logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • July 29, 2025

ACTIF yatakiwa kuja na majibu ya changamoto za kibiashara na uwekezaji

Jukwaa la Nne la Biashara na Uwekezaji kati ya Afrika na Karibiani (ACTIF) limetakiwa kuja na majibu ya changamoto za kibiashara na uwekezaji zinazoyakabili mataifa ya Afrika na yale ya eneo la Karibi . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 28, 2025

Makubaliano kati ya M23 na serikali ya Congo kuanza kutekelezwa wiki hii

Makubaliano ya hivi karibuni ya kusitisha mapigano kati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na waasi wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda, yanatarajiwa kuanza kutekelezwa wiki hii.Kwa wataalamu wa masual . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • July 28, 2025

Serikali yahimiza kubadili mtindo wa maisha kuzuia vifo

SERIKALI imesema asilimia 80 ya vifo nchini vinaweza kuzuilika kama Watanzania wataamua kubadili mtindo wa maisha baada ya serikali kukusanya fedha kwa ajili ya kuokoa afya ya mama na mtoto.“Taarifa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 27, 2025

Dkt. Samia aweka rekodi mpya CCM

Katika historia ya siasa za Tanzania, Julai 26, 2025 inabaki kuwa siku ya kipekee. Siku ambayo Chama cha Mapinduzi (CCM) kiliandika ukurasa mpya wa mageuzi kwa kufanya Mkutano Mkuu wa Taifa kwa njia y . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 25, 2025

Ukraine yaiomba Marekani mifumo 10 mipya ya ulinzi wa anga ya Patriot

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky alisema kuwa ameiomba Marekani kuipatia mifumo kumi zaidi ya ulinzi wa anga ya Patriot na tayari imeweza kukubaliana na washirika wake juu ya utoaji wa mifumo mitatu . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 25, 2025

Rais wa Ufaransa na Mkewe Wafungua Kesi ya Uchafuzi wa Jina Dhidi ya Candace Owens

Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron, na mkewe Brigitte Macron, wamefungua kesi ya madai ya uchafuzi wa jina dhidi ya mtangazaji maarufu wa Marekani, Candace Owens. Kesi hiyo iliwasilishwa rasmi katika M . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • July 25, 2025

JAMII YATAKIWA KUENDELEA KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA UKIMWI

Katika kuhakikisha jitihada za kupunguza maambukizi mapya ya Virusi vya Ukimwi (HIV), kuondoa unyanyapaa, na kupunguza vifo kufikia mwaka 2030, jamii imetakiwa kuendelea kuchukua tahadhari kwa kuacha . . .

Kilimo
  • Na Jembe Digital
  • July 25, 2025

Wakulima wa zao la kahawa kujengewa uwezo Kagera

SHIRIKA lisilo la kiserikali linaloshughulika na maswala ya kilimo cha mazao, Cafe Africa, linatarajia kuwajengea uwezo na kutoa huduma za ugani kwa wakulima wa kahawa zaidi ya 35,000.Lengo la ku . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • July 25, 2025

Serikali Kenya yashindwa kumudu gharama za kufadhili elimu ya bure

SERIKALI ya Kenya imetangaza kushindwa kumudu gharama za kufadhili elilmu ya bure kwa shule za msingi na sekondari, hatua itakayoathiri maelfu ya wanafunzi na kuongeza mzigo kwa wazazi.Akizungumza Jul . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • July 25, 2025

Iran watuhumiwa kurusha mabomu hatari Israel

Shirika la kutetea haki za binadamu duniani Amnesty International limetangaza kuwa Serikali ya Iran ilitumia mabomu ya vishada katika maeneo ya makazi wakati wa mapigano ya siku 12 kati yake na Israel . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • July 24, 2025

Rais Samia mgeni rasmi maadhimisho Siku ya Mashujaa

Rais Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mashujaa yatakayofanyika Julai 25 mwaka huu katika Mnara wa Mashujaa, Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dod . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • July 24, 2025

Chaumma wananchi waibua maswali 'ulinzi wa kura wakati wa Uchaguzi '

Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) mkoani Katavi kimewatoa wasiwasi wananchi wa Kata ya Kakese, Manispaa ya Mpanda, kuhusu usalama wa kura zao kwenye uchaguzi mkuu ujao, kikiahidi kuwa na mikakati m . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 24, 2025

VITUO VYA KUPUNGUZA KASI YA MAFUTA KUJENGWA

Jumla ya vituo viwili vya kupunguza kasi ya mafuta ghafi yanayotoka Hoima nchini Uganda hadi Chongoleani- Tanga, vinatarajia kujengwa ili kusaidia upunguzaji wa kasi ya mafuta ghafi yanayosafirishwa s . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 24, 2025

MAADHIMISHO YA 10 YA SIKU YA MWANI ZANZIBAR

Katibu Mkuu Wizara ya Biashara na Maendeleo ya Viwanda Fatma Mbaruok Khamis amesema Serikali ina mpango wa kutengeneza chakula Cha kuku kupitia zao la mwani ili kuongeza thamani na kuwapatia tija waku . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • July 24, 2025

TANZANIA YAONESHA DHAMIRA YA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA RWANDA KUPITIA MKUTANO WA 16 WA JPC

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeonesha dhamira thabiti ya kuimarisha na kuendeleza ushirikiano na Jamhuri ya Rwanda kupitia Mkutano wa 16 wa Tume ya Kudumu ya Pamoja ya Ushirikiano (JPC), unaofanyi . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 24, 2025

Albert Chalamila Achukizwa na Mwendokasi Kimara

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila, amesema upungufu na kutokuboreshwa kwa Mabasi ya Mwendokasi ni vitendo vya kuwahujumu Wananchi wanaotumia usafiri huo ni hujuma dhidi ya juhudi za seri . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 24, 2025

Waziri Mkuu amaliza ziara Belarus, anadi fursa za uwekezaji

Waziri Mkuu alisema Belmedepreparaty ni kampuni sahihi kuja kuwekeza nchini kutokana na kutumia teknolojia ya kisasa ya kuzalisha bidhaa zenye ubora na viwango vya kimataifa.Kwa upande wa sekta ya mad . . .

Afrika Mashariki
  • Na Jembe Digital
  • July 24, 2025

Rais Ruto awataka viongozi kuwasirisha mpango kazi ili kuinua uchumi wa nchi

RAIS William Ruto amewataka viongozi wa upinzani wawasilishe mpango mbadala ambao wanao kuinua uchumi wa nchi badala ya kumwandama kisiasa na kumlaumu kwa kila kitu.Matamshi ya kiongozi wa nchi yanaku . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 23, 2025

Mpango wa London kupunguza misaada ya nje kutaathiri baadhi ya nchi za Afrika

Mpango wowote wa chama cha Labour nchini Uingereza Kupunguza misaada ya nje kutaathiri elimu ya watoto na kuongeza hatari ya magonjwa na vifo katika baadhi ya nchi za Afrika, hii ni kulingana na tathm . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • July 23, 2025

Kabila aripotiwa kupinga mkataba wa uchimbaji madini kati ya DRC na Marekani

Rais wa zamani wa DRC, Joseph Kabila ameripotiwa kupinga mkataba wa uchimbaji madini kati ya DRC na Marekani baada ya Washington, kufanikisha makubaliano kati ya Kinshasa na Kigali.Rais Kabila anaripo . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • July 23, 2025

Uzinduzi wa bandari kavu ya Kwala watarajiwa kufanyika Julai 31, mwaka huu.

RAIS Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua Bandari kavu ya Kwala na safari za ubebaji wa mizigo kwa kutumia treni ya mwendokasi ya SGR kwenda Dodoma.Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge alisema . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • July 23, 2025

Polisi Shinyanga yakamata bangi gramu 2261

Watu 125 wanatuhumiwa kuhusika na makosa mbalimbali wakiwemo wenye makosa ya kutumia dawa za kulevya na kusambaza,pamoja na wizi wa mali mbalimbali katika kipindi cha kuanzia mwezi juni 27 mwaka huu&n . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • July 23, 2025

Jeshi la Mali , Mamluki wa Wagner lawateketeza watu kutoka kabila la Fulani

Jeshi la Mali na kundi la mamluki wa Urusi, Wagner, waliwaua makumi ya watu wa kabila la Fulani mwanzoni mwa mwaka huu wakati wa operesheni dhidi ya wanajihadi kaskazini mwa nchi hiyo, kwa mujibu wa t . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • July 23, 2025

Vijana saba wa Gen Z washtakiwa kwa ugaidi wakati wa mandamano Saba Saba

SERIKALI imewafungulia mashtaka yanayohusiana na ugaidi vijana saba waliokamatwa Kaunti ya Machakos wakati wa maandamano ya Saba Saba mwanzoni mwa mwezi huu, huku Mbunge wa Manyatta, John Mukunji, aki . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • July 22, 2025

NEMC, Wiomsa wajadili mchango wa vyakula vya baharini, mitoni

 Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kwa kushirikiana na Taasisi ya WIOMSA (West Indian Ocean Marine Science Association) wameanza warsha ya siku mbili kwa wadau kutoka se . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • July 22, 2025

Boti la mirungi kutoka nchini Kenya lakamatwa Tanga

Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga limetekeleza operesheni ya mafanikio usiku wa tarehe 22 Julai 2025 kwa kukamata boti aina ya fibre, rangi nyeupe iliyokuwa ikisafirisha dawa za kulevya aina ya mirungi ku . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • July 22, 2025

Askari mbaloni kifo cha Frank Sanga

Mtu mmoja Mkazi wa Mtaa wa Kusenha Kata ya Matumbulu jijini Dodoma ajulikanaye kama Frank Sanga (33) ameuawa kwa kupigwa risasi na askari polisi kutokana na mvutano uliotokea kati ya askari hao na wan . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • July 21, 2025

Kaburi lafukuliwa huku kichwa cha marehemu kukatwa

Jeshi la polisi Mkoani Tanga, linafanya uchunguzi na kuwasaka watu waliohusika katika tukio la kufukua kaburi na kuondoka na kichwa cha marehemu aliyezikwa na kuondoka nacho Kamanda wa polisi mko . . .

Hali ya hewa
  • Na Jembe Digital
  • July 21, 2025

TMA yataja mikoa 20 kupata mvua nyepesi na upepo mkali kwa siku 10

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetaja mikoa zaidi ya 20 ikiwemo visiwa vya Unguja na Pemba itakayokuwa na hali ya ukavu na baadhi kupata mvua nyepesi na upepo mkali kwa siku 10 kuanzia leo Ju . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • July 21, 2025

Uchaguzi UWT yaangusha vigogo viti maalum Morogoro

Uchaguzi wa Madiwani wa Viti Maalum kupitia Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) kwa Morogoro Mjini limehitimishwa kwa amani, huku baadhi ya vigogo maarufu wakianguka na madiwani sita wa zamani wakirejea . . .

Kurasa 20 ya 129

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Mbunge wa Ilemela agawa pikipiki kwa vijana

    • 8 masaa yaliopita
  • Ajiua kwa kujinyonga kwenye banda la mbuzi Manyara

    • 11 masaa yaliopita
  • Familia za waathiriwa wa maandamano kuandamana hadi ikulu ya rais kudai haki

    • 11 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode