1. KARIBU UTANGAZE BIASHARA AU SUALA LAKO NA SISI ... TUNAFIKIA WENGI NDANI NA NJE YA NCHI

  • MWANZA 93.7MH/z |
Jembe Burudani

Chris Brown aweka rekodi hii Dunia

Chris Brown ameandika historia mpya katika tasnia ya muziki duniani baada ya ziara yake ya Breezy Bowl XX kutajwa rasmi kuwa tour . . .

BASATA Yapiga Marufuku MC na DJ Wasio na Vibali

Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limetangaza kuwa kuanzia leo Februari 06 mwaka huu waongoza sherehe na matukio (MCs) pamoja na M . . .

Jembe Michezo

Makonda Amtaka Msajili Kukamilisha Mchakato wa Mabadiliko Simba

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amemtaka Msajili wa Vyama vya Michezo nchini, Abel Ngilangwa, kukamil . . .

Simba Yathibitisha Kuondoka kwa Kibu ‘Mkandaji’

Klabu ya Simba SC imethibitisha kwamba mshambuliaji wake, Kibu Dennis, hatakuwa sehemu ya kikosi cha timu hiyo, akihitimisha utumi . . .

Jembe Habari

DRC Yapiga Marufuku Uandikishaji Mpya wa Wafungwa Gereza la Makala

Waziri wa Nchi anayehusika na Sheria nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Guillaume Ngefa, amepiga marufuku kwa muda uan . . .

Kingo Zapromoka Machimboni Tanga, Watu Watano Wapoteza Maisha

Watu watano wamefariki dunia baada ya kufukiwa na kifusi kufuatia kuporomoka kwa kingo za udongo (ngema) katika machimbo ya mchang . . .

Habari Zote
SOKA

Makonda Amtaka Msajili Kukamilisha Mchakato wa Mabadiliko Simba

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amemtaka Msajili wa Vyama vya Michezo nchini, Abel Ngilangwa, kukamilisha mchak . . .

Afrika Mashariki

DRC Yapiga Marufuku Uandikishaji Mpya wa Wafungwa Gereza la Makala

Waziri wa Nchi anayehusika na Sheria nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Guillaume Ngefa, amepiga marufuku kwa muda uandikishaji . . .

AFYA

Mwanza Yampongeza Rais Samia kwa Kuimarisha Huduma za Saratani Bugando

Serikali ya Mkoa wa Mwanza imemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa uwekezaji mkubwa alioufan . . .

Kimataifa

AU Yamteua Rais Samia Kuwa Kinara wa Afya ya Uzazi, Mama na Mtoto Afrika

Umoja wa Afrika (AU) umemteua rasmi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa Kinara wa Umoja wa Afrika wa . . .

Kitaifa

Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu Yaendelea Leo Mahakama Kuu

Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, inaendelea leo Jumatatu Februari 16 mwaka huu katika Mahakama Kuu ya Tanzani . . .

matukio

Kingo Zapromoka Machimboni Tanga, Watu Watano Wapoteza Maisha

Watu watano wamefariki dunia baada ya kufukiwa na kifusi kufuatia kuporomoka kwa kingo za udongo (ngema) katika machimbo ya mchanga ya Bolbi . . .