logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 17, 2026

WFP: Uhaba wa chakula wafikia kiwango cha hatari

Umoja wa Mataifa umeonya kwamba takribani watu milioni 55 katika Afrika Magharibi na Kati wanakabiliwa na uhaba mkali wa chakula mwaka huu.S . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 17, 2026

Watu saba wauawa katika machafuko Uganda

Takribani watu saba wameuwawa katika machafuko usiku wa kuamkia leo katikati mwa Uganda ikiwa ni siku moja baada ya uchaguzi wa kitaifa amba . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 16, 2026

Rais wa Zamani wa Korea Kusini Yoon Suk Yeol Apatikana na Hatia

Rais wa zamani wa Korea Kusini, Yoon Suk Yeol, ambaye aliondolewa madarakani, ametiwa hatiani kwa matumizi mabaya ya madaraka na kughushi ny . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • January 16, 2026

Marekani yatishia kuchukua hatua za kijeshi dhidi ya Iran

Marekani kwa mara nyingine imeitishia serikali ya Iran juu ya uwezekano wa kuchukua hatua za kijeshi kutokana na ukandamizaji wakati wa maan . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • January 16, 2026

Yoweri Museveni anaongoza kwa 61.7%

Matokeo ya awali ya uchaguzi wa urais yanaonyesha Yoweri Museveni akiongoza kwa kura 14,232 (61.7%); Bobi Wine anashika nafasi ya pili kwa k . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 16, 2026

Bobi Wine Awekewa Kizuizi Nyumbani Wakati Kura Zikihesabiwa

Kiongozi wa upinzani nchini Uganda Bobi Wine anaripotiwa kuwekwa katika kizuizi cha nyumbani huku mchakato wa kuhesabu kura za uchaguzi mkuu . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • January 16, 2026

Spika Zungu Akutana na Spika wa India New Delhi

Spika wa Bunge la India Mheshimiwa Shri Om Birla amekutana na kufanya mazungumzo na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshi . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • January 16, 2026

Mkuu wa Mipango Mbogwe Afikishwa Baraza la Maadili

Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma imemfikisha mbele ya Baraza la Maadili Mkuu wa Idara ya Mipango wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbog . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 16, 2026

Ulaya Yatuma Vikosi Greenland Kusaidia Denmark

Vikosi vya kijeshi kutoka mataifa kadhaa ya Ulaya ikiwemo Ujerumani na Ufaransa vinaendelea kuwasili katika kisiwa kinachojitawala cha Green . . .

Afrika Mashariki
  • Na Jembe Digital
  • January 15, 2026

Angola yajadili suala la usalama na viongozi wa kidini nchini DRC

Rais wa Angola Joao Lourenco ambaye pia ni mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU) alikutana na viongozi wa kidini kutoka nchini Jamhuri ya Kidem . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • January 15, 2026

Upigaji Kura Uganda Wachelewa Kuanza, Mashine za Uthibitishaji Zatajwa Kuwa Kikwazo

Shughuli ya upigaji kura nchini Uganda imechelewa kuanza katika maeneo mengi ya nchi hali iliyozua wasiwasi miongoni mwa wapiga kura waliowa . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 15, 2026

Zelensky kutangaza hali ya dharura katika sekta ya nishati

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema atatangaza hali ya dharura katika sekta ya nishati kote nchini humo.Zelensky amesema hatua hiyo i . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • January 15, 2026

Afcon: Senegal kuchuana na Morocco kwenye mechi ya fainali

Senegal na wenyeji Morocco ndio wamefuzu hatua ya fainali kwenye mashindano ya Kombe la Afrika AFCON baada ya kushinda mechi zao za nusu fai . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 15, 2026

Denmark yashindwa kuafikiana na Marekani kuhusu Greenland

Maafisa wa Denmark na Greeland wamesema wameshindwa kuafikiana na kubadili mawazo ya utawala wa Rais Donald Trump kuhusu azma ya Marekani ku . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 15, 2026

Trump: Mipango ya waandamanaji kunyongwa Iran imesitishwa

Idadi ya vifo kufuatia maandamano yanayoendelea kuitikisa Iran imeongezeka na kufikia watu 3,428 hayo ikiwa ni kulingana na shirika la haki . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • January 15, 2026

Raia wa Uganda wanapiga kura leo kumchagua Rais

Raia zaidi ya milioni 21 wa Uganda wanapiga kura Alhamisi  ya leo katika uchaguzi wa rais unaotarajiwa kuendeleza utawala wa muda mrefu . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 15, 2026

Raia wa Kenya Akamatwa Arusha kwa Wizi wa Tsh Milioni 91 Ndani ya Benki

Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limefanikiwa kumkamata mtu mmoja aitwaye Denis Ogesa (28) mkazi wa Nairobi nchini Kenya, kwa tuhuma za kuvunj . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • January 14, 2026

Maafa ya maandamano yakiongezeka Iran

MBUNGE wa Iran ameonya kuwa serikali itakabiliwa na maandamano makubwa zaidi iwapo haitashughulikia malalamishi ya wananchi huku maandamano . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • January 14, 2026

Uchunguzi waonyesha aliyefariki akikwea Mlima Kenya alikosa hewa

UCHUNGUZI wa maiti umebaini kuwa mwanamume aliyefariki akikwema Mlima Kenya, alifariki kutokana na kukosa hewa ya oksijeni, hatua iliyosaidi . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • January 14, 2026

Mtuhumiwa adaiwa kujinyonga akiwa mahabusu, Polisi kufanya uchunguzi

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linafanya uchunguzi wa tukio la kujinyonga kwa mtuhumiwa aitwaye Michael Lambau (18), mkazi wa mtaa wa K . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 14, 2026

Waziri wa zamani wa Burkina Faso auawa

Mamlaka za mahakama zimefungua uchunguzi na kutoa wito kwa mashahidi wowote kujitokeza kutoa taarifa kuhusu waziri wa zamani wa Burkina Faso . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 14, 2026

Marekani kufuta ulinzi wa kufukuzwa kwa wahamiaji Wasomali

Mareani imesema itafuta hadhi ya ulinzi wa muda kwa baadhi ya wahamiaji kutoka Somalia ambapo hatua hii ni katika kuendeleza juhudi za rais . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 14, 2026

EU yajiandaa kuweka vikwazo vipya dhidi ya Iran

Rais wa Halmashauri Kuu ya Umoja wa Ulaya, Ursula von der Leyen, amesema Umoja huo unajiandaa kuweka vikwazo vipya dhidi ya Iran.Rais wa Hal . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 14, 2026

Iran: Marekani yatafuta 'kisingizio cha kuingilia kijeshi'

Iran imedai Marekani inatafuta sababu ya kuingilia kati kijeshi kwa kutumia maandamano ya machafuko ya Wairan wanaopinga hali ngumu ya maish . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 14, 2026

Zelensky akiri hali ni ngumu nchini Ukraine

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema baada ya karibu miaka minne ya vita, hali ya ugumu wa maisha  nchini mwake inaendelea kuwa m . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 14, 2026

Viongozi wa Denmark na Greenland waungana kumpinga Trump

Denmark na Greenland zimeungana kupinga wito wa rais wa Marekani Donald Trump kutaka kukitwaa kisiwa cha Greenland hivyo viongozi wa nchi hi . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 14, 2026

Wafungwa zaidi ya 400 wameachiwa Venezuela

Spika wa bunge la Venezuela Jorge Rodriguez amesema zaidi ya watu 400 wameachiliwa kutoka gerezani kama sehemu ya mchakato unaoendelea wa ku . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • January 14, 2026

Man United Yakubaliana na Michael Carrick Kuwa Kocha Mkuu wa Muda

Klabu ya Manchester United imefikia makubaliano ya mdomo na Michael Carrick kwa ajili ya kuchukua nafasi ya Kocha Mkuu wa muda hadi mwisho w . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • January 13, 2026

Marufuku kwa kaunti na mashirika ya umma kuajiri mawakili wa kibinafsi

MAHAKAMA Kuu imepiga marufuku kwa muda mashirika ya umma na serikali za kaunti kuajiri mawakili binafsi pale ambapo kuna mawakili wa serikal . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • January 13, 2026

Juma Jux Ashinda Tuzo ya Msanii Bora wa Kiume wa Afrika Mashariki kwenye AFRIMA

msanii maarufu wa RnB JUMA JUX kutoka Tanzania, anayejulikana kwa midundo yake ya kipekee na mashairi yenye hisia, amejivunia ushindi w . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • January 13, 2026

Brighton Wamaliza Mkataba na Mshambuliaji wa Tanzania Aisha Masaka

Klabu ya Brighton & Hove Albion inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake nchini England haitaendelea na mshambuliaji wa Kitanzania, Aisha Masak . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • January 13, 2026

Watoto 2 wanusurika kifo ajali ya moto Mtwara

Tukio hilo limetokea January 12, 2026 katika mtaa wa Ligula "A" kata ya Chuno halmashauri ya Manispaa ya Mtwara Mikindani mkoani Mtwara.Baad . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • January 13, 2026

Maambukizi ya Damu ya Vimelea Vingi Yatia Wasiwasi Hospitali za Rufani

Maambukizi ya damu yanayosababishwa na vimelea zaidi ya mmoja yanaendelea kuwa changamoto kubwa katika hospitali za rufani nchini Tanzania, . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • January 13, 2026

EC Uganda Yapiga Marufuku Bendera ya Taifa Katika Vituo vya Kupiga Kura

Tume Huru ya Uchaguzi ya Uganda (EC) imepiga marufuku wapigakura kubeba au kupeperusha Bendera ya Taifa katika vituo vya kupiga kura, ikiony . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 13, 2026

Jamhuri Kuanza Kutoa Ushahidi Kesi ya Uhujumu Uchumi ya Sh10 Bilioni

Wafanyabiashara sita wanaokabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi inayohusisha kuwasilisha nyaraka za uongo katika Bandari ya Dar es Salaam na ku . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 13, 2026

Trump kukutana na kiongozi wa upinzani wa Venezuela Machado

Kiongozi wa upinzani wa Venezuela Maria Corina Machado atakutana na rais wa Marekani Donald Trump wiki hii. Mkutano huo utafanyika wakati Ve . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 13, 2026

Gambia yadai Myanmar ililenga kuangamiza jamii ya Warohingya

Myanmar ilifanya mashambulizi ya kikatili dhidi ya jamii ya wachache wa Rohingya kwa lengo la kuiangamiza jamii hiyo Gambia iliripoti taarif . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 13, 2026

Díaz-Canel: Hakuna mazungumzo kati ya Cuba na Marekani

Rais wa Cuba Miguel Díaz-Canel amesema mpaka sasa hakuna mazungumzo yoyote ya kutafuta makubaliano na Marekani yanayoendelea kufuatia vitis . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 13, 2026

Trump atangaza ushuru kwa washirika wa kibiashara wa Iran

Rais Donald Trump amesema kuwa nchi yoyote itakayofanya biashara na Iran itatozwa ushuru wa asilimia 25 kufuatia hatua ya Iran kuyakandamiza . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 13, 2026

Somalia yafuta makubaliano na Umoja wa Falme za Kiarabu

Serikali ya Somalia imefuta makubaliano yote iliyotia saini na Umoja wa Falme za Kiarabu kuhusiana na mvutano juu ya hatua ya Israel kuitamb . . .

Kurasa 5 ya 221

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category