logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
matukio
  • Na Asha Business
  • November 24, 2025

Polisi Wakamata Wahamiaji Haramu 14 Kwenye Gari la Abiria

eshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linawashikilia wahamiaji haramu 14 raia wa Burundi waliokamatwa wakiwa wameingia nchini kinyume cha sheria kwa kutumia magari mawili ya abiria.Taarifa hiyo imetolewa na K . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 24, 2025

Emmanuel Macron nchini Gabon, ziara ya kwanza tangu Brice Oligui Nguema aingie Madarakani

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron ameanza ziara ya kiserikali nchini Gabon siku ya Jumapili, Novemba 23, yenye lengo la "kuimarisha na kufufua" ushirikiano wa pande mbili, miaka miwili baada ya kumaliz . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 24, 2025

Papa atoa wito wa kuachiliwa 'mara moja' kwa wanafunzi waliotekwa nyara Nigeria

Kiongozi wa kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV ametoa wito siku ya Jumapili, Novemba 23, wa kuachiliwa "mara moja" kwa wanafunzi na walimu zaidi ya 300 waliotekwa nyara na watu wenye silaha kutoka . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • November 24, 2025

Dkt, Jafari awataka watoa huduma za afya kuacha lugha chafu kwa wagonjwa

Naibu Waziri wa TAMISEMI anayeshughulikia masuala ya afya, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Busanda, Dkt. Jafari Rajabu Seif, ametoa wito kwa watumishi wa afya kote nchini kuhakikisha wanatumia lugha . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • November 24, 2025

Wahamiaji haramu 14 raia wa Burundi waliokamatwa mkoa wa Mwanza

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linawashikilia wahamiaji haramu 14 raia wa Burundi waliokamatwa wakiwa wameingia nchini kinyume na sheria kwa kutumia usafiri wa magari mawili tofauti ya abilia.Taarifa . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • November 24, 2025

AFC/M23 yachukua udhibiti wa Mahanga, moja ya mji wa Masisi

Waasi wa AFC/M23 wanakalia mji wa Mahanga, mji ulio katika wilaya ya Masisi, tangu Jumamosi Novemba 22. Mji wa Mahanga unapatikana zaidi ya kilomita 150 magharibi mwa Goma.Kusonga mbele kwa waasi kuli . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 24, 2025

Waziri Ulega Awasimamisha Watumishi wa TANROADS Kufuatia Foleni Kubwa Mikese

Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ameagiza kusimamishwa kazi kwa watumishi wa Wakala wa Barabara wa Taifa (TANROADS) waliohusika na uzembe wa kutoshughulikia tatizo la mizani ya Mikese mkoani Morogoro . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 24, 2025

Yapo matumaini kuelekea amani nchini Ukraine

Ikulu ya White House imesema siku ya Jumapili kwamba mazungumzo kuhusu pendekezo la Marekani la kuvimaliza vita nchini Ukraine yalionyesha "matumaini makubwa."Ikulu ya White House aidha imethibitisha . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • November 22, 2025

Dkt.Samia awatunuku Kamisheni JWTZ Monduli

Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe,Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwavisha Bawa la Urubani wahitimu wa Urubani wakati wa hafla ya kutunuku Kami . . .

Uwekezaji
  • Na Jembe Digital
  • November 22, 2025

Wenyeviti wa mitaa Njombe mjini watembelea miradi inayoendelea kutekelezwa NJUWASA

 Wenyeviti wa Mitaa yote 27 kutoka katika kata za Njombe Mijini, Ramadhani na Mjimwema wamefanya ziara ya kutembelea miradi ya NJUWASA inayokwenda kuboresha huduma ya maji safi na usafi wa mazing . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • November 22, 2025

Waajiriwa wapya tume ya madini watakiwa Kuzingatia maadili na kuepuka vishawishi

WAAJIRIWA wapya wa Tume ya Madini wametakiwa kufuata kikamilifu miongozo, kanuni na taratibu za utumishi wa umma, sambamba na kudumisha maadili na uadilifu wanapoanza kutekeleza majukumu yao.Wito huo . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • November 22, 2025

Ajuza 115, apigania ardhi na mjukuu wake

MWANA wa aliyekuwa mkuu wa kampuni ya Gateway Insurance, marehemu Godfrey Wairegi, ameungana na mama yake katika mzozo dhidi ya nyanya yake mwenye umri wa miaka 115 kuhusu umiliki wa ardhi ya thamani . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • November 22, 2025

Tanzania yajipanga kuzalisha bidhaa zitokanazo na madini nchini

Tanzania yaendelea kupiga hatua katika Mpango wa ujenzi wa viwanda vya uongezaji thamani madini kutokana na ujenzi wa kiwanda kipya cha usindikaji na uyeyushaji madini ya Nikeli na Shaba kufikia asil . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • November 22, 2025

Prof. Msoffe amefanya mazungumzo na Mkuu wa Kitengo cha Kuhimili Mabadiliko ya Tabianchi

Naibu Katibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais Prof. Peter Msoffe amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Kitengo cha Kuhimili Mabadiliko ya Tabianchi, Shirika la Umoja wa Mataifa la Mazingi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 22, 2025

Ufaransa kuwaondoa wafanyakazi wake Mali

Duru kutoka wizara ya mambo ya nje ya Ufaransa imesema nchi hiyo imeanza kupunguza wafanyakazi wake wa kidiplomasia nchini Mali kutokana na hali mbaya ya usalama katika taifa hilo la Afrika Magharibi. . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 22, 2025

Dk. Mwigulu Avunja Ukimya, Asema Mabasi ya Ester Sio Mali Yake

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mwigulu Nchemba, ameibuka na kuweka wazi kuhusu uvumi unaosambazwa katika mitandao ya kijamii kwamba anaumiliki kampuni ya mabasi ya Ester. Akiwahut . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • November 22, 2025

Prof, Kabudi aagiza waandishi na wachapaji wa vitabu kuunda Shirikisho

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi ametoa agizo kwa Waandishi na Wachapishaji wa Vitabu kuunda Shirikisho ili waweze kuongeza sifa za kupata mikopo kwa urahis . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • November 22, 2025

Zifahamu Sababu zinazochangia vijana kuwanyanyasa wake zao na nini kifanyike

Katika jamii ya leo,matukio ya vijana kuwanyanyasa wake zao yanaonekana kuongezeka na kusababisha uharibikaji wa ndoa nyingi. Huku chanzo cha tatizo hili sikitu kimoja bali ni mchanganyiko wa sab . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 22, 2025

Zaidi ya wanafunzi 200 na walimu wa shule ya Kikatoliki wametekwa nyara

Idadi ya wanafunzi waliotekwa nyara katika shule ya Kikatoliki katika Jimbo la Niger, katikati mwa Nigeria, siku ya Ijumaa, Novemba 21, ilifichuliwa jioni y siku hiyo na Chama cha Wakristo nchini Nige . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 22, 2025

Vyombo vya habari vinakabiliwa na shinikizo kutoka kwa mamlaka

Nchini Mali, wakati wa miaka mitano ya Mpito, uhuru wa raia umepunguzwa kwa kiasi kikubwa. Vyama vya siasa vimevunjwa, vyombo vya habari na mitandao ya kijamii vinafuatiliwa kwa karibu, na kesi za kis . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 21, 2025

China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

China imesaini makubaliano ya mradi wa dola bilioni 1.4 na Zambia na Tanzania, kuboresha barabara ya reli ya TAZARA inayoyaunganisha Zambia, ambayo haina bahari na Tanzania yenye bahari ya Hindi.Barab . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • November 21, 2025

Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

Watu waliojihami kwa silaha wanadaiwa kuwateka nyara wanafunzi 52 katika shule moja ya kikatoliki katika jimbo la Niger nchini Nigeria.Taarifa kutoka kwa serikali ya jimbo hilo imethibitisha kutokea k . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • November 21, 2025

Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameelekeza Jeshi la Polisi na Uhamiaji kuhakikisha wanamkamata na kuzuia hati ya kusafiria ya mkandarasi anayejenga mradi wa Kituo . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • November 21, 2025

Uhamiaji Simiyu yaendelea na jitihada za kudhibiti Wahamiaji haramu

‎Ofisi ya Uhamiaji Wilaya ya Busega Mkoani Simiyu inaendelea na juhudi za kuhakikisha usalama wa Taifa kwa kudhibiti wahamiaji haramu kupitia oparesheni na utoaji wa elimu kwa wadau mbalimbali wa us . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • November 21, 2025

Serikali kufuatilia Makala ya CNN kuhusu maandamano ya uchaguzi oktoba 29

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesema inafuatilia kwa umakini makala iliyochapishwa na kurushwa na chombo cha habari cha kimataifa CNN, yenye maudhui yanayohusishwa na maandamano ya Siku . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • November 21, 2025

Dkt, Samia anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi siku mbili mkoani Arusha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi ya siku mbili mkoani Arusha kuanzia tarehe 21 hadi Novemba 22 mwaka huu.Rais Samia anataraji . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • November 21, 2025

Kesi ya 3 yawasilishwa kupinga ujenzi wa Chuo Kikuu cha Nyamira

MKAZI mmoja wa Nyamira ameelekea kortini kulenga kuzuia Mawaziri watatu kuendelea na ujenzi wa Chuo Kikuu cha Nyamira katika eneo Kiabonyoru, kituo kilichoteuliwa na Rais William Ruto.Bw Peter Ariga M . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • November 21, 2025

Kanu ahukumiwa kifungo cha maisha jela Nigeria

“Nia yake ilikuwa wazi kabisa kwani aliamini kwa kutumia vurugu. Vitisho hivi vya vurugu vilikuwa ni matendo ya kigaidi, ambayo yalitekelezwa na wafuasi wake”.Mahakama ya Nigeria imemhukumu Nnamdi . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 21, 2025

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Aagiza Mkandarasi Kukamatwa Na Kuzuia Hati Yake

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameelekeza Jeshi la Polisi na Uhamiaji kuhakikisha wanamkamata na kuzuia hati ya kusafiria ya mkandarasi anayejenga mradi wa Kituo . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • November 21, 2025

Kiongozi wa upinzani Issa Tchiroma Bakary atoa wito wa watu 'kusalia nyumbani'

Nchini Cameroon, kiongozi wa upinzani Issa Tchiroma Bakary ametangaza siku nyingine ya watu "kusalia numbani" leo Ijumaa, Novemba 21, kwa heshima, aliyoitaja, kwa waathiriwa wa ghasia za baada ya ucha . . .

Kurasa 7 ya 129

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Mbappé Avunja Ukimya wa Miaka 12 Real Madrid, Aifikia Rekodi ya Ronaldo

    • 9 masaa yaliopita
  • SIMBACHAWENE AVIOMBA VYOMBO VYA HABARI KUFANYA UTAFITI JUU YA RUSHWA

    • jana
  • UN yaomba ufadhili wa dharura kuhudumia wakimbizi Burundi

    • jana

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode