logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 7, 2024

Aina mpya ya maambukizo ya Mpox yazua wasiwasi ya kusambaa zaidi

Wasiwasi inazidi kuongezeka kutokana na uwepo wa aina mpya ya maambukizo ya mpox, zamani yakifahamika kama monkeypox yaliogunduliwa nchini DR Congo na sasa katika mataifa jirani kuwa yanaweza kusambaa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 6, 2024

RAIS SAMIA AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA KIWANDA CHA SIGARA CHA SERENGETI NA UPANUZI WA KIWANDA CHA KUCHAKATA TUMBAKU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt,Samia Suluhu Hassan akiweka Jiwe la Msingi kwenye Ujenzi wa Kiwanda Cha Sigara Cha Serengeti (SCC) na Upanuzi wa Kiwanda Cha kuchakata Tumbaku (MTPL) Mk . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 6, 2024

Rais Mohammed Shahabuddin avunja Bunge

Rais wa Bangladeshi Mohammed Shahabuddin amevunja bunge siku ya Jumanne, kulingana na msemaji wa rais, na kuwaridhisha wanafunzi waliomtimua Waziri Mkuu Sheikh Hasina. "Rais amelivunja Bunge," Shiplu . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 6, 2024

Nchimbi Atoa Maagizo Kwa Mawaziri Wanne

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, ametoa maelekezo kwa Mawaziri wanne kufuatia maombi ya Wananchi wa Mwandiga Mkoani Kigoma kuhusu umeme, usalama wa raia na m . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 6, 2024

Fred Fungafunga Atabeba Kiatu Msimu ujao

Mshambuliaji wa Simba, Fredy Michael ametabiriwa kuwa mfungaji bora wa Ligi Kuu Bara msimu ujao, huku Kibu Denis akisamehewa na wana Msimbazi baada ya sakata lake la kutojiunga na kambi ya kikosi hich . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 6, 2024

Ukraine yaikosowa Mali kukata mahusiano

Ukraine imekosoa hatua ya Mali kukata uhusiano wake wa kidiplomasia na Kyiv na kuuita kama “uamuzi usiiona mbali” na uliochukuliwa haraka bila ya kufanya uchunguzi wa kina.Ukraine imeeleza kuwa ha . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 5, 2024

DCEA: Kilimo cha bhangi, mirungi kinaondoa uoto wa asili

MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imesema kuwa moja ya madhara ya Kilimo cha bhangi na mirungi ni kuondoa uoto wa asili.Hayo yamebainishwa na Afisa Elimu kutoka DCEA, Said Ma . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 5, 2024

Vituo 75 vya kupooza umeme kujengwa nchini

Naibu Waziri Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia Wiizara ya Nishati kupitia TANESCO kujenga vituo 75 vya kupokea, kupoz . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 4, 2024

Ufaransa yawataka raia wake kuondoka Lebanon bila kuchelewa

Ufaransa inawaalika raia wake, haswa wale wanaopitia, nchini Lebanon kuondoka nchi hii "haraka iwezekanavyo" katika "mazingira tete ya usalama", inaandikwa kwenye tovuti ya ushauri kwa wasafiri ya . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 2, 2024

Rais Samia "Gridi ya Taifa ina Umeme wa kutosha "

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema mfumo wa gridi ya Taifa una umeme wa kutosheleza mahitaji ya kijamii na kiuchumi.Rais Samia ameyasema hayo leo Agosti 2, 2024 . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 2, 2024

Biden "Tuko tayari kuilinda Israel kwa vitisho vya Iran"

Rais wa Marekani Joe Biden ameahidi katika mazungumzo yake ya simu na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu siku ya Alhamisi usiku na kumhakikisha kuwa Marekani iko tayari kulinda usalama wa Israel . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • August 1, 2024

Bustani ya Uhuru Park yafungwa tena kufuatia maandamano ya Gen Z

BUSTANI ya Uhuru Park imefungwa tena kutokana na uharibifu mkubwa uliotokea wakati wa maandamano ya vijana wa Gen Z.Japo serikali ya Kaunti ya Nairobi na ile ya kitaifa hazijatoa kiasi kamili cha hasa . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • August 1, 2024

Israeli imedai kumuua mkuu wa kijeshi wa Hamas Mohammed Deif katika shambulio

Jeshi la Israeli limedai kumuua mkuu wa kijeshi wa wapiganaji wa Hamas Mohammed Deif katika shambulio lake la mwezi uliopita katika mji wa  Khan Yunis kusini mwa Gaza.Madai ya Israeli k . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 1, 2024

Venezuela: Rais Maduro atishia kuwafunga viongozi wa upinzani

Wakati akiendelea kupata shinikizo la kimataifa kuhalalisha kuchaguliwa kwake tena, rais wa Venezuela Nicolas Maduro ametishia hivi punde siku ya Jumatano Julai 31 kuwafunga viongozi wawili wa upinzan . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • July 31, 2024

SERIKALI KUDHIBITI MADAKTARI WANAOFANYA KAZI ZAIDI YA KITUO/HOSPITALI MOJA

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema serikali ipo katika mchakato wa kudhibiti madaktari wanaofanya kazi kwenye hospitali zaidi ya moja na vituo vya afya binafsi.Hayo ameyasema leo Julai 30,2024 katika . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 31, 2024

Maelfu ya nyumba yakumbwa na mafuriko Korea Kaskazini

Zaidi ya nyumba 4,000 katika mji wa Sinuna na eneo la Uiju lililoko karibu na mpaka wa China nchini Korea Kaskazini zimekumbwa na mafuriko kutokana na mvua kubwa inayonyesha katika maeneo hayo.Haya ya . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 31, 2024

Kifo cha kiongozi wa Hamas: Kiongozi mkuu wa Iran aahidi 'adhabu kali' kwa Israeli

Kiongozi mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, ameapa siku ya Jumatano, Julai 31, kutoa "adhabu kali" kwa Israel, inayotuhumiwa kumuua kiongozi wa Hamas wa Palestina Ismaïl Haniyeh mjini Tehran."Kwa . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • July 30, 2024

Walimu wa shule inayomilikiwa na CCM wagoma

Walimu wa Shule ya Sekondari Ivumwe inayomilikiwa na Jumuiya ya Wazazi Chama Cha Mapinduzi iliyopo Kata ya Mwakibete Jiji Mbeya wamefunga geti kwa kutumia gogo wakimzuia Mkuu wa Shule hiyo kuingia nd . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 30, 2024

Wafanyabiashara stendi ya Moshi wafunga maduka yao

Maduka yote ya Stendi Kuu ya Moshi mkoani Kilimanjaro yamefungwa leo kutokana na mgomo wa wafanyabiashara hao ambao wanadai Kodi inayotozwa stendi hapo ni kubwa isiyo rafiki.Hadi Sasa wafanyabiashara . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 30, 2024

Rais wa Iran kuapishwa: Baada ya miezi miwili madarakani, Massoud Pezeshkian ashindwa kujizatiti

Rais mpya wa Iran Massoud Pezeshkian ataapishwa mbele ya Bunge leo Jumanne Julai 30. Kisha atakuwa na siku 15 za kuwasilisha mawaziri wake kwenye Bunge kwa ajili ya kupigiwa kura ya imani mbele ya bar . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 29, 2024

Kamala Harris achangiwa $200 milioni za kampeni

NAIBU wa rais nchini Amerika na mgombeaji wa kiti cha urais Kamala Harris, achangiwa $200m za kufanya kampeni.Hali hiyo ilitokea baada ya rais wa Amerika Joe Biden kutangaza kusitisha azma yake ya kuw . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • July 29, 2024

Rais wa zamani wa Afrika Kusini Jacob Zuma afukuzwa ANC

Vyombo kadhaa vya habari nchini Afrika kusini vimeripoti kwamba, kamati ya nidhamu ya chama tawala cha African National Congress ANC imepitisha maamuzi ya kumtimua chamani aliyekuwa rais wa taifa hilo . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • July 29, 2024

Ruto "Tutalipia nauli za ndege Wakenya wanaoenda kufanya kazi ughaibuni "

RAIS William Ruto ameahidi kuwa atawasaidia Wakenya wasiokuwa na kazi kupata ajira ughaibuni huku akilenga kuwatuliza vijana ambao wamekuwa wakimshinikiza ajiuzulu kwa kutotimiza ahadi alizotoa kabla . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • July 28, 2024

Akatwa viganja kisa wivu wa mapenzi

Rehema Paulo (26) Mkazi wa kata ya Katente iliyopo wilaya ya Bukombe mkoani Geita amejeruhiwa kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali sehemu za kichwani na kukatwa viganja huku chanzo kikitajwa kuwa ni w . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 28, 2024

DRC: Mlipuko wa Ndui ya nyani waua zaidi ya watu 400, mamlaka yatiwa wasiwasi

Mamlaka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na wataalamu wa afya wana wasiwasi kwa sababu idadi ya wagonjwa wa Ndui ya nyani, ambao pia huitwa Monkeypox, inaongezeka. Zaidi ya wagonjwa 11,00 . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 26, 2024

Brazil yaomba msamaha kwa mateso ya wahamiaji wa Japan

Serikali ya Brazil iliomba msamaha kwa ukiukwaji wa haki za binadamu katika mateso na kufungwa kwa wahamiaji wa Japan katika miaka ya baada ya vita ya pili ya dunia.Eneá de Stutz e Almeida, rais wa T . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • July 26, 2024

Wimbi jipya la joto nchini Morocco laua watu 21 ndani ya saa 24

Watu 21 wamefariki katika muda wa saa 24 katika mji wa Beni Mellal, katikati mwa Morocco, kutokana na wimbi jipya la joto linaloikumba nchi hiyo, katika kipindi cha mwaka wake wa sita mfululizo wa uka . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • July 25, 2024

Ruto alivyoimaliza ODM kupunguza upinzani dhidi ya utawala wake

RAIS William Ruto jana alionekana kumeza ODM na kupunguza upinzani dhidi ya utawala wake baada ya kuwateua vigogo wa chama hicho kwenye baraza lake la mawaziri.Kiongozi wa nchi jana aliteua uongozi wa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 25, 2024

Maadhimisho siku ya Mashujaa Mtumba

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameshiriki Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa katika Uwanja wa Mashujaa uliopo Mji wa Serikali Mtumba, uliopo Mkoani . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 25, 2024

Benjamin Netanyahu aapa kuendelea na vita Gaza mbele ya Bunge la Marekani lililogawanyika

Waziri Mkuu wa Israel Benyamin Netanyahu alitoa hotuba Jumatano Julai 24 kwa Bunge la Marekani, zaidi ya miezi tisa baada ya shambulio la Hamas Oktoba 7 na kuanza kwa vita huko Gaza. Ziara yake ilikos . . .

Kurasa 45 ya 130

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Miaka kumi ya Jembefm

    • 11 masaa yaliopita
  • Madhara ya kichokonoo kwenye meno

    • 11 masaa yaliopita
  • Chaguzi za UDA kupima nguvu zake Mlima Kenya

    • 12 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode