logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kilimo
  • Na Asha Business
  • August 5, 2025

RC Sendiga akagua mabanda Maonesho ya Wakulima Kanda ya Kaskazini

Mkuu wa mkoa wa Manyara, Queen Sendiga mapema hii leo Agosti 5, 2025 amekagua mabanda mbalimbali katika maonesho ya Wakulima nane nane na kujionea shughuli mbalimbali, ikiwemo za Kilimo na Mifugo.Maon . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 5, 2025

Hatma ya plastiki yazua mjadala mkali

 MKUTANO wa sita wa wapatanishi wa kimataifa kuhusu mkataba wa marufuku ya plastiki umeanza nchini Uswisi, huku mataifa ya visiwa yakisisitiza umuhimu wa kupitishwa kwa mkataba huo kama sehemu ya . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • August 5, 2025

Rwanda yapokea wahamiaji 250

 SERIKALI ya Rwanda imeripotiwa kusaini makubaliano na Marekani ya kuwapokea wahamiaji 250 waliotimuliwa nchini humo, katika kile kinachotajwa kuwa sehemu ya mkakati wa Marekani kudhibiti uhamiaj . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 5, 2025

Mwaka mmoja baada ya Sheikh Hasina kukimbia, nchi yaandika Katiba yake mpya

Mwaka mmoja uliopita, tarehe 5 Agosti 2024, Waziri Mkuu wa Bangladesh Sheikh Hasina alikimbia nchi, akishinikizwa na wiki kadhaa za maandamano. Wanafunzi walikuwa wakipinga mageuzi ya kujiunga na chuo . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • August 4, 2025

Mkutano wa 45 wa SADC waanza rasmi jijini Antananarivo

Mkutano wa 45 wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) umeanza Agosti 04 mwaka huu jijini Antananarivo, Madagascar na Kikao cha Wataalamu cha Maafisa Waandamizi cha . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • August 4, 2025

CCTV Camera mbioni kufungwa Daraja la J.P. Magufuli

Serikali kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) imepanga kufunga kamera maalum za usalama (CCTV) katika Daraja la J.P. Magufuli linalounganisha Kigongo na Busisi, mkoani Mwanza, ili kuhakikish . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • August 4, 2025

Bot yauawa takribani watu 68

Takribani wahamiaji 68 wamefariki dunia baada ya boti iliyokuwa imebeba takriban watu 150 kuzama katika pwani ya Yemen kufuatia hali mbaya ya hewa mnamo Agosti 3 mwaka huu Chombo hicho kilizama k . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • August 2, 2025

Jeshi la Magereza lakanusha vikali tukuo la Lissu kusukumwa

Jeshi la Magereza Tanzania limekanusha vikali madai ya ukiukwaji wa haki za binadamu dhidi ya Mwenyekiti wa CHADEMA taifa, Tundu Antiphas Lissu, yaliyotolewa na mawakili wanaomwakilisha wakiongozwa na . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • August 1, 2025

GGML YATOA TAULO ZA KIKE ZAIDI YA ELFU 80 GEITA

Geita, Agosti 1, 2025 – Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imeendeleza juhudi zake za kusaidia watoto wa kike kuondokana na changamoto ya kukosa masomo wakati wa hedhi kwa kutoa taulo za ki . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • August 1, 2025

NEC " Hakuna sheria inayoruhusu kura kupigwa mapema "

Tume ya Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imesema hakuna sheria inayoruhusu kura za mapema kupigwa kwa upande wa Tanzania bara katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29 mwaka huu.Kura hiyo ni ile am . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • August 1, 2025

Akutwa amefariki kwenye dimbwi la maji

Mwanaume mwenye umri unaokadiriwa (25-30) ambaye hajafahamika jina wala makazi yake, amekutwa amefariki dunia kwenye dimbwi la maji linalotumika kumwagilia mbogamboga kwenye bustani katika Mtaa wa Mal . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • August 1, 2025

Polisi Mtwara wamkamata Ebitoke katika fukwe za bahari

Jeshi la Polisi Mkoani Mtwara limesema limemkamata Anastanzia Exavery Mahatane (27), maarufu Ebitoke katika fukwe za Msanga Mkuu Mjini Mtwara akiwa katika hali inayoonekana kuwa amechanganyikiwa na wa . . .

Afrika Mashariki
  • Na Jembe Digital
  • August 1, 2025

Waititu apawe agizo la kuleta dhamana ya Sh53 milioni ili atoke jela

JAJI wa Mahakama Kuu, Lucy Njuguna, amepitia upya agizo lake la awali na kukataa ombi la Ferdinand Waititu la kuachiliwa kwa dhamana akisubiri uamuzi wa rufaa yake.Badala yake, aliamuru kuwa Waititu a . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • August 1, 2025

RC Simiyu aalika wananchi maonyesho ya Nanenane

MKUU wa Mkoa wa Simiyu, Anamringi Macha, ametoa wito kwa wakazi wa mikoa ya Kanda ya ziwa Mashariki na maeneo jirani kujitokeza kwa wingi katika maonesho ya Nanenane yatakayofanyika kwenye viwanja vya . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • July 31, 2025

Bandari Kavu ya Kwala yazinduliwa rasmi leo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan leo Alhamisi Julai 31, 2025 amekagua na kuzindua rasmi Bandari Kavu ya Kwala mkoani Pwani pamoja na kupokea mabehewa mapya na yaliyokar . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • July 31, 2025

Kenya yapiga marufuku unywaji wa pombe chini ya miaka 21

Serikali ya Kenya imetangaza kupiga marufuku uuzwaji wa pombe katika maeneo mbalimbali ya wazi nchini humo kama kwenye fukwe, bustani za kupumzika, vituo vya huduma za afya, vituo vya mabasi, vituo vy . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • July 31, 2025

Samia aweka jiwe la msingi Kongani ya Viwanda

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Alhamisi ameweka jiwe la msingi katika Kongani ya Viwanda ya Kwala, iliyopo mkoani Pwani, ikiwa ni sehemu ya juhudi za serik . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • July 31, 2025

Marekani yaitwisha India ushuru mpya

RAIS wa Marekani, Donald Trump, amesema kuwa serikali yake itaanza kutoza ushuru wa asilimia 25 kwa bidhaa zinazoingizwa kutoka India, kuanzia Ijumaa ijayo.Akizungumza kupitia mtandao wake wa Truth So . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • July 31, 2025

Canada yauunga mkono Palestina

 WAZIRI Mkuu wa Canada, Mark Carney, ametangaza kuwa nchi yake inapanga kulitambua rasmi Taifa la Palestina katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mwezi Septemba mwaka huu.Tangazo hilo linakuja si . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • July 31, 2025

Biashara haramu ya binadamu yaongezeka-IOM

UMOJA wa Mataifa kupitia Shirika lake la Uhamiaji (IOM), umesema biashara haramu ya binadamu inaendelea kuongezeka kwa kasi ya kutisha, huku maelfu ya watu wakikumbwa na udanganyifu wa mitandaoni kati . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • July 31, 2025

NEC imezitaka taasisi zote kuzingatia sheria za kupiga kura

TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi imezitaka taasisi na asasi za kiraia zilizopata kibali cha kutoa elimu ya mpiga kura kuzingatia sheria, kanuni na maelekezo ya Tume wakati wa utekelezaji wa majukumu yao . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • July 31, 2025

Kijah Yunus wa clouds aongoza kwa kura vita maalum

Mchakato wa kuwapata wabunge viti maalumu kwa mkoa wa Lindi umetamatika baada ya mtangazaji wa Clouds Media, Kijakazi Yunus kushinda kwa kura nyingi huku akiwabwaga wakongwe.Akitangaza msimamizi wa uc . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 30, 2025

Thailand yaishutumu Cambodia kwa 'ukiukaji mkubwa' wa kusitisha mapigano

Thailand imeishutumu Cambodia leo Jumatano, Julai 30, kwa "ukiukaji wa wazi" wa usitishaji mapigano uliotekelezwa kati ya nchi hizo mbili jirani baada ya siku kadhaa za mapigano mabaya, ikidai kuwa wa . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • July 30, 2025

Wakorea wawanoa wanafunzi ATC Akili Unde

RAIA wa Jamhuri ya Korea Kusini, wametoa mafunzo ya matumizi ya Akili Unde (AI) kwa wanafunzi 50 wa Uhandisi wa Chuo cha Ufundi cha Arusha (ATC) kilichopo jijini hapa ili kuwajengea maarifa ya kutumia . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 30, 2025

Mmomonyoko wa maadili chanzo kukithiri rushwa serikalini

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Crispin Chalamila, amesema kuwa kukosekana kwa maadili katika ngazi ya familia ndiyo chanzo cha kukithiri kwa rushwa kwa watumish . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 30, 2025

Trump Amkosoa Netanyahu Kuhusu Njaa Gaza, “Watoto Wanaonekana Wenye Njaa”

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema hakubaliani na kauli ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, kwamba hakuna njaa huko Gaza. Akiwa kwenye uwanja wake wa gofu nchini Scotland, Trump alisema . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • July 30, 2025

Kituo cha EALC kuzinduliwa Agosti mosi

Leo, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mheshimiwa Albert Chalamila, amefanya mkutano na waandishi wa habari katika hoteli ya Johari Rotana, ambapo ametangaza rasmi uzinduzi wa Kituo cha East Africa Logis . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 30, 2025

Wanajeshi 3 wameuawa katika shambulio la Urusi kwenye kambi ya mafunzo

Wanajeshi wasiopunguwa watatu wa Ukraine wameuawa na kumi na wanane kujeruhiwa katika shambulio la Urusi siku ya Jumanne, Julai 29, dhidi ya kambi ya mafunzo ya kijeshi, jeshi la Ukraine limetangaza.M . . .

Afrika Mashariki
  • Na Jembe Digital
  • July 30, 2025

Hatua za haraka zaendelea kuchukuliwa Gaza

UJERUMANI , Ufaransa na Uingereza zinapanga kuwatuma mawaziri wao wa mambo ya nje katika Ukanda wa Gaza wiki ijayo, ikiwa ni juhudi za kushinikiza hatua za haraka kukabiliana na hali mbaya ya kibinada . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • July 30, 2025

Serikali kuboresha utaratibu watumishi wa umma kupandishwa daraja

KATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Dk Moses Kusiluka amesema serikali inaboresha utaratibu wa utumishi wa umma kwamba ili mtumishi apande daraja au athibitishwe kazini atalazimika kufanya mtihani kupima uwe . . .

Kurasa 19 ya 129

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Mbunge wa Ilemela agawa pikipiki kwa vijana

    • 3 masaa yaliopita
  • Ajiua kwa kujinyonga kwenye banda la mbuzi Manyara

    • 5 masaa yaliopita
  • Familia za waathiriwa wa maandamano kuandamana hadi ikulu ya rais kudai haki

    • 6 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode