logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kitaifa
  • Na Asha Business
  • June 25, 2025

UWAMWA kunusuru wanafunzi na adha ya usafiri

Ushirika wa usafirishaji mkoa wa Mwanza UWAMWA imezindua gari 10 kwa lengo la kusafirisha wanafunzi kwenda shule na kuwarudisha ili kuepuka adha wanazopata katika usafiri wa umma.Akieleza mpango huo M . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • June 25, 2025

Waliotemwa na Samia kuwania nafasi za ubunge katika majimbo hayo

RAIS Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi na kuhamisha viongozi mbalimbali, wakiwemo wakuu wa mikoa watano na wakuu wa wilaya 17. Hatua hiyo imebainisha majimbo ambayo viongozi walioachwa katika u . . .

Teknolojia
  • Na Jembe Digital
  • June 25, 2025

Majaliwa yatangaza taasisi za umma kujiunga na mfumo wa kielektronik kuanzia juni 23 hadi julai 30

JUZI Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alitoa maagizo saba kwa taasisi za umma na watumishi wa umma kuhusu mifumo kusomana akilenga dhamira ya serikali ya kuimarisha utendaji kazi nchini.Ametangaza kuanzia . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • June 25, 2025

Wadau wa siasa watabiri ongezeko la wabunge wapya bunge lijalo

WADAU wa siasa wamesema bunge lijalo linaweza kuwa na wabunge wengi wapya kutokana na wabunge wanaomaliza muda wao wengi kutotatua changamoto za wananchi kwenye majimbo yao.Akizungumza na waandishi wa . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • June 25, 2025

Samia awasili nchini Msumbiji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewasili Jamhuri ya Msumbiji 24 Juni 2025 ambapo anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 50 ya Uhuru . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • June 25, 2025

Wanafunzi 2,398 wanufaika na mikopo ya elimu ya juu

Serikali imesema imekuwa ikiongeza fedha za mikopo ya elimu ya juu mwaka hadi mwaka ili kuwawezesha wanafunzi wote wakiwemo wenye mahitaji maalumu na wanaotoka kwenye familia zenye uwezo mdogo wa kiuc . . .

UTALII
  • Na Jembe Digital
  • June 24, 2025

Tanzania waibuka vinara kwa simba, nyati, chui Afrika

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Dustan Kitandula alisema hayo bungeni Dodoma juni 23 alipoeleza mafanikio ya sekta ya utalii wakati akichangia taarifa ya hali ya uchumi, Mpango wa Maendeleo wa Ta . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • June 24, 2025

Abbas Tarimba atoa yake ya moyoni kumtetea Rais –

MBUNGE wa Jimbo la Kinondoni, Abbas Tarimba, amesema atasimamia ukweli kwa kueleza na kutetea mazuri yaliyofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan.Tarimba amesema tangu Rais Samia aingie madarakani, amekuw . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • June 24, 2025

Majaliwa yatoa maagizo 7 kwa taasisi na watumishi wa umma

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ametoa maagizo saba kwa taasisi za umma na watumishi wa umma kwa lengo la kuimarisha utendaji kazi.Ametangaza kuanzia jana hadi Julai 30 mwaka huu taasisi za umma zijiunge . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • June 24, 2025

Kapinga ataja vigezo vya ziada upelekaji umeme vitongojini

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema Wakala wa Nishati Vijijini (REA) unatekeleza miradi ya umeme katika vitongoji kwa kuzingatia vigezo vya ziada ikiwemo ukubwa wa vitongoji, jimbo na mahi . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • June 24, 2025

Baraza la Maaskofu lamteua Alicia Massenga kuwa Mkurugenzi hospitali ya kanda Bugando

Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) limemteua Dk Alicia Massenga kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando, iliyopo jijini Mwanza.Taarifa kwa umma iliyotolewa  Juni 23, 2 . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • June 24, 2025

Rais Dk Mwinyi aongeza ukomo wa Baraza la Wawakilishi hadi Agosti 13

Dk. Mwinyi alitoa kauli hiyo leo, Juni 23,2025 wakati akihutubia hotuba ya kulifunga baraza hilo huko Chukwani, Zanzibar, ambapo alisema ukomo wa Baraza la 10 utafikia Agosti 13 mwaka huu, kwa mujibu . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • June 24, 2025

Rais Samia afanya uteuzi wa MaDC, Makonda awekwa pembeni

Katika taarifa iliyotolewa usiku wa kuamkia leo Jumanne Juni 24, 2025 na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kusiluka, Rais Samia amemteua Estomin Kyando kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilolo.Pia, Rais Samia a . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 24, 2025

Wabunge wa Amerika wagawanyika kuhusu mashambulizi Iran

BAADHI ya wabunge wa vyama vya Democrats na Republican wamelitaka bunge la Congress kupitisha uamuzi wa kuzuia Amerika kuingilia mapigano yanayoendelea katika Mashariki ya Kati.Lakini huenda uamuzi hu . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • June 24, 2025

Wabunge kupiga kura za kupitisha bajeti kuu ya serikali

Wakati mkutano wa 19 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ukiendelea jijini Dodoma Juni 24, 2025 pamoja na mambo mengine wabunge watapiga kura kupitisha bajeti kuu ya Serikali ya shilingi trili . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • June 24, 2025

Jera kwa kosa la kulawitiwa mtoto mdogo

Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya Kibaha Mkoa wa Pwani imetoa hukumu ya kifungo cha maisha jela kwa Yasini Hassan Kibabu, Miaka 19, Mkulima na mkazi wa Ungindoni, Kibaha baada ya kupatikana na hatia ya . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • June 23, 2025

Serikali kuwekeza nguvu mapambano dhidi ya dawa ya kulevya .

Serikali imesema imewekeza nguvu kubwa katika mapambano dhidi ya dawa za kulevya kupitia Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) vyombo vya ulinzi na usalama wadau wa ndani na nje . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • June 23, 2025

Makamu Wa Rais Dkt. Mpango Ashiriki Dominika Ya Ekaristi Takatifu Nchini Italia

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango, akiambatana na Mwenza wake Mama Mbonimpaye Mpango, wameungana na maelfu ya waumini wa Kanisa Katoliki kutoka kote duniani kushiri . . .

Kilimo
  • Na Jembe Digital
  • June 23, 2025

Vijiji 4,679 Vimewekwa katika mipango ya matumizi bora ya ardhi

SERIKALI imesema imeandaa jumla ya mipango ya matumizi bora ya ardhi 2,480 katika kipindi cha miaka minne, ambapo vijiji 4,679 vimewekwa katika mipango hiyo kati ya vijiji 12,333 nchi nzima.Hayo yames . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • June 23, 2025

Waliozaa na waume za watu kata ya Pugu wazua gumzo

TIMU ya Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia wilayani Ilala imebaini katika Kata ya Pugu baadhi ya wanawake wanazaa na waume za watu na kujihesabia haki kuwa nao ni wake halali ilihali ndoa ya . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • June 23, 2025

Mtikisiko majimboni

IKIWA imebaki miezi minne kabla ya kufanyika Uchaguzi Mkuu, Oktoba mwaka huu hekaheka na sarakasi za watia nia zimeshika kasi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika majimbo mbalimbali nchini.lina t . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 22, 2025

Iran Yatoa Onyo Kufuatia Mashambulizi ya Marekani Kwenye Vituo vya Nyuklia

Serikali ya Iran imelaani vikali mashambulizi ya anga yaliyofanywa na Marekani dhidi ya vituo vyake vya nyuklia, ikiyataja kuwa ya kikatili na ukiukaji wa sheria za kimataifa.Waziri wa Mambo ya Nje wa . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • June 21, 2025

Tanzania kufanya jitihada za kuwarejesha nyumbani watanzania walioko Iran, Israel

SERIKALI imesema inafanya jitihada za kuwarejesha nyumbani Watanzania wote waliopo Israel na Iran ili kuwaepusha na mashambulio yanayoendelea baina ya mataifa hayo mawili ya Mashariki ya Kati.Katika t . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • June 21, 2025

Majaliwa azitaka taasisi za elimu kuimarishe ubora wa elimu kwa ajira bora

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ameitaka Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) na taasisi nyingine za elimu, kusimamia na kudhibiti ubora . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • June 21, 2025

Bodi ya Ithibati yasajili Wanahabari 1,200

WAANDISHI 1,200 wamejisajili kwenye mfumo wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) mpaka jana.Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa JAB, Wakili Patrick Kipangula amesema kwamba leo ndiyo mwisho wa waandish . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • June 21, 2025

Wanaodaiwa na MSD watakiwa kulipa madeni

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Dkt. Benedicto Ngaiza, amewataka wataalamu wa sekta ya afya ea mikoani ya Mtwara, Lindi na Wilaya ya Tunduru kusimamia vyema ukusanyaji wa mapato kwenye vituo vya kutolea . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • June 20, 2025

Rais Samia asisitiza umuhimu na jitihada za kuhifadhi mazingira Ziwa Victoria

Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza jitihada za kuhifadhi mazingira ziendelee kufanyika kikamilifu kwa kushirikiana na sekta zote nchini na kwamba ni muhimu kulinda mazingira hasa Ziwa Viktoria ili lien . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • June 20, 2025

MSD yataja hatua za uwekezaji na uzalishaji wa bidhaa za ndani

Bohari ya Dawa (MSD) imesema uwekezaji katika uzalishaji wa bidhaa za afya ndani ya nchi unahitaji kuimarishwa ili viwanda vizalishe zaidi, kukidhi mahitaji ya nchi na kuliingizia Taifa fedha za kigen . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • June 20, 2025

Mkazi wa Kimara aeleza jinsi Vicoba ‘ilivyouza’ nyumba yake kimakosa

MKAZI wa Kimara Sara Mtoka ameeleza namna kikundi cha kukopeshana fedha cha wanawake (VICOBA) kilivyosababisha nyumba yake kuuzwa kimakosa.Mtoka alieleza hayo jana Mbagala alipofika kwenye Kampeni ya . . .

Kilimo
  • Na Jembe Digital
  • June 20, 2025

Serikali kugeuza mafuriko ya maji kuwa fursa kwa wananchi wakati wa kiangazi

SERIKALI imeanzisha programu ya kugeuza maji ya mafuriko kuwa fursa kwa wananchi ya kuimarisha ustawi wa wananchi kupitia kilimo cha umwagiliaji, uvuvi, maji safi pamoja na mifugo.Waziri wa Maji, Juma . . .

Kurasa 26 ya 130

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Polisi Pwani Wakanusha Taarifa zinazosambaa Mitandaoni

    • 11 dakika zilizopita
  • Serikali Yaendelea Kuimarisha Ustawi wa Wazee Nchini

    • 36 dakika zilizopita
  • Unywaji wa kahawa waweza kukuongezea miaka mitano ya ziada ya ujana

    • 3 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode