Rais wa Baraza la Umoja wa Ulaya Antonio Costa amesema kuwa Umoja wa Ulaya utaiunga mkono Greenland na Denmark inapohitajika na hautakubali ukiukaji wa sheria za kimataifa popote pale unapotokea. . . .
Waziri wa Mambo ya Ndani wa Venezuela Diosdado Cabello amesema watu 100 wameuawa katika shambulio la Marekani mnamo siku ya Jumamosi lililomuondoa Rais Nicolás Maduro madarakani.Ambapo Serikali ya Ve . . .
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei mpya za mafuta ya petroli zitakazotumika kuanzia leo Januari 7, 2026 saa 6:01 usiku.Kwenye mabadiliko haya, bei ya petroli imepa . . .
Kijiji cha Spruce Creek Fly-In Florida ni eneo la kipekee ambapo wakazi wake wengi wanamiliki ndege binafsi. Makazi yamejengwa kuzunguka uwanja wa ndege wa futi 4,000 na nyuzi nyingi zina majengo ya k . . .
Jeshi la Polisi mkoani Morogoro linamshikilia mwanaume mwenye umri wa miaka 33 mkazi wa eneo la Katindiuka, wilayani Mvomero, kwa tuhuma za kumwingilia kimwili mtoto wake wa kike mwenye umri wa miaka . . .
Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro, limewakamata watuhumiwa watatu wa matukio tofauti ya mauaji na ukatili wa kijinsia yaliyotokea mkoani hapa akiwamo Helakumi Kacheli (50), akijaribu kujiua kwa kujikat . . .
Kijana mmoja wa kiume mwenye umri wa miaka 13 William Rabillo kutoka Nevada nchini Marekani ametikisa mitandao ya kijamii baada ya kufanikiwa kumnunulia mama yake gari kufuatia kazi ya kukata nyasi al . . .
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI, Prof. Riziki Shemdoe amefanya ziara ya ukaguzi katika karakana ya UDART eneo la Ubungo Jijini Dar es Salaam, ili kujionea hatua za ukarabati wa mabas . . .
Waziri wa mambo ya nje wa Israel Gideon Saar ameahidi kwamba nchi yake itakuza uhusiano wenye mafanikio na Somaliland baada ya kuwa nchi ya kwanza kutambua uhuru wa eneo hilo lililojitenga na Somalia. . . .
Shirika la Wananchi la Amani na Uwiano wa Jamii (CPCC), limesema hivi majuzi kwamba takriban raia 105 kutoka DRC wamefariki dunia katika kipindi cha wiki mbili zilizopita wakiwa kambini huko nchini Bu . . .
Rais Donald Trump, anathmini njia za namna Marekani inavyoweza kuchukua na kudhibiti kisiwa cha Greenland, kinachomilikiwa na Denmark.Ikulu ya White House imesema, matumizi ya kijeshi ni njia mojawapo . . .
Hatua ya Waziri wa Mambo ya nje wa Israel Gideon Saar kuzuru jimbo la Somaliland siku 10 baada ya kulitambua jimbo hilo kama nchi huru, imeshtumiwa vikali na Somalia ambayo imetaja kitendo hicho kama . . .
Delcy Rodríguez ameapishwa kuwa Rais wa mpito wa Venezuela kufuatia kikao cha bunge kilichoanza kwa wito wa kutaka kuachiliwa kwa Rais aliyeelezwa kuondolewa madarakani Nicolás Maduro anayezuiliwa n . . .
TAKRIBANI robo ya wateja wa Safaricom (asilimia 23) hawana imani na ada wanazotozwa kwa matumizi ya data na jumbe fupi (SMS), kulingana na utafiti wa mdhibiti wa sekta unaoangazia mienendo ya utozaji . . .
Bilionea namba moja duniani Elon Musk ametoa bure huduma ya internet kwa wananchi wa Venezuela.Ambapo huduma hii ametoa kuanzia january 3 hadi february 3 ikiwa ni juhudi za kuwaunga mkono wananchi wa . . .
Mjane wa Baba wa Taifa na Rais wa Kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Maria Nyerere amepokea nishani ya heshima kutoka Jamhuri ya Angola ya kutambua mchango wa Hayati Baba wa Taifa, Mwalim . . .
RIPOTI ya Shirika la Afya Duniani (WHO) ya mwaka 2024 imeiweka Kenya katika nafasi ya nne barani Afrika kwa idadi ya watu walioathiriwa na matatizo ya afya ya akili, wanaokadiriwa kuwa milioni 1.9 huk . . .
Maandamano makubwa yanayoendelea nchini Iran yameingia wiki ya pili huku idadi ya watu waliopoteza maisha ikifikia 29, kwa mujibu wa taarifa za wanaharakati wa haki za binadamu.Watu 29 wamefariki duni . . .
Urusi na China zimetoa wito kwa Marekani kumuachilia kiongozi wa Venezuela Nicolás Maduro pamoja na mke wake Cilia Flores kufuatia kukamatwa kwao katika operesheni ya kijeshi ya Marekani iliyofanyika . . .
Kiongozi wa Venezuela Nicolás Maduro amejitangaza kuwa "rais halali wa Venezuela" wakati akipinga kukamatwa kwake nchini Marekani na amekanusha mashtaka mazito ya usafirishaji wa dawa za kulevya.Nico . . .
Waziri Mkuu wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba, ametoa agizo kwa wizara za michezo na mashirikisho ya soka nchini (TFF na ZFA) kuangalia upya kanuni za mashindano ili kuwapa nafasi zaidi wachezaji wazaw . . .
Nchini Burundi, Rais Evariste Ndayishimiye alilazimika kumkemea waziri wake wa mambo ya nje baada ya waziri huyo kutuma ujumbe wa kuikosoa Qatar. Ujumbe huo uliochapishwa kwenye mitandao ya kijamii Ju . . .
Cuba imethibitisha kuwa raia wake 32 waliuawa wakati wa operesheni ya Marekani ya kumkamata Nicolás Maduro.Nchi inayoongozwa kikomunisti ambayo inategemea mafuta ya Venezuela - ilikuwa ikisimamia uli . . .
Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Mara, Agostino Magere amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kubainisha kuwa chanzo cha moto huo kinachunguzwa.Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto . . .
Rais wa Marekani Donald TrumP ametoa kauli kali dhidi ya Makamu wa Rais wa Venezuela Delcy Rodríguez akionyesha msimamo mkali wa Washington kuhusu uongozi wa Caracas.Katika mahojiano na vyombo . . .
Watu 114 wameuwa nchini Sudan, baada ya kushuhudiwa kwa makabiliano makali kati ya wanajeshi wa wanamgambo wa RSF, Magharibi mwa jimbo la Darfur kwa kipindi cha wiki moja iliyopita.Madaktari wamethibi . . .
Jumla ya Wapiga Kura 20,851 walioandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura watashiriki katika uchaguzi wa kuchagua madiwani katika Kata ya Kirua Vunjo Magharibi iliyopo katika Halmashauri ya . . .
Aliyekuwa rais wa Venezuela Nicolas Maduro aliyekamatwa pamoja mkewe Cilia Flores wakati wa operesheni maalum iliyotekelezwa na vikosi vya Marekani anatarajiwa kufikishwa Mahakamani siku ya Jumatatu, . . .