logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Top Story
  • Na Asha Business
  • March 30, 2023

Makamu wa Rais wa Marekani ziarani Tanzania

Makamu wa Rais wa Marekani kamala Harris ameanza rasmi ziara yake ya nchini Tanzania ambapo hii leo anatarajiwa kufanya mikutano na viongozi wa serikali wakiongozwa na mwenyeji wake Rais Samia Suluhu . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • March 30, 2023

Papa Francis alazwa hospitali kutokana na maambukizi ya mapafu

Kiongozi wa Kanisa katoliki Papa Francis alilazwa hospitali Jumatano kutokana na maambukizi ya mapafu baada ya kukabiliwa na matatizo ya kupumua katika siku za hivi karibuni, na atakaa hospitali kwa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 28, 2023

Wizi wa alama za barabarani wakithiri Shinyanga

Wizi wa alama za barabarani mkoani Shinyanga ambao umekuwa ukitokea mara kwa mara umetajwa kuchangia uharibifu mkubwa wa mindombinu hiyo pamoja na kuongezeka kwa ajali za barabarani zinazochangiwa na . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 28, 2023

Diwani afukia kisima kilichochimbwa na wananchi

Wakazi wa kitongoji cha Nyangalamila B kata ya Irenza Halmashauri ya Buchosa wilayani Sengerema mkoani Mwanza wamemkataa diwani wa kata yao baada ya kufukia kisima walichokuwa wanachimba kwa ajili ya . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 28, 2023

NATO yakemea matamshi ya Urusi kuhusu Nyuklia

Jumuiya ya Kujihami ya NATO imekemea kauli za Rais wa Urusi Vladimir Putin baada ya kiongozi huyo kusema atapeleka nchini Belarus silaha za kimkakati za nyuklia.Kutokana na kauli hiyo, Ukraine imetoa . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • March 27, 2023

Azimio Yavumbua Mtandao Utakaotumika Kuweka Picha Wakati wa Maandamano

Muungano wa Azimio umevumbua mtandao utakaotumika kuhifadhi picha za matukio ya maandamano yanayotarajiwa kufanyika kila Jumatatu na Alhamisi. Kiongozi wa wachache katika bunge la taifa Opiyo Wan . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 27, 2023

Maelfu ya Waisraeli Waandamana

Maelfu ya Waisraeli wameingia barabarani Jumapili kuandamana baada ya waziri mkuu Benjamin Netanyahu kumfuta kazi waziri wake wa ulinzi ambaye aliitaka serikali kusitisha mpango wake wenye utata wa ku . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 26, 2023

Biden atangaza hali ya dharura

Rais wa Marekani Joe Biden ametangaza hali ya dharura nchini humo hususan katika jimbo la Mississippi baada ya kimbunga kulikumba eneo hilo usiku wa kuamkia jumapili na kusababisha vifo vya watu wasio . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 26, 2023

Abiria Watakiwa Kumrekodi Askari Anayechukua Rushwa

Maelekezo hayo yametolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Safia Jongo akisisitiza imekuwa ni mazoea kwa Askari wa Usalama Barabarani wanapokagua na kubaini gari lina upungufu basi wanachukua fedha . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 24, 2023

Kamati Yapitisha Makadirio Ya Matumizi Na Maendeleo 2023/2024 Kwa Wizara Uwekezaji Viwanda Na Biashara

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo imepokea na kupitisha makadirio ya matumizi na maendeleo kwa mwaka wa fedha 2023/2024 kwa Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara pamo . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • March 24, 2023

WAZIRI MKUU ATEMBELEA MAONESHO YA SIKU YA KIFUA KIKUU DUNIANI KITAIFA SIMIYU

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akiteremka kutoka kwenye gari lenye maabara inayotumika kupima ugonjwa wa Kifua Kikuu katika maeneo mbalimbali wakati alipotembelea mabanda ya monyesho ya Maadh . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • March 24, 2023

Meta Yazuiwa Kuwafukuza Kazi Wasimamizi Wa Maudhui Wa Facebook Nchini Kenya

Mahakama katika mji mkuu wa Kenya Nairobi, imeizuia kampuni ya Meta, ambayo ni kampuni mama ya facebook, kuwafuta kazi wasimamizi wake wa maudhui huku wakisubiri kusikilizwa kwa kesi ya kupinga hatua . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • March 24, 2023

Bilionea Kuoa kwa Mara ya Tano Akiwa na Umri wa Miaka 92

Mkwasi wa vyombo vya habari Rupert Murdoch, ametangaza kuwa katika uhusiano wa mapenzi na Ann Lesley Smith ambaye ni afisa wa zamani wa polisi.Murdoch, 92, na Smith, 66, walikutana mnamo Septemba kati . . .

Teknolojia
  • Na Asha Business
  • March 24, 2023

Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya TikTok ahojiwa na kamati ya bunge la Marekani

Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya TikTok amehojiwa na kamati ya bunge la Marekani kujibu kwa nini programu hiyo  maarufu ya mitandao isipigwe marufuku. Ushaidi wa Shou Zi Chew Alhamisi uliku . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • March 24, 2023

Achomwa mkuki akifukuza mifugo shambani kwake

Mohamed Salumu (44) mkazi wa Kijiji cha Olpopong kata ya Njoro wilayani Kiteto mkoani Manyara, amenusurika kifo kwa kuchomwa mkuki kifuani wakati akizuia mifugo isiharibu mazao yake shambani.Watuhumiw . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • March 24, 2023

Uganda yajiandaa kupeleka wanajeshi 1000 mashariki mwa Kongo

Taarifa hiyo imetangazwa jana Alhamisi na afisa wa  jeshi la nchi hiyo, Kanali Mike Walaka  Hyeroba, aliyesema wanajeshi hao watapelekwa katika maeneo mbalimbali ya Kivu Kaskazini ambako hiv . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • March 23, 2023

Wabunge wa Azimio na Kenya Kwanza Wakizozona Kuhusu Maandamano ya Jumatatu

Bunge la taifa limeshuhudia cheche za maneno baada ya wabunge wa Kenya Kwanza na wale wa Upinzani kuanza kuzozana kuhusu ni nani wa kulaumiwa katika maandamano yaliyofanyika Jumatatu 20. Kiongozi . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • March 23, 2023

Mpasuko kutengeneza Bahari mpya, Afrika kugawanyika

Wanajiolojia wamethibitisha uwepo wa nyufa kubwa inayolitishia bara la Afrika kugawanywa na maji na kutoka vipande viwili kutokana na ufa wenye urefu wa maili 35 kuonekana katika jangwa la Ethiopia li . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 23, 2023

Idadi ya watu wa China yashuka kwa mara ya kwanza baada ya miongo miwili

Takwimu rasmi za serikali zinaonyesha kwamba Idadi ya watu kwenye mji mkuu wa China, Beijing imeshuka kwa mara ya kwanza ndani ya miongo miwili, ukionekana kuwa mwendelezo wa hali katika maeneo mengin . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • March 22, 2023

Wanawake wawili wanaswa na nyara za serikali

Wanawake wawili wa Kijiji cha Kimana wilayani Kiteto Mkoani Manyara, wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Kiteto kwa kukutwa na nyara za Serikali, ambazo ni Swala na mtoto wa mnyama aina ya Digidigi ambay . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 22, 2023

Tshisekedi aagiza kongamano la amani la Kivu Kusini kulikoathiriwa na migogoro ya kikabila

Nchini jamhuri ya kidemokrasia ya Congo kumeanzishwa kongamano kubwa kuhusu amani na maendeleo ya Jimbo la Kivu kusini mjini Bukavu.Kongamano hili litakalo dumu muda wa siku 4 linajumuisha wawakilishi . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • March 22, 2023

Uganda yapitisha sheria kali ya kupinga ushoga

Bunge nchini Uganda limepitisha sheria kali ya kupinga vitendo vya kufanya mapenzi ya jinsia moja. Muswada huo wa sheria unapendekeza adhabu mpya kali kwa wanaofanya mahusiano ya jinsia moja.Seri . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • March 21, 2023

Wanaoshiriki ngono kwa mdomo waonywa

Jamii imetakiwa kujiepusha na mambo ambayo ni kinyume na utamaduni wa kitanzania ikiwemo kufanya ngono ya mdomo (Oral Sex) ili kuepuka vinywa vyao kupata maambukizi ya virusi hatari vya human papillom . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • March 21, 2023

Ruto"Raila Odinga Tutamshtaki Mahakamani "

Amesema “Tulisema siku ya leo ni likizo, tulikuwa tunataka kufanya maandamano ya amani ili bei ya unga irudi chini, lakini Ruto analeta Askari, anapiga watu, anashika watu, anavunja Katiba na Sheria . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 21, 2023

Wananchi Bukoba waondokana na adha ya maji

Baadhi ya wakazi wa vijiji vitatu kati ya vitano vilivyoko katika kata Karabagaine katika wilaya ya Bukoba mkoani Kagera, wameondokana na adha ya kutembea umbali mrefu kwenda kuchota maji kwenye vyanz . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 21, 2023

SERIKALI YASHAURIWA UMUHIMU WA KUANZISHA BARABARA ZA KULIPIA TOZO

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu yaishauri Serikali kupitia Wakala wa barabara Tanzania (TANROADS)  kuanza na mfumo wa barabara zenye tozo katika mradi wa  ujenzi wa barabara njia na . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 21, 2023

Dkt. Mpango akemea mamlaka za maji kuzoea matatizo ya Wananchi

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango amewataka Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) kutumia Mitambo ya uchimbaji visima ilionunuliwa na serikali kwa . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • March 21, 2023

Watanzania wapigwa ''Stop' kwa Afrika Kusini

Watanzania waishio Afrika ya Kusini wameonywa kutoshiriki kwa namna moja ama nyingine i na maandamano yanayoendelea katika nchi hiyo na badala yake wafuate sheria na taratibu za nchi hiyo.Akizungumza . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 20, 2023

Ufaransa yakabiliwa na kura mbili za kutokuwa na imani nayo

Serikali ya Ufaransa inakabiliwa na kura mbili za kutokuwa na imani nayo baada ya wiki iliyopita Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Elisabeth Borne kulazimisha mageuzi yenye utata kuhusu pensheni, bila ya kupi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 19, 2023

Waziri wa mambo ya ndani wa Uingereza ziarani nchini Rwanda

Waziri wa Mambo ya Ndani wa Uingereza Suella Braverman yupo ziarani mjini Kigali tangu jana Jumamosi ili kutetea mpango tata wa kuwahamisha hadi Rwanda waomba hifadhi wanaowasili nchini Uingereza.Brav . . .

Kurasa 82 ya 130

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Miaka kumi ya Jembefm

    • 19 masaa yaliopita
  • Madhara ya kichokonoo kwenye meno

    • 19 masaa yaliopita
  • Chaguzi za UDA kupima nguvu zake Mlima Kenya

    • 20 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode