logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 21, 2022

NCC WATAKIWA KUANDAA MIONGOZO BORA YA UJENZI

Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhe.Atupele Mwakibete ameitaka Bodi ya Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC), kuandaa Sera, Sheria, Kanuni na miongozo bora itakayosimamia na kuleta maendeleo ya sek . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • October 21, 2022

Zimbabwe Yaibuka ya Kwanza Bara Afrika Kuidhinisha Chanjo ya ukimwi

Zimbabwe imeibuka taifa la kwanza katika bara la Afrika kuidhinisha chanjo ya kuzuia maambukizi ya virusi vya Ukimwi.Zimbabwe itaanza kutoa chanjo hiyo rasmi baada ya kupata idhini ya matumizi yake ku . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • October 20, 2022

Baadhi ya visababishi vya kiungulia

KIUNGULIA humfanya mtu ahisi kana kwamba kuna mwasho kifuani. Chakula tunachokula hupitia kinywani mwetu hadi kwenye mirija inayojulikana kama umio. Kinapitia uwazi ulio kati ya umio na tumbo. Uf . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • October 20, 2022

Wauguzi Wafutiwa leseni

Baraza la Wauguzi na Ukunga Tanzania (TNMC), limewafutia leseni wauguzi wasaidizi wawili wa Hospitali ya Wilaya ya Mkomaindo, Masasi mkoani Mtwara, baada ya kupatikana na hatia ya uzembe uliosaba . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • October 20, 2022

Indonesia yapiga marufuku kwa muda dawa za maji kwa watoto

Indonesia imepiga marufuku kwa muda dawa zote za maji kufuatia vifo vya watoto wapatao 100 kutokana na uharibifu wa figo. Haya yameripotiwa leo na wizara ya afya nchini humo. Wizara hiyo imesema k . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 20, 2022

Marekani yawashtaki raia watano wa Russia 20

Waendesha mashtaka wa Marekani Jumatano waliwashtaki raia watano wa Russia kwa kukwepa vikwazo na mashtaka mengine kwa kusafirisha teknolojia za kijeshi. Teknolojia hizo zilinunuliwa kuto . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • October 19, 2022

ST CLARE HOSPITAL MWANZA WAJA NA SULUHISHO TIBA YA MIONZI KUNUSURU UHAI KWA WANANCHI KANDA YA ZIWA.

"Umegusia suala la Tezi dume hapo, wengi wanaume ukileta mjadala wa changamoto hiyo, fikra zao huelekea kwenye kile kipimo cha kidole ambacho wengi hukikwepa wakisema si rafiki, unatoa rai gani kwa wa . . .

Kilimo
  • Na Asha Business
  • October 19, 2022

WAKULIMA MKOANI ARUSHA WASHAURIWA KUZALISHA VYAKULA VYENYE LISHE BORA

WAKULIMA Mkoa wa Arusha wameshauriwa kufanya uzalishaji wa vyakula wenye lishe bora utakaokidhi afya ya mwananchi baada ya uzalishaji huku wakitakiwa pia kuzalisha chakula cha kutosha kwa ajili ya fam . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 18, 2022

Shirika la WHO lahofia kutofikiwa malengo ya maendeleo ya UN ya 2030

Shirika la afya ulimwenguni WHO limesema janga la Uviko-19 pamoja na vita na migogoro ni masuala yaliyorudisha nyuma juhudi za kuimarisha afya na ustawi wa wanawake pamoja na watoto. Kwa mujibu wa dat . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • October 18, 2022

WHO yaonya matumizi dawa nne za kunywa watoto barani Afrika

Mkurugenzi wa shirika la afya duniani, Tedrso Adhanom Ghebreyesus AP - Salvatore Di NolfiShirika la afya duniani, WHO, juma hili limetoa angalizo kuhusu matumizi ya dawa nne za kimiminika zinazotumiwa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 18, 2022

Askari watatu wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa wauawa na wengine wajeruhiwa

Askari watatu wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa waliuawa na wengine watatu kujeruhiwa vibaya wakati gari lao lilipogonga kilipuzi kaskazini mwa Mali siku ya Jumatatu, msemaji wa Umoja wa Mataifa al . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • October 18, 2022

RAIS SAMIA AFANYA ZIARA FUPI OFISI ZA CCM MKOA KIGOMA

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan leo Jumanne ya tarehe 18 Oktoba, 2022 amefanya ziara fupi kwenye ofisi ya CCM mkoa wa Kigoma na k . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • October 18, 2022

Vyakula Vigumu Kusagika Mwilini

Vyakula vya wanga nyingiKula chakula chenye wanga kinaweza kudhoofisha afya kwa muda mrefu kwani husababisha kuongezeka kwa uvimbe na kubadilisha utumbo. Kwa mfano, viazi vinaweza kuchukuliwa kuwa cha . . .

Kilimo
  • Na Asha Business
  • October 18, 2022

Sheria ya kilimo kutungwa

Naibu Waziri wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikali ipo njiani kutunga sheria maalum kwa ajili ya kilimo ili kulinda maeneo yote yanayofaa kwa kilimo katika azma yake ya kukuza sekta ya kilimo nc . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • October 18, 2022

Rais Museveni Aamuru Mwanawe Kuondoka kwa Mitandao ya Kijamii

 Yoweri Museveni  "Jenerali Muhoozi Kainerugaba - atakaa mbali na mitandao ya kijamii kufuatia jumbe zake za kivita kuhusu Kenya."Jenerali Muhoozi alitishia uhusiano wa Kenya na Uganda baada . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • October 17, 2022

uwezo wa kuzaa kwa wanawake kushuka

 miaka 30 ijayo mwanamke wa Tanzania atakuwa na uwezo wa kujifungua wastani wa watoto wachache ripoti ya ‘Tanzania in figures 2021’ kuonyesha uwezo wa kuzaa wa wanawake nchini umeshuka k . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 17, 2022

MAJALIWA AKAGUA UJENZI WA DARAJA LA JPM MKOANI MWANZA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akikagua ujenzi wa daraja la JPM,  Kigongo – Busisi mkoani Mwanza, Oktoba 16, 2022.  Kulia ni Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mhandisi . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 17, 2022

Madhara Ya Ulaji Wa Sumu Kuvu Husababisha Kupungua Kwa Kinga Ya Mwili

Kaimu Mratibu wa Mradi wa Kudhibiti Sumukuvu Tanzania (TANIPAC), Khassim Musya akitoa elimu wa wananchi waliofika katika maadhimisho ya Siku ya Chakula Duniani  yenye Kaulimbiu isemayo 'Uzalishaj . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 17, 2022

Aliyewasema Wazanzibar kufikishwa mahakamani

Jeshi la Polisi mkoa wa Mjini Magharibi linamshikilia Elizabeth Ngiba (32), kwa kosa la kujirekodi video na kutoa lugha ya maudhi dhidi ya Wazanzibar akiwaambia kwamba licha ya kujua kujistiri lakini . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • October 17, 2022

Wananchi DRC wataka UN kutangaza mauaji ya mara kwa mara kuwa ya kimbari

Wakazi wa Beni, Kivu kaskazini, na Ituri wanaiomba serikali ya DRC na Umoja wa Matifa kutangaza mauaji ya mara kwa mara katika eneo lao kuwa ya kimbari.Akizungumuza na wanahabari akiwa katika ene . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 17, 2022

WANANCHI WAASWA KUTOA USHIRIKIANO THABITI KATIKA UTAFITI WA VVU NCHINI

SERIKALI imezindua Utafiti wa Viashiria na Matokeo ya Ukimwi Tanzania (THIS 2022-2023) na kueleza kuwa kiwango cha maambukizi mapya ya VVU na UKIMWI kimeshuka na kufikia asilimia 4.7. Pia imedhamir . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 17, 2022

WAFANYABIASHARA SOKO LA SAMAKI MISUNGWI WALIZWA

. . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 16, 2022

Rais Samia asisitiza Watanzania kuchapa kazi

 Wilaya ya Bukombe mkoani Geita wakati akielekea Mkoa wa Kigoma leo Jumapili, Oktoba 6, 2022, Rais Samia amesema yeye na wasaidizi wake wapo kwa ajili ya kuitumikia Tanzania na Mtanzania ili kule . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 14, 2022

RAIS SAMIA ASHIRIKI MISA TAKATIFU YA KUMUOMBEA BABA WA TAIFA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, Makamu wa Rais Mhe. Philip Isdor Mpango, viongozi wengine wa Chama, Serikali, pamoja na Waumini wa Kanisa hilo wakiwa kwenye Misa Taka . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • October 14, 2022

Mtoto wa Rais Museveni aiomba msamaha Kenya, anataka kuzuru Tanzania

Mtoto wa rais Yower Museveni wa Uganda, Luteni Jenerali Muhoozi Kainerugaba ametangaza kutembelea Tanzania, ikiwa ni siku chache tangu azue utata wa kuiteka Nairobi kwa wiki mbili.Licha ya baba yake k . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 14, 2022

Wabunge nchini Iraq wamchagua rais mpya

Wabunge nchini Iraq jana walimchagua Abdul Latif Rashid, mwanasiasa mkurdi mwenye umri wa miaka 78 kuwa rais mpya wa nchi hiyo. Afisa mmoja wa bunge amesema kuwa Rashid alipata zaidi ya kura 160 dhidi . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 13, 2022

Makonda apelekwa mahakamani

Leo Oktoba 13,2022 Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imetaja kesi ya madai, iliyofunguliwa na Patrick Christopher Kamwelwe, dhidi ya Willium Malecela na aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Mak . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 13, 2022

Matokeo ya Sensa Kujulikana mwezi huu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, mwishoni mwa mwezi huu anatarajiwa kutangaza matokeo ya zoezi la sensa ya watu na makazi lililoanza kufanyika usiku wa kuamkia Agosti 23, 2 . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • October 13, 2022

Waganga wa jadi wapigwa marufuku Uganda

Rais wa Uganda Yoweri Museveni amewaagiza waganga wa jadi kuacha kuwatibu watu wakati wa mlipuko wa ebola unaoendelea ambao hadi sasa umesababisha vifo vya watu 19 nchini humo.Rais pia amewaagiza maaf . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 13, 2022

Mbunge wa CCM afariki dunia

 Mbunge wa Aman (CCM), Mussa Hassan Mussa amefariki dunia leo Alhamisi Oktoba 13, 2022 nyumbani kwake visiwani Zanzibar.Akitoa taarifa ya kifo hicho leo Alhamisi Oktoba 13, 2022 Spika wa Bunge, D . . .

Kurasa 92 ya 130

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Utaratibu wa mapitio ya kesi ya Waziri Mkuu Ousmane Sonko wafunguliwa

    • 11 dakika zilizopita
  • Ndege za Marekani zafanya ukaguzi juu anga ya Nigeria

    • 15 dakika zilizopita
  • TANZANIA NA UGANDA ZAANZA AFCON 2025 KWA KICHAPO

    • 39 dakika zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode