logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Makala

  • Pata Makala Zote Hapa
Afya
  • Na Jembe Digital
  • jana

Je unafahamu faida za Kunywa Juisi ya Karoti Kila Wiki

Juisi ya karoti ni kinywaji chenye virutubisho vingi muhimu kama vitamini, antioxidants na nyuzinyuzi, ambavyo huchangia kuboresha afya kwa ujumla hivyo kwa mujibu wa Healthline, juisi ya karoti ina kalori chache na wang . . .

Teknolojia
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Fahamu Mambo 12 Muhimu Kabla ya Kununua Laptop au PC

Katika zama za sasa, laptop na PC zimekuwa sehemu muhimu ya maisha yetu kazi, burudani, elimu na mawasiliano yote yanategemea vifaa hivi. Lakini unapoenda kununua, ni rahisi kushindwa kuamua ni kifaa gani kinachokidhi ma . . .

Afya
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Zitambue Faida za Tufaha (Apple) katika Kulinda Moyo Wako

Unatambua kwamba ulaji wa tufaha (Apple) moja kila siku kunaweza kusaidia kuboresha afya ya moyo kwa kutanua mishipa ya damu, kupunguza uvimbe, kulinda seli, na kusaidia kuweka mishipa ya damu yenye afya, kulingana na ut . . .

Afya
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Yajue matunda 9 Yanayosaidia Kupunguza Mafuta ya Tumbo

Baadhi ya matunda kama zabibu (grapefruit), nanasi, parachichi na kiwi yanaweza kusaidia kupunguza mafuta ya tumbo kutokana na kuwa na nyuzi za lishe (fiber), vimeng’enya (enzymes) na virutubisho vi . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • December 11, 2025

HII NDIO SABABU YA MWANAUME KUWA NA MATITI MAKUBWA

Hali ambapo matiti ya mwanamume yanakua makubwa inafahamika kama gynaecomastia.Kwa kawaida hali hii hutokea kukiwa na tishu zaidi ya matiti katika sehemu inayozingira chuchu na hivyo kusababisha matiti kuwa makubwa.Hali . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • December 8, 2025

Hali zinazochangia hedhi kutokea bila kutarajiwa

KUWA na hedhi ni jambo la kawaida kutokea kila mwezi. Japo hedhi hutarajiwa hasa kwa wale wanaojua kuhesabu siku zao, kuna wakati ambapo kipindi hiki hutokea bila kutarajiwa.Kuna mambo fulani yanayohusiana na uzazi ambay . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • December 5, 2025

Wanasayansi wapigia debe ulaji wa wadudu

HUKU idadi ya binadamu ikiendelea kuongezeka ulimwenguni na chakula kuwa haba, wanasayansi wamebaini kuwa kula wadudu ambao wana viwango vya juu vya protini kutakuwa jambo la kawaida miaka mingi inayokuja.Jinsi idadi ya . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • December 4, 2025

Athari zinazochangiwa na kutozingatia usafi unapoenda haja kubwa

WANAWAKE wengi hukumbwa na maambukizi hasa katika sehemu nyeti, baadhi yakichangiwa na desturi za kutozingatia usafi.Matumizi ya choo na jinsi ya kuhakikisha usafi baada ya kumaliza haja kubwa au ndogo, ni mambo yanayofa . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • December 1, 2025

Ripoti "Nairobi yaongoza kitaifa kwa maambukizi ya HIV kwa mara ya kwanza"

KWA mara ya kwanza baada ya miaka mingi, Kaunti ya Nairobi imeipiku Homa Bay kwa kuongoza, kitaifa, katika idadi ya maambukizi mapya ya virusi vya HIV na ugonjwa wa Ukimwi.Kwa mujibu wa data kutoka kwa Baraza la Kitaifa . . .

Jamii
  • Na Jembe Digital
  • November 26, 2025

Tambua umuhimu wa Efeso 4:2-3 katika kulinda amani na umoja wa kisiasa Tanzania

Tanzania kwa muda mrefu imekuwa mfano wa utulivu na mshikamano katika Afrika mashariki. Hata hivyo ,kama ilivyo katika mataifa mengine yanayotumia mifumo ya demokrasia ,chaguzi ,mijadara ya kisera ,natofauti za kiit . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • November 25, 2025

Utafiti" Mbegu za wanaume huanza kudorora kuanzia miaka 30"

WANASAYANSI wamebaini umri halisi ambao ubora wa mbegu za kiume huanza kudorora, hali inayoongeza uwezekano wa wanaume kuwarithisha watoto wao mabadiliko ya kijeni yanayosababisha magonjwa mbalimbali.Utafiti mpya uliocha . . .

mahusiano
  • Na Asha Business
  • November 24, 2025

Tumia simu kuboresha mapenzi, si kubomoa

Katika enzi hizi ambapo mawasiliano hutegemea simu za mkononi, wataalamu wanasisitiza kwamba unavyotumia kifaa hiki kwa mwenzi wako inaweza kujenga uhusiano wenye afya au kuusambaratisha kabisa.Huku simu zikiwa sehemu ya . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • November 20, 2025

Fahamu Kwa Nini Wataalamu wa Lishe Wanashauri Kula Korosho Mara kwa Mara

KOROSHO ni muhimu sana katika mwili wa binadamu. Kwa Tanzania zao hili hulimwa kwa wingi katika mikoa ya pwani hasa Mtwara, Lindi na Pwani.  Wengi wetu hatuli korosho na hata pale tunapokula, hula kama kitafunwa cha . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • November 19, 2025

Madhara ya kichokonoo kwenye meno

KILA wakati baada ya kula chakula, watu wengi hutumia kichokonoo (toothpick) kuondoa mabaki ya chakula katikati ya meno.Hata hivyo, Dkt Serah Wanza, mtaalamu wa afya ya meno katika hospitali ya Versatile Dental Solutions . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • November 18, 2025

Muda mwingi kwenye skrini waongeza hatari za matatizo ya moyo kwa watoto

UTAFITI mpya umeonya kwamba mtoto anapotumia sana vifaa vya kielektroniki, hasa pale shida hii inapoambatana na kiwango kidogo cha usingizi, kunaweza kuongeza hatari ya kupata matatizo ya moyo na kimetaboli baadaye maish . . .

Makala
  • Na Asha Business
  • November 17, 2025

Panya wasio na manyoya wavunja rekodi ya uzee- utafiti

Ni viumbe wa ajabu, wenye upara, wanaishi chini ya ardhi wakiwa na mwonekano unaofananishwa na soseji yenye meno, na sasa wataalamu wamefichua siri ya kijenetiki kuhusu siri ya wanyama hao kuishi maisha marefu.Utafiti mp . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • November 17, 2025

Homa ya mapafu: 'Muuaji' mkubwa wa watoto duniani

Homa ya mapafu ni miongoni mwa magonjwa ambukizi yanaongoza kwa kusabisha vifo vingi miongoni mwa watoto walio chini ya umri wa miaka mitano.Mary Wanjiku Murimi, mama wa watoto wanne, anaishi kusimulia jinsi mwanawe alia . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • November 17, 2025

Watafiti wagundua kinachopunguza uwezo wa wanawake kupata mimba

UWEZO wa mwanamke kupata mimba hupungua kwa kasi kuanzia katikati ya umri wa miaka 30, jambo ambalo limekuwa likiwasumbua wanasayansi kwa muda mrefu.Kwa miaka mingi, watafiti waliamini kuwa chanzo kikuu cha kupungua kwa . . .

Jamii
  • Na Jembe Digital
  • November 8, 2025

Je unatambua kuwa "Hekima na Akili ni uhusiano wa kitofauti katika Maisha ya Binadamu"

Katika Maisha ya kila siku Maneno kama hekima na akili hutumika kwa pamoja kana kwamba yana maana moja ambapo Watu wengi  husema " Yule mtu ana akili nyingi au ana hekima kubwa" .Hatahivyo ukichunguza kwa undani ,Ma . . .

mikasa
  • Na Jembe Digital
  • October 20, 2025

FAHAMU KUHUSU KWANINI WATU WANALIA WAKIWA MSIBANI

Kilio katika msiba ni tukio la kawaida duniani Kote,. Nisauti ya huzuni,upendo na hisia ambazo maranyingi maneno hushindwa kueleza. Watu hulia si kwasababu ni dhaifu ,bali kwasababu mioyo yao imeguswa na tuki . . .

Jamii
  • Na Jembe Digital
  • October 18, 2025

Mfahamu Mwanamke wa Mageuzi anayeinua Wakulima wa kahawa Kagera

Profesa Kokuletage Ngirwa,Aurelia Kamuzora  huyo ni Tanzania na ni miongoni mwanchi zinazotambulika kwa uzalishaji wa kahawa bora barani Afrika. Miongoni mwa mikoa vinara katika zao hili ni kagera ,yenye historia nd . . .

Afya
  • Na Jembe Digital
  • October 4, 2025

Yatambue Mambo Sita Yasiyopaswa Kufanywa Wakati Wa Ujauzito

Kuna mambo mengi yasiyopaswa kufanywa na mjamzito na leo tutadodosa kwa pamoja  kama ifuatavyo:Kunywa PombeMwanamke mjamzito hapaswi kunywa pombe. Unywaji wa pombe kwa mjamzito husababisha mjamzito kujifungua kabla . . .

mahusiano
  • Na Jembe Digital
  • October 3, 2025

Unapaswa Kuzingatia Kabla Hujaamua Kumtoa ‘out’ Umpendaye

Shukrani za kipekee zimuendee Mungu kwa kutuwezesha kuiona salama ya leo, ni matumaini yangu kwamba msomaji wangu uko vizuri na unaendelea kulisongesha mbele gurudumu la maendeleo yakao.Wataalamu wengi wa masuala ya mape . . .

mahusiano
  • Na Jembe Digital
  • September 30, 2025

Hili hapa Suluhisho la Wapenzi Wanaogombana Mara kwa mara

SIKU hizi ugomvi kwenye mahusiano imekuwa kama ni jambo la kawaida. Watu wanagombana kwelikweli. Utakuta mtu haipiti mwezi mmoja bila kugombana na mpenzi wake. Anampenda, hayupo tayari kumpoteza lakini maisha yao ki . . .

TOP STORY
  • Na Asha Business
  • September 30, 2025

Teknolojia ya chupa za plastiki kuendeleza kilimo

JE, baada ya kushabikia kinywaji kilichositiriwa na chupa ya plastiki, huwa unafanya nini na chupa hiyo?Wengi huweka chupa za plastiki kwenye mapipa au kwenye majaa. Cha kushangaza zaidi, wapo wanaozitupa kiholela barabr . . .

Kurasa 1 ya 6

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Mbappé Avunja Ukimya wa Miaka 12 Real Madrid, Aifikia Rekodi ya Ronaldo

    • saa moja lililopita
  • SIMBACHAWENE AVIOMBA VYOMBO VYA HABARI KUFANYA UTAFITI JUU YA RUSHWA

    • 20 masaa yaliopita
  • UN yaomba ufadhili wa dharura kuhudumia wakimbizi Burundi

    • jana

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode