logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Elimu
  • Na Jembe Digital
  • July 10, 2025

Vijana kupatiwa mafunzo ya Ujasiriamali na ajira

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda amezindua rasmi Programu ya Mafunzo ya Ujasiriamali na Ajira, inayolenga kuwasai . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • July 10, 2025

Kesi ya mgawanyo wa mali za Chadema kusikilizwa leo

Kesi ya mgawanyo wa rasilimali za Chama cha Demokrasia na Maendeleo inatarajiwa kuendelea leo Julai 10, 2025 katika Mahakama Kuu ya Tanzania . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 9, 2025

Trump Apendekezwa Kwa Tuzo ya Nobel na Netanyahu

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amemkabidhi Rais wa Marekani Donald Trump barua rasmi ya pendekezo lake la uteuzi kwa Tuzo ya Amani . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 9, 2025

Prof.Kabudi "Kuna mambo yanaonekana ya kipuuzi ila kwa nchi yetu ni muhimu"

Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Palamagamba Kabudi amesema Tanzania ndio nchi pekee ni Taifa, na kwamba nchi nyingine za . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • July 9, 2025

Waliokufa Kutokana na Maandamano ya Sabasaba Kenya Wafikia 31

Taarifa ya tume hiyo pia imeeleza watu waliojeruhiwa ni 107, wasiojulikana walipo ni 2, huku 532 wamekamatwa na Polisi wa nchi hiyo, na tham . . .

Kilimo
  • Na Asha Business
  • July 9, 2025

Anavyogeuza taka kuwa mboleahai

IKIWA kuna msemo unaomfafanua vyema Richard Mwangi, basi ni huu: “Nipe tatizo, nitaligeuza kuwa fursa yenye thamani.”Mwangi ndiye mwanzi . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • July 9, 2025

Bei ya petroli imepanda kwa Sh29 huku dizeli imeshuka Zanzibar

Wakati bei ya mafuta ya petroli ikipanda kwa Sh29 mafuta ya dizeli imeshuka kwa Sh255 ikilinganishwa na mwezi uliopita.Mamlaka ya Udhibiti w . . .

Michezo
  • Na Jembe Digital
  • July 9, 2025

Manula Atambulishwa Rasmi Azam FC

Aliyekuwa kipa wa Simba SC na timu ya taifa, Taifa Stars, Aishi Salum Manula, amerejea rasmi katika klabu yake ya zamani ya Azam FC baada ya . . .

afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • July 9, 2025

Ruto kuwachukulia hatua kali wapanga njama kumuondoa madarakani

Rais wa Kenya William Ruto akiwa na hasira kali ameapa kuwachukulia hatua kali wale anaowaita wapanga njama wa kutaka kumuondoa madarakani k . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • July 9, 2025

Vyombo vya habari mbioni kupata ruzuku

SERIKALI imesema inatafakati kuona namna ya kufadhili vyombo vya habari kwa kuvipa ruzuku.Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • July 9, 2025

Samia aweka historia Dira 2050

RAIS Samia Suluhu Hassan ameweka historia ya kuwa Rais wa pili wa Tanzania kuandika Dira ya Taifa ya Maendeleo isiyokuwa na mwelekeo wa itik . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • July 9, 2025

DCEA yakamata wamiliki kiwanda cha kuzalisha biskuti zenye viambata vya dawa za kulevya

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya DCEA imeeleza kubaini na kuwakamata wamiliki wa kiwanda bubu cha kuzalisha biskuti zeny . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • July 9, 2025

CHAUMMA maandalizi ya ilani ya uchaguzi mkuu 2025 kukamilika asilimia 95

Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimetangaza kuanza awamu ya pili ya ziara yake katika maeneo mbalimbali ambayo kimeiita ziara hiyo kuwa . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • July 9, 2025

kushambuliwa kwa Padri Charles Kitima linafahamika vizuri na vyombo vya dola

Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Dkt. Charles Kitima, amesema tukio la yeye kushambuliwa na watu wasiojulika . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • July 9, 2025

Wadau wa elimu kutoa ufafanuzi wizi wa mitihani hatua zichukuliwe

Wadau wa elimu nchini wamependekeza kuchukuliwa hatua madhubuti kuhusu suala la wizi wa mitihani, ambalo limeonekana kuanza kuota mizizi na . . .

Uwekezaji
  • Na Jembe Digital
  • July 9, 2025

Serikali yaimarisha vituo vya ununuzi madini kutoka 61 hadi kufikia 109

Serikali imeendelea kuchukua hatua za kuimarisha usimamizi na uendelezaji wa sekta ya madini na  kuimarisha masoko na minada ya uuzaji . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • July 9, 2025

TRA watakiwa kuongeza ufanisi ukusanyaji wa mapato

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameitaka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuongeza usimamizi wa ukusanyaji wa kodi kwa wafanyabiashara ikiwemo w . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • July 9, 2025

Mwanafunzi atiwa hatiani kwa tuhuma za mauaji

Jeshi la Polisi linamshikilia Samwel Kayoka (16) Mwanafunzi wa Kidato cha Kwanza Shule ya Sekondari Mtenga kwa tuhuma za mauaji ya mdogo wak . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • July 8, 2025

Hatua ya Elon Musk kuzindua chama kipya cha siasa chazua moto kwa Donald Trump

Utajiri wa Mkurugenzi Mtendaji wa Tesla na SpaceX, Elon Musk, umepungua kwa kiasi cha dola bilioni 15 kwa siku ya leo pekee baada ya hisa za . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • July 8, 2025

Akutwa na hatia ya kuwaua Wakwe zake kwa kuwalisha uyoga wenye sumu

Mahakama moja Nchini Australia imemkuta Mwanamke aitwae Erin Patterson na hatia ya kuwaua Wakwe zake kwa kuwalisha uyoga wenye sumu katika c . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • July 8, 2025

Waandamanaji Walivamia na Kuharibu Gari la Kubeba Wagonjwa la Hospitali ya Embu Level 5

Machafuko yalitanda mjini Embu wakati wa maandamano ya Saba Saba huku gari la wagonjwa kutoka Hospitali ya Embu Level 5 likipigwa mawe na ku . . .

Uwekezaji
  • Na Jembe Digital
  • July 8, 2025

Mashamba ya uzalishaji mifugo ya serikali yaachwe wazi yafanye shughuli za kiserikali

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Alexander Mnyeti amesema mashamba ya uzalishaji mifugo ya Serikali lazima yaachwe yafanye shughuli za kiser . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • July 8, 2025

Familia yakwama na mwili usiku kucha wa mwandamanaji aliyeuawa Kitengela

FAMILIA ya Brian Kimutai, mwandamanaji mwenye umri wa miaka 21, aliyedaiwa kupigwa risasi na afisa wa polisi wakati wa maandamano ya Saba Sa . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • July 8, 2025

Waziri Ajiua Kwa Risasi Kisa Kufutwa Kazi Na Putin

Vladimirovich Starovoit, aliyekuwa Waziri wa Usafirishaji wa Urusi kati ya mwaka 2024 na 2025, amekutwa amefariki dunia kwa kile kinachoelez . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 8, 2025

CHAUMMA kuja na awamu ya pili ziara ya Chopa siku 13

Chama cha Ukombozi wa Umma(CHAUMMA), kimetangaza awamu ya pili ya ziara yake baada ya ile iliyofanyika Juni mwaka huu.Kwa mujibu wa Mkurugen . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 8, 2025

UN yaichagua Tanzania kuandaa mafunzo ya kimataifa kwa maafisa wa jeshi

Chuo cha Mafunzo ya Ulinzi wa Amani cha Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kimechaguliwa na Umoja wa Mataifa (UN) kuwa mwenyeji . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • July 8, 2025

REA kuhakikisha 80% wanatumia nishati safi ifikapo 2034

MKURUGENZI Mkuu na Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Hassan Saidy amesema wakala huo umejizatiti kuhakikisha 80% ya Watanzania wanatumi . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • July 8, 2025

Maandalizi Dira ya Taifa 2050 yafikia ukingoni

SERIKALI  imetangaza kuwa maandalizi ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 yamefikia ukingoni, baada ya kupitia mchakato wa hatua mbalimba . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • July 8, 2025

Dira ya Taifa ya Maendeleo ya mwaka 2050 kuzinduliwa julai 17

 RAIS Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuzindua rasmi Dira ya Taifa ya Maendeleo ya mwaka 2050 Julai 17, 2025, akiweka rekodi ya kuwa R . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • July 8, 2025

Askofu akemea vikali watu wanaokimbilia kwa waganga wa kienyeji kutafuta tiba

KANISA Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam limekemea watu wanaokimbilia kwa waganga wa kienyeji na sehemu zisizofaa kutafuta ufumbuzi wa cha . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • July 8, 2025

Silaa ashiriki hafla ya ufunguzi wa Mkutano wa Kimataifa wa Jamii ya Habari

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Jerry William Silaa (Mb), ameshiriki hafla ya ufunguzi wa Mkutano wa Kimataifa wa Jamii . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • July 8, 2025

ACT yasisitiza tume ya uchaguzi kuweka wazi vifaa vya uchaguzi

Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo Ndugu adoshaibuado ameitaka Tume Huru ya Uchaguzi tumeyauchaguzi_tanzania nchini kuongeza uwazi katika mchakato . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • July 8, 2025

Watahiniwa 71 wafutiwa matokeo kidato cha 6

Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA)  limefuta matokeo yote ya Watahiniwa 71 wakiwemo 70 wa Mtihani wa Kidato cha Sita (64 wa Shule n . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • July 8, 2025

Ashukiwa kujiua baada ya kufukuzwa kazi ya waziri

Aliyekuwa Waziri wa Uchukuzi wa Urusi Roman Starovoy, anashukiwa kujiua ikiwa ni saa chache baada ya Rais Vladmir Putin kumfukuza kazi, Vyom . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • July 7, 2025

Rais Museveni, 80 aidhinishwa kuwania urais mwaka ujao

Chama tawala nchini Uganda NRM, mwishoni mwa juma kilimuidhinisha, Rais Yoweri Museveni, mwenye umri wa miaka 80 kuwa mgombea pekee wa kiti . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 7, 2025

ACT-Wazalendo" Kususia uchaguzi ni kuipa CCM ushindi bila kupingwa"

Chama cha ACT-Wazalendo kimesema kuwa uamuzi wa baadhi ya vyama kususia Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 ni sawa na kuipa Chama Cha Mapinduzi (CC . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • July 7, 2025

Ufaulu kidato cha sita wafikia asilimia 99.95, ubora waongezeka

Ufaulu wa jumla wa wanafunzi wa kidato cha sita mwaka 2025 umeongezeka na kufikia asilimia 99.95, ambapo wanafunzi 125,779 kati ya 125,847 w . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • July 7, 2025

NECTA Yatangaza Matokeo Ya Kidato Cha Sita

Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza rasmi matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita (ACSEE) pamoja na Mitihani ya Ualimu, iliyofa . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • July 6, 2025

Waislamu watishia kujitenga na mfumo wa kisheria wa Kenya iwapo hukumu ya urithi haitafutwa

VIONGOZI wa Kiislamu wameonya kwamba huenda jamii yao itajitenga na mfumo wa kisheria wa Kenya iwapo serikali haitachukua hatua ya kufuta au . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • July 6, 2025

Huu Ndio Usajili wa Ovyo Kabisa Kuwahi Kutokea

Alisainiwa kwa mkopo wa miezi mitatu kwa Kombe la Dunia la Klabu ya FIFA ya 2025. Baada ya mashindano kumalizika, walitaka kumsaini.Lakini k . . .

Kurasa 40 ya 212

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category