logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • September 22, 2025

DKT. MPANGO AWASILI MAREKANI KUSHIRIKI MKUTANO WA 80 Wa BARAZA KUU LA UMOJA WA MATAIFA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango amewasili jijini New York Marekani Septemba 22 mwaka huu kwa ajili ya kushiriki katika mkutano wa 80 wa Baraza Kuu la Um . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • September 22, 2025

Wagonjwa 1,082 Wafaidika na Huduma za MOI Chato

ZAIDI ya wagonjwa 1,082 wamefaidika na huduma za kibingwa na kibobezi za Mifupa, Ubongo, Mgongo na Mishipa ya Fahamu zinazotolewa na Taasisi ya MOI katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Chato.Hayo yam . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • September 22, 2025

Wabunge kupiga kura kuamua hatima ya Vital Kamerhe

Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, wabunge baadaye leo Jumatatu wanatarajiwa kupiga kura, kuamua hatima ya Spika Vital Kamerhe, baada ya siku kadhaa za vikao ambavyo vimekuwa vikifanyika kujadil . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • September 21, 2025

Majaliwa "Rais Dkt Samia Anatambua Mchango Wa Madhehebu Ya Dini Katika Kuendeleza Maarifa"

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anatambua kwa dhati mchango wa madhehebu ya dini ikiwemo BAKWATA na wadau wote wa elimu katika kuimarisha maadili, ku . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 21, 2025

Uingereza na Ureno kutambua rasmi taifa la Palestina

Licha ya shinikizo kali kutoka kwa Marekani na Israel, na bila ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa lenye hadhi ya juu, Uingereza na Ureno zitalitambua rasmi taifa la Palestina leo Jumapili.Uingereza&nbs . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 21, 2025

Wapiga Kura kushiriki kura rasimu ya Katiba mpya

Wananchi wa Guinea wanapiga kura ya ndiyo au hapana kuhusu rasimu ya Katiba mpya. Rasimu hiyo inalenga kuchukua nafasi ya katiba ya mpito inayotumika tangu mapinduzi ya Septemba 21, 2021 ambayo yalish . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • September 19, 2025

Tanzania kuendeleza mapinduzi ya elimu kidigitali

TANZANIA imeahidi kuendeleza mapinduzi ya kidigitali katika sekta ya elimu kupitia ushirikiano na Kampuni ya eee Austria.Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Carolyne Nombo, . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • September 19, 2025

Mshikamano wahitajika mageuzi kiuchumi nchini

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Hashil Abdallah amesema ili kufanikisha mageuzi ya kiuchumi na teknolojia kunahitajika mshikamano thabiti kati ya waajiri na wafanyakazi kwa misingi . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • September 19, 2025

Tanzania kuandaa wataalamu wa nyuklia

 TANZANIA imeanza kuandaa wataalamu wa Sayansi na Teknolojia ya Nyuklia kupitia vyuo vya ndani na nje ya nchi kwa lengo la kujenga uwezo wa kitaifa na kupunguza utegemezi wa wataalamu k . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • September 19, 2025

Serikali Inatambua Kazi Nzuri ya OSHA Nchini

Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana, Amina Makilagi, amesema serikali inatambua kazi nzuri inayofanywa na Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) ya kusimamia utekelezaji wa Sheria ya Usalama na Afya . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 19, 2025

Marekani yapiga kura ya turufu azimio la UNSC kutaka kusitishwa mara moja kwa mapigano Gaza

Marekani kwa mara nyingine tena imepinga azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa siku ya Alhamisi lililotaka kusitishwa mara moja na katika hali ya kudumu kwa mapigano huko Gaza na kuachiliwa . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • September 19, 2025

Zaidi ya watu 30 wamefariki kwa Ebola nchini DRC

Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza siku ya Alhamisi kuwa wagonjwa 48 wa Ebola wamethibitishwa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, na watu 31 wamefariki baada ya kuambukizwa virusi vya ugon . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • September 18, 2025

Dkt. Samia" Uchaguzi si Vita, Ni Tendo la Demokrasia Tukapige kura, Turudi Nyumbani"

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewataka wananchi kudumisha amani na utulivu wakati wa uchaguzi mkuu unaotara . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • September 17, 2025

Kigoma Bodaboda waonywa uhalifu

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2025, Ismail Alli Ussi amewataka maofisa usafirishaji wa pikipiki za abiria maarufu kama ‘bodaboda’  kutotumia usafiri huo kuchochea vitendo vya uhal . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • September 17, 2025

Wataalamu wa ugani nchini wametakiwa kufikisha elimu ya usimamizi wa misitu kwa wananchi

WATAALAMU wa ugani nchini wametakiwa kufikisha kwa wananchi elimu ya usimamizi wa misitu, ili suala la usimamizi endelevu wa misitu, kitalu cha miti, ufugaji nyuki, uongezaji thamani na teknojia ya ku . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • September 17, 2025

Wapiga kura wanasubiri matokeo ya uchaguzi mkuu wa urais

Raia wa Malawi wanasubiri matekeo ya uchaguzi wa urais, baada ya kushiriki uchaguzi Jumanne kuwachagua viongozi wao.Mbali metekeo ya urais raia hao pia wanasubiri matekeo ya wabunge na madiwani, wagom . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • September 17, 2025

Mahakama yatoa hati ya kukamatwa kwa mwanajeshi wa Uingereza

Nchini Kenya, mahakama imetoa siku ya Jumanne kibali cha kukamatwa kwa mwanajeshi wa Uingereza. Mwanajeshi huyo anashukiwa kumuua Agnes Wanjiru, mama mwenye umri wa miaka 21 ambaye mwili wake ulipatik . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • September 16, 2025

GGML KUSHIRIKI MAONESHO YA TEKNOLOJIA YA MADINI IKIJIVUNIA MAFANIKIO YA MIAKA 25

Geita Gold Mining Limited (GGML), kampuni tanzu ya AngloGold Ashanti, imethibitisha kushiriki kikamilifu katika Maonesho ya 8 ya Teknolojia ya Madini yanayotarajiwa kufanyika katika viwanja vya Bombam . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • September 16, 2025

Wahamiaji watano waliofukuzwa Marekani na kutumwa Ghana wachukuwa hatua za kisheria

Wakati Rais wa Ghana John Dramani Mahama akithibitisha kuwasili katika nchi yake wahamiaji 14 wa Afrika Magharibi waliofukuzwa kutoka Marekani kufuatia makubaliano kati ya Accra na Washington, watano . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • September 16, 2025

Wabunge waongeza muda wa rais kukaa madarakani

Wabunge nchini Chad, Jumatatu ya wiki hii walipitisha marekebisho ya katiba yanayoongeza muda wa rais kukaa madarakani kutoka miaka 5 hadi 7 na kwa kipindi kisichokuwa na ukomo.Muswada huo uliwasilish . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • September 16, 2025

Afisa wa Ngazi ya Juu Afutwa Kazi, Atuhumiwa Kumteka Nyara Mwanahabari Aliyefichua Ufisadi

Utawala wa Gavana Gladys Wanga umemchukulia hatua afisa mkuu anayedaiwa kumpiga mwanahabari.Katika taarifa kwa vyumba vya habari mnamo Jumatatu, Septemba 14, kaunti ilitangaza kuzuiwa kwa Beatrice Mer . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • September 16, 2025

Wakili " Hakuna kinachomzuia Gachagua kuwania urais iwapo nafasi za rufaa zipo"

WAKILI Charles Kanjama amesema kuwa kisheria, aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua anaruhusiwa kuwania urais mnamo 2027 kama kesi yake mahakamani haitakuwa imeamuliwa na kukamilishwa viwango vyote vy . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 16, 2025

UN "Kuna ongezeko la unene kupindukia kwa watoto na vijana"

Kwa mujibu wa ripoti ya shirika la afya duniani WHO, kuna ongezeko kubwa la unene kupindukia miongoni mwa watoto wenye umri wa miaka 5 hadi 19.Umoja wa Mataifa umetahadharisha juu ya tatizo la watu ku . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • September 15, 2025

Ruto apanga kubomoa Matiang’i Gusiiland kwa kumwaga hela za maendeleo

MIRADI ya maendeleo ambayo Serikali Kuu inatekeleza katika eneo la Gusii inachukuliwa kama ya chambo cha kuwavutia wakazi wamuunge mkono Rais William Ruto katika uchaguzi mkuu wa 2027.Wachanganuzi wan . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • September 12, 2025

Waafrika kuingia Burkina Faso bure kuanzia sasa

 SERIKALI ya Burkina Faso imetangaza kufuta ada za viza kwa raia wote wa nchi za Afrika, hatua inayolenga kurahisisha usafirishaji wa watu na bidhaa ndani ya bara hilo.Tangazo hilo lilitolewa Alh . . .

Afrika Mashariki
  • Na Jembe Digital
  • September 12, 2025

Machar afunguliwa mashtaka Sudan Kusini

MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Sudan Kusini, Riek Machar, amefunguliwa mashtaka mazito ya mauaji, uhaini na uhalifu dhidi ya binadamu, hatua inayohofiwa inaweza kuibua upya vita vya wenyewe kwa wenyewe n . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • September 12, 2025

Wananchi wa wilayani Kyerwa washauliwa kuacha tabia ya kutunza fedha majumbani

 Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru, Ismail Ali Ussi amewashauri wananchi wa wilayani Kyerwa mkoani Kagera kuacha tabia ya kutunza fedha majumbani badala yake watunze benki.Amesema kwa kufanya h . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • September 11, 2025

Ripoti mpya yapendekeza hatua za haraka zichukuliwe kukabili changamoto za kujifunza

Ripoti mpya ya elimu imependekeza kuchukuliwa hatua za haraka na madhubuti za kisera zinazotokana na utafiti ili kukabiliana na tatizo la umaskini wa kujifunza duniani baada ya kubainika kuwa watoto w . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • September 11, 2025

Zifahamu familia za kihalifu zinazotikisa mpya sasa

Hizi ndizo familia maarufu za kihalifu (mafia) zilizoanza zamani lakini bado zinahusishwa na shughuli haramu hadi leo kimya kimya:1. Familia ya Gambino – New York Iliongozwa na nguli John Gotti . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • September 10, 2025

TLP kujenga kambi za wazee 2,000 kila mkoa

CHAMA cha Tanzania Labour (TLP) kimesema kikipata ushindi katika Uchaguzi Mkuu serikali yake itajenga kambi za kutunza wazee kwenye kila mkoa.TLP imesema kila kambi itakuwa na uwezo wa kutunza wazee 1 . . .

Kurasa 15 ya 129

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Rwanda Yafunga Zaidi ya Makanisa 10,000 ya Kiinjili kwa Ukiukwaji wa Sheria

    • 23 dakika zilizopita
  • Askofu Bagonza aonya dhidi ya ‘sumu’ zinazokwamisha maridhiano

    • saa moja lililopita
  • Polisi Babati wachunguza kifo cha mwanaume kijiji cha Mapea

    • saa moja lililopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode