logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 21, 2025

Bunge lajadili tuhuma za mateso ya kidini zinazotuhumiwa kutekelezwa na Nigeria

Bunge la Marekani mnamo Novemba 20 limeijadili Nigeria. Wiki tatu zilizopita, Donald Trump aliitaja Nigeria kama nchi "inayotia wasiwasi kuhusu uhuru wa kidini." Ikulu ya White House inadai kwamba jam . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • November 20, 2025

Waziri Ndejembi akabidhiwa rasmi ofisi na aliyekuwa Naibu Waziri Mkuu dkt, Doto Biteko

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi leo Novemba, 20 mwaka huu amekabidhiwa rasmi ofisi na aliyekuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mheshimiwa Dkt. Doto Mashaka Biteko kwenye ofisi za . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • November 20, 2025

Rais Samia aagiza kuchunguzwa kwa taarifa za waandamanaji kulipwa fedha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameiagiza Tume Huru ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati wa Uchaguzi Mkuu kuchunguza kwa kina taarifa za madai ya . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • November 20, 2025

Ruto ahutubia taifa Wakenya wakilia hali ngumu ya maisha

MWAKA mmoja baada ya Rais William Ruto kuahidi kwamba atamaliza changamoto zinazokabili sekta ya afya, kupunguza gharama ya maisha na kuimarisha uchumi wa nchi, ni ufanisi mdogo ndio umepatikana Waken . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • November 20, 2025

Washitakiwa 93 wanaodaiwa kufanya vurugu na unyang'anyi wa kutumia silaha waendelea kusota rumande

Washtakiwa 93 waliokamatwa kwa kesi za uharibifu wa mali, kufanya Vurugu na unyang'anyi wa kutumia silaha Novemba 19 walifikishwa tena katika Mahakama ya Wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza huku upande . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • November 20, 2025

Trump aapa kukomesha vita vya wenyewe kwa wenyewe Sudan

Rais wa Marekani Donald Trump ameapa kumaliza vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Sudan. Hii ni kufuatia ombi la mwanamfalme wa Saudi Arabia Mohammed bin Salman.Trump amekemea kile alichokiita "ukatil . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 20, 2025

Masauni " Vyombo vya Habari kusaidia kutoa elimu ya Muungano, Mazingira"

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhandisi Hamad Yussuf Masauni amesema Ofisi hiyo imepanga kupanua wigo wa elimu ya Muungano na Mazingira kwa wadau ikiwemo vyombo vya h . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • November 20, 2025

Wivu wa mapenzi wadaiwa kuwa chanzo kifo cha Maria

Kupitia taarifa ya Jeshi hilo iliyotolewa jana Novemba 19, 2025, chanzo cha kifo hicho kinadaiwa kuwa ni wivu wa Chanzo cha tukio hilo kimetajwa kuwa ni wivu wa kimapenzi.Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 20, 2025

Emmanuel Macron aanza ziara ya siku tano katika bara la Afrika

Ingawa kivutio cha safari yake kitakuwa mkutano wa kilele wa G20 jijini Johannesburg mnamo Novemba 22 na 23, rais wa Ufaransa anakusudia kutumia ziara hii kwa upana zaidi "kufufua" uhusiano kati ya Uf . . .

Kilimo
  • Na Jembe Digital
  • November 20, 2025

Mtwara wakazi 150 wakabidhiwa hati miliki za ardhi

Zaidi ya wakazi 150 wa Mtaa wa Mbae Mashariki, Kata ya Ufukoni, Manispaa ya Mtwara-Mikindani wamepokea hati miliki za maeneo yao kupitia Kliniki ya Ardhi inayoendeshwa Kata kwa Kata.Kliniki hiyo maalu . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • November 20, 2025

Ukarabati wa Reli ya TAZARA Dkt. Nchimbi Aiwakilisha Tanzania Katika Uwekaji Jiwe la Msingi

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Emmanuel Nchimbi amewasili Jijini Lusaka nchini Zambia Novemba 19 mwaka huu kwaajili ya  kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • November 20, 2025

Wasaidizi 9 wa aliyekuwa Mke wa Rais wa Gabon Wahukumiwa Kwa makosa ya utakatishaji fedha za umma

Mahakama nchini Gabon imewahukumu wasaidizi tisa wa aliyekuwa Mke wa Rais wa Gabon, Sylvia Bongo, na mwanawe Noureddin Bongo, kifungo cha kati ya miaka miwili hadi kumi na tano jel . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • November 19, 2025

Mchengerwa aahidi kutoa ushirikiano katika huduma ya afya bora kwa Watanzania

Waziri wa Afya Mhe. Mohamed Mchengerwa ameahidi kuimarisha ushirikiano kati ya Wizara ya Afya na Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM TAMISEMI) akisisitiza kuwa dham . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • November 19, 2025

Wasimamizi wa madini watakiwa kusimamia vyema rasilimali hiyo kwa maendeleo ya nchi

Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde amewataka Watumishi wa Wizara ya Madini na Taasisi zake kutambua kwamba maelekezo yaliyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Hassan kuhus . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • November 19, 2025

Mhe, Ndejembi asisitiza utekelezaji wa Vipaumbele vya Serikali kufikia 2030

Waziri wa Nishati Mhe. Deogratius Ndejembi amewaagiza Watumishi wa Wizara hiyo kufanya kazi kwa bidii ili kutimiza Vipaumbele vya Serikali katika Sekta ya Nishati ikiwemo kufikia Megawati 8000 ifika . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 19, 2025

Rais Samia aunda Tume huru ya kuchunguza matukio ya Oktoba 29

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Samia Suluhu Hassan, ameunda Tume Huru ya kufanya uchunguzi wa matukio ya uvunjifu wa amani yaliyotokea nchini wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • November 19, 2025

Mke wa Besyige amshutumu Rais Museveni kumuandaa mtoto wake kumrithi

Bi. Winnie Byanyima, mke wa kiongozi wa upinzani wa Uganda aliyekamatwa Dkt. Kizza Besigye, amemshutumu rais wa nchi hiyo mwenye umri wa miaka 81, Yoweri Museveni, kwa kumtayarisha mwanawe kumrithi.Pi . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • November 19, 2025

Mwili wa Mtanzania Joshua Mollel waagwa nchini Israel

Ubalozi wa Tanzania nchini Israel kwa kushirikiana na Wizara ya Mambo ya Nje ya Israel ilifanya ibada ya kuuaga mwili wa Mtanzania Joshua Loitu  Novemba  18 mwqka huu katika Mnara wa Mashuja . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • November 19, 2025

Balozi Kombo na manaibu wake wapokelewa Ofisi za Wizara Mtumba

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb) wamepokelewa katika Ofisi za Wizara zilizoko Mji wa Serikali Mtumba baada ya kuapishwa na Rais wa Jamhu . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 19, 2025

WHO kupoteza robo ya wafanyakazi wake ifikapo katikati 2026

Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema idadi ya wafanyakazi wake itapungua kwa takriban robo zaidi ya ajira 2,000 kufikia katikati ya mwaka ujao.Hayo ni katika wakati likijaribu kutekeleza mageuzi baa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 19, 2025

Mwili wa Joshua Mollel kuwasili leo nchini

Hatua hii inafuatia makabidhiano yanayoendelea kufanyika kati ya nchi ya Israel na Kundi la Hamas kutoka Palestina.Mwili wa Mtanzania Joshua Mollel, aliyeuawa na kundi la Hamas nchini Israel miaka miw . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 19, 2025

Trump amtetea Bin Salman kuhusu mauaji ya Khashoggi

Wakati Mwanamfalme wa Saudi Arabia Mohammed bin Salman anafanya ziara yake ya kwanza Washington tangu mwaka 2018, yeye na Donald Trump walihojiwa Jumanne, Novemba 18, kuhusu mauaji ya Jamal Khashoggi . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • November 19, 2025

TotalEnergies yatuhumiwa kuhusika na vitendo vya uhalifu wa kivita Msumbiji

Shirika la kimataifa la Human Rights Watch, limechapisha taarifa inayoituhumu kampuni ya mafuta ya Ufaransa, TotalEnergies kuhusika na vitendo vya uhalifu wa kivita kwa kushirikiana na askari wanaotoa . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • November 18, 2025

Ujumbe wa Tanzania umefika mjini Geneva kuanza Mkutano wa 11 wa Nchi wanachama wa Mkataba wa WHO wa Kudhibiti Tumbaku

Ujumbe wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania umefika mjini Geneva tayari kuanza Mkutano wa 11 wa Nchi wanachama wa Mkataba wa WHO wa Kudhibiti Tumbaku (WHO FCTC COP11 ), unaofanyika Geneva , Uswiss tar . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • November 18, 2025

Tanzania na Burundi kuongeza uzalishaji wa biashara ya nafaka

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo anayesimamia Maendeleo ya Mazao na Usalama wa Chakula, Dkt. Stephen J. Nindi, amesema kuwa Tanzania iko tayari kuimarisha ushirikiano na Burundi katika Sekta ya K . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • November 18, 2025

Wanafunzi wa muhula wa kwanza watakiwa kuwa Wazalendo na nchi yao

Mkuu wa Polisi Jamii Mkoa wa Njombe Kamishna Msaidizi wa Polisi ACP Assed Mwampamba Novemba 17 mwaka huu ametoa elimu kwa wanafunzi wa muhula wa kwanza ambao wanajiunga katika Chuo cha Mgao Health Tra . . .

Teknolojia
  • Na Jembe Digital
  • November 18, 2025

TPDC YAONGEZA KASI YA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA NCHINI

Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limeendelea kuunga mkono Mkakati wa Taifa wa Nishati Safi ya Kupikia kwani Watanzania zaidi ya 3000 wameunganishiwa na mifumo ya gesi asilia ambayo ni . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • November 18, 2025

Viongozi watakiwa kuhakikisha wanatafuta zaidi fedha ili kutekeleza miradi ya maendeleo Nchini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewaagiza viongozi kuhakikisha wanatafuta zaidi fedha za ndani ili kutekeleza miradi ya maendeleo Nchin.Akizungumza Ikulu Chamw . . .

Teknolojia
  • Na Jembe Digital
  • November 18, 2025

Jukwaa la wadau wa mazingira kanda ya Ziwa Victoria watoa elimu matumizi ya taka plastic

Jukwaa la wadau wa mazingira kanda ya Ziwa Victoria chini ya kauli mbiu isemayo"Sema hapana kwa taka za plastic kuwa sehemu ya suluhisho chukua hatua sasa" limeendelea kuwanufaisha wadau mbalimbali ha . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 18, 2025

RC Chalamila atangaza rasmi kurejeshwa hudama ya mwendokasi

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Albert John Chalamila ametangaza rasmi kuwa huduma ya mwendokasi kwa barabara ya BRT 2 (Mbagala) itaanza kufanya kazi rasmi siku ya tarehe 20/11/2025 siku ya Alhamisi na . . .

Kurasa 8 ya 129

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Mbappé Avunja Ukimya wa Miaka 12 Real Madrid, Aifikia Rekodi ya Ronaldo

    • 11 masaa yaliopita
  • SIMBACHAWENE AVIOMBA VYOMBO VYA HABARI KUFANYA UTAFITI JUU YA RUSHWA

    • jana
  • UN yaomba ufadhili wa dharura kuhudumia wakimbizi Burundi

    • 2 siku zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode