logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 29, 2025

Chama tawala cha Moldova chaongoza uchaguzi wa bunge

Chama tawala cha Moldova na kinachounga mkono Umoja wa Ulaya kinaongoza kwenye uchaguzi wa bunge hii ikiwa ni kulingana na kura ambazo tayar . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • September 29, 2025

Dkt. Samia Aahidi Ujenzi wa Bandari Mpya ya Bagamoyo

Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi miradi mikubwa ya mae . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • September 29, 2025

Zari The Bosslady Apata Ajali ya Gari

Mfanyabiashara na staa maarufu wa Afrika, Zari The Bosslady, amethibitisha kuwa amepata ajali ya gari akiwa ndani ya Range Rover&n . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • September 29, 2025

Netanyahu kukutana na Trump huku Israel ikikabiliwa na ukosoaji kutokana na vita vya Gaza

Waziri Mkuu wa Israel anatarajia kukutana leo Jumatatu na mwenzake wa Marekani Donald Trump kuhusu vitra vya Gaza, baada ya kuelemewa na uko . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 29, 2025

Paul Biya hakuonekana wakati kampeni za uchaguzi mkuu zikianza

Wakati kampeni za uchaguzi mkuu ziking’oa nanga mwishoni mwa juma lililopita nchini Cameroon, kiongozi mkongwe wa taifa hilo Paul Biya ana . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 28, 2025

Droni zisizofahamika zashuhudiwa tena Denmark

Wizara ya ulinzi ya Denmark imesema droni zimeshuhudiwa katika baadhi ya kambi zake za jeshi usiku wa kuamkia Jumamosi. Droni hizo zimeoneka . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • September 28, 2025

Man Utd & Liverpool wamuwinda Branthwaite

Liverpool na Manchester United wanatazamiwa kushindania usajili wa pauni milioni 65 wa mlinzi wa Everton mwenye umri wa miaka 23 wa Uingerez . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • September 28, 2025

Polisi wamulikwa vikali kwa kukosa kukamata washukiwa waliomuua wakili Mbobu

Maafisa wa upelelezi wanapigwa darubini vikali kwa kushindwa kumkamata mshukiwa hata mmoja kuhusiana na mauaji ya wakili Mathew Kyalo Mbobu, . . .

UTALII
  • Na Asha Business
  • September 28, 2025

Tuzo za Serengeti Awards Kufanyika Disemba 19 jijini Arusha

KATIBU Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi, amesema Tuzo za Uhifadhi na Utalii maarufu kama Serengeti Awards zitafanyika . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 28, 2025

Iran yarejeshewa vikwazo vya Umoja wa Mataifa 'kutokana na kushindwa mpango wake wa nyuklia

Vikwazo vya Umoja wa Mataifa dhidi ya Iran vimerejeshwa rasmi siku ya Jumapili, Septemba 29 usiku wa manane, kufuatia kushindwa kwa mazungum . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • September 27, 2025

CHAUMMA hawahitaji wakuu wa wilaya na mikoa machawa

MGOMBEA Urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma(CHAUMMA), Salum Mwalimu amesema serikali yake haitataka wakuu wa Wilaya na wakuu wa mikoa 'macha . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • September 27, 2025

Butibu na Igunda wapewaa hati miliki za kimila kunasua migogoro ya Ardhi

WAKAZI 1,022 wa vijiji vya Butibu na Igunda Halmashauri ya Ushetu mkoani Shinyanga, wamepatiwa hati miliki za kimila ili kuimarisha umiliki . . .

Mastaa
  • Na Jembe Digital
  • September 27, 2025

Msanii chipukizi wa muziki D4vd akutwa na tuhuma nzito ya kimahusiano

Msanii chipukizi wa muziki duniani, D4vd, amejikuta katikati ya tuhuma nzito baada ya kuripotiwa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na msichana . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • September 27, 2025

Mamlaka za nchi 14 barani Afrika zawakamata wahalifu 260 wa kimtandao

Mamlaka za nchi 14 barani Afrika zawakamata watu 260 katika msako mkubwa dhidi ya uhalifu wa kimtandao unaohusisha utapeli wa kimapenzi. Ope . . .

Afya
  • Na Jembe Digital
  • September 27, 2025

Soma Hapa kufahamu Kiasi cha Maji Kinachofaa katika Mwili Wako

Maji ni msingi wa afya ya mwili. Yana jukumu la kusafisha sumu mwilini, kusaidia mmeng’enyo wa chakula, kulinda afya ya ngozi, kudhibiti p . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • September 27, 2025

INEC yatoa elimu yauchaguzi kwa askari polisi Arusha

Kuelekea uchaguzi mkuu oktobar 29 mwaka huu Jeshi la Polisi wilaya ya Arusha kwa kushirikiana na Tume Huru ya Uchaguzi (INEC), limetoa mafun . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • September 27, 2025

VISIT ILEMELA SEASON TWO YATOA MANUFAA KWA WANAKAYENZE.

Mkuu wa Wilaya ya Ilemela, Amir Mkalipa amewataka Wananchi kujitokeza kushiriki Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika mnamo Oktoba 29 mwaka hu . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • September 26, 2025

Simba SC kucheza bila mashabiki na kutozwa faini ya milioni 200

Klabu ya Simba SC haitaruhusiwa kuwa na mashabiki kwenye mchezo wake wa pili dhidi ya Gaborone United baada ya CAF kukataa rufaa yao ya kupi . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • September 26, 2025

Uchunguzi wabaini waandamanaji 33 waliuawa kwa kupigwa risasi Nepal

Waandamanaji 33 waliouawa wakati wa maandamano ya kupinga ufisadi nchini Nepal mwezi huu wanasemekana kupigwa na risasi za moja kwa moja zil . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • September 26, 2025

Mpina apewa siku 14 kupinga maamuzi ya Msajili

Mahakama Kuu ya Tanzania (Masjala Kuu Dodoma) imetoa kibali kwa Chama cha ACT Wazalendo na Ndugu Luhaga Joelson Mpina kufungua shauri la kup . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • September 26, 2025

Makamu wa rais atoa hotuba kikao cha 80 baraza kuu umoja wa mataifa

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema Tanzania inalaani kuibuka upya kwa ukiukwaji wa sheria za . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • September 26, 2025

Ofisi ya uhamiaji Mara yaendelea kutoa elimu kwa umma

‎Ofisi ya Uhamiaji Mkoa wa Mara  Septemba 25 mwaka huu imeendelea na zoezi la kutoa elimu kwa umma kuhusu masuala mbalimbali ya ki- u . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • September 26, 2025

BUGANDO NA POLISI WATOA HUDUMA ZA KINGA DHIDI YA SARATANI KWA ASKARI NA FAMILIA ZAO

Madaktari bingwa na wataalamu wa afya kutoka Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Ziwa-Bugando kwa kushirikiana na Zahanati ya Polisi Mabatini, wa . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • September 26, 2025

Loveness atiwa hatiani kwa kosa la kujiteka mwenyewe

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linamshikilia Loveness Daniel Kisile (30), mkazi wa mtaa wa Temeke kata ya Mhandu wilayani Nyamagana kwa kosa . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • September 26, 2025

Marekani yatangaza ushuru mpya bidhaa zinazoagizwa kutoka nje

Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza ushuru mpya kwa bidhaa zinazoagizwa kutoka nje, ikiwemo dawa na malori.Ametangaza kuongeza ushuru . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • September 26, 2025

Babu Owino asema "Nina siri ya kushinda ugavana Nairobi bila Raila"

MBUNGE wa Embakasi Mashariki Babu Owino amemlaumu Kiongozi wa upinzani Raila Odinga kwa masaibu yake ya kisiasa huku akisema kuwa sasa anaji . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • September 26, 2025

Rais Mstaafu wa Ufaransa Ahukumiwa Miaka Mitano Gerezani

 Rais mstaafu wa Ufaransa, Nicolas Sarkozy, amehukumiwa kifungo cha miaka mitano gerezani, baada ya kupatikana na hatia ya kula njama y . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 26, 2025

Baraza la Usalama kupiga kura kuhusu vikwazo dhidi ya Iran

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa litapiga kura leo Ijumaa asubuhi juu ya azimio la kuchelewesha kurejeshwa kwa vikwazo vya kimataifa dh . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • September 26, 2025

Madagascar yatangaza amri ya kutotoka nje usiku kufuatia maandamano makali

Serikali ya Madagascar, kisiwa kilicho katika Bahari ya Hindi, siku ya Alhamisi kimetangaza marufuku ya kutotoka nje usiku kufuatia maandama . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 26, 2025

Donald Trump asema 'hataruhusu Israel kuteka Ukingo wa Magharibi'

Donald Trump amebainisha siku ya Alhamisi, Julai 25, kwamba "hataruhusu Israel kutwaa Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu," hatua iliy . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • September 25, 2025

Bilioni 200 kutolewa kwa wafanyabiashara wadogo

Mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM Dkt Samia Hassan Suluhu ameahidi Bilioni mia mbili (200) kwa wafanyabiashara wadogo wadogo Nch . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • September 25, 2025

Dkt, Mwinyi arejea Unguja Kufuatia kifo cha kaka yake

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • September 25, 2025

Bobi Wine kukabiliana na Museveni Uchaguzi Mkuu 2026

Tume ya Uchaguzi nchini Uganda imewaidhinisha Rais Yoweri Museveni na kiongozi wa upinzani Bobi Wine kugombea katika uchaguzi wa 2026 nchini . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • September 25, 2025

Hatima ya kesi ya rufaa waliyoikata Nyundo na wenzake watatu kujulikana leo

Hatima ya kesi ya rufaa waliyoikata Nyundo na wenzake watatu ya kupinga kifungo cha maisha gerezani itajulikana leo Septemba 25 mwaka huu ka . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • September 25, 2025

Wafugaji wahimizwa matumizi ya teknolojia

Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Bi. Agnes Meena amesema kuwa Kongamano la Kisayansi la Chama cha Wataalam wa Sekta za Mifugo na Uvuvi . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • September 25, 2025

Mtoto wa Marehemu Ali Hassan Mwinyi, Abbas Mwinyi afariki dunia

Mtoto wa Marehemu Ali Hassan Mwinyi, Abbas Mwinyi ambae ni Kaka wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Hussein Mwinyi . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • September 25, 2025

Horohoro ahukumiwa kifungo cha maisha kusafirisha dawa za kulevya

Mahakama Kuu ya Tanzania, Kitengo cha Rushwa na Uhujumu Uchumi, imemhukumu Hemed Juma Mrisho maarufu kwa jina la “Horohoro” kifungo cha . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 25, 2025

Ufaransa, Ujerumani na Uhispania zatatizika kufikia makubaliano kuhusu mradi wa ndege za kivita

Ufaransa iko tayari kuunda ndege ya kivita ya siku za usoni ikiwa peke yake ikiwa mazungumzo na Berlin na Madrid yatashindwa kuhusu mradi wa . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • September 25, 2025

Wagombea 8 waidhinishwa, akiwemo Museveni na kiongozi wa Upinzani Bobi Wine

Nchini Uganda, sasa inajulikana Yoweri Museveni atapambana na nani katika uchaguzi wa urais wa mwezi Januari 2026. Katika taarifa iliyotolew . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • September 25, 2025

DRC na Rwanda kuanza kutekeleza hatua za usalama mapema mwezi Oktoba

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Rwanda zimekubali kuanza kutekeleza hatua za kiusalama chini ya makubaliano yaliyoidhinishwa na Marekani . . .

Kurasa 20 ya 212

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category