logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 27, 2023

Wabunge wa Peru wawasilisha ombi la kumng'oa rais Boluarte

Wabunge kadhaa nchini Peru wamewasilisha hoja ya kumuondoa madarakani rais Dina Boluarte.Wabunge 28 wa mrengo wa kushoto na wafuasi wa rais aliyeondolewa madarakani mwishoni mwa mwaka uliopita Pe . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 26, 2023

KILO 399.28 ZA DAWA ZA KULEVYA ZAKAMATWA

. . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 26, 2023

WANANCHI WATOLEWA HOFU TAARIFA YA UBALOZI WA MAREKANI

. . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • January 26, 2023

Kenyatta atoa wito wa kupunguza mzozo DR Kongo

Rais wa zamani wa Kenya Uhuru Kenyatta ametoa wito wa kukomeshwa kwa mgogoro Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, ambao matatizo yake yanayozidi kila kukicha yamechochea mvutano wa kidiplom . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • January 26, 2023

Rwanda yasema ndege ya kivita ya Kongo imekiuka anga yake

Msemaji wa serikali ya Rwanda Yolande Makolo, amesema ndege ya kivita aina ya Sukhoi 25 kutoka Congo iliingia katika anga yake kwa mara ya tatu, kupitia Rubavu karibu na mji wa Goma na hatua za kujili . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 25, 2023

Jokate amrithi Basilla Mwanukuzi

Uhamisho wa Jokate kutolewa Temeke kupelekwa wilayani Korogwe mkoani Tanga, umefanywa hii leo Januari 25, 2023, na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Ikumbukwe Basilla . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 25, 2023

Msaidizi wa Imran Khan akamatwa kwa kukosoa uchaguzi

Polisi nchini Pakistan imesema mshirika wa aliyekuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo Imran Khan amekamatwa kwa makosa ya kuwakashifu maafisa wa uchaguzi.Fawad Chaudhry, aliyekuwa waziri wa habari chin . . .

mastaa
  • Na Asha Business
  • January 24, 2023

Mke wa Dr.Mwaka, nazungushwa mwaka sasa sipewi Talaka, nataka niende mahakamani

Siku ya leo Mke wa Dr. Mwaka ameenda Bakwata kutaka Talaka yake, akiongea na wana habari ameeleza kuwa ameachana na Dr.Mwaka tangu mwezi wa kwanza 2022.Ameeleza mengi sana na baada ya kufika Bakwata a . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • January 24, 2023

Serikali yatoa neno Mtanzania aliyefia Urusi

aziri wa Mambo ya Nje Dkt. Stergomena Tax, amesema Mtanzania aliyefariki dunia nchini Urusi Nemes Tarimo, alikuwepo nchini humo kwa ajili ya masomo na alijiunga na chuo cha Moscow Technology Pro mwaka . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • January 23, 2023

Burkina Faso yaiomba Ufaransa kuondoa wanajeshi wake ndani ya mwezi mmoja

Burkina Faso imeiomba Ufaransa kuondoa wanajeshi wake nchini humo ndani ya kipindi cha mwezi mmoja, kulingana na barua ya mamlaka kwa Paris.Barua hiyo ya wizara ya mambo ya nje iliyoandikwa Jumatano w . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • January 23, 2023

Waziri Wa Mambo Ya Nje Wa Urusi Kuanza Ziara Yake Afrika Kusini Leo

Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi Sergei Lavrov anafanya ziara ya kwanza nje ya nchi tangu Urusi ilipoivamia Ukraine.  ikiwa ni sehemu ya ziara mpya ya kidiplomasia katika eneo hilo.Ziara ya Waziri . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • January 23, 2023

Polisi waua majambazi waliokuwa na mabomu

Jeshi la Polisi mkoani Kagera limewaua kwa kuwapiga risasi watu wawili wanaodhaniwa kuwa ni majambazi, na kufanikiwa kupata bunduki moja aina ya AK47 ikiwa na magazine moja yenye risasi 25 na mabomu m . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 23, 2023

Ujerumani haitoizuia Poland kupeleka vifaru vya Leopard Ukraine

Waziri wa mambo ya nje wa Ujerumani Annalena Baerbock amesema Ujerumani haitoizuia Poland iwapo inataka kupeleka vifaru chapa Leopard 2 nchini Ukraine. Kauli hii hii ya Baerbock huenda ikaleta matumai . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • January 20, 2023

Serikali Kuchunguza Vitabu vya Watoto Vinavyofundisha Ushoga

Serikali imesema inafuatilia suala la vitabu vya shule vinavyodaiwa kuwa na maudhui ya kuhamasisha mapenzi ya jinsia moja kwa watoto na kutoa taarifa rasmi.Hatua hiyo imekuja baada ya kusambaa kwa pic . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 20, 2023

Watu 5000 waomba kazi jeshi la polisi Zanzibar

Watu zaidi ya 5000 wameomba nafasi ya kazi katika jeshi la polisi kamisheni ya Zanzibar, huku kamisheni hiyo ikihitaji kuajiri watu chini ya 500.Kamishna wa Zanzibar, Khamis Hamad Khamsi amesema kati& . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 19, 2023

Gambia kuomboleza kwa siku saba

Rais wa Gambia Adama Barrow ametangaza siku saba za maombolezo kufuatia kifo cha Makamu wa Rais Badara Alieu Joof akiwa na umri wa miaka 66. Bwana Joof alifariki nchini India baada ya kuugua kwa muda . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 19, 2023

MWEKEZAJI WILAYANI MKALAMA ADAIWA KUKITAPELI KIJIJI, ARDHI ALIYOPEWA KUWEKEZA SHULE AIKODISHA KWA KILIMO

MWEKEZAJI aliyetaka kujenga shule ya sekondari katika moja ya kijiji  wilayani Mkalama mkoani Singida anadaiwa kufanya utapeli baada ya ardhi aliyopewa na kijiji kwa ajili ya kujenga shule  . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 19, 2023

Waziri Mkuu wa New zealand Jacinda Ardern atangaza kujiuzulu mwezi ujao

Waziri Mkuu wa New Zealand Jacinda Ardern, ametangaza kuwa atajiuzulu wadhifa huo ifikapo tarehe saba mwezi ujao.Kwenye taarifa yake iliyotangazwa moja kwa moja kwenye televisheni, Ardern amesema hana . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • January 18, 2023

WAZIRI GWAJIMA AZINDUA MRADI WA KIZAZI HODARI

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amezindua Mradi wa kuimarisha Afya, Ustawi na ulinzi kwa watoto na vijana wanaoishi katika mazingira ha . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 18, 2023

Helikopta ya polisi ya Ukraine yaanguka na kuuwa watu 16

Helikopta ya jeshi la polisi la Ukraine imeanguka karibu ya shule ya chekechea na jengo la makaazi ya watu katika mji wa Brovary ulio nje kidogo ya mji mkuu, Kiev. Gavana wa Kiev Oleksiy Kuleba amesem . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 17, 2023

Afisa polisi akutwa na makosa 49 ya ubakaji

Afisa mmoja wa polisi nchini Uingereza ameungama kutumia cheo chake kutekeleza makosa 71 ya ubakaji dhidi ya wanawake 12 .David Carrick, mwenye umri wa miaka 48, alikiri kufanya makosa 49 ya unyanyasa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 17, 2023

Rais Samia ateua viongozi mbalimbali

Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali nchini wakiwemo wenyeviti wa bodi na Makamishna kadhaa.Rais Samia amemteua Prof. Ahmed Mohamed Ame kuwa Mwenyekiti wa B . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 17, 2023

nnalena Bearbock apendekeza kubuniwa mahakama maalum kuhusu mzozo wa Ukraine

Waziri wa Mambo ya nje wa Ujerumani Annalena Baerbock, amependekeza kubuniwa kwa mahakama maalum ya kimataifa ili kuwashitaki viongozi wa Urusi.Baerbock aliutaja ‘uvamizi wa Urusi nchini Ukraine’ . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • January 16, 2023

Wanawake 50 watekwa Burkina Faso

Washukiwa  wanajihadi wamewateka takriban wamawake 50 katika eneo lililoharibiwa na uasi kaskazini mwa Burkina Faso.Takriban 40 walikamatwa karibu na eneo la kusini mashariki mwa Arbinda, Alhamis . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • January 13, 2023

Rais wa Brazil Lula ahisi mtu wa ndani kuwasaidia wavamizi kuingia ikulu

Rais wa Brazil Luiz Inacio Lula da Silva amesema jana kwamba wafuasi wa mtangulizi wake Jair Bolsonaro waliovamia majengo ya serikali huenda walipatiwa msaada na mtu wa ndani. Lula mwanasiasa wa mreng . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 12, 2023

Mama Fatma Karume "hakuniambia kama siku hiyo ni siku ya kufanya mapinduzi"

"Siku ya Mapinduzi Karume alikuwapo hapa Zanzibar. Lakini hakuniambia hata mimi kuwa kuna mapinduzi siku hiyo. Ililia risasi ya kwanza na ya pili nikamwambia unasikia risasi hizo, ndiyo akanieleza kuw . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 11, 2023

Wauguzi nchini Zimbabwe sasa kuhukumiwa jela ikiwa watagoma

Serikali ya Zimbabwe imepitisha mswaada wa sheria Jumanne Januari 10 inayopiga marufuku maandamano  yaliyoandaliwa na wafanyakazi wa afya nchini humo kufuatia mgomo katika mzozo wa muda mrefu kuh . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 11, 2023

Rais mpya wa Peru kuchunguzwa kwa mauaj

Rais mpya wa Peru Dina Boluarte na mawaziri kadhaa wa nchi hiyo wanachunguzwa kutokana na mapigano ya wiki kadhaa ambayo yamesababisha vifo vya makumi ya watu.Mwendesha mashtaka mkuu wa Peru amesema m . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 10, 2023

Rwanda "Hatuwezi kuchukua wakimbizi zaidi kutoka DRC"

Rais wa Rwanda Paul Kagame, amesema nchi hiyo haiwezi tena kutoa hifadhi kwa watu wanaokimbia ghasia katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo. Akizungumza jana na bunge la Rwanda mjini Kigali, Kaga . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 10, 2023

Rais Samia "Zama za UGOMVI na Kutukanana Zimeisha"

Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema baada ya kutoa rukhsa ya mikutano ya hadhara huenda wapo ambao watakuja na kasi ya malumbano hivyo amewaomba Vijana wa CCM wasiende kulumbana bali wajibu hoja kwa takw . . .

Kurasa 86 ya 130

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Miaka kumi ya Jembefm

    • 11 masaa yaliopita
  • Madhara ya kichokonoo kwenye meno

    • 11 masaa yaliopita
  • Chaguzi za UDA kupima nguvu zake Mlima Kenya

    • 11 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode