logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
siasa
  • Na Jembe Digital
  • July 9, 2025

Samia aweka historia Dira 2050

RAIS Samia Suluhu Hassan ameweka historia ya kuwa Rais wa pili wa Tanzania kuandika Dira ya Taifa ya Maendeleo isiyokuwa na mwelekeo wa itikadi ya kichama.Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwe . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • July 9, 2025

DCEA yakamata wamiliki kiwanda cha kuzalisha biskuti zenye viambata vya dawa za kulevya

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya DCEA imeeleza kubaini na kuwakamata wamiliki wa kiwanda bubu cha kuzalisha biskuti zenye viambata vya dawa za kulevya aina ya bangi na skanka eneo . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • July 9, 2025

CHAUMMA maandalizi ya ilani ya uchaguzi mkuu 2025 kukamilika asilimia 95

Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimetangaza kuanza awamu ya pili ya ziara yake katika maeneo mbalimbali ambayo kimeiita ziara hiyo kuwa CHAUMMA For Change phase 2 (C4C2) 9 Julai 2025 ambapo . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • July 9, 2025

kushambuliwa kwa Padri Charles Kitima linafahamika vizuri na vyombo vya dola

Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Dkt. Charles Kitima, amesema tukio la yeye kushambuliwa na watu wasiojulikana linafahamika vizuri na vyombo vya dola, na kwamba hatua z . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • July 9, 2025

Wadau wa elimu kutoa ufafanuzi wizi wa mitihani hatua zichukuliwe

Wadau wa elimu nchini wamependekeza kuchukuliwa hatua madhubuti kuhusu suala la wizi wa mitihani, ambalo limeonekana kuanza kuota mizizi na kuathiri kwa kiasi fulani uhalali wa matokeo ya mitihani ya . . .

Uwekezaji
  • Na Jembe Digital
  • July 9, 2025

Serikali yaimarisha vituo vya ununuzi madini kutoka 61 hadi kufikia 109

Serikali imeendelea kuchukua hatua za kuimarisha usimamizi na uendelezaji wa sekta ya madini na  kuimarisha masoko na minada ya uuzaji madini, ambapo vituo vya ununuzi wa madini vimeongezeka kuto . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • July 9, 2025

TRA watakiwa kuongeza ufanisi ukusanyaji wa mapato

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameitaka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuongeza usimamizi wa ukusanyaji wa kodi kwa wafanyabiashara ikiwemo wa mataifa ya nje walioamua kuja kufanya shughuli zao nchini. . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • July 9, 2025

Mwanafunzi atiwa hatiani kwa tuhuma za mauaji

Jeshi la Polisi linamshikilia Samwel Kayoka (16) Mwanafunzi wa Kidato cha Kwanza Shule ya Sekondari Mtenga kwa tuhuma za mauaji ya mdogo wake Jackson Kayoka (14) baada ya kumpiga fimbo kichwani walipo . . .

Uwekezaji
  • Na Jembe Digital
  • July 8, 2025

Mashamba ya uzalishaji mifugo ya serikali yaachwe wazi yafanye shughuli za kiserikali

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Alexander Mnyeti amesema mashamba ya uzalishaji mifugo ya Serikali lazima yaachwe yafanye shughuli za kiserikali kwa ajili ya manufaa ya taifa zima huku akiwaonya wana . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • July 8, 2025

Familia yakwama na mwili usiku kucha wa mwandamanaji aliyeuawa Kitengela

FAMILIA ya Brian Kimutai, mwandamanaji mwenye umri wa miaka 21, aliyedaiwa kupigwa risasi na afisa wa polisi wakati wa maandamano ya Saba Saba huko Kitengela, ilikwama na mwili wake ndani ya gari kati . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 8, 2025

UN yaichagua Tanzania kuandaa mafunzo ya kimataifa kwa maafisa wa jeshi

Chuo cha Mafunzo ya Ulinzi wa Amani cha Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kimechaguliwa na Umoja wa Mataifa (UN) kuwa mwenyeji wa mafunzo ya kipekee kwa ajili ya maafisa wanadhimu wa jesh . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • July 8, 2025

REA kuhakikisha 80% wanatumia nishati safi ifikapo 2034

MKURUGENZI Mkuu na Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Hassan Saidy amesema wakala huo umejizatiti kuhakikisha 80% ya Watanzania wanatumia nishati safi ya kupikia ifikapo mwaka 2034.Amebainisha hay . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • July 8, 2025

Maandalizi Dira ya Taifa 2050 yafikia ukingoni

SERIKALI  imetangaza kuwa maandalizi ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 yamefikia ukingoni, baada ya kupitia mchakato wa hatua mbalimbali kwa kipindi cha zaidi ya miaka miwili.Waziri wa Nchi, Ofi . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • July 8, 2025

Dira ya Taifa ya Maendeleo ya mwaka 2050 kuzinduliwa julai 17

 RAIS Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuzindua rasmi Dira ya Taifa ya Maendeleo ya mwaka 2050 Julai 17, 2025, akiweka rekodi ya kuwa Rais wa Pili Tanzania kusimamia na kuratibu uandikaji wa dira . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • July 8, 2025

Askofu akemea vikali watu wanaokimbilia kwa waganga wa kienyeji kutafuta tiba

KANISA Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam limekemea watu wanaokimbilia kwa waganga wa kienyeji na sehemu zisizofaa kutafuta ufumbuzi wa changamoto badala ya kumtegemea Mungu.Askofu Mkuu wa Kanisa Kat . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • July 8, 2025

Silaa ashiriki hafla ya ufunguzi wa Mkutano wa Kimataifa wa Jamii ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Jerry William Silaa (Mb), ameshiriki hafla ya ufunguzi wa Mkutano wa Kimataifa wa Jamii ya Habari (WSIS+20) ulioanza tarehe 7 Julai 2025 katika Ukum . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • July 8, 2025

ACT yasisitiza tume ya uchaguzi kuweka wazi vifaa vya uchaguzi

Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo Ndugu adoshaibuado ameitaka Tume Huru ya Uchaguzi tumeyauchaguzi_tanzania nchini kuongeza uwazi katika mchakato wa uzalishaji, usafirishaji na uhifadhi wa vifaa vya uchagu . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • July 8, 2025

Watahiniwa 71 wafutiwa matokeo kidato cha 6

Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA)  limefuta matokeo yote ya Watahiniwa 71 wakiwemo 70 wa Mtihani wa Kidato cha Sita (64 wa Shule na 06 wa Kujitegemea) na mmoja wa Mtihani wa Ualimu Daraja A . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • July 8, 2025

Ashukiwa kujiua baada ya kufukuzwa kazi ya waziri

Aliyekuwa Waziri wa Uchukuzi wa Urusi Roman Starovoy, anashukiwa kujiua ikiwa ni saa chache baada ya Rais Vladmir Putin kumfukuza kazi, Vyombo vya habari vya Urusi vimeripoti.Waziri huyo ameripotiwa k . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • July 7, 2025

Rais Museveni, 80 aidhinishwa kuwania urais mwaka ujao

Chama tawala nchini Uganda NRM, mwishoni mwa juma kilimuidhinisha, Rais Yoweri Museveni, mwenye umri wa miaka 80 kuwa mgombea pekee wa kiti cha urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka ujao.Katika hotuba y . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • July 7, 2025

Ufaulu kidato cha sita wafikia asilimia 99.95, ubora waongezeka

Ufaulu wa jumla wa wanafunzi wa kidato cha sita mwaka 2025 umeongezeka na kufikia asilimia 99.95, ambapo wanafunzi 125,779 kati ya 125,847 waliopata matokeo wamefaulu kwa kupata madaraja ya kwanza, pi . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • July 7, 2025

NECTA Yatangaza Matokeo Ya Kidato Cha Sita

Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza rasmi matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita (ACSEE) pamoja na Mitihani ya Ualimu, iliyofanyika mwezi Mei 2025. . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • July 6, 2025

Waislamu watishia kujitenga na mfumo wa kisheria wa Kenya iwapo hukumu ya urithi haitafutwa

VIONGOZI wa Kiislamu wameonya kwamba huenda jamii yao itajitenga na mfumo wa kisheria wa Kenya iwapo serikali haitachukua hatua ya kufuta au kurekebisha hukumu ya Mahakama ya Juu kuhusu haki ya watoto . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 6, 2025

Rais Samia Mgeni Rasmi Sherehe Ya Miaka 50 Ya Uhuru Wa Umoja Wa Visiwa Vya Comoro

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan Mgeni Rasmi Madhimisho ya sherehe za Miaka 50 ya Uhuru wa Umoja wa Visiwa vya Comoro, leo tarehe 06 Julai, 2025. . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 4, 2025

Trump akiri kutokubaliana na Putin

Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa hajapiga hatua yoyote kuhusiana na suala la kusitisha vita nchini Ukraine alipozungumza na mwenzake wa Urusi Vladimir Putin kwa njia ya simu.Akizungumza na w . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • July 4, 2025

Salasya amkashifu Ruto kutokana na ripoti kuwa anajenga kanisa Ikuluni

MBUNGE wa Mumias Mashariki Peter Salasya  amemkashifu vikali Rais William Ruto kutokana na ripoti kwamba anajenga Kanisa katika Ikulu ya Nairobi kwa gharama ya Sh1.2 bilioni.Kwenye barua aliyomwa . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • July 4, 2025

Hamas kutafakari pendekezo la kusimamisha mapigano Gaza

Kundi la wanamgambo la Hamas limetoa taarifa kuwa, linashauriana na makundi mengine ya Wapalestina kuhusu mapendekezo mapya ya wasuluhishi yanayolenga kusimamisha mapigano katika Ukanda wa Gaza.Kwa mu . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • July 4, 2025

CCM Ruangwa yajivunia Majaliwa kuweka historia ya uongozi

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi kimesema kinajivunia mwanachama wake, Kassim Majaliwa (64) kuweka historia ya kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania kwa marais wawili.Majaliwa alikuwa W . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • July 4, 2025

Ueledi, ufanisi na maadili vyatakiwa kwa Watumishi wa Umma

Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Eliakim Maswi, ametoa wito kwa watumishi wa umma kutekeleza majukumu yao kwa weledi, ufanisi, na kuzingatia maadili, akisema kutofanya hivyo kumesababisha ma . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • July 4, 2025

Tanzania kinara utekelezaji wa Nishati safi ya kupikia

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan ametajwa kuwa kinara namba moja wa uhamasishaji wa matumizi ya nishati safi ya kupikia Afrika na Mawaziri wanaoshughulikia masuala ya  Nishati na Maji wa Jumuiya ya M . . .

Kurasa 23 ya 129

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Mbunge wa Ilemela agawa pikipiki kwa vijana

    • 13 masaa yaliopita
  • Ajiua kwa kujinyonga kwenye banda la mbuzi Manyara

    • 16 masaa yaliopita
  • Familia za waathiriwa wa maandamano kuandamana hadi ikulu ya rais kudai haki

    • 16 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode