logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Top Story
  • Na Asha Business
  • September 1, 2025

Zaidi ya watu 800 wamefariki kutokana na tetemeko la ardhi

Watu zaidi ya 800 wamefariki na wengine zaidi ya 2,700 wamejeruhiwa mashariki mwa Afghanistan, ambayo imekumbwa usiku na tetemeko la ardhi l . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • September 1, 2025

Wawili wafa kwa mlipuko, mmoja ajeruhiwa nyumba zaharibiwa

Watu wawili wamefariki dunia na mmoja kujeruhiwa huku nyumba kadhaa zikiharibiwa kufuatia mlipuko uliotokea katika banda la kuchomelea vyuma . . .

mahusiano
  • Na Jembe Digital
  • September 1, 2025

Ushawahi Kupata Mwenza Sahihi Mitandaoni?

DUNIA ya sasa mambo yamekuwa rahisi. Teknolojia imefanya vitu vingi ambavyo vilikuwa vinachukua mlolongo mrefu kutendeka kwa muda mfupi . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • September 1, 2025

Bayer Leverkusen Yamfuta kazi Erik ten Hag Baada ya Mechi Mbili

Kocha wa zamani wa Manchester United, Erik ten Hag, ameondolewa rasmi katika benchi la ufundi la klabu ya Ujerumani Bayer Leverkusen baada y . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • September 1, 2025

CHAUMMA, CUF na AAFP wazindua rasmi Kampeni l Sehemu Tofauti Nchini

Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA)  Agosti 31 mwaka huu, kinatarajia kuzindua rasmi kampeni za mgombea wake wa urais, Salum Mwalimu, . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • September 1, 2025

Dkt. Samia apokelewa na umati wa zaidi ya watu 200,000 katika mji wa Kibaigwa, Dodoma

Historia nyingine imeandikwa jana jioni katika mji wa Kibaigwa, Dodoma, baada ya mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa sasa . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • September 1, 2025

Mwenge wa Uhuru wawasili Geita

MBIO za Mwenge wa Uhuru mwaka 2025 zimeingia rasmi mkoani Geita zikikitokea mkoani Mwanza Septemba 01, 2025, na ukiwa mkoani Geita Mwenge hu . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • September 1, 2025

Utoro wa madaktari Pemba wapungua

 TATIZO la utoro wa madaktari katika Kisiwa cha Pemba limepungua kwa kiwango kikubwa baada ya Serikali kuwajengea makazi ya kisasa kari . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • September 1, 2025

Ameir kila Mzanzibar atalipwa Tsh 500,000 kwa mwezi

Mtiania urais wa Zanzibar kupitia Chama Demokrasia Makini, Ameir Hassan Ameir (kushoto), amesema iwapo atapitishwa na Tume ya Uchaguzi Zanzi . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • September 1, 2025

Wananchi watitosha ujenzi wa eneo la uwanja wa ndege licha ya zuio

Wananchi Kata ya Shibula Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza walioko kwenye mgogoro wa ardhi kati yao na uwanja wa ndege wameazimia kuanza kuy . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • September 1, 2025

Msemaji wa kundi la Hamas auuawa na jeshi la Israel

Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) limesema limemuua msemaji wa kundi la Hamas, Abu Obeida, katika shambulio la anga lililofanywa Jumamosi kwen . . .

Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • August 31, 2025

FUTOPIA SIKU YA PILI 2: MOTO WA KUOTEA MBALI KENYA,TANZANIA,SOUTH AFRICA,ESWATINI NDANI YA JUKWAA MOJA

Tamasha jipya la muziki na utamaduni, Futopia Festival 2025, limeendelea kuteka hisia za mashabiki waliomiminika Fumba Town, Zanzibar. Baada . . .

Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • August 31, 2025

FUTOPIA ZANZIBAR: SIKU YA KWANZA HAIKUPOA

Zanzibar jana ilikuwa sehemu ya moto kabisa baada ya kuzinduliwa rasmi kwa tamasha jipya la Futopia. Siku ya kwanza pekee imeonyesha wazi ku . . .

Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • August 29, 2025

MIAKA 22 YA SAUTI ZA BUSARA YAZAA TAMASHA JIPYA FUTOPIA

“Kuanzishwa kwa Tamasha la Futopia hakumaanishi tumeliacha Sauti za Busara,” alisema Lorenzo, Mkurugenzi wa Busara Promotions, katika uf . . .

Michezo
  • Na Jembe Digital
  • August 29, 2025

Msimu Mpya wa Ligi Kuu Bara Kuanza rasmi Septemba 17, Ratiba Ipo Hapa

Msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2025/26 unatarajiwa kuanza rasmi Septemba 17, 2025 kwa michezo miwili ya ufunguzi.KMC FC wataikaribisha . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • August 29, 2025

Khalid Aucho Aungana Tena na Kocha Gamondi Singida Black Stars,

KHALID Aucho kiungo wa zamani wa Yanga SC inatajwa kuwa amefikia makubaliano mazuri na Singida Black kuelekea msimu wa 2025/26.Kiungo huyo n . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • August 29, 2025

Makamu Wa Rais Afanya Mazungumzo Na Balozi Wa Ghana Nchini Tanzania

Asisitiza umuhimu wa  Ushirikiano zaidi wa  kiuchumi  baina  ya Mataifa  mawiliMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungan . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • August 29, 2025

Mahakama Yamuondoa Madarakani Waziri Mkuu wa Thailand Paetongtarn Shinawatra

Mahakama ya Kikatiba ya Thailand imemuondoa madarakani Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Paetongtarn Shinawatra, kufuatia sakata la simu iliyovuja k . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • August 29, 2025

Raia wa Kigeni Ashutumiwa Baada ya Kumnywesha Tembo Bia

Mamlaka nchini Kenya zimeanza uchunguzi dhidi ya raia wa Uhispania aliyenaswa kwenye video akimnywesha tembo bia katika hifadhi ya kibinafsi . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • August 29, 2025

Njaa yazidisha utapiamlo Afrika

SHIRIKA la kimataifa la hisani kwa watoto, Save the Children, limesema kuwa takribani nchi nne za Afrika zinatarajiwa kukumbwa na upungufu w . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • August 29, 2025

Njaa yazidisha utapiamlo Afrika

SHIRIKA la kimataifa la hisani kwa watoto, Save the Children, limesema kuwa takribani nchi nne za Afrika zinatarajiwa kukumbwa na upungufu w . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • August 29, 2025

WWF kuadhimisha siku ya Papa Potwe duniani

AGOSTI 30, kila mwaka dunia inaadhimisha Siku ya Papa Potwe duniani ikiwa na lengo kuibua ufahamu na kuelimisha umma kuhusu samaki huyo na k . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • August 29, 2025

Mgombea CHAUMMA Mafinga Mjini awekewa pingamizi

Mgombea ubunge wa Jimbo la Mafinga Mjini kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Ngwada Mubarak Twaha, amewekewa pingamizi la kugombea . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • August 29, 2025

Dk Samia amwaga sera Ngerengere

MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kutoa shilingi bilioni 2.6 kwa ajili ya mikopo kwa wanawa . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • August 29, 2025

Dk Nchimbi atua Mwanza kwa kampeni

MGOMBEA mwenza wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, amewasili jijini Mwanza kwa ajili ya kampeni za cham . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • August 29, 2025

Wagombea 16 Udiwani hawana upinzani

WAGOMBEA 16 wa nafasi za udiwani kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoani Kigoma wamefanikiwa kuwa wagombea pekee baada ya vyama vingine kus . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • August 28, 2025

Ujumbe wa Ukraine utakutana na maafisa wa Marekani mjini New York Ijumaa

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky ametangaza siku ya Jumatano kwamba wajumbe wa utawala wake watakutana na maafisa wa Marekani mjini New Yo . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • August 28, 2025

Wawili wauawa na zaidi ya mia moja watekwa nyara Zamfara

Watu wenye silaha wamewauwa takriban watu wawili na kuwateka nyara zaidi ya watu 100, wengi wao wakiwa wanawake na watoto, katika shambulio . . .

mahusiano
  • Na Jembe Digital
  • August 28, 2025

Namna Ya Kuishi Na Mpenzi Mwenye Mawazo na Hasi

MTU mwenye mawazo, ni yule ambaye muda wote anayatazama mambo kwa ubaya, analalamika, analaumu wengine, anapenda kuwashambulia wengine . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • August 28, 2025

Yanga yaboresha mkataba wa Mzize baada ya msimu wa mabao 14

Mshambuliaji Clement Mzize wa Yanga SC ameboreshewa mkataba wake ambapo mshahara wake inatajwa itakuwa ni milioni 40 kwa mwezi akiwa mchezaj . . .

Matukio
  • Na Jembe Digital
  • August 28, 2025

Mwanamke Ahukumiwa Kwa Kula Nauli ya Mwanaume

Mahakama ya Mwanzo jijini Lagos, Nigeria, imemhukumu mwanamke anayefahamika kwa jina la Jennifer kulipa faini ya ₦450,000 (sawa na zaidi y . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • August 28, 2025

Watunza Kumbukumbu watakiwa Kulinda Usiri na Kuendeleza Utumishi Bora

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa watunza kumbukumbu wote nchini kuzingatia maadili ya kazi, kudumisha uadilifu na kulinda usiri . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • August 28, 2025

ACT Wazalendo yapinga kuondolewa kwa Mgombea wao wa Urais

Chama cha ACT Wazalendo kimepinga vikali hatua ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kumzuia mgombea wao wa Urais, Luhaga Joelson Mpina, . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • August 28, 2025

Mahakama Kuu Kuamua Hatma ya Mgombea Urais wa ACT-Wazalendo

Mahakama Kuu ya Tanzania leo inatarajiwa kuanza kusikiliza kesi ya kupinga kuenguliwa kwa mgombea urais wa ACT-Wazalendo, Luhaga Mpina, hatu . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • August 28, 2025

CCM Ilani ya imezingatia maudhui Dira ya maendeleo 2050

MGOMBEA Urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan leo anatarajiwa kuanza kuinadi Ilani ya Uchaguzi ya ch . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • August 28, 2025

Wagombea, wahimizwa kufanya kampeni za kistaarabu ili kulinda amani ya nchi

 Ikiwa leo  Agosti 28 mwaka huu tunashuhudia hekoheko za uzinduzi wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani wa Mwak . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • August 28, 2025

Kumeanza kuchangamka kampeni za Uchaguzi Mkuu

WAGOMBEA urais 17, ubunge na udiwani leo wanatarajiwa kuanza kampeni kuomba wananchi wawapigie kura katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, mwaka hu . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • August 28, 2025

Tanzania imeingia makubaliano na nchi zakimataifa dhidi ya dawa za kulevya

 TANZANIA imeingia makubaliano ya kimataifa na nchi zinazozalisha kwa wingi kemikali bashirifu ili kudhibiti matumizi yake katika uteng . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • August 27, 2025

DRC, Rwanda zakubaliana kurejesha wakimbizi

SHIRIKA la Umoja wa Mataifa la Wakimbizi (UNHCR) limesema DRC na Rwanda zimekubaliana kuwarejesha makwao wakimbizi walioathiriwa na machafuk . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • August 27, 2025

Urusi imeahidi kujenga kituo cha umeme wa nyuklia

SERIKALI ya Urusi imeahidi kujenga kituo cha umeme wa nyuklia nchini Niger, taifa linaloongoza kwa urani barani Afrika lakini likitegemea um . . .

Kurasa 27 ya 212

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category