logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 30, 2022

Hali ya wasiwasi kati ya Wapalestina na Waisraeli yaripotiwa Mashariki mwa Jerusalem

Maelfu ya Waisraeli, wakiwa wanapeperusha bendera ya nchi yao, wameandama katika eneo la Wapalestina, Mashariki mwa Jerusalem, katika kitendo ambacho kimelezwa kuwa cha kicho . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • May 30, 2022

Jeshi la Urusi laingia katikati mwa Sievierodonetsk

Siku ya 96 ya uvamizi wa Urusi nchini Ukraine, Jumatatu Mei 30, Ukraine imedai kurejesha kwenye himaya yake eneo la Kherson, kutoka mikononi mwa Urusi tangu kuanza kwa uvamiz . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 30, 2022

Joe Biden azitembelea familia za wahanga wa shambulizi la bunduki Uvalde

Rais wa Marekani Joe Biden ametembelea familia za wanafunzi 19 na walimu wawili, waliouawa kwa  kupigwa risasi wakiwa shuleni wiki iliyopita katika mji wa Uvalde, jimbon . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • May 30, 2022

Mbunge wa Rabai Aaga Dunia Baada ya Kuwasilisha Stakabadhi kwa IEBC.

Mbunge wa Rabai William Kamoti amefariki dunia muda mfupi baada ya kuwasilisha karatasi zake za uteuzi kwa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka.OCPD wa Kilifi Jonathan Koech alithibitisha kifo cha mbunge h . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • May 29, 2022

Wanajeshi wawili wa Rwanda waliokamatwa DRC watambulishwa kwa vyombo vya habari

anajeshi wawili wanaodaiwa kuwa wa Rwanda waliokamatwa katika mpaka wa DRC na nchi hiyo wametambulishwa kwa wanahabari .Koplo Élysée Nkundabangezi na Pte Ntwari Gad walikamatwa na wakazi wa Bwish . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • May 29, 2022

Ndege yenye abiria 22 imepoteza uelekeo Nepal

Ndege yenye watu 22 imepoteza uelekeo nchini Nepal. Kwa mujibu wa shirika la ndege la taifa hilo ndege hiyo ilipoteza mawasiliano muda mfupi baada ya kuruka saa tatu na dakika 55 ya leo katika uwa . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • May 29, 2022

Majeshi ya Urusi yaishambulia miji ya mashariki mwa Ukraine

Vikosi vya Urusi vimeongeza kasi ya mashambulizi dhidi ya mji wa Sievierodonetsk mashariki mwa Ukraine baada ya kudai kuutia mkononi mji wa Lyman. Lengo kuu ni kuvizingira vikosi vya Ukraine.Kwa m . . .

Mtandaoni
  • Na Asha Business
  • May 27, 2022

MKE ASABABISHA KIFO CHA MUME WAKE HUKO MAREKANI.

Mume  wa Walimu waliouawa kwa kupigwa risasi Jumanne huko Uvalde, Texas, nchini Marekani ameripotiwa kufariki kutokana na mshtuko wa moyo. Joe Garcia alikuwa Mume wa Irma Garcia, ambaye alif . . .

Siasa
  • Na Asha Business
  • May 27, 2022

Mwanasiasa Wa Kenya Awatepeli Mawakala wa M-Pesa Zaidi ya KSh 350k Read.

Maafisa kutoka Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI) wamemkamata mwanasiasa mmoja kwa kujipatia zaidi ya KSh350,000 kwa njia ya ulaghai kutoka kwa maajenti wa Mpesa.Benson Thuranira Kathiai anadaiwa kuwat . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • May 27, 2022

DRC yaishtumu Rwanda kuunga mkono waasi wa M23

Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo imeishtumu Rwanda kuunga mkono kundi la waasi la M23, jambo ambalo Rwanda imekanusha Alhamisi wakati jeshi la Congo likipambana na waasi hao katika eneo la mash . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • May 27, 2022

Maafisa wa Ukraine "makombora ya Russia yameua raia 7 katika mji wa Kharkiv".

Maafisa katika mji wa pili kwa ukubwa wa Ukraine, Kharkiv, Alhamisi wamesema mashambulizi ya makombora ya Russia yameua raia 7 na kujeruhi wengine 17, huku mapigano makali yakipamba moto kaskazi . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • May 26, 2022

Kanisa Laadhimisha Sikukuu ya Krismasi nchini Congo.

Kanisa moja nchini Jamhuri ya Demokrasia ya Congo limeadhimisha Sikukuu ya Krismasi likisherehekea kuzaliwa kwa Yesu Kristu.Tofauti na kawaida ambapo makanisa mengi ulimwenguni huadhimisha kuzaliwa kw . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • May 26, 2022

‘X’ APELEKA ZAWADI YA BOMU KWENYE HARUSI.

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, mke na mume wamejikuta wakilipukiwa na bomu mara baada ya kufungua zawadi waliyozawadiwa na mpenzi wa zamani (x) wa dada yake na bibi harusi wakati wa sherehe ya . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 26, 2022

Vikosi vya Urusi vyshambulia zaidi ya miji 40 Donbass

Wakati wa Kongamano la Kiuchumi la Davos siku ya Jumatano, Waziri wa Mambo ya Nje wa Ukraine Dmytro Kouleba aliishutumu NATO kwamba "haijafanya lolote" dhidi ya uvamizi wa nchi yake ulioanzishwa n . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • May 26, 2022

Serikali ya Gambia kumfungulia mashtaka rais wa zamani Yahya Jammeh

Serikali ya Gambia Jumatano imesema itamfungulia mashtaka rais wa zamani Yahya Jammeh kwa mauaji, ubakaji, mateso na madai ya uhalifu mwingine uliofanywa chini ya utawala wake wa zaidi ya miaka . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • May 26, 2022

Niger yasema imeuwa wanamgambo 40 wa Boko Haram

Serikali ya Niger inasema jeshi lake limewauwa wapiganaji 40 wa kundi la Boko Haram kwenye mapigano katika visiwa vya Ziwa Chad. Wizara ya ulinzi ya Niger imesema usiku wa Jumatano, wapiganaji wap . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • May 24, 2022

Mwanajeshi wa Russia ahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kumua raia wa Ukraine

Mwanajeshi wa Russia ambaye alikiri kumuua raia wa Ukraine amehukumiwa kifungo cha maisha jela Jumatatu na mahakama ya Ukraine, licha ya ishara kuwa Kremlin nayo inaweza kuwafikisha mahakamani b . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • May 24, 2022

Afisa wa polisi auawa Pakistan, wafuasi wa Khan wakamatwa

Chama kikuu cha upinzani nchini Pakistan Tehreek-e-Insaf kinachoongozwa na waziri mkuu aliyeondolewa madarakani hivi karibuni Imran Khan, kimeishtumu polisi kwa kuwazuilia mamia ya wafuasi wake ka . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • May 24, 2022

Kesi ya kadinali anayeunga mkono demokrasia yatatiza uhusiano wa Vatican na Beijing

Wanachama sita wa mfuko wa misaada ya pande zote kwa wanaharakati wanaounga mkono demokrasia wamefikishwa mahakamani huko West Kowloon Jumanne hii asubuhi. Miongoni mwao ni M . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • May 24, 2022

Jeshi la Polisi lajitenga sakata la Mzee wa Yesu

Ikiwa imepita wiki moja tangu alipokamatwa na maofisa wa Idara ya Uhamiaji bila kujulikana alipohifadhiwa Askofu wa Kanisa la House of Prayer, Mulilege Kameka almaarufu kama Mzee wa Yesu, mkewe am . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • May 24, 2022

‘House girl’ anavyopigana kwenda shule

Haikuwa kazi rahisi kufanya vizuri darasani akiwa kwenye lindi la umaskini, lakini jitihada na hamasa kutoka kwa walimu wake zilimfanya Mariam Mchiwa kupata daraja la kwanza katika matokeo yake . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • May 23, 2022

Idadi ya wakimbizi imepindukia watu milioni 100 kwa mara ya kwanza

Mkuu wa Shirika lenye kuwahudumia wakimbizi duniani, UNHCR Filippo Grandi amesema wa mara ya kwanza vita vya Ukraine vimeongeza idadi ya watu waliolazimishwa kuyakimbia makaazi yao duniani na kupi . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • May 23, 2022

Ajali Imetokea Morogoro Baada ya Gari Kugonga Behewa la Treni

AJALI mbaya imetokea inayohusisha gari aina ya TOYOTA PICKUP lenye namba ya usajili T 840 DQF lililokuwa likitokea maeneo ya Tumbaku kuelekea Msamvu kugonga Behewa la Treni lililokuwa likitokea Ki . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • May 23, 2022

Auawa kwa Kupigwa Risasi Akivua Samaki Eneo la Mgodi

MWANAUME aliyejulikana kwa jina la Hamis Mayunga (27) mkazi wa Kijiji cha Dulisi wilayani Kishapu ameuawa kwa kupigwa risasi na anayedaiwa kuwa Mlinzi wa Kampuni ya Ulinzi ya Sam Security aitwaye . . .

Kurasa 44 ya 56

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Habari
news
  • 47 dakika zilizopita

Askofu Bagonza aonya dhidi ya ‘sumu’ zinazokwamisha maridhiano

Habari
news
  • 53 dakika zilizopita

Polisi Babati wachunguza kifo cha mwanaume kijiji cha Mapea

Habari
news
  • 60 dakika zilizopita

RC Mara aagiza kurejeshwa jengo la WAMACU Tarime na Rorya

Makala
news
  • saa moja lililopita

Hii hapa top 10 ya Magari Yaliyonunuliwa Zaidi Tanzania Mwaka 2025

Makala
news
  • saa moja lililopita

Faida za Maji ya Nazi kwa Wagonjwa wa Gauti Unazopaswa Kujua

Habari
news
  • saa moja lililopita

Marekani yaifuatilia meli nyingine ya mafuta Venezuela

Habari
news
  • saa moja lililopita

Wayahudi watakiwa kuhamia Israel kuepuka chuki

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Askofu Bagonza aonya dhidi ya ‘sumu’ zinazokwamisha maridhiano

    • 47 dakika zilizopita
  • Polisi Babati wachunguza kifo cha mwanaume kijiji cha Mapea

    • 53 dakika zilizopita
  • RC Mara aagiza kurejeshwa jengo la WAMACU Tarime na Rorya

    • 60 dakika zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode