logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 13, 2026

Watu wawili wauwawa kufuatia shambulizi la Urusi Kharkiv

Watu wawili wameuliwa katika shambulizi la Urusi lililofanywa katika mji wa Kharkiv mashariki mwa Ukraine ambapo shambulio la Urusi katika mji wa Kharkiv kaskazini mashariki mwa Ukraine limewaua watu . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 13, 2026

Ndoa Iliyopendwa TikTok Yavunjika, Kristy Scott Afungua Talaka

Ndoa iliyokuwa ikitazamwa kama mfano wa upendo wa kudumu imani na mshikamano wa kifamilia sasa imevunjika hadharani Kristy na Desmond Scott ambao ni wanandoa maarufu wa mitandao ya kijamii nchini Mare . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 12, 2026

Iran yasema maandamano 'yamedhibitiwa kikamilifu'

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi amesema siku ya Jumatatu kwamba hali nchini humo imedhibitiwa kikamilifu baada ya ukandamizaji wa kikatili wa maandamano ya nchi nzima.Abbas Araghchi ames . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 12, 2026

Tahadhari yatolewa kuhusu mauaji ya halaiki Iran

Shirika la kutetea haki za binadamu la Iran lenye makao yake nchini Norway limesema mamlaka za Iran zimefanya mauaji ya halaiki.Hayo yamesemwa na kundi la haki za binadamu siku ya Jumapili huku serika . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 12, 2026

Wadephul, Rubio kujadili tisho la Trump kuchukua Greenland

Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani Johann Wadephul anakutana siku ya Jumatatu na mwenzake wa Marekani Marco Rubio mjini Washington kuhusu vitisho vya Marekani kuchukua Greenland hata kwa nguvu.Aidha . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 12, 2026

Mwanaume ashikiliwa na polisi kwa tuhuma za Ukatili dhidi ya Mtoto

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Joseph Daudi Mwakalinga maarufu kama @jiggerman mkazi wa Zimbili Kinyerezi Wilaya ya Ilala, kwa tuhuma za kumj . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • January 12, 2026

Dkt. Samia awatakia Watanzania heri ya Mapinduzi ya Zanzibar

Wakati leo Januari 12 ikiwa ni maadhimisho ya Miaka 62 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amewatakia Watanzania wote kheri ya maadhimis . . .

Afrika Mashariki
  • Na Jembe Digital
  • January 12, 2026

Raia wa Uganda wapewa likizo ya siku 2 za uchaguzi

Katika jiji kuu la Kampala, baadhi ya wakaazi wameanza kusafiri kwenda vijijini au Charo kwa lugha ambayo wanaielewa kushiriki kura za Alhamisi.Serikali ya Uganda imetangaza likizo ya siku mbili ili k . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • January 11, 2026

Bodi ya Brute SACCOs Yapata Mafunzo ya Uandishi wa Habari Bukoba

Bodi ya Brute SACCOs inayopatikana katika Manispaa ya Bukoba imeendesha mafunzo ya uandishi wa habari kwa lengo la kuwajengea uwezo viongozi na wanachama wake kuandika habari zenye maslahi kwa ajili y . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • January 11, 2026

GGML yatoa msaada wa milioni 50 kusherehekea mwaka mpya na watoto yatima

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) Bw. Duan Campbell (kati kati) akipeana mikono na Mkuu wa Mkoa wa Geita Mh.Martine Shigela (wa tatu kutoka kulia) baada ya kukabidhi . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 10, 2026

Udanganyifu, kuandika matusi bado tatizo katika mitihani

Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), limetangaza matokeo ya Upimaji wa Kitaifa wa Darasa la Nne na Kidato cha Pili uliofanyika Oktoba na Novemba, 2025, ambapo wanafunzi 173,015 hawajafanya upimaji . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 10, 2026

Bill Gates Amlipa Melinda Dola Bilioni 8 Miaka Mitano Baada ya Talaka

Bilionea na mwanzilishi mwenza wa Microsoft, Bill Gates, amemlipa aliyekuwa mke wake, Melinda Gates kiasi cha dola bilioni 8 za Kimarekani, sawa na takriban shilingi trilioni 23.12 za Kitanzania, miak . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 9, 2026

Magari mabovu marufuku kubeba wanafunzi

Hatua hiyo imekuja kufuatia ukaguzi uliofanywa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi kitengo cha usalama barabarani mkoani humo kubaini kuwa kati ya magari 20 yaliyokaguliwa,matano yamekutwa yakiwa mabovu . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • January 9, 2026

Hatarini kupata magonjwa ya mlipuko kisa mafuriko

Wananchi hao wameiomba serikali kurejesha huduma muhimu kama umeme maji pamoja na kutuma wataalamu kuja kutibu madimbwi ya maji yanayozagaa mtaani ili waweze kuepukana na magonjwa ya mlipuko. Wan . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • January 9, 2026

Urusi yaishambulia Ukraine kwa kombora jipya la Oreshnik

Urusi imesema hivi leo kwamba imetumia kombora jipya chapa Oreshnik pamoja na silaha nyingine katika shambulizi kubwa dhidi ya Ukraine.Maafisa wa Ukraine wamesema watu wanne wameuawa na wengine wasiop . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 9, 2026

Maandamano ya kupinga ugumu wa maisha yaendelea Iran

Waandamanaji nchini Iran wamepiga kelele na kuandamana hadi Ijumaa asubuhi kuendelea kupinga ugumu wa maisha.Waandamanaji wa Iran wamepiga kelele na kuandamana mitaani hadi Ijumaa asubuhi baada ya wit . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 9, 2026

Ibaada ya mazishi ya watu waliouawa katika mapigano yafanyika Goma

Maelfu ya waombolezaji walijitokeza jijini Goma Mashariki ya DRC Januari   8 kuhudhuria ibaada ya mazishi ya watu 22 waliouawa wakati wa mapigano ya hivi karibuni kati ya jeshi la FARDC na w . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 9, 2026

Wanajeshi wanaotuhumiwa kwa uhaini wahamishiwa katika gereza la Ndolo

Maafisa kadhaa wa ngazi za juu wa jeshi la Kongo, waliokamatwa kwa miezi kadhaa iliopita, wameshtakiwa rasmi na tayari wamehamishiwa katika gereza la kijeshi la Ndolo huko Kinshasa. Mashtaka yao . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • January 9, 2026

Mhandisi Mshauri Aliyechelewesha Mradi Wa Daraja Tabora Kusitishiwa Malipo

Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI) anayeshughulikia Elimu, Reuben Kwagilwa (Mb), ameagiza kusitishwa malipo yote ya Mhandisi Mshauri Advanced . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 9, 2026

TRUMP AAGIZA MAREKANI KUJIONDOA KATIKA MASHIRIKA 66 YA KIMATAIFA

Rais wa Marekani Donald Trump ameagiza nchi yake kujiondoa katika mashirika 66 ya kimataifa akieleza kuwa taasisi hizo hazihudumii tena maslahi ya taifa la Marekani.Kwa mujibu wa taarifa ya Ikulu ya W . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 9, 2026

Marekani bado ina wajibu wa kufadhili mashirika yake

Umoja wa Mataifa amesema Marekani ina ‘wajibu wa kisheria' kuendelea kulipa michango inayofadhili mashirika ya umoja huo hata baada ya Ikulu ya White House kutangaza kujiondoa katika zaidi ya mipang . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 9, 2026

Venezuela haijatishwa na Marekani

Rais wa muda wa Venezuela, Delcy Rodriguez amesisitiza kwamba nchi yake haina hofu yoyote licha ya madai ya Rais wa Marekani Donald Trump kwamba anaiongoza Venezuela baada ya kumuondoa mtangulizi wake . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • January 9, 2026

IKULU YATANGAZA MABADILIKO YA BARAZA LA MAWAZIRI

Ikulu ya Tanzania jana imetangaza mabadiliko katika Baraza la Mawaziri yaliyofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.Kwa mujibu wa taarifa hiyo Rais Samia amemteua Patrob . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 8, 2026

Afisa wa uhamiaji ampiga risasi mwanamke mwenye umri wa miaka 37

Afisa wa uhamiaji nchini Marekani, amempiga risasi mwanamke mwenye umri wa miaka 37 siku ya Jumatano kwenye mji wa Minneapolis.Maafisa wa serikali ya rais Donald Trump, wanadai kuwa mwanamke huyo kwa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 8, 2026

Mbunge Segerea, atwishwa kero ya maji Bonyokwa

Mbunge wa Segerea (CHAUMMA), Agnester Lambart, amefanya ziara katika Kata ya Bonyokwa, kusikiliza kero za maji katika eneo hilo.Miongoni mwa mambo ambayo alikutana nayo katika ziara hiyo ni pamoja na . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 8, 2026

Waziri Mkuu wa Ivory Coast ajiuzulu

Hatua hiyo imekuja, miezi miwili baada ya rais Ouattara kuchaguliwa tena kuongoza nchi hiyo, baada ya kupata ushindi wa karibu asilimia 90 ya kura.Waziri Mkuu wa Cote Dvoire, Robert Beugré Mambé na . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • January 8, 2026

Shabiki wa Congo Anayesimama Kama Sanamu Kuzawadiwa Milioni 40

Habari za hivi punde zinaeleza kuwa wachezaji wa timu ya taifa ya Algeria, kupitia shirikisho lao la soka, wamemwandalia zawadi ya dola za Kimarekani 20,000 kutokana na ubunifu wake wa kipekee. Tukio . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 8, 2026

Papa Leo ataka kanisa liendane na wakati

Papa Leo anaongoza kikao chake cha kwanza cha baraza la maaskofu tangu achaguliwe kwenye nafasi hiyo mwaka jana kufuatia kifo cha mtangulizi wake Papa FrancisKiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa L . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 8, 2026

Trump Aonya Republicans Kushindwa Uchaguzi 2026

 Rais wa Marekani Donald Trump ametoa onyo kali kwa wabunge wa chama chake cha Republican huku akisema kuwa kushindwa katika uchaguzi wa katikati ya muhula wa Novemba 2026 kutawapa Democrats furs . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 8, 2026

Raia Wawili wa China Wakabiliwa na Kesi ya Utakatishaji Fedha T-Sh Bilioni 2.13

Raia wawili wa ambao ni wakazi wa  China Weisi Wang (41) pamoja  na Yao Licong wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka ya uhujumu uchumi y . . .

Kurasa 6 ya 138

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Nchemba Awaagiza Viongozi Kutatua Kero za Wananchi

    • 2 siku zilizopita
  • Spika Zungu: Hakuna Udini Kwenye Miradi ya Utalii

    • 2 siku zilizopita
  • Ukraine na Urusi zimefanya ubadilishanaji wa wafungwa

    • 2 siku zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode