Wasiwasi inazidi kuongezeka kutokana na uwepo wa aina mpya ya maambukizo ya mpox, zamani yakifahamika kama monkeypox yaliogunduliwa nchini DR Congo na sasa katika mataifa jirani kuwa yanaweza kusambaa . . .
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt,Samia Suluhu Hassan akiweka Jiwe la Msingi kwenye Ujenzi wa Kiwanda Cha Sigara Cha Serengeti (SCC) na Upanuzi wa Kiwanda Cha kuchakata Tumbaku (MTPL) Mk . . .
Rais wa Bangladeshi Mohammed Shahabuddin amevunja bunge siku ya Jumanne, kulingana na msemaji wa rais, na kuwaridhisha wanafunzi waliomtimua Waziri Mkuu Sheikh Hasina. "Rais amelivunja Bunge," Shiplu . . .
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, ametoa maelekezo kwa Mawaziri wanne kufuatia maombi ya Wananchi wa Mwandiga Mkoani Kigoma kuhusu umeme, usalama wa raia na m . . .
Mshambuliaji wa Simba, Fredy Michael ametabiriwa kuwa mfungaji bora wa Ligi Kuu Bara msimu ujao, huku Kibu Denis akisamehewa na wana Msimbazi baada ya sakata lake la kutojiunga na kambi ya kikosi hich . . .
Ukraine imekosoa hatua ya Mali kukata uhusiano wake wa kidiplomasia na Kyiv na kuuita kama “uamuzi usiiona mbali” na uliochukuliwa haraka bila ya kufanya uchunguzi wa kina.Ukraine imeeleza kuwa ha . . .
MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imesema kuwa moja ya madhara ya Kilimo cha bhangi na mirungi ni kuondoa uoto wa asili.Hayo yamebainishwa na Afisa Elimu kutoka DCEA, Said Ma . . .
Naibu Waziri Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia Wiizara ya Nishati kupitia TANESCO kujenga vituo 75 vya kupokea, kupoz . . .
Ufaransa inawaalika raia wake, haswa wale wanaopitia, nchini Lebanon kuondoka nchi hii "haraka iwezekanavyo" katika "mazingira tete ya usalama", inaandikwa kwenye tovuti ya ushauri kwa wasafiri ya . . .
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema mfumo wa gridi ya Taifa una umeme wa kutosheleza mahitaji ya kijamii na kiuchumi.Rais Samia ameyasema hayo leo Agosti 2, 2024 . . .
Rais wa Marekani Joe Biden ameahidi katika mazungumzo yake ya simu na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu siku ya Alhamisi usiku na kumhakikisha kuwa Marekani iko tayari kulinda usalama wa Israel . . .
BUSTANI ya Uhuru Park imefungwa tena kutokana na uharibifu mkubwa uliotokea wakati wa maandamano ya vijana wa Gen Z.Japo serikali ya Kaunti ya Nairobi na ile ya kitaifa hazijatoa kiasi kamili cha hasa . . .
Jeshi la Israeli limedai kumuua mkuu wa kijeshi wa wapiganaji wa Hamas Mohammed Deif katika shambulio lake la mwezi uliopita katika mji wa Khan Yunis kusini mwa Gaza.Madai ya Israeli k . . .
Wakati akiendelea kupata shinikizo la kimataifa kuhalalisha kuchaguliwa kwake tena, rais wa Venezuela Nicolas Maduro ametishia hivi punde siku ya Jumatano Julai 31 kuwafunga viongozi wawili wa upinzan . . .
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema serikali ipo katika mchakato wa kudhibiti madaktari wanaofanya kazi kwenye hospitali zaidi ya moja na vituo vya afya binafsi.Hayo ameyasema leo Julai 30,2024 katika . . .
Zaidi ya nyumba 4,000 katika mji wa Sinuna na eneo la Uiju lililoko karibu na mpaka wa China nchini Korea Kaskazini zimekumbwa na mafuriko kutokana na mvua kubwa inayonyesha katika maeneo hayo.Haya ya . . .
Kiongozi mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, ameapa siku ya Jumatano, Julai 31, kutoa "adhabu kali" kwa Israel, inayotuhumiwa kumuua kiongozi wa Hamas wa Palestina Ismaïl Haniyeh mjini Tehran."Kwa . . .
Walimu wa Shule ya Sekondari Ivumwe inayomilikiwa na Jumuiya ya Wazazi Chama Cha Mapinduzi iliyopo Kata ya Mwakibete Jiji Mbeya wamefunga geti kwa kutumia gogo wakimzuia Mkuu wa Shule hiyo kuingia nd . . .
Maduka yote ya Stendi Kuu ya Moshi mkoani Kilimanjaro yamefungwa leo kutokana na mgomo wa wafanyabiashara hao ambao wanadai Kodi inayotozwa stendi hapo ni kubwa isiyo rafiki.Hadi Sasa wafanyabiashara . . .
Rais mpya wa Iran Massoud Pezeshkian ataapishwa mbele ya Bunge leo Jumanne Julai 30. Kisha atakuwa na siku 15 za kuwasilisha mawaziri wake kwenye Bunge kwa ajili ya kupigiwa kura ya imani mbele ya bar . . .
NAIBU wa rais nchini Amerika na mgombeaji wa kiti cha urais Kamala Harris, achangiwa $200m za kufanya kampeni.Hali hiyo ilitokea baada ya rais wa Amerika Joe Biden kutangaza kusitisha azma yake ya kuw . . .
Vyombo kadhaa vya habari nchini Afrika kusini vimeripoti kwamba, kamati ya nidhamu ya chama tawala cha African National Congress ANC imepitisha maamuzi ya kumtimua chamani aliyekuwa rais wa taifa hilo . . .
RAIS William Ruto ameahidi kuwa atawasaidia Wakenya wasiokuwa na kazi kupata ajira ughaibuni huku akilenga kuwatuliza vijana ambao wamekuwa wakimshinikiza ajiuzulu kwa kutotimiza ahadi alizotoa kabla . . .
Rehema Paulo (26) Mkazi wa kata ya Katente iliyopo wilaya ya Bukombe mkoani Geita amejeruhiwa kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali sehemu za kichwani na kukatwa viganja huku chanzo kikitajwa kuwa ni w . . .
Mamlaka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na wataalamu wa afya wana wasiwasi kwa sababu idadi ya wagonjwa wa Ndui ya nyani, ambao pia huitwa Monkeypox, inaongezeka. Zaidi ya wagonjwa 11,00 . . .
Serikali ya Brazil iliomba msamaha kwa ukiukwaji wa haki za binadamu katika mateso na kufungwa kwa wahamiaji wa Japan katika miaka ya baada ya vita ya pili ya dunia.Eneá de Stutz e Almeida, rais wa T . . .
Watu 21 wamefariki katika muda wa saa 24 katika mji wa Beni Mellal, katikati mwa Morocco, kutokana na wimbi jipya la joto linaloikumba nchi hiyo, katika kipindi cha mwaka wake wa sita mfululizo wa uka . . .
RAIS William Ruto jana alionekana kumeza ODM na kupunguza upinzani dhidi ya utawala wake baada ya kuwateua vigogo wa chama hicho kwenye baraza lake la mawaziri.Kiongozi wa nchi jana aliteua uongozi wa . . .
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameshiriki Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa katika Uwanja wa Mashujaa uliopo Mji wa Serikali Mtumba, uliopo Mkoani . . .
Waziri Mkuu wa Israel Benyamin Netanyahu alitoa hotuba Jumatano Julai 24 kwa Bunge la Marekani, zaidi ya miezi tisa baada ya shambulio la Hamas Oktoba 7 na kuanza kwa vita huko Gaza. Ziara yake ilikos . . .