1. KARIBU UTANGAZE BIASHARA AU SUALA LAKO NA SISI ... TUNAFIKIA WENGI NDANI NA NJE YA NCHI

  • MWANZA 93.7MH/z |
Jembe Burudani

Jennifer Lopez Alivyopoteza Uoni kwa Muda Baada ya Kufanya Kazi Siku 98 Mfululizo

Jennifer Lopez amefunguka kuhusu moja ya nyakati ngumu zaidi katika maisha yake ya kazi, akieleza jinsi alivyolazimika kukimbizwa . . .

Ndoa ya Zari na Shakib Cham yavunjika Baada ya Miaka Mitano

Mwanamitindo na mfanyabiashara maarufu, Zari Hassan, ametangaza rasmi kuachana na mume wake, Shakib Cham, baada ya kuwa pamoja kwa . . .

Jembe Michezo

Manchester United Yapata Eneo la Ujenzi wa Uwanja wa Watu 100,000

Klabu ya Manchester United imepiga hatua kubwa katika mpango wake wa kujenga uwanja mpya wa kisasa wenye uwezo wa kuchukua mashabi . . .

Aliyetimuliwa Man Utd Kuwa Kocha Mpya AC Milan ya Italia

Kocha raia wa Ureno, Ruben Amorim, anatarajiwa kuwa kocha mkuu mpya wa klabu ya Italia, AC Milan, baada ya kukubaliana kwa mashart . . .

Jembe Habari

Mataifa ya Magharibi yanaandaa vita dhidi ya Urusi

Rais Vladimir Putin amesema nchi za Magharibi, zikiongozwa na jumuiya ya kujihami ya NATO, zinajiandaa kikamilifu kwa vita dhidi y . . .

Oman na Iran Wafungua Mazungumzo Kuhusu Uendeshaji wa Mlango wa Hormuz

Oman na Iran zimekubaliana kuendeleza mazungumzo kuhusu mustakabali wa usimamizi wa shughuli za usafiri wa baharini katika Mlango . . .

Habari Zote
Kimataifa

Mataifa ya Magharibi yanaandaa vita dhidi ya Urusi

Rais Vladimir Putin amesema nchi za Magharibi, zikiongozwa na jumuiya ya kujihami ya NATO, zinajiandaa kikamilifu kwa vita dhidi ya Urusi, h . . .

Kimataifa

Iran na Marekani zatofautiana vipengele vya makubaliano

Iran imekanusha kauli ya rais wa Marekani kwamba ilikubali ukaguzi wa nyuklia "usio na kikomo," ikisema haijafikia makubaliano yoyote ya ain . . .

Afrika Mashariki

Mtindo mpya wa wanawake kuvalia pete ‘kufukuza wanaume wasumbufu’

WANAWAKE wengi wasio na waume nchini Kenya wameibuka na mbinu mpya ya kujikinga dhidi ya usumbufu wa wanaume wanaowafuatilia kimapenzi bila . . .

Kitaifa

JKT YAFUNGA MASHINDANO YA CNS CUP 2026, YASISITIZA NIDHAMU KUKUZA VIPAJI

Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limefunga rasmi Mashindano ya Kombe la CNS Cup 2026 katika Kambi ya JKT Mgulani jijini Dar es Salaam, huku liki . . .

SOKA

Manchester United Yapata Eneo la Ujenzi wa Uwanja wa Watu 100,000

Klabu ya Manchester United imepiga hatua kubwa katika mpango wake wa kujenga uwanja mpya wa kisasa wenye uwezo wa kuchukua mashabiki 100,000 . . .

Kimataifa

Oman na Iran Wafungua Mazungumzo Kuhusu Uendeshaji wa Mlango wa Hormuz

Oman na Iran zimekubaliana kuendeleza mazungumzo kuhusu mustakabali wa usimamizi wa shughuli za usafiri wa baharini katika Mlango wa Hormuz, . . .