logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 26, 2025

Vikosi Vikubwa Barani Ulaya Vitakutana London Leo Usiku

Vikosi viwili vyenye kiwango bora zaidi barani Ulaya vitachuana usiku wa kesho jumatano tarehe 26 kwenye Ligi ya Mabingwa Ndani ya uwanja wa . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • November 26, 2025

Mkutano mkuu wa 7 wa nchi na Serikali wa umoja wa Afrika na umoja wa Ulaya wahitimishwa jijini Luanda

Mkutano wa 7 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika (AU) na Umoja wa Ulaya (EU) umekamilika jijini Luanda, Angola, baada ya siku mb . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • November 26, 2025

Ujumbe wa Korea watembelea Soko la Bidhaa Tanzania

Ujumbe wa wafanyabiashara kutoka kampuni 15 za Jamhuri ya Korea ukiongozwa na Mwenyekiti wa Kampuni ya KOIMA Bi. Youn Young Mi umetembelea S . . .

Kilimo
  • Na Jembe Digital
  • November 26, 2025

Mtwara Kliniki ya ardhi yatoa hamasa kwa wananchi kumiliki ardhi

Kliniki ya Ardhi inayoendelea mitaa ya Mbae Mashariki na Likombe katika manispaa ya Mtwara- Mikindani mkoani Mtwara imetoa muitikio kwa wana . . .

Teknolojia
  • Na Jembe Digital
  • November 26, 2025

ICoT kuboresha mitaala kukabiliana na mabadiliko ya teknolojia

Taasisi ya Teknolojia ya Ujenzi (ICoT) imetangaza mpango wa kuboresha mitaala yake ili iendane na mabadiliko ya kasi ya sayansi na teknoloji . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • November 26, 2025

Ulega aruhusu magari kutumia barabara ya mwendokasi ya Gongo la Mboto

Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ametoa ruhusa kwa magari ya abiria kuanza kutumia barabara ya Mabasi Yaendayo Haraka Awamu ya tatu inayoanz . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 26, 2025

Waziri Simbachawene Atembelea Vituo Vya Polisi Vilivyochomwa Moto Oktoba 29 Dar

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. George Simbachawene, amewasihi wananchi kudumisha amani na kushirikiana na Jeshi la Polisi ili kuhaki . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • November 26, 2025

Dodoma Leseni za madini 73 ambazo hazijaendelezwa zafutwa

WAZIRI wa Madini Mhe. Anthony Mavunde ameilekeza Tume ya Madini kufuta leseni 73 za uchimbaji wa kati na utafiti wa madini ambazo hazijaende . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • November 26, 2025

Serikali kuimarisha mafunzo ya Waandishi wa Habari kupitia Bodi ya Ithibati

Serikali imesema tukio la Oktoba 29 limeonesha wazi kuwa hakuna idadi ya kutosha ya waandishi wa habari waliobobea katika uandishi wa masual . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 26, 2025

Ulega aruhusu magari kutumia barabara ya nwendokasi ya Gongo la Mboto

Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ametoa ruhusa kwa magari ya abiria kuanza kutumia barabara ya Mabasi Yaendayo Haraka Awamu ya tatu inayoanz . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 26, 2025

Jeshi la Sudan lasema limezuia shambulizi la RSF

Jeshi la Sudan limesema limezuia shambulizi la wanamgambo wa RSF kwenye mji muhimu kusini mwa nchi hiyo jana Jumanne, huku Marekani ikizihim . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 26, 2025

Rais Trump kumtuma mjumbe Witkoff kukutana na Rais Putin

Rais Donald Trump wa Marekani amesema Jumanne kwamba anamtuma mjumbe wake Steve Witkoff kukutana na Rais wa Urusi Vladimir Putin huko Moscow . . .

Jamii
  • Na Jembe Digital
  • November 26, 2025

Tambua umuhimu wa Efeso 4:2-3 katika kulinda amani na umoja wa kisiasa Tanzania

Tanzania kwa muda mrefu imekuwa mfano wa utulivu na mshikamano katika Afrika mashariki. Hata hivyo ,kama ilivyo katika mataifa mengine . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • November 26, 2025

Mwanza wafanyabiashara wahimizwa kuzingatia ulinzi

Wafanyabiashara wa Mkoa wa Mwanza wamehimizwa kuimarisha ulinzi shirikishi na kushirikiana kwa karibu na vyombo vya dola katika kukabiliana . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • November 26, 2025

Umoja wa Ulaya kulisaidia jeshi la DRC kuboresha oparesheni zake

Umoja wa Ulaya  katika taarifa kwa vyombo vya habari  mapema wiki hii ulitangaza kutoa  karibia Euro Milioni 10 kwa  FAR . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • November 25, 2025

Dkt,Mwigulu amefanya mazungumzo na Wahariri wa vyombo vya habari leo

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba amezungumza na Wahariri wa vyombo vya habari nchini kwenye kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyer . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • November 25, 2025

Tanzania na Estonia kuimarisha ushirikiano katika masuala ya kidijitali

Serikali ya Tanzania na Serikali ya Estonia zimekubaliana kuendelea kuimarisha ushirikiano katika sekta mbalimbali zenye maslahi mapana kwa . . .

Uwekezaji
  • Na Jembe Digital
  • November 25, 2025

Kuelekea Mnada wa Tatu wa Madini ya Vito Wafanyabiashara Waendelea Kupeleta Madini katika kituo cha TGC

Wafanyabiashara wa madini nchini wameendelea kuwasilisha madini mbalimbali katika Kituo cha Jemolojia Tanzania (TGC) kama sehemu ya maandali . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • November 25, 2025

Wizara ya habari yaanza tathmini ya utekelezaji mpango Mkakati wake

Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo pamoja na Taasisi zake imeanza kufanya Tathmini ya Utekelezaji wa Mpango Mkakati wa Wizara wa . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • November 25, 2025

Utafiti" Mbegu za wanaume huanza kudorora kuanzia miaka 30"

WANASAYANSI wamebaini umri halisi ambao ubora wa mbegu za kiume huanza kudorora, hali inayoongeza uwezekano wa wanaume kuwarithisha watoto w . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • November 25, 2025

IEBC Yajibu Madai ya Gachagua Kuhusu Mipango ya Kuvurugwa kwa Uchaguzi Mdogo wa Magarini

Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) imetoa jibu kuhusu madai ya mipango ya kuvuruga chaguzi ndogo zinazokuja.Makamu wa Rais wa zamani, Ri . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 25, 2025

Mwingulu aagiza mwendokasi Mbezi, Kimara irudi ndani ya siku 10

Waziri Mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania , Dk Mwigulu Nchemba ameagiza Kampuni ya Mabasi Yaendayo Haraka (UDART) na wadau wote wanaohu . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 25, 2025

Ndejembi "Tuweke mikakati itakayoongeza kasi ya utafutaji wa mafuta, gesi asilia"

Waziri wa Nishati  Deogratius Ndejembi ameitaka Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) kuja na mikakati thabiti itakayosai . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • November 25, 2025

Wahamiaji haramu 39 raia wa Burundi wakamatwa Kagera

‎Katika kukabiliana na wimbi la wahamiaji haramu nchini, Idara ya Uhamiaji Wilaya ya Karagwe Mkoani Kagera imeendelea na Misako na Doria k . . .

Kilimo
  • Na Jembe Digital
  • November 25, 2025

COPRA zatakiwa kuangalia maeneo mengine ya kimkakati ili kupanua wigo wa matokeo

Waziri wa Kilimo, Mhe. Daniel Chongolo ameitaka Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) kuangalia maeneo mengine ya kimk . . .

Uwekezaji
  • Na Jembe Digital
  • November 25, 2025

Ni wakati muafaka wa kuimarisha ushirikiano wa sekta binafsi Aweso

Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amesisitiza umuhimu wa ushirikishwaji wa Sekta Binafsi katika kuleta mapinduzi ya huduma za majisafi n . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • November 25, 2025

Tanzania na Qatar zasaini makubaliano ya kutambuliana vyeti vya Ubaharia

London, Uingereza — Tanzania na Qatar leo  Novemba 24 mwaka huu wamesaini hati ya makubaliano (MoU) ya kutambuliana vyeti vya ubahari . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • November 25, 2025

Dkt, Nchimbi ashiriki mkutano wa saba wa umoja wa Afrika na umoja wa Ulaya jijini Luanda

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi ameshiriki katika Mkutano wa Saba wa Wakuu wa Nchi na S . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • November 25, 2025

Baada ya maagizo ya Ulega ,Mizani Mikese yaanza kukarabatiwa

Wakala wa Barabara (TANROADS) Mkoa wa Morogoro umeanza matengenezo ya mfumo wa kupima uzito wa magari yakiwa kwenye mwendo (WIM) katika miza . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • November 25, 2025

Wananchi wahimizwa kulinda amani na usalama wa jamii

Wananchi wa Mkoa wa Tanga wametakiwa kuendelea kulinda amani na usalama katika maeneo yao ili kuimarisha maendeleo ya taifa.Wito huo umetole . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 25, 2025

Rais Mwinyi Azuia Vikao Kufanyika Hoteli za Kitalii, Aagiza Udhibiti wa Matumizi ya Serikali

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameagiza makatibu wakuu wa wizara kusitisha mara moja tabia y . . .

Flamu/Movie
  • Na Jembe Digital
  • November 25, 2025

Wasani wakubwa India waomboleza kifo cha Legandary Dharmendra

Tasnia ya filamu ya India imegubikwa na simanzi kufuatia kifo cha mmoja wa nguli wake wakubwa na kipenzi cha vizazi vingi Dharmendra Kewal K . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 25, 2025

RC Makame awashukia wanaolangua mbolea ya ruzuku

Mkuu wa Mkoa wa Songwe ndugu Jabiri Makame amefanya oparesheni ya kushtukiza na kuwakamata wafanyabiashara wa Mbolea Wilaya ya Mbozi ambao w . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 25, 2025

UN "Mwanamke mmoja aliuawa kila baada ya dakika 10"

Ripoti ya Umoja wa Mataifa imesema kila baada ya dakika kumi mwanamke mmoja, mahali fulani duniani aliuliwa na mtu wa karibu, mwaka uliopita . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 25, 2025

Mgombea huru adai kuibuka mshindi wa uchaguzi wa urais

Nchini Guinea Bissau mgombea huru Fernando Dias da Costa, anayeungwa mkono na chama cha Social Renewal Party (PRS) na Muungano wa kisiasa wa . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • November 25, 2025

RSF yatangaza kusitisha mapigano kwa miezi mitatu

Kundi la RSF limetangaza kusitisha mapigano kwa muda wa miezi mitatu hatia inayokuja ikiwa imepita siku moja baada Jeshi la sudan kukataa wi . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • November 24, 2025

Kanisa la Gwajima ruksa sasa kufanya ibada

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, ameagiza kufunguliwa kwa Kanisa la Ufufuo na Uzima na kupewa ma . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • November 24, 2025

Dkt, Mwigulu afanya ukaguzi wa mali na miundombinu iliyoharibiwa Oktoba 29

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Novemba 24 mwaka huu amekagua miundombinu ya usafiri wa mwendo kasi pamoja na mali nyingine ikiwemo nyi . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • November 24, 2025

Wanafunzi wa vyuo vikuu waonywa kuhusu matumizi mabaya ya mitandao

Mkuu wa Polisi Jamii Mkoa wa Morogoro, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Samuel Kijanga, amewataka wanafunzi wa vyuo kujiepusha na matumizi . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • November 24, 2025

Wanaume watakiwa kutoa taarifa za ukatili wa majumbani

Mkuu wa Dawati la Jinsia na Watoto Mkoa wa Iringa, ASP Elizabeth Swai, amewasihi wanaume kuacha tabia ya kuvumilia kimya kimya vitendo vya u . . .

Kurasa 6 ya 212

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category