logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Afrika
  • Na Asha Business
  • October 8, 2025

Burkina Faso yawatia mbaroni watu 8 wakiwemo 3 wa Ulaya

Serikali ya kijeshi ya Burkina Faso imetangaza kuwakamata watu wanane wa shirika la misaada ya kibinadamu, wakiwemo raia watatu wa Ulaya, kwa tuhuma za ujasusi na uhaini.Waziri wa Usalama, Mahamadou S . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 8, 2025

Rais Macron akabiliwa na shinikizo la kujiuzulu

Aliyekuwa waziri mkuu wa kwanza wa rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron, katika hatua ya kushangaza, amemtaka kiongozi huyo ajiuzulu kuinusuru nchi hiyo kutumbukia zaidi katika mzozo wa kisiasaWito wa Ed . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 8, 2025

Ethiopia yaituhumu Eriteria kwa kuungana na TPLF kuandaa vita

Ethiopia imeishtumu Eritrea kwa kuungana na vikosi vya Tigray People's Liberation Front (TPLF), kujiandaa kwa ajili ya vita.Wizara ya Mambo ya nje ya Ethiopia, kupitia barua ilionekana na Shirika la H . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 7, 2025

Donald Trump Aongoza Orodha ya Wagombea Tuzo ya Amani ya Nobel

Zikiwa zimesalia siku nne kabla ya kutangazwa rasmi kwa mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel, Rais wa Marekani, Donald Trump, anashika nafasi kubwa ya kushinda tuzo hiyo.Tuzo ya Alfred Nobel inatolewa ki . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 7, 2025

Jenerali wa jeshi ateuliwa kuwa Waziri Mkuu nchini Madagascar

Rais wa Madagascar Andry Rajoelina, amemteua Jenerali wa jeshi Ruphin Fortunat Dimbisoa Zafisambo, kuwa Waziri Mkuu mpya, wakati huu kisiwa hicho kinachoendelea kukabiliwa na maandamano ya vijana.Uteu . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • October 7, 2025

ICC yamkuta na hatia aliyekuwa mbabe wa kivita nchini Sudan Ali Kushayb

Mahakama ya kimataifa ya ICC, imemkuta na hatia ya makosa ya uhalifu wa kivita na dhulma dhidi ya binadamu, aliyekuwa muasi na mbabe wa kivita nchini Sudan, Ali Muhammad Ali Abdi-Rahman, uhalifu aliou . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • October 6, 2025

Bunda wameishukuru serikali kwa kuwajengea vizimba

Wananchi wa Wilaya ya Bunda mkoani Mara wameishukuru serikali kwa kuwajengea vizimba maalum vya kuzuia mamba, hatua iliyosaidia kuwalinda wanapochota maji, kufua, kuoga na kufanya shughuli nyingine pe . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 6, 2025

Jaji Mkuu Masaju Atoa Wito Wa Ushirikiano Kati Ya Mahakama, Polisi Na Mawakili

JAJI MKUU wa Mahakama ya Tanzania,  George Masaju, ametoa wito kwa askari wa Jeshi la Polisi, mawakili na wadau wote wa mahakama kufanya kazi kwa kushirikiana, kuheshimiana na kuepuka migongano i . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • October 6, 2025

Vikosi vya serikali Somalia vimefanikiwa kumaliza mzingiro

Vikosi vya serikali ya Somalia vimefanikiwa kumaliza mzingiro wa saa sita uliofanywa na wapiganaji katika gereza kubwa lililoko karibu na ofisi ya rais jijini Mogadishu, kwa kuwaua washambuliaji wote . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 6, 2025

Rais Macron atangaza baraza jipya la Mawaziri

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron, ametangaza Baraza jipya la Mawaziri, litakaloongozwa na Waziri Mkuu Sébastien Lecornu.Hatua hii inakuja, wakati huu serikali ya Rais Macron ikikabiliwa na changamoto . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 6, 2025

Waziri Mkuu mpya wa Ufaransa Sebastien Lecornu ajiuzulu

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amekubali hatua ya Waziri wake Mkuu Sebastien Lecornu kutangaza kujiuzulu saa chache baada ya kulitaja baraza lake la Mawaziri kulingana na taarifa kutoka kwa Ofisi ya . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • October 3, 2025

MKUTANO MKUU WA WAFANYAKAZI WA MOI WAFANYIKA

Mkutano Mkuu wa mwaka wa wafanyakazi wote wa Taasisi ya MOI umefanyika leo  Oktoba 03 mwaka huu katika ukumbi wa CPL Muhimbili jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na wafanyakazi kutoka vitengo m . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • October 3, 2025

Mwalimu ndio nguzo kuu ya maendeleo

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa walimu ni nguzo kuu ya maendeleo ya taifa lolote hapa duniani kwani ndio wanaotoa rasilimaliwatu yenye elimu ambayo ni muhimu zaidi ya Taifa.Amesema kuwa mafa . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • October 3, 2025

Sarah Mullally ateuliwa kuwa Askofu Mkuu kanisa la Anglikana Duniani

Mhashamu Askofu Sarah Mullally ameteuliwa kuwa Askofu Mkuu wa Canterbury Muadhama Mkuu Sarah Mullally anakuwa ni mwanamke wa kwanza kuwa Askofu Mkuu wa Canterbury.Hivyo anakuwa Askofu Mkuu wa 106 kuto . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • October 3, 2025

"Happy boyfriend day "sema neno moja kwa umpendae

Dunia leo inaadhimisha Boyfriend Day, siku maalumu inayotambuliwa kila mwaka tarehe 3 Oktoba kwa ajili ya kuwakumbuka na kuwasherehekea wanaume waliopo kwenye mahusiano na wanawake.Leo ndiyo siku tuna . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • October 3, 2025

Watoto Watatu Wafariki Dunia kwa ajali ya moto Kibaha

Watoto watatu wamefariki dunia baada ya nyumba ya ghorofa moja kuteketea kwa moto katika Mtaa wa Kitende, Kwa Mfipa, Wilaya ya Kibaha, Mkoa wa Pwani.Tukio hilo lilitokea majira ya saa 10:00 alasiri ka . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • October 2, 2025

Tanzania ,Ufaransa kushirikiana kilimo ikolojia

 SERIKALI ya Ufaransa itaendelea kushirikiana na Tanzania katika kilimo ikolojia kinachohifadhi ardhi na mazingira kwa lengo la kuongeza uzalishaji na upatikanaji wa uhakika wa usalama wa ch . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 2, 2025

Maandamano ya Gen Z nchini Morocco yaingia siku ya tano

Vijana waliokuwa wamefunika nyuso zao wamekabiliana na polisi na kusababisha uharibifu wa mali katika miji kadhaa nchini Morocco wakati maandamano ya kuipinga serikali yakiendelea kwa siku ya tano mfu . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 2, 2025

Maandamano Italia baada ya Israel kuzuia meli ya misaada

Maandamano makubwa yamezuka nchini Italia kufuatia hatua ya Israel kuzuia msafara wa meli uliokuwa umebeba misaada kuelekea ukanda wa Gaza.Mjini Rome, maelfu ya waandamanaji walikusanyika jana jioni n . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • October 2, 2025

WHO yatangaza vifo 42 kufuatia mlipuko wa hivi punde wa Ebola nchini DRC

Mlipuko mpya wa Ebola umekuwa ukiendelea tangu mapema mwezi Septemba nchiniJamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, katika Mkoa wa Kasai. Kulingana na Shirika la Afya Duniani (WHO), watu 42 wamefariki kati y . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • October 1, 2025

Vyuo vikuu vyatakiwa kuunganisha nguvu mabadiliko ya tabianchi

KATIBU Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Carolyne Nombo amevitaka vyuo vikuu nchini kuunganisha nguvu katika kufanya tafiti za pamoja ili kukabiliana na changamoto mbalimbali hasa z . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • October 1, 2025

Serikali ya Zanzibar kuendeleza miradi ya kimkakati katika sekta ya nishati

 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali itaendeleza miradi ya kimkakati katika sekta ya nishati ili kuhakikisha Zanzibar inakuwa na umeme . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • October 1, 2025

Majaji, mahakimu na waendesha mashtaka wa Tanzania wapewa Elimu ya ushirikiano makosa ya jinai

Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto (IJA) kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Italia ( Sant’Anna School of Advanced Studies -Scuola) kupitia ufadhili wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kim . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 1, 2025

Mabasi ya Mwendokasi zaidi ya 200 kuingia barabarani

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amewataka wananchi kuwa watulivu na wavumilivu wakati Serikali ikiendelea kushughulikia changamoto ya usafiri wa Mwendokasi, hususan katika kituo cha K . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • October 1, 2025

Joseph Kabila ahukumiwa kifo kwa uhaini

Mahakama ya kijeshi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imemhukumu kifo aliyekuwa rais wa nchi hiyo Joseph Kabila baada ya kumtia hatiani kwa makosa kadhaa makubwa yakiwemo uhaini, uasi na uhalifu . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • October 1, 2025

Deni lililofichwa nchini Senegal: Macky Sall aanzisha mjadala

Aliyekuwa rais wa Senegal Macky Sall, wakati wa mahojiano yake nje ya nchi, amezungumza kwa mara ya kwanza kuhusu deni lililoikabili Senegal. Baada ya kuondoka kwa rais huyo wa zamani, mamlaka ya Sene . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 1, 2025

Maelfu ya waandamanaji waandamana na kumtaka Rajoelina ajiuzulu

Watu zaidi na zaidi wanajiunga na vuguvugu la maandamano yanayotikisa mji mkuu wa Madagascar, Antananarivo. Licha ya tangazo la Andry Rajoelina siku ya Jumatatu, Septemba 29, la kufutwa kwa serikali n . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • October 1, 2025

Serikali Yalenga Kuifanya Elimu ya Juu Kuwa ya Ushindani Kimataifa

Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeeleza kuwa inaendelea kutekeleza ajenda yake ya kuifanya elimu ya juu nchini kuwa ya ushindani katika ngazi ya kimataifa kupitia utekelezaji mpango wa Umataif . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • September 30, 2025

Raila aanza kulinda gome zake

KIONGOZI wa chama cha ODM Raila Odinga ameanza kulinda ngome zake za kisiasa dhidi ya uwezekano wa kuvamiwa na mshirika wake Rais William Ruto.Bw Odinga ameanza harakati kali za kukifufua chama chake . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 30, 2025

Mamlaka ya Taliban yazima mtandao wa intaneti

Mamlaka ya Kiislam ya Taliban nchini Afghanistan imeamuru kuzimwa kwa mkongo wa taifa wa intaneti "hadi kutakapotangazwa vinginevyo."Mapema chanzo cha serikali kilichozungumza na shirika la habari la . . .

Kurasa 13 ya 129

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Rwanda Yafunga Zaidi ya Makanisa 10,000 ya Kiinjili kwa Ukiukwaji wa Sheria

    • 22 dakika zilizopita
  • Askofu Bagonza aonya dhidi ya ‘sumu’ zinazokwamisha maridhiano

    • saa moja lililopita
  • Polisi Babati wachunguza kifo cha mwanaume kijiji cha Mapea

    • saa moja lililopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode