logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Habari
  • Na Jembe Digital
  • July 24, 2025

Wavuvi mkoani Geita waongezewa mitaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan omeongeza mara 50 mitaji ya wavuvi mkoani Geita ikiwa ni ongezeko jipya la . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • July 23, 2025

Magonjwa ya moyo na mapafu yazidi kuangamiza wengi

MAGONJWA ya moyo (CHD), kiharusi na ya mapafu, yamesalia kuwa kiini kikuu cha vifo duniani kote kwa miaka minne iliyopita, kulingana na ucha . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • July 23, 2025

Malkia wa Mitindo Vera Sidika Aanza Maisha Mapya Kibabe!

Mwanamitindo na sosholaiti maarufu kutoka Kenya, Vera Sidika, anayejulikana kwa jina la utani kama Vee Beiby, ameibuka upya na kuteka mitand . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • July 23, 2025

Mfalme wa Rock na Heavy Metal, Ozzy Osbourne Afariki Akiwa na Miaka 76

Mwanamuziki nguli wa Rock na Heavy Metal, Ozzy Osbourne, maarufu kama ‘Prince of Darkness’, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 76. T . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • July 23, 2025

Arsenal Yamnasa Viktor Gyökeres kwa Dau la Bilioni 300

Klabu ya Arsenal mbioni kufanikisha azma yake ya muda mrefu, ya kukamilisha usajili wa mshambuliaji hatari kutoka Sweden, Viktor Gyökeres, . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • July 23, 2025

Gibril Sillah Ajiunga na ES Sétif ya Algeria kwa Mkataba wa Miaka Miwili

Klabu ya ES Sétif ya Algeria imethibitisha kumsajili rasmi aliyekuwa winga wa Azam FC, Gibril Sillah (26), raia wa Gambia, kwa mkataba wa m . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 23, 2025

Mpango wa London kupunguza misaada ya nje kutaathiri baadhi ya nchi za Afrika

Mpango wowote wa chama cha Labour nchini Uingereza Kupunguza misaada ya nje kutaathiri elimu ya watoto na kuongeza hatari ya magonjwa na vif . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • July 23, 2025

Kabila aripotiwa kupinga mkataba wa uchimbaji madini kati ya DRC na Marekani

Rais wa zamani wa DRC, Joseph Kabila ameripotiwa kupinga mkataba wa uchimbaji madini kati ya DRC na Marekani baada ya Washington, kufanikish . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • July 23, 2025

Uzinduzi wa bandari kavu ya Kwala watarajiwa kufanyika Julai 31, mwaka huu.

RAIS Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua Bandari kavu ya Kwala na safari za ubebaji wa mizigo kwa kutumia treni ya mwendokasi ya SGR kw . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • July 23, 2025

Polisi Shinyanga yakamata bangi gramu 2261

Watu 125 wanatuhumiwa kuhusika na makosa mbalimbali wakiwemo wenye makosa ya kutumia dawa za kulevya na kusambaza,pamoja na wizi wa mali mba . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • July 23, 2025

Ujerumani yawarejesha kwao raia 43 wa Iraq

Ujerumani imewarudisha kwao raia 43 wa Iraq julai 22 mwaka huu wakisafirishwa kwa ndege ya kukodi iliyokuwa ikielekea BaghdadNdege hiyo ikiw . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • July 23, 2025

Jeshi la Mali , Mamluki wa Wagner lawateketeza watu kutoka kabila la Fulani

Jeshi la Mali na kundi la mamluki wa Urusi, Wagner, waliwaua makumi ya watu wa kabila la Fulani mwanzoni mwa mwaka huu wakati wa operesheni . . .

Matukio
  • Na Jembe Digital
  • July 23, 2025

Watu zaidi ya Milioni 3 na laki 7 wanakabiliwa na baa la njaa Nigeria

Nchini Nigeria, watu zaidi ya Milioni 3 na laki 7 wanakabiliwa na baa la njaa kwa mujibu wa Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu, hasa k . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • July 23, 2025

Utafiti nchini Kenya wasema asilimia 30 ya wanafunzi wa Gredi 6 hawawezi kusoma vitabu vya Gredi 3

ASILIMIA 30 ya wanafunzi wa Gredi ya Sita wanaosomea katika shule za umma nchini hawawezi kusoma kitabu cha Kiingereza cha kiwango cha Gredi . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • July 23, 2025

Vijana saba wa Gen Z washtakiwa kwa ugaidi wakati wa mandamano Saba Saba

SERIKALI imewafungulia mashtaka yanayohusiana na ugaidi vijana saba waliokamatwa Kaunti ya Machakos wakati wa maandamano ya Saba Saba mwanzo . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • July 23, 2025

Ibada ya Kumbukizi miaka 5 kifo cha Mkapa kufanyika Masasi

Viongozi mbalimbali wa kitaifa wakiwemo wastaafu, pamoja na wananchi wa Kata ya Lupaso wilayani Masasi mkoani Mtwara wamejitokeza kwenye Iba . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • July 23, 2025

Bilioni 67.507 ukarabati wa shule ya sekondari ya Lindi, Pwani

SERIKALI kupitia Mradi wa kuboresha Elimu ya Sekondari (SEQUIP) katika Mkoa wa Lindi imetoa Sh bilioni 31.716 kwa ajili ya ujenzi wa miundom . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • July 23, 2025

CCM yatoa ratiba mpya ya watia nia ubunge na madiwani

Baada ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kubadili ratiba ya vikao vyake vya uteuzi wa watiania wa ubunge na uwakilishi, kimetoa ratiba mpya ya vi . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • July 23, 2025

Rais wa zamani wa Marekani Barack Obama ashutumiwa kwa uhaini

Rais wa sasa wa Marekani Donald Trump amemshutumu Rais wa zamani Barack Obama kwa ‘uhaini’ akidai alipanga kuhujumu muhula wake wa kwanz . . .

Burudani
  • Na Baba Juti
  • July 22, 2025

COLONEL MUSTAPHA : "Nina Mpenzi Mpya, Ni Kiziwi "

Msanii wa Muziki wa Kizazi kipya nchini Kenya, Colonel Mustapha ameweka wazi kuwa moja kati ya vitu ambavyo anavijutia mpaka hivi sasa, ni . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • July 22, 2025

Stephen Munyakho apata nafasi ya kuishi tena

Stephen Bertrand Munyakho, Mkenya ambaye alikuwa akikabiliwa na hukumu ya kifo nchini Saudi Arabia, sasa ameachiliwa rasmi kutoka kizuizini. . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • July 22, 2025

Jair Bolsonaro akabiliwa na kifungo kwa 'kutotii

Jaji wa Mahakama ya Juu ya Brazili amewapa mawakili wa Jair Bolsonaro saa 24 kueleza "kutofuata" kwao marufuku ya rais huyo wa zamani kutumi . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • July 22, 2025

Bangladesh :Zaidi ya watu ishirini wamefariki kwa ajali ya ndege

Idadi ya vifo kutokana na ajali ya ajali ya ndege ya kivita ya Jeshi la Wanahewa la Bangladesh katika shule huko Dhaka Jumatatu, Julai 21, i . . .

Afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • July 22, 2025

Israel yafanya mashambulizi dhidi ya wafanyakazi wa WHO

Jeshi la Israel limevamia maghala na majengo mengine ya Shirika la Afya Duniani, WHO, katika Ukanda wa Gaza wakati ikiendesha operesheni zak . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • July 22, 2025

NEMC, Wiomsa wajadili mchango wa vyakula vya baharini, mitoni

 Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kwa kushirikiana na Taasisi ya WIOMSA (West Indian Ocean Marine Science As . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • July 22, 2025

Boti la mirungi kutoka nchini Kenya lakamatwa Tanga

Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga limetekeleza operesheni ya mafanikio usiku wa tarehe 22 Julai 2025 kwa kukamata boti aina ya fibre, rangi nyeu . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • July 22, 2025

Tanzania, Canada kuimarisha elimu ya mafunzo ya ufundi stadi

Tanzania na Canada zimekubaliana kuendelea kushirikiana katika kuimarisha sekta ya elimu ya ualimu, ufundi na mafunzo ya ufundi stadi, kupit . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • July 22, 2025

Askari mbaloni kifo cha Frank Sanga

Mtu mmoja Mkazi wa Mtaa wa Kusenha Kata ya Matumbulu jijini Dodoma ajulikanaye kama Frank Sanga (33) ameuawa kwa kupigwa risasi na askari po . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • July 22, 2025

Ufafanuzi wa kamanda Muliro kuhusu “No Reform No Election”, kwenye uchaguzi

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam SACP Jumanne Muliro amesema hakuna msingi wa kisheria wa kuzuia uchaguzi kwa kutumia kauli y . . .

DINI
  • Na Jembe Digital
  • July 22, 2025

Waumini wa Gwajima waendelea na kesi mahakamani leo

Kesi ya Kikatiba nambari 16408 ya mwaka 2025 iliyofunguliwa na Dinali Mbaga na wenzake 51 ambao ni waumini wa kanisa la Ufufuo na Uzima (Glo . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • July 22, 2025

Waziri Mkuu aendelea na ziara yake nchini Belarus

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Julai 21, 2025 aliwasili nchini Belarus kwaajili kuanza ziara yake ya kikazi nchini humo Kwenye Uwanja wa Ndege . . .

Matukio
  • Na Jembe Digital
  • July 22, 2025

27 wafariki na 88 kupatiwa matibabu kufuatia ajali ya Ndege Bangladesh

Takriban watu 27 wamefariki baada ya ndege ya mafunzo ya Jeshi la Anga la Bangladesh kuanguka katika chuo huko Dhaka kutokana na taarifa ili . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • July 22, 2025

Waziri wa Elimu afutwa kazi kwa tuhuma za utovu wa nidhamu

Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, amemvua wadhifa wake Waziri wa Elimu ya Juu, Nobuhle Nkabane, kufuatia tuhuma nzito za utovu wa nidh . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • July 22, 2025

Mudathir kuendelea kuitumikia klabu ya Yanga Sc club kwa mkataba mpya wa miaka miwili

Klabu ya Yanga SC imethibitisha rasmi kumuongezea kiungo wao mahiri, Mudathir Yahya, mkataba mpya wa miaka miwili ikiwa hatua hiyo inamaanis . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • July 21, 2025

Kaburi lafukuliwa huku kichwa cha marehemu kukatwa

Jeshi la polisi Mkoani Tanga, linafanya uchunguzi na kuwasaka watu waliohusika katika tukio la kufukua kaburi na kuondoka na kichwa cha mare . . .

Hali ya hewa
  • Na Jembe Digital
  • July 21, 2025

TMA yataja mikoa 20 kupata mvua nyepesi na upepo mkali kwa siku 10

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetaja mikoa zaidi ya 20 ikiwemo visiwa vya Unguja na Pemba itakayokuwa na hali ya ukavu na baadhi k . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • July 21, 2025

Uchaguzi UWT yaangusha vigogo viti maalum Morogoro

Uchaguzi wa Madiwani wa Viti Maalum kupitia Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) kwa Morogoro Mjini limehitimishwa kwa amani, huku baadhi ya vig . . .

Matukio
  • Na Jembe Digital
  • July 21, 2025

568 waokolewa baada ya meli kuwaka moto baharini

Watu 568 wameokolewa baada ya meli ya abiria ya KM Barcelona 5 kuungua kwa moto baharini nchini Indonesia, ambapo watu watatu wamethibitishw . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • July 21, 2025

Sudan kusitisha matumizi ya WhatsApp call,audio na Video call

Mamlaka ya mawasiliano nchini Sudan, imesema mwishoni mwa juma hili kuwa itazuia upigaji wa simu na video kupitia mtandao wa WhatsApp, zikis . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • July 21, 2025

Zimbwe Jr kuwaaga rasmi mashabiki wa Simba

Baada ya kudumu katika klabu ya Simba kwa kipindi cha miaka 11 captain Mohamed Hussein Zimbwe Jr  amewaaga Rasmi mashabiki wanachama na . . .

Kurasa 36 ya 212

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category