1. KARIBU UTANGAZE BIASHARA AU SUALA LAKO NA SISI ... TUNAFIKIA WENGI NDANI NA NJE YA NCHI

  • MWANZA 93.7MH/z |
Jembe Burudani

Samia Khan, ang’ara katika Shindano la Top Model – Miss World Tanzania 2026

Mbunifu chipukizi mwenye kipaji kikubwa, Samia Khan, ameendelea kuvutia hisia za wengi baada ya kuonesha ubunifu wake wa kipekee k . . .

Kanye West Azuiwa Kuingia Uingereza, Tamasha Kubwa Lafutwa

Tamasha kubwa la muziki la Wireless Festival limefutwa rasmi baada ya Rapa Ye (zamani akijulikana kama Kanye West) kuzuiwa kuingia . . .

Jembe Michezo

Bayern Munich yatwaa ubingwa wa 35 wa Bundesliga

Bayern Munich ndio mabingwa wa ligi kuu ya Ujerumani "Bundesliga" msimu huu, baada ya kupata ushindi siku ya Jumapili wa mabao 4-2 . . .

Tiger Woods akataa kuwa nahodha wa Marekani Ryder Cup 2027

Tiger Woods amekataa kuiongoza timu ya Marekani Ryder Cup 2027 ili kuzingatia afya yake, baada ya ajali ya gari na tuhuma za kuend . . .

Jembe Habari

Papa Leo aelekea Saurimo Angola kwa ibada ya misa

Kiongozi wa kanisa Katoliki duniani Papa Leo XIV, amesafiri mapema leo kuelekea mjini Saurimo mashariki mwa Angola kutoka mji mkuu . . .

AU yalaani hatua ya Israel kumteua balozi mpya Somaliland

Umoja wa Afrika hapo jana "ulilaani vikali" hatua ya Israel kuteua balozi mpya kwenye eneo la Somaliland linalotaka kujitenga na S . . .

Habari Zote
Dini

Papa Leo aelekea Saurimo Angola kwa ibada ya misa

Kiongozi wa kanisa Katoliki duniani Papa Leo XIV, amesafiri mapema leo kuelekea mjini Saurimo mashariki mwa Angola kutoka mji mkuu Luanda, k . . .

Kimataifa

Wagombea wanne wa wadhifa wa katibu mkuu wa UN kuhojiwa

Wagombea wanne wa wadhifa wa katibu mkuu ajaye wa Umoja wa Mataifa watafika wiki hii mbele ya jopo la mabalozi kutoka nchi 193 wanachama wa . . .

Afrika Mashariki

RUTO "Tanzania, Uganda, Rwanda si ligi yetu, tuko mbele kimaendeleo"

RAIS William Ruto amewataka wakosoaji wake wakome kulinganisha bei ya mafuta nchini na mataifa jirani akisema uchumi wa Kenya umepiga hatua . . .

SOKA

Bayern Munich yatwaa ubingwa wa 35 wa Bundesliga

Bayern Munich ndio mabingwa wa ligi kuu ya Ujerumani "Bundesliga" msimu huu, baada ya kupata ushindi siku ya Jumapili wa mabao 4-2 dhidi ya . . .

Kimataifa

Iran yakataa kushiriki katika duru mpya ya mazungumzo ya amani

Kwa sasa Tehran haijapanga kushiriki katika mazungumzo mapya na Marekani, vyombo vya habari vya serikali ya Iran vimeripoti siku ya Jumapili . . .

Afrika

AU yalaani hatua ya Israel kumteua balozi mpya Somaliland

Umoja wa Afrika hapo jana "ulilaani vikali" hatua ya Israel kuteua balozi mpya kwenye eneo la Somaliland linalotaka kujitenga na Somalia, ua . . .