1. KARIBU UTANGAZE BIASHARA AU SUALA LAKO NA SISI ... TUNAFIKIA WENGI NDANI NA NJE YA NCHI

  • MWANZA 93.7MH/z |
Jembe Burudani

Kim Kardashian na Dada Yake Waibuka Monaco Kumshangilia Lewis Hamilton

Kim Kardashian ameonekana akimpa sapoti mpenzi wake Lewis Hamilton wakati wa mazoezi ya kufuzu kuelekea Monaco Grand Prix 2026 ili . . .

Drake atajwa kuwakataa Grammy

Rapper Drake anaripotiwa kukataa kuingiza Album zake tatu kwenye mchakato wa kuwania tuzo za Grammy, licha ya mafanikio makubwa al . . .

Jembe Michezo

Ronaldo kuongoza kizazi cha wachezaji wakongwe Marekani 2026

Wachezaji saba wenye umri wa miaka 40 na zaidi wanatarajiwa kushiriki kwenye Kombe la Dunia la FIFA 2026 jambo linaloonyesha uimar . . .

Uchovu Watishia Ndoto za Arsenal Kwenye Fainali Dhidi ya PSG Leo

Arsenal wanatarajiwa kuingia katika mchezo wa fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Paris Saint-Germain (PSG) leo Mei 30, 202 . . .

Jembe Habari

Marekani Yapanga Kutumia Mali za Iran Kufidia Uharibifu Mashariki ya Kati

Serikali ya Marekani inapanga kuangalia uwezekano wa kuelekeza mali za Iran kwenda mataifa ya Ghuba kwa ajili ya kugharamia ukarab . . .

Shambulizi la droni la Urusi lawauwa watu wawili Ukraine

Maafisa nchini Ukraine wamesema, mashambulizi ya droni ya Urusi hii leo yamesababisha vifo vya watu wawili nchini humo.Kulingana n . . .

Habari Zote
matukio

Marekani Yapanga Kutumia Mali za Iran Kufidia Uharibifu Mashariki ya Kati

Serikali ya Marekani inapanga kuangalia uwezekano wa kuelekeza mali za Iran kwenda mataifa ya Ghuba kwa ajili ya kugharamia ukarabati na fid . . .

Mastaa

Kim Kardashian na Dada Yake Waibuka Monaco Kumshangilia Lewis Hamilton

Kim Kardashian ameonekana akimpa sapoti mpenzi wake Lewis Hamilton wakati wa mazoezi ya kufuzu kuelekea Monaco Grand Prix 2026 iliyofanyika . . .

AFYA

Daktari wa Marekani apona Ebola nchini Ujerumani wakati wagonjwa 488 wakiripotiwa DRC

Daktari wa Marekani, ambaye aliambukizwa virusi Ebola alipokuwa akifanya kazi nchini DRC, amepona baada ya matibabu ya zaidi ya wiki mbili n . . .

Kimataifa

Kamishna wa Masuala ya Kibinadamu wa Ulaya kuzuru Bunia nchini

Kamishna wa Ushirikiano wa Kimataifa, Misaada ya Kibinadamu na Mwitikio wa Migogoro wa Ulaya, Hadja Lahbib, anatarajiwa Jumapili hii, Juni 7 . . .

matukio

Marekani yaongeza tahadhari dhidi ya vitisho vya ujasusi

Wizara ya ulinzi ya Marekani, imeongeza kiwango cha tahadhari kuhusu vitisho vya ujasusi wa kigeni vinavyohusishwa na Israel . Haya ni kwa m . . .

matukio

Shambulizi la droni la Urusi lawauwa watu wawili Ukraine

Maafisa nchini Ukraine wamesema, mashambulizi ya droni ya Urusi hii leo yamesababisha vifo vya watu wawili nchini humo.Kulingana na chapisho . . .