotokea nchini wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika . . .
Bi. Winnie Byanyima, mke wa kiongozi wa upinzani wa Uganda aliyekamatwa Dkt. Kizza Besigye, amemshutumu rais wa nchi hiyo mwenye umri wa miaka 81, Yoweri Museveni, kwa kumtayarisha mwanawe kumrithi.Pi . . .
Ubalozi wa Tanzania nchini Israel kwa kushirikiana na Wizara ya Mambo ya Nje ya Israel ilifanya ibada ya kuuaga mwili wa Mtanzania Joshua Loitu Novemba 18 mwqka huu katika Mnara wa Mashuja . . .
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb) wamepokelewa katika Ofisi za Wizara zilizoko Mji wa Serikali Mtumba baada ya kuapishwa na Rais wa Jamhu . . .
Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema idadi ya wafanyakazi wake itapungua kwa takriban robo zaidi ya ajira 2,000 kufikia katikati ya mwaka ujao.Hayo ni katika wakati likijaribu kutekeleza mageuzi baa . . .
Hatua hii inafuatia makabidhiano yanayoendelea kufanyika kati ya nchi ya Israel na Kundi la Hamas kutoka Palestina.Mwili wa Mtanzania Joshua Mollel, aliyeuawa na kundi la Hamas nchini Israel miaka miw . . .
Wakati Mwanamfalme wa Saudi Arabia Mohammed bin Salman anafanya ziara yake ya kwanza Washington tangu mwaka 2018, yeye na Donald Trump walihojiwa Jumanne, Novemba 18, kuhusu mauaji ya Jamal Khashoggi . . .
Shirika la kimataifa la Human Rights Watch, limechapisha taarifa inayoituhumu kampuni ya mafuta ya Ufaransa, TotalEnergies kuhusika na vitendo vya uhalifu wa kivita kwa kushirikiana na askari wanaotoa . . .
Ujumbe wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania umefika mjini Geneva tayari kuanza Mkutano wa 11 wa Nchi wanachama wa Mkataba wa WHO wa Kudhibiti Tumbaku (WHO FCTC COP11 ), unaofanyika Geneva , Uswiss tar . . .
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo anayesimamia Maendeleo ya Mazao na Usalama wa Chakula, Dkt. Stephen J. Nindi, amesema kuwa Tanzania iko tayari kuimarisha ushirikiano na Burundi katika Sekta ya K . . .
Mkuu wa Polisi Jamii Mkoa wa Njombe Kamishna Msaidizi wa Polisi ACP Assed Mwampamba Novemba 17 mwaka huu ametoa elimu kwa wanafunzi wa muhula wa kwanza ambao wanajiunga katika Chuo cha Mgao Health Tra . . .
Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limeendelea kuunga mkono Mkakati wa Taifa wa Nishati Safi ya Kupikia kwani Watanzania zaidi ya 3000 wameunganishiwa na mifumo ya gesi asilia ambayo ni . . .
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewaagiza viongozi kuhakikisha wanatafuta zaidi fedha za ndani ili kutekeleza miradi ya maendeleo Nchin.Akizungumza Ikulu Chamw . . .
Jukwaa la wadau wa mazingira kanda ya Ziwa Victoria chini ya kauli mbiu isemayo"Sema hapana kwa taka za plastic kuwa sehemu ya suluhisho chukua hatua sasa" limeendelea kuwanufaisha wadau mbalimbali ha . . .
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Albert John Chalamila ametangaza rasmi kuwa huduma ya mwendokasi kwa barabara ya BRT 2 (Mbagala) itaanza kufanya kazi rasmi siku ya tarehe 20/11/2025 siku ya Alhamisi na . . .