logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 26, 2025

Ulega aruhusu magari kutumia barabara ya nwendokasi ya Gongo la Mboto

Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ametoa ruhusa kwa magari ya abiria kuanza kutumia barabara ya Mabasi Yaendayo Haraka Awamu ya tatu inayoanzia katikati ya jiji la Dar es Salaam kupitia Uwanja wa Ndege . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 26, 2025

Jeshi la Sudan lasema limezuia shambulizi la RSF

Jeshi la Sudan limesema limezuia shambulizi la wanamgambo wa RSF kwenye mji muhimu kusini mwa nchi hiyo jana Jumanne, huku Marekani ikizihimiza pande zote mbili kukubali pendekezo la kusitisha mapigan . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 26, 2025

Rais Trump kumtuma mjumbe Witkoff kukutana na Rais Putin

Rais Donald Trump wa Marekani amesema Jumanne kwamba anamtuma mjumbe wake Steve Witkoff kukutana na Rais wa Urusi Vladimir Putin huko Moscow wiki ijayo, kama sehemu ya mpango wake wa kuvimaliza vita n . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • November 26, 2025

Mwanza wafanyabiashara wahimizwa kuzingatia ulinzi

Wafanyabiashara wa Mkoa wa Mwanza wamehimizwa kuimarisha ulinzi shirikishi na kushirikiana kwa karibu na vyombo vya dola katika kukabiliana na vitendo vya uhalifu katika maeneo Yao ya Kibiashara.Katik . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • November 26, 2025

Umoja wa Ulaya kulisaidia jeshi la DRC kuboresha oparesheni zake

Umoja wa Ulaya  katika taarifa kwa vyombo vya habari  mapema wiki hii ulitangaza kutoa  karibia Euro Milioni 10 kwa  FARDC kabla ya mwisho wa mwaka ujao kuboresha operesheni ya jes . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • November 25, 2025

Dkt,Mwigulu amefanya mazungumzo na Wahariri wa vyombo vya habari leo

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba amezungumza na Wahariri wa vyombo vya habari nchini kwenye kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere, Novemba 25 mwaka huu.Katika mkutano huo  ametoa wi . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • November 25, 2025

Tanzania na Estonia kuimarisha ushirikiano katika masuala ya kidijitali

Serikali ya Tanzania na Serikali ya Estonia zimekubaliana kuendelea kuimarisha ushirikiano katika sekta mbalimbali zenye maslahi mapana kwa nchi hizi mbili ikiwemo maendeleo na mageuzi ya tekolojia ya . . .

Uwekezaji
  • Na Jembe Digital
  • November 25, 2025

Kuelekea Mnada wa Tatu wa Madini ya Vito Wafanyabiashara Waendelea Kupeleta Madini katika kituo cha TGC

Wafanyabiashara wa madini nchini wameendelea kuwasilisha madini mbalimbali katika Kituo cha Jemolojia Tanzania (TGC) kama sehemu ya maandalizi ya kuelekea mnada wa tatu wa madini ya vito unaotarajiwa . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • November 25, 2025

Wizara ya habari yaanza tathmini ya utekelezaji mpango Mkakati wake

Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo pamoja na Taasisi zake imeanza kufanya Tathmini ya Utekelezaji wa Mpango Mkakati wa Wizara wa mwaka 2021/22-2025/26. Akifungua kikao hicho leo Novemb . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 25, 2025

Mwingulu aagiza mwendokasi Mbezi, Kimara irudi ndani ya siku 10

Waziri Mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania , Dk Mwigulu Nchemba ameagiza Kampuni ya Mabasi Yaendayo Haraka (UDART) na wadau wote wanaohusika wakae na kutengeneza utaratibu wa mpito ili kurejesha h . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 25, 2025

Ndejembi "Tuweke mikakati itakayoongeza kasi ya utafutaji wa mafuta, gesi asilia"

Waziri wa Nishati  Deogratius Ndejembi ameitaka Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) kuja na mikakati thabiti itakayosaidia kuongeza kasi ya utafutaji wa mafuta na gesi asilia nchi . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • November 25, 2025

Wahamiaji haramu 39 raia wa Burundi wakamatwa Kagera

‎Katika kukabiliana na wimbi la wahamiaji haramu nchini, Idara ya Uhamiaji Wilaya ya Karagwe Mkoani Kagera imeendelea na Misako na Doria katika maeneo mbalimbali ndani ya Wilaya hiyo.‎‎Kufuatia . . .

Kilimo
  • Na Jembe Digital
  • November 25, 2025

COPRA zatakiwa kuangalia maeneo mengine ya kimkakati ili kupanua wigo wa matokeo

Waziri wa Kilimo, Mhe. Daniel Chongolo ameitaka Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) kuangalia maeneo mengine ya kimkakati ili kupanua wigo wa matokeo. Amefafanua zaidi na . . .

Uwekezaji
  • Na Jembe Digital
  • November 25, 2025

Ni wakati muafaka wa kuimarisha ushirikiano wa sekta binafsi Aweso

Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amesisitiza umuhimu wa ushirikishwaji wa Sekta Binafsi katika kuleta mapinduzi ya huduma za majisafi na usafi wa mazingira barani Afrika wakati akifungua rasmi Ko . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • November 25, 2025

Tanzania na Qatar zasaini makubaliano ya kutambuliana vyeti vya Ubaharia

London, Uingereza — Tanzania na Qatar leo  Novemba 24 mwaka huu wamesaini hati ya makubaliano (MoU) ya kutambuliana vyeti vya ubaharia, hatua inayotarajiwa kuongeza fursa za ajira na ushirikian . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • November 25, 2025

Dkt, Nchimbi ashiriki mkutano wa saba wa umoja wa Afrika na umoja wa Ulaya jijini Luanda

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi ameshiriki katika Mkutano wa Saba wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika na Umoja wa Ulaya uliofunguliwa r . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • November 25, 2025

Baada ya maagizo ya Ulega ,Mizani Mikese yaanza kukarabatiwa

Wakala wa Barabara (TANROADS) Mkoa wa Morogoro umeanza matengenezo ya mfumo wa kupima uzito wa magari yakiwa kwenye mwendo (WIM) katika mizani ya Mikese ili kuondoa msongamano wa magari katika Barabar . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • November 25, 2025

Wananchi wahimizwa kulinda amani na usalama wa jamii

Wananchi wa Mkoa wa Tanga wametakiwa kuendelea kulinda amani na usalama katika maeneo yao ili kuimarisha maendeleo ya taifa.Wito huo umetolewa leo  Novemba 24 mwaka huu  kupitia vyombo mbali . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 25, 2025

Rais Mwinyi Azuia Vikao Kufanyika Hoteli za Kitalii, Aagiza Udhibiti wa Matumizi ya Serikali

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameagiza makatibu wakuu wa wizara kusitisha mara moja tabia ya kuidhinisha vikao na mikutano ya kiserikali kufanyika kati . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 25, 2025

RC Makame awashukia wanaolangua mbolea ya ruzuku

Mkuu wa Mkoa wa Songwe ndugu Jabiri Makame amefanya oparesheni ya kushtukiza na kuwakamata wafanyabiashara wa Mbolea Wilaya ya Mbozi ambao wamekuwa wakiuza Mbolea ya Ruzuku kinyume na bei elekezi ya S . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 25, 2025

UN "Mwanamke mmoja aliuawa kila baada ya dakika 10"

Ripoti ya Umoja wa Mataifa imesema kila baada ya dakika kumi mwanamke mmoja, mahali fulani duniani aliuliwa na mtu wa karibu, mwaka uliopita, huku ukilalamikia hatua dhaifu katika vita dhidi ya mauaji . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • November 25, 2025

RSF yatangaza kusitisha mapigano kwa miezi mitatu

Kundi la RSF limetangaza kusitisha mapigano kwa muda wa miezi mitatu hatia inayokuja ikiwa imepita siku moja baada Jeshi la sudan kukataa wito wa kimataifa wa kustisha vita unaongozwa na Marekani, kwa . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • November 24, 2025

Kanisa la Gwajima ruksa sasa kufanya ibada

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, ameagiza kufunguliwa kwa Kanisa la Ufufuo na Uzima na kupewa masharti maalumu ya kufuatiliwa kwa kipindi cha miezi sita, sa . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • November 24, 2025

Dkt, Mwigulu afanya ukaguzi wa mali na miundombinu iliyoharibiwa Oktoba 29

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Novemba 24 mwaka huu amekagua miundombinu ya usafiri wa mwendo kasi pamoja na mali nyingine ikiwemo nyingine zilivyoharibiwa kutokana na vurugu zilizotokea Oktoba . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • November 24, 2025

Wanafunzi wa vyuo vikuu waonywa kuhusu matumizi mabaya ya mitandao

Mkuu wa Polisi Jamii Mkoa wa Morogoro, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Samuel Kijanga, amewataka wanafunzi wa vyuo kujiepusha na matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii na badala yake kuitumia kwa ma . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • November 24, 2025

Wanaume watakiwa kutoa taarifa za ukatili wa majumbani

Mkuu wa Dawati la Jinsia na Watoto Mkoa wa Iringa, ASP Elizabeth Swai, amewasihi wanaume kuacha tabia ya kuvumilia kimya kimya vitendo vya ukatili vinavyotokea ndani ya ndoa zao na badala yake watoe t . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • November 24, 2025

Vijana 57 kati 61 wafutiwa kesi ya uhaini na DPP Mwanza

Vijana 57 kati ya 61 waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya uhaini, wamefutiwa mashtaka na Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini (DPP) leo, Jumatatu Novemba 24 mwaka huu katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya I . . .

UTALII
  • Na Jembe Digital
  • November 24, 2025

Waziri Kijaji Aahidi Kuimarisha Ushirikiano na Mkoa wa Morogoro Katika Kukuza Utalii na Uhifadhi

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb), ameahidi kuimarisha na kupanua ushirikiano kati ya Wizara yake na Mkoa wa Morogoro katika kuendeleza juhudi za uhifadhi na kuongeza thamani . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • November 24, 2025

Dk Jafar awataka watumishi wa afya kutumia lugha nzuri na upole

Naibu Waziri wa TAMISEMI anayeshughulikia masuala ya afya na Mbunge wa Busanda, Dk. Jafari Seif, amewataka watumishi wa afya kote nchini kutumia lugha ya heshima, upole na tabasamu wanapotoa huduma kw . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • November 24, 2025

Wananchi watakiwa kudumisha umoja na kuepuka mifarakano ya kidini,kikabila na kisiasa

Wananchi wametakiwa kutojikuta wakigawanyika kwa misingi ya kidini, kikabila au kisiasa, badala yake waenzi na kudumisha utambulisho wao kama Watanzania kwa kuwa hilo ndilo linalowaunganisha na kuwapa . . .

Kurasa 6 ya 129

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Mbappé Avunja Ukimya wa Miaka 12 Real Madrid, Aifikia Rekodi ya Ronaldo

    • 11 masaa yaliopita
  • SIMBACHAWENE AVIOMBA VYOMBO VYA HABARI KUFANYA UTAFITI JUU YA RUSHWA

    • jana
  • UN yaomba ufadhili wa dharura kuhudumia wakimbizi Burundi

    • 2 siku zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode