logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • November 24, 2025

Vijana 57 kati 61 wafutiwa kesi ya uhaini na DPP Mwanza

Vijana 57 kati ya 61 waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya uhaini, wamefutiwa mashtaka na Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini (DPP) leo, Jumatatu Nove . . .

UTALII
  • Na Jembe Digital
  • November 24, 2025

Waziri Kijaji Aahidi Kuimarisha Ushirikiano na Mkoa wa Morogoro Katika Kukuza Utalii na Uhifadhi

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb), ameahidi kuimarisha na kupanua ushirikiano kati ya Wizara yake na Mkoa wa Morog . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • November 24, 2025

Dk Jafar awataka watumishi wa afya kutumia lugha nzuri na upole

Naibu Waziri wa TAMISEMI anayeshughulikia masuala ya afya na Mbunge wa Busanda, Dk. Jafari Seif, amewataka watumishi wa afya kote nchini kut . . .

mahusiano
  • Na Asha Business
  • November 24, 2025

Tumia simu kuboresha mapenzi, si kubomoa

Katika enzi hizi ambapo mawasiliano hutegemea simu za mkononi, wataalamu wanasisitiza kwamba unavyotumia kifaa hiki kwa mwenzi wako inaweza . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • November 24, 2025

Wananchi watakiwa kudumisha umoja na kuepuka mifarakano ya kidini,kikabila na kisiasa

Wananchi wametakiwa kutojikuta wakigawanyika kwa misingi ya kidini, kikabila au kisiasa, badala yake waenzi na kudumisha utambulisho wao kam . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • November 24, 2025

Polisi Wakamata Wahamiaji Haramu 14 Kwenye Gari la Abiria

eshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linawashikilia wahamiaji haramu 14 raia wa Burundi waliokamatwa wakiwa wameingia nchini kinyume cha sheria kwa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 24, 2025

Emmanuel Macron nchini Gabon, ziara ya kwanza tangu Brice Oligui Nguema aingie Madarakani

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron ameanza ziara ya kiserikali nchini Gabon siku ya Jumapili, Novemba 23, yenye lengo la "kuimarisha na kufufu . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 24, 2025

Papa atoa wito wa kuachiliwa 'mara moja' kwa wanafunzi waliotekwa nyara Nigeria

Kiongozi wa kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV ametoa wito siku ya Jumapili, Novemba 23, wa kuachiliwa "mara moja" kwa wanafunzi na walim . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • November 24, 2025

Dkt, Jafari awataka watoa huduma za afya kuacha lugha chafu kwa wagonjwa

Naibu Waziri wa TAMISEMI anayeshughulikia masuala ya afya, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Busanda, Dkt. Jafari Rajabu Seif, ametoa wito kw . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • November 24, 2025

Wahamiaji haramu 14 raia wa Burundi waliokamatwa mkoa wa Mwanza

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linawashikilia wahamiaji haramu 14 raia wa Burundi waliokamatwa wakiwa wameingia nchini kinyume na sheria kwa . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • November 24, 2025

AFC/M23 yachukua udhibiti wa Mahanga, moja ya mji wa Masisi

Waasi wa AFC/M23 wanakalia mji wa Mahanga, mji ulio katika wilaya ya Masisi, tangu Jumamosi Novemba 22. Mji wa Mahanga unapatikana zaidi ya . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 24, 2025

Waziri Ulega Awasimamisha Watumishi wa TANROADS Kufuatia Foleni Kubwa Mikese

Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ameagiza kusimamishwa kazi kwa watumishi wa Wakala wa Barabara wa Taifa (TANROADS) waliohusika na uzembe w . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 24, 2025

Kiongozi wa upinzani nchini Cameroon akimbilia Gambia

Mwanasiasa wa upinzani nchini Cameroon, Issa Tchiroma Bakary amekimbilia nchini Gambia hii ikiwa ni kulingana na serikali ya Gambia siku ya . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 24, 2025

Yapo matumaini kuelekea amani nchini Ukraine

Ikulu ya White House imesema siku ya Jumapili kwamba mazungumzo kuhusu pendekezo la Marekani la kuvimaliza vita nchini Ukraine yalionyesha " . . .

NGUMI
  • Na Jembe Digital
  • November 22, 2025

Bondia wa Kitanzania Lupakisyo Shoti atwaa ubingwa IBO International

Bondia wa Kitanzania, Lupakisyo Mohamedi Shoti, ameandika historia mpya katika ngumi za kulipwa baada ya kumshinda Mromania Daniel “Magic . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • November 22, 2025

Dkt.Samia awatunuku Kamisheni JWTZ Monduli

Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe,Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwavisha Bawa la . . .

Uwekezaji
  • Na Jembe Digital
  • November 22, 2025

Wenyeviti wa mitaa Njombe mjini watembelea miradi inayoendelea kutekelezwa NJUWASA

 Wenyeviti wa Mitaa yote 27 kutoka katika kata za Njombe Mijini, Ramadhani na Mjimwema wamefanya ziara ya kutembelea miradi ya NJUWASA . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • November 22, 2025

Waajiriwa wapya tume ya madini watakiwa Kuzingatia maadili na kuepuka vishawishi

WAAJIRIWA wapya wa Tume ya Madini wametakiwa kufuata kikamilifu miongozo, kanuni na taratibu za utumishi wa umma, sambamba na kudumisha maad . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • November 22, 2025

Ajuza 115, apigania ardhi na mjukuu wake

MWANA wa aliyekuwa mkuu wa kampuni ya Gateway Insurance, marehemu Godfrey Wairegi, ameungana na mama yake katika mzozo dhidi ya nyanya yake . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • November 22, 2025

Tanzania yajipanga kuzalisha bidhaa zitokanazo na madini nchini

Tanzania yaendelea kupiga hatua katika Mpango wa ujenzi wa viwanda vya uongezaji thamani madini kutokana na ujenzi wa kiwanda kipya cha usin . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • November 22, 2025

Prof. Msoffe amefanya mazungumzo na Mkuu wa Kitengo cha Kuhimili Mabadiliko ya Tabianchi

Naibu Katibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais Prof. Peter Msoffe amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Kitengo cha Kuhimili Mab . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 22, 2025

Ufaransa kuwaondoa wafanyakazi wake Mali

Duru kutoka wizara ya mambo ya nje ya Ufaransa imesema nchi hiyo imeanza kupunguza wafanyakazi wake wa kidiplomasia nchini Mali kutokana na . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 22, 2025

Dk. Mwigulu Avunja Ukimya, Asema Mabasi ya Ester Sio Mali Yake

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mwigulu Nchemba, ameibuka na kuweka wazi kuhusu uvumi unaosambazwa katika mitandao ya ki . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • November 22, 2025

Prof, Kabudi aagiza waandishi na wachapaji wa vitabu kuunda Shirikisho

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi ametoa agizo kwa Waandishi na Wachapishaji wa Vitabu kuunda Shi . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • November 22, 2025

Zifahamu Sababu zinazochangia vijana kuwanyanyasa wake zao na nini kifanyike

Katika jamii ya leo,matukio ya vijana kuwanyanyasa wake zao yanaonekana kuongezeka na kusababisha uharibikaji wa ndoa nyingi. Huku chan . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 22, 2025

Zaidi ya wanafunzi 200 na walimu wa shule ya Kikatoliki wametekwa nyara

Idadi ya wanafunzi waliotekwa nyara katika shule ya Kikatoliki katika Jimbo la Niger, katikati mwa Nigeria, siku ya Ijumaa, Novemba 21, ilif . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 22, 2025

Vyombo vya habari vinakabiliwa na shinikizo kutoka kwa mamlaka

Nchini Mali, wakati wa miaka mitano ya Mpito, uhuru wa raia umepunguzwa kwa kiasi kikubwa. Vyama vya siasa vimevunjwa, vyombo vya habari na . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 21, 2025

China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

China imesaini makubaliano ya mradi wa dola bilioni 1.4 na Zambia na Tanzania, kuboresha barabara ya reli ya TAZARA inayoyaunganisha Zambia, . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • November 21, 2025

Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

Watu waliojihami kwa silaha wanadaiwa kuwateka nyara wanafunzi 52 katika shule moja ya kikatoliki katika jimbo la Niger nchini Nigeria.Taari . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • November 21, 2025

Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameelekeza Jeshi la Polisi na Uhamiaji kuhakikisha wanamkamata na kuzu . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • November 21, 2025

Uhamiaji Simiyu yaendelea na jitihada za kudhibiti Wahamiaji haramu

‎Ofisi ya Uhamiaji Wilaya ya Busega Mkoani Simiyu inaendelea na juhudi za kuhakikisha usalama wa Taifa kwa kudhibiti wahamiaji haramu kupi . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • November 21, 2025

Serikali kufuatilia Makala ya CNN kuhusu maandamano ya uchaguzi oktoba 29

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesema inafuatilia kwa umakini makala iliyochapishwa na kurushwa na chombo cha habari cha kimat . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • November 21, 2025

Dkt, Samia anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi siku mbili mkoani Arusha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi ya siku mbili mkoani Arusha kuan . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • November 21, 2025

Kesi ya 3 yawasilishwa kupinga ujenzi wa Chuo Kikuu cha Nyamira

MKAZI mmoja wa Nyamira ameelekea kortini kulenga kuzuia Mawaziri watatu kuendelea na ujenzi wa Chuo Kikuu cha Nyamira katika eneo Kiabonyoru . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • November 21, 2025

Kanu ahukumiwa kifungo cha maisha jela Nigeria

“Nia yake ilikuwa wazi kabisa kwani aliamini kwa kutumia vurugu. Vitisho hivi vya vurugu vilikuwa ni matendo ya kigaidi, ambayo yalitekele . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • November 21, 2025

Ajiua baada ya kumumuua mtoto wake wa miaka 2

Kabla ya tukio hilo baba mzazi wa mtoto huyo ambao wote ni marehemu, alikwenda nyumbani kwa mzazi kwenzie Violeth Edward (19) na kumchukua k . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 21, 2025

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Aagiza Mkandarasi Kukamatwa Na Kuzuia Hati Yake

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameelekeza Jeshi la Polisi na Uhamiaji kuhakikisha wanamkamata na kuzu . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • November 21, 2025

Kiongozi wa upinzani Issa Tchiroma Bakary atoa wito wa watu 'kusalia nyumbani'

Nchini Cameroon, kiongozi wa upinzani Issa Tchiroma Bakary ametangaza siku nyingine ya watu "kusalia numbani" leo Ijumaa, Novemba 21, kwa he . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 21, 2025

Bunge lajadili tuhuma za mateso ya kidini zinazotuhumiwa kutekelezwa na Nigeria

Bunge la Marekani mnamo Novemba 20 limeijadili Nigeria. Wiki tatu zilizopita, Donald Trump aliitaja Nigeria kama nchi "inayotia wasiwasi kuh . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • November 20, 2025

Waziri Ndejembi akabidhiwa rasmi ofisi na aliyekuwa Naibu Waziri Mkuu dkt, Doto Biteko

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi leo Novemba, 20 mwaka huu amekabidhiwa rasmi ofisi na aliyekuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa N . . .

Kurasa 7 ya 212

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category