logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 8, 2026

EU Yasisitiza Greenland Haiwezi Kujadiliwa Bila Denmark

Rais wa Baraza la Umoja wa Ulaya Antonio Costa amesema kuwa Umoja wa Ulaya utaiunga mkono Greenland na Denmark inapohitajika na hautakubali ukiukaji wa sheria za kimataifa popote pale unapotokea. . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 8, 2026

Wanajeshi Wengi Wauawa Katika Uvamizi wa Marekani Venezuela

Waziri wa Mambo ya Ndani wa Venezuela Diosdado Cabello amesema watu 100 wameuawa katika shambulio la Marekani mnamo siku ya Jumamosi lililomuondoa Rais Nicolás Maduro madarakani.Ambapo Serikali ya Ve . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • January 7, 2026

EWURA Yatangaza Mabadiliko ya Bei za Mafuta

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei mpya za mafuta ya petroli zitakazotumika kuanzia leo Januari 7, 2026 saa 6:01 usiku.Kwenye mabadiliko haya, bei ya petroli imepa . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 7, 2026

Fahamu Kijiji cha Wamiliki wa Ndege Florida

Kijiji cha Spruce Creek Fly-In Florida ni eneo la kipekee ambapo wakazi wake wengi wanamiliki ndege binafsi. Makazi yamejengwa kuzunguka uwanja wa ndege wa futi 4,000 na nyuzi nyingi zina majengo ya k . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 7, 2026

Mwanaume ashikiliwa Mvomero kwa Kumng’oa Kinguvu Mwanawe

Jeshi la Polisi mkoani Morogoro linamshikilia mwanaume mwenye umri wa miaka 33 mkazi wa eneo la Katindiuka, wilayani Mvomero, kwa tuhuma za kumwingilia kimwili mtoto wake wa kike mwenye umri wa miaka . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • January 7, 2026

Watatu mbaroni kwa tuhuma mauaji, ubakaji

Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro, limewakamata watuhumiwa watatu wa matukio tofauti ya mauaji na ukatili wa kijinsia yaliyotokea mkoani hapa akiwamo Helakumi Kacheli (50), akijaribu kujiua kwa kujikat . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 7, 2026

Mtoto wa miaka 13 Amnunulia Mama Gari

Kijana mmoja wa kiume mwenye umri wa miaka 13 William Rabillo kutoka Nevada nchini Marekani ametikisa mitandao ya kijamii baada ya kufanikiwa kumnunulia mama yake gari kufuatia kazi ya kukata nyasi al . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 7, 2026

Mabasi 30 Ya Udart Kurejea Barabarani, Huduma Kufika Mloganzila – Prof. Shemdoe

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI, Prof. Riziki Shemdoe amefanya ziara ya ukaguzi katika karakana ya UDART eneo la Ubungo Jijini Dar es Salaam, ili kujionea hatua za ukarabati wa mabas . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • January 7, 2026

Israel kufungua ubalozi mjini Hargeisa Somaliland

Waziri wa mambo ya nje wa Israel Gideon Saar ameahidi kwamba nchi yake itakuza uhusiano wenye mafanikio na Somaliland baada ya kuwa nchi ya kwanza kutambua uhuru wa eneo hilo lililojitenga na Somalia. . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • January 7, 2026

Raia wa Congo walifariki wakiwa katika kambi za wakimbizi Burundi

Shirika la Wananchi la Amani na Uwiano wa Jamii (CPCC), limesema hivi majuzi kwamba takriban raia 105 kutoka DRC wamefariki dunia katika kipindi cha wiki mbili zilizopita wakiwa kambini huko nchini Bu . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 7, 2026

Marekani "Tunaweza kutumia jeshi kuchukua kisiwa cha Greenland"

Rais Donald Trump, anathmini njia za namna Marekani inavyoweza kuchukua na kudhibiti kisiwa cha Greenland, kinachomilikiwa na Denmark.Ikulu ya White House imesema, matumizi ya kijeshi ni njia mojawapo . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • January 7, 2026

Somalia yalaani ziara ya Waziri wa mambo ya kigeni wa Israel Somaliland

Hatua ya Waziri wa Mambo ya nje wa Israel Gideon Saar kuzuru jimbo la Somaliland siku 10 baada ya kulitambua jimbo hilo kama nchi huru, imeshtumiwa vikali na Somalia ambayo imetaja kitendo hicho kama . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 6, 2026

Delcy aapishwa kuwa Rais wa mpito Venezuela

Delcy Rodríguez ameapishwa kuwa Rais wa mpito wa Venezuela kufuatia kikao cha bunge kilichoanza kwa wito wa kutaka kuachiliwa kwa Rais aliyeelezwa kuondolewa madarakani Nicolás Maduro anayezuiliwa n . . .

Teknolojia
  • Na Asha Business
  • January 6, 2026

Ripoti "Robo ya wateja hawana imani na malipo ya data, SMS ya Safaricom"

TAKRIBANI robo ya wateja wa Safaricom (asilimia 23) hawana imani na ada wanazotozwa kwa matumizi ya data na jumbe fupi (SMS), kulingana na utafiti wa mdhibiti wa sekta unaoangazia mienendo ya utozaji . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 6, 2026

Elon Musk ametoa Internet bure Venezuela

Bilionea namba moja duniani Elon Musk ametoa bure huduma ya internet kwa wananchi wa Venezuela.Ambapo huduma hii ametoa kuanzia january 3 hadi february 3 ikiwa ni juhudi za kuwaunga mkono wananchi wa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 6, 2026

Mama Maria Nyerere apokea nishani ya baba wa Taifa

Mjane wa Baba wa Taifa na Rais wa Kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Maria Nyerere amepokea nishani ya heshima kutoka Jamhuri ya Angola ya kutambua mchango wa Hayati Baba wa Taifa, Mwalim . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • January 6, 2026

Ripoti yasema majanga kutokana na mabadiliko ya tabia nchi yaongeza matatizo ya akili

RIPOTI ya Shirika la Afya Duniani (WHO) ya mwaka 2024 imeiweka Kenya katika nafasi ya nne barani Afrika kwa idadi ya watu walioathiriwa na matatizo ya afya ya akili, wanaokadiriwa kuwa milioni 1.9 huk . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 6, 2026

Watu 29 wamefariki katika maandamano dhidi ya serikali Iran

Maandamano makubwa yanayoendelea nchini Iran yameingia wiki ya pili huku idadi ya watu waliopoteza maisha ikifikia 29, kwa mujibu wa taarifa za wanaharakati wa haki za binadamu.Watu 29 wamefariki duni . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 6, 2026

Urusi na China zatoa wito kwa Marekani kumuachilia Maduro

Urusi na China zimetoa wito kwa Marekani kumuachilia kiongozi wa Venezuela Nicolás Maduro pamoja na mke wake Cilia Flores kufuatia kukamatwa kwao katika operesheni ya kijeshi ya Marekani iliyofanyika . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 6, 2026

Maduro ajitetea mahakamani baada ya kukamatwa na Marekani

Kiongozi wa Venezuela Nicolás Maduro amejitangaza kuwa "rais halali wa Venezuela" wakati akipinga kukamatwa kwake nchini Marekani na amekanusha mashtaka mazito ya usafirishaji wa dawa za kulevya.Nico . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 6, 2026

Waziri Mkuu Mwigulu Aagiza Upanuzi wa Nafasi kwa Wachezaji Wazawa Kujiandaa AFCON 2027

Waziri Mkuu wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba, ametoa agizo kwa wizara za michezo na mashirikisho ya soka nchini (TFF na ZFA) kuangalia upya kanuni za mashindano ili kuwapa nafasi zaidi wachezaji wazaw . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 6, 2026

Rais Ndayishimiye akosoa matamshi ya Waziri wake kuhusu Qatar

Nchini Burundi, Rais Evariste Ndayishimiye alilazimika kumkemea waziri wake wa mambo ya nje baada ya waziri huyo kutuma ujumbe wa kuikosoa Qatar. Ujumbe huo uliochapishwa kwenye mitandao ya kijamii Ju . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 5, 2026

Operesheni ya kumkamata Maduro yasababisha vifo 32

Cuba imethibitisha kuwa raia wake 32 waliuawa wakati wa operesheni ya Marekani ya kumkamata Nicolás Maduro.Nchi inayoongozwa kikomunisti ambayo inategemea mafuta ya Venezuela - ilikuwa ikisimamia uli . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 5, 2026

Watatu familia moja wafariki kwa moto

Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Mara, Agostino Magere amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kubainisha kuwa chanzo cha moto huo kinachunguzwa.Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 5, 2026

Kacheri asakwa na polisi kwa kumuua mkewe

. . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 5, 2026

Trump atoa onyo kali kwa Makamu wa Rais wa Venezuela

Rais wa Marekani Donald TrumP ametoa kauli kali dhidi ya Makamu wa Rais wa Venezuela Delcy Rodríguez akionyesha msimamo mkali wa Washington kuhusu uongozi wa Caracas.Katika mahojiano na  vyombo . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 5, 2026

Zelensky aanza msururu wa mazungumzo ya amani

. . .

matukio
  • Na Asha Business
  • January 5, 2026

Watu 114 wameuawa katika kipindi cha wiki moja Darfur

Watu 114 wameuwa nchini Sudan, baada ya kushuhudiwa kwa makabiliano makali kati ya wanajeshi wa wanamgambo wa RSF, Magharibi mwa jimbo la Darfur kwa kipindi cha wiki moja iliyopita.Madaktari wamethibi . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 5, 2026

Kata ya Kirua, Vunjo na Mindu kupiga kura leo kuchagua madiwani

Jumla ya Wapiga Kura 20,851 walioandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura watashiriki katika uchaguzi wa kuchagua madiwani katika Kata ya Kirua Vunjo Magharibi iliyopo katika Halmashauri ya . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 5, 2026

Rais Trump amuonya kiongozi mpya wa Venezuela

Aliyekuwa rais wa Venezuela Nicolas Maduro aliyekamatwa pamoja mkewe Cilia Flores wakati wa operesheni maalum iliyotekelezwa na vikosi vya Marekani anatarajiwa kufikishwa Mahakamani siku ya Jumatatu, . . .

Kurasa 7 ya 138

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Nchemba Awaagiza Viongozi Kutatua Kero za Wananchi

    • 2 siku zilizopita
  • Spika Zungu: Hakuna Udini Kwenye Miradi ya Utalii

    • 2 siku zilizopita
  • Ukraine na Urusi zimefanya ubadilishanaji wa wafungwa

    • 2 siku zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode