logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • January 7, 2026

EWURA Yatangaza Mabadiliko ya Bei za Mafuta

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei mpya za mafuta ya petroli zitakazotumika kuanzia leo Januari 7, 2026 . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 7, 2026

Fahamu Kijiji cha Wamiliki wa Ndege Florida

Kijiji cha Spruce Creek Fly-In Florida ni eneo la kipekee ambapo wakazi wake wengi wanamiliki ndege binafsi. Makazi yamejengwa kuzunguka uwa . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 7, 2026

Mwanaume ashikiliwa Mvomero kwa Kumng’oa Kinguvu Mwanawe

Jeshi la Polisi mkoani Morogoro linamshikilia mwanaume mwenye umri wa miaka 33 mkazi wa eneo la Katindiuka, wilayani Mvomero, kwa tuhuma za . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • January 7, 2026

Watatu mbaroni kwa tuhuma mauaji, ubakaji

Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro, limewakamata watuhumiwa watatu wa matukio tofauti ya mauaji na ukatili wa kijinsia yaliyotokea mkoani hapa . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 7, 2026

Mtoto wa miaka 13 Amnunulia Mama Gari

Kijana mmoja wa kiume mwenye umri wa miaka 13 William Rabillo kutoka Nevada nchini Marekani ametikisa mitandao ya kijamii baada ya kufanikiw . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • January 7, 2026

Ivory Coast Yatinga Robo Fainali, Burkina Faso Yaaga AFCON 2025

Timu ya taifa ya Ivory Coast imefuzu hatua ya robo fainali ya michuano ya AFCON 2025 baada ya kuibuka na ushindi mnono wa mabao 3–0 dhidi . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 7, 2026

Mabasi 30 Ya Udart Kurejea Barabarani, Huduma Kufika Mloganzila – Prof. Shemdoe

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI, Prof. Riziki Shemdoe amefanya ziara ya ukaguzi katika karakana ya UDART eneo la Ubungo Ji . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • January 7, 2026

Israel kufungua ubalozi mjini Hargeisa Somaliland

Waziri wa mambo ya nje wa Israel Gideon Saar ameahidi kwamba nchi yake itakuza uhusiano wenye mafanikio na Somaliland baada ya kuwa nchi ya . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • January 7, 2026

Raia wa Congo walifariki wakiwa katika kambi za wakimbizi Burundi

Shirika la Wananchi la Amani na Uwiano wa Jamii (CPCC), limesema hivi majuzi kwamba takriban raia 105 kutoka DRC wamefariki dunia katika kip . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 7, 2026

Marekani "Tunaweza kutumia jeshi kuchukua kisiwa cha Greenland"

Rais Donald Trump, anathmini njia za namna Marekani inavyoweza kuchukua na kudhibiti kisiwa cha Greenland, kinachomilikiwa na Denmark.Ikulu . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • January 7, 2026

Somalia yalaani ziara ya Waziri wa mambo ya kigeni wa Israel Somaliland

Hatua ya Waziri wa Mambo ya nje wa Israel Gideon Saar kuzuru jimbo la Somaliland siku 10 baada ya kulitambua jimbo hilo kama nchi huru, imes . . .

NGUMI
  • Na Jembe Digital
  • January 6, 2026

Mwakinyo Arejea Kileleni Afrika, Ashika Nafasi ya 37 Duniani (Middleweight)

Bondia wa kulipwa kutoka nchini Tanzania Hassan Mwakinyo Jr ametangaza kurejea nafasi ya kwanza barani Afrika katika uzito wa kati (middlewe . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • January 6, 2026

Ole Gunnar Solskjær Ajiandaa Kurejea Man United kama Kocha wa Muda

Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Manchester United Ole Gunnar Solskjær, ameonyesha nia ya kurejea Old Trafford kuinoa klabu hiyo kama Kocha wa Muda . . .

SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • January 6, 2026

Liam Rosenior Yupo Mbioni Kujiunga na Chelsea Kama Kocha Mkuu

Klabu ya Chelsea ipo hatua za mwisho kumtangaza Liam Rosenior kuwa Kocha Mkuu mpya wa kikosi hicho, baada ya pande zote kufikia makubaliano . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 6, 2026

Delcy aapishwa kuwa Rais wa mpito Venezuela

Delcy Rodríguez ameapishwa kuwa Rais wa mpito wa Venezuela kufuatia kikao cha bunge kilichoanza kwa wito wa kutaka kuachiliwa kwa Rais aliy . . .

Teknolojia
  • Na Asha Business
  • January 6, 2026

Ripoti "Robo ya wateja hawana imani na malipo ya data, SMS ya Safaricom"

TAKRIBANI robo ya wateja wa Safaricom (asilimia 23) hawana imani na ada wanazotozwa kwa matumizi ya data na jumbe fupi (SMS), kulingana na u . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 6, 2026

Elon Musk ametoa Internet bure Venezuela

Bilionea namba moja duniani Elon Musk ametoa bure huduma ya internet kwa wananchi wa Venezuela.Ambapo huduma hii ametoa kuanzia january 3 ha . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • January 6, 2026

Je uwepo wa Wanafunzi wengi,ubora mdogo tatizo liko wapi. Pitia hapa tukujuze

Tanzania imepiga hatua kubwa kwenye upatikanaji wa elimu tangu uhuru mwaka1961,hasa katika kuandikisha wanafunzi wengi shuleni.Hata hivyo,ta . . .

Jamii
  • Na Jembe Digital
  • January 6, 2026

Ifahamu Kagera jinsi ilivyobarikiwa

Mkoa wa kagera,ulioko kaskazini magharibi mwa Tanzania,ni moja ya maeneo yenye historia ya kipekee.Kabla ya uhuru ,eneo hili lilijukana kama . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 6, 2026

Mama Maria Nyerere apokea nishani ya baba wa Taifa

Mjane wa Baba wa Taifa na Rais wa Kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Maria Nyerere amepokea nishani ya heshima kutoka Jamhuri y . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • January 6, 2026

Ripoti yasema majanga kutokana na mabadiliko ya tabia nchi yaongeza matatizo ya akili

RIPOTI ya Shirika la Afya Duniani (WHO) ya mwaka 2024 imeiweka Kenya katika nafasi ya nne barani Afrika kwa idadi ya watu walioathiriwa na m . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 6, 2026

Watu 29 wamefariki katika maandamano dhidi ya serikali Iran

Maandamano makubwa yanayoendelea nchini Iran yameingia wiki ya pili huku idadi ya watu waliopoteza maisha ikifikia 29, kwa mujibu wa taarifa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 6, 2026

Urusi na China zatoa wito kwa Marekani kumuachilia Maduro

Urusi na China zimetoa wito kwa Marekani kumuachilia kiongozi wa Venezuela Nicolás Maduro pamoja na mke wake Cilia Flores kufuatia kukamatw . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 6, 2026

Maduro ajitetea mahakamani baada ya kukamatwa na Marekani

Kiongozi wa Venezuela Nicolás Maduro amejitangaza kuwa "rais halali wa Venezuela" wakati akipinga kukamatwa kwake nchini Marekani na amekan . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 6, 2026

Waziri Mkuu Mwigulu Aagiza Upanuzi wa Nafasi kwa Wachezaji Wazawa Kujiandaa AFCON 2027

Waziri Mkuu wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba, ametoa agizo kwa wizara za michezo na mashirikisho ya soka nchini (TFF na ZFA) kuangalia upya . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 6, 2026

Rais Ndayishimiye akosoa matamshi ya Waziri wake kuhusu Qatar

Nchini Burundi, Rais Evariste Ndayishimiye alilazimika kumkemea waziri wake wa mambo ya nje baada ya waziri huyo kutuma ujumbe wa kuikosoa Q . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 5, 2026

Operesheni ya kumkamata Maduro yasababisha vifo 32

Cuba imethibitisha kuwa raia wake 32 waliuawa wakati wa operesheni ya Marekani ya kumkamata Nicolás Maduro.Nchi inayoongozwa kikomunisti am . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 5, 2026

Watatu familia moja wafariki kwa moto

Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Mara, Agostino Magere amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kubainisha kuwa chanzo c . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 5, 2026

Kacheri asakwa na polisi kwa kumuua mkewe

. . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 5, 2026

Trump atoa onyo kali kwa Makamu wa Rais wa Venezuela

Rais wa Marekani Donald TrumP ametoa kauli kali dhidi ya Makamu wa Rais wa Venezuela Delcy Rodríguez akionyesha msimamo mkali wa Washington . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 5, 2026

Zelensky aanza msururu wa mazungumzo ya amani

. . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • January 5, 2026

Kocha wa Morocco aonya dhidi ya kuidharau Taifa Stars

Kocha wa timu mwenyeji wa Kombe la Mataifa ya Afrika – AFCON 2025 Morocco Walid Regragui amewaonya wachezaji wake dhidi ya kuwapuuza wapin . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • January 5, 2026

Mahakama ya Juu yaidhinisha ushindi wa Mamadi Doumbouya katika uchaguzi wa urais

Mahakama ya Juu nchini Guinea imeeidhinisha siku ya Jumapili jioni, Januari 5, ushindi wa Mamadi Doumbouya katika uchaguzi wa urais wa Desem . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • January 5, 2026

Watu 114 wameuawa katika kipindi cha wiki moja Darfur

Watu 114 wameuwa nchini Sudan, baada ya kushuhudiwa kwa makabiliano makali kati ya wanajeshi wa wanamgambo wa RSF, Magharibi mwa jimbo la Da . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 5, 2026

Kata ya Kirua, Vunjo na Mindu kupiga kura leo kuchagua madiwani

Jumla ya Wapiga Kura 20,851 walioandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura watashiriki katika uchaguzi wa kuchagua madiwani katika . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 5, 2026

Rais Trump amuonya kiongozi mpya wa Venezuela

Aliyekuwa rais wa Venezuela Nicolas Maduro aliyekamatwa pamoja mkewe Cilia Flores wakati wa operesheni maalum iliyotekelezwa na vikosi vya M . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 5, 2026

Wahanga wote wa moto nchini Uswisi wametambuliwa

Watu wote 40 waliokufa katika moto uliotokea kwenye baa wakati wa mkesha wa Mwaka Mpya nchini Uswisi wametambuliwa na mamlaka za nchi hiyo.P . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • January 5, 2026

Wenyeji Morocco wafuzu robo fainali AFCON 2025

Morocco imefuzu hatua ya robo fainali ya michuano ya AFCON 2025 baada ya kupata ushindi mwembamba wa 1–0 dhidi ya Taifa Stars Tanzania kat . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • January 3, 2026

Mwanamume wa Siaya Aliyemuua Chatu, Akampeleka Kituo cha Polisi Atapewa Fidia, KWS Wathibitisha

Mwanamume kutoka kijiji cha Sigomere katika kaunti ya Siaya amepata nafuu na faraja kufuatia kifo cha kusikitisha cha mbwa wake. Mwanam . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 3, 2026

Wapiganaji saba wauawa katika mashambulizi Yemen

Wapiganaji saba wa kundi la waasi wanaotaka kujitenga wameuawa katika mashambulizi ya angani huku muungano unaoongozwa na Saudi Arabia nchin . . .

Kurasa 7 ya 221

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category