1. KARIBU UTANGAZE BIASHARA AU SUALA LAKO NA SISI ... TUNAFIKIA WENGI NDANI NA NJE YA NCHI

  • MWANZA 93.7MH/z |
Jembe Burudani

Ndoa ya Zari na Shakib Cham yavunjika Baada ya Miaka Mitano

Mwanamitindo na mfanyabiashara maarufu, Zari Hassan, ametangaza rasmi kuachana na mume wake, Shakib Cham, baada ya kuwa pamoja kwa . . .

Gachi Apokea Zawadi ya Range Rover, Aacha Gumzo Mitandaoni

Msanii wa muziki nchini ambae anafahamika kwa jina la Gachi amezua furaha na gumzo mitandaoni baada ya kupewa zawadi ya gari jipya . . .

Jembe Michezo

Shabiki afariki akiingia uwanjani Kombe la Dunia

SHABIKI wa soka mwenye umri wa miaka 80 amefariki muda mfupi kabla ya kuingia uwanjani kuitazama Mexico ikivaana na Afrika Kusini . . .

Kimi Antonelli Ashinda Monaco GP kwa Mara ya Tano Mfululizo, Lewis Hamilton Atajwa

Mashindano ya Monaco Grand Prix mwaka 2026 yameendelea kuvuta hisia za mashabiki wa Formula One duniani baada ya kijana wa Mercede . . .

Jembe Habari

NAIBU WAZIRI WA NISHATI AFUNGUA MKUTANO WA WADAU WA NISHATI SAFI JIJINI ARUSHA

Naibu Waziri wa Nishati, Salome Makamba, amesema Tanzania imepata mafanikio makubwa katika utekelezaji wa ajenda ya nishati safi y . . .

Habari Zote
SOKA

Shabiki afariki akiingia uwanjani Kombe la Dunia

SHABIKI wa soka mwenye umri wa miaka 80 amefariki muda mfupi kabla ya kuingia uwanjani kuitazama Mexico ikivaana na Afrika Kusini katika mch . . .

AFYA

Utafiti "Kushiriki mapenzi asubuhi huimarisha utendakazi"

WATAFITI wamebaini kuwa kuanza siku kwa kushiriki mapenzi huimarisha hisia na motisha ya kuchapa kazi.Utafiti huo uliofanyika Amerika na kuc . . .

Mastaa

Ndoa ya Zari na Shakib Cham yavunjika Baada ya Miaka Mitano

Mwanamitindo na mfanyabiashara maarufu, Zari Hassan, ametangaza rasmi kuachana na mume wake, Shakib Cham, baada ya kuwa pamoja kwa takribani . . .

Kimataifa

Rais wa Zamani wa Korea Kusini Ahukumiwa Miaka 30 Jela

Mahakama ya Seoul imemhukumu Rais wa zamani wa Korea Kusini, Yoon Suk-yeol, kifungo cha miaka 30 gerezani kufuatia tuhuma za kuhusika katika . . .

Kimataifa

Ukraine yahimiza raia kuondoka maeneo yanayokaliwa na Urusi

Ukraine imetoa tahadhari kwa raia wake wanaoishi katika maeneo yanadhibitiwa na Urusi na kuhamihiza waondoke kuepuka hatari ya mashambulizi . . .

Kimataifa

Trump adai makubaliano na Iran yako karibu, Tehran yasema bado haijafanya uamuzi wa mwisho

Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza siku ya  Alhamisi, Juni 11, kwamba alifuta mashambulizi yaliyopangwa kwa siku hiyo dhidi ya Ir . . .