logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
matukio
  • Na Jembe Digital
  • August 26, 2025

Katibu wa CCM wilaya ya Mafia afariki dunia

Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Mafia mkoani Pwani Salehe Kikweo amefariki dunia wakati akiendelea kupatiwa matibabu Hospitali ya Mji Handeni Mkoa wa Tanga.Taarifa ya kifo hicho imetolew . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • August 25, 2025

Tamasha la ‘Dream Car’ kuibu fursa za kiuchumi wilaya ya Kilolo

Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James, amepongeza tamasha la ‘Dream Car’ lililofanya wilayani Kilolo hivi karibuni akilielezea kama mkakati wa kuhamasishana kimaendeleo, kuchochea ubunifu na kuwajen . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • August 22, 2025

Polisi waanza uchanguzi kutekwa kwa mwimbaji wa nyimbo za Injili geita

Kufuatia madai ya kutekwa na watu wasiojulikana kwa mwimbaji wa nyimbo za injili Elisha Juma mkazi wa Mtaa wa Kadisi, Kata ya Katente wilayani Bukombe mkoani Geita, Jeshi la polisi mkoani humo limesem . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • August 22, 2025

Madereva IT mbaroni kwa kusafirisha abiria kinyume na Sheria

Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro limewakamata madereva wa tano wa magari yanayosafirishwa njeya Nchi (IT) kwa makosa ya kusafirisha abiria bila kibali.Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa Waandishi w . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • August 22, 2025

Geita wananchi wakubali kulipwa fidia kupisha uchimbaji madini

Serikali imetangaza rasmi kuanza kwa mchakato wa ulipaji fidia kwa wananchi wa Mitaa ya Nyakabale na Nyamalembo katika Halmashauri ya Manispaa ya Geita, ili kupisha shughuli za uchimbaji wa dhahabu ka . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • August 21, 2025

Uchakataji maombi mapya ya Visa nchini Zimbabwe yasitishwa

Marekani imesitisha uchakataji wa Maombi ya Visa nchini Zimbabwe mpaka hapo taarifa kwa kina itakapo tolewa ambapo Ubalozi wa Marekani mjini Harare umesema uamuzi huo umetokana na wasiwasi fulani dhid . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • August 21, 2025

Tanzania na Japan zaweka hati ya makubaliano sekta ya ujenzi

Tanzania na Japan zimesaini Hati ya Makubaliano ya ushirikiano (MoU) katika uendelezaji wa rasilimali watu katika sekta ya ujenzi. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Baloz . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • August 20, 2025

Watatu wafariki kwa jiko la mkaa Simiyu

Watoto watatu wa familia tatu, wawili wakiwa wa kitongoji kimoja wamefariki kwa kukosa hewa baada ya kujifungia kwenye hema ambalo ndani yake waliweka jiko la mkaa.Akithibitisha kutokea kwa tukio hi . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • August 20, 2025

Chaumma yaweka vipaumbele 10 kuelekea Uchaguzi mkuu 2025

UBWABWA kwa wote, kilimo kwanza na nishati safi ndiyo baadhi ya ahadi zinazobeba ilani ya Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29 mwaka huu.Katika kampeni zinazotaraji . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • August 19, 2025

Rais wa Ukraine akosoa masharti ya Putin

Kuelekea mkutano baina yao ndani ya siku chache zijazo kufuatia mazungumzo baina ya viongozi hao na rais wa Marekani, Donald Trump na wale kutoka umoja wa Ulaya Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amek . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • August 18, 2025

Zanzibar yatoa ratiba ya kura za mapema Oktoba 28

Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imetangaza ratiba ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu kumchagua Rais wa Zanzibar, Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi pamoja na Madiwani.Akizungumza leo Agosti 18, Mwenyekiti wa . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • August 18, 2025

Mahakama yatupilia mbali shauri la Lissu

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika amesema Chama hicho hakijaridhishwa na maamuzi yaliyotolewa na Mahakama katika shauri linaloendelea baada ya Mahakama kutakataa . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • August 18, 2025

WAUMINI WA DINI YA KISLAAM WAASWA KUPELEKA WATOTO SHULE

Mkuu wa Wilaya ya Ilemela, Amir Mkalipa, amewaasa waumini wa dini ya Kiislamu pamoja na jamii kwa ujumla kuhakikisha wanawapeleka watoto shule ili wapate elimu ya dini na dunia.Akizungumza katika viwa . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • August 18, 2025

Apandishwa kizimbani mashtaka ya kubaka, kulawiti mwanafunzi

MKAZI wa Kijiji cha Magugu, John Claude (24), maarufu 'mdogoo" amefikishwa Mahakama ya Wilaya ya Babati, mkoani Manyara, akikabiliwa na mashtaka ya kumbaka na kumwingilia kinyume cha maumbile, mwanafu . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • August 18, 2025

Wasomi wa Kiswahili wamuomboleza Profesa Hamu Habwe

WAPENZI wa Kiswahili nchini na kanda nzima ya Afrika Mashariki wanaomboleza kifo cha msomi na mwandishi Profesa John Hamu Habwe ambaye alifariki akiwa na umri wa miaka 62.Profesa Habwe alifariki akiti . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • August 18, 2025

Wasomi wa Kiswahili wamuomboleza Profesa Hamu Habwe

WAPENZI wa Kiswahili nchini na kanda nzima ya Afrika Mashariki wanaomboleza kifo cha msomi na mwandishi Profesa John Hamu Habwe ambaye alifariki akiwa na umri wa miaka 62.Profesa Habwe alifariki akiti . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 18, 2025

Syria yataka amani

 RAIS wa Syria, Ahmed al-Sharaa, amesema juhudi za kuunganisha taifa hilo baada ya vita vya wenyewe kwa wenyewe hazipaswi kufanyika kwa njia ya umwagaji damu.Akihutubia kupitia televisheni y . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 16, 2025

Tanzania yapongezwa juhudi za amani SADC

TANZANIA imepongezwa kwa utendaji mzuri wa kushughulikia changamoto za kiusalama katika Kanda ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), baada ya kuwa Mwenyekiti wa Asasi ya S . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 16, 2025

Trump amezungumza na Zelensky pamoja na viongozi wa Ulaya

Rais wa Marekani Donald Trump alikuwa na mazungumzo ya njia ya simu mapema Jumamosi na mwenzake wa Ukraine Volodymyr Zelensky pamoja na viongozi wa nchi za Ulaya kuwapa taarifa ya mazungumzo kati yake . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 15, 2025

Mapya yaibuka mwili uliodaiwa kuzuiwa mochwari

Sakata la ndugu wa marehemu, Mohamed Ally (20), mkazi wa Jiji la Arusha, mwili wake kudaiwa kuzuiwa kuchukuliwa na ndugu zake katika Hospitali ya Rufani ya Mount Meru, limechukua sura mpya.Kaimu Mgang . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • August 15, 2025

Upatikanaji mikopo nchini waongezeka kupitia mfuko wa SELF

Mfuko wa SELF ulio chini ya Wizara ya Fedha umefanikiwa kuongeza upatikanaji wa mikopo kwa Shilingi bilioni 196.9 kuanzia 2021 hadi Juni 30, 2025 ili kuwawezesha wajasiriliamali na taasisi mbalimbali . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • August 14, 2025

Juba yakanusha kuwapokea Wapalestina

WIZARA ya Mambo ya Nje ya Sudan Kusini imekanusha ripoti zinazodai kuwa imefanya mazungumzo na Israel kuhusu kuwapokea Wapalestina kutoka eneo la Gaza lililoathiriwa na vita.Kwa mujibu wa Shirika la H . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • August 14, 2025

Wajumbe UWT geita kizimbani kwa tuhuma za kupokea rushwa

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Geita, imewakamata wajumbe wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Kata ya Nyankumbu Jimbo la Geita mjini walionekana katika picha mjongeo wakig . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • August 14, 2025

Sudan Kusini yakanusha mapokezi ya Wapalestina

WIZARA ya Mambo ya Nje ya Sudan Kusini imekanusha ripoti zinazodai kuwa imefanya mazungumzo na Israel kuhusu kuwapokea Wapalestina kutoka eneo la Gaza lililoathiriwa na vita.Kwa mujibu wa Shirika la H . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • August 14, 2025

Brazil yazindua mpango kuyaunga mkono makampuni yaliyoathiriwa na ushuru

SERIKALI ya Brazil imezindua mpango wa kuyaunga mkono makampuni ya ndani yaliyoathiriwa na ushuru wa asilimia 50 uliotangazwa na Rais wa Marekani, Donald Trump, kwa bidhaa kadhaa kutoka nchini humo.Ra . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • August 14, 2025

Hofu Baada ya Miili Inayooza ya Wanawake Wawili Kupatikana Imetupwa Kwenye Mto

Wakazi wa kijiji cha Majimbo, kaunti ya Embu, waliachwa na butwaa baada ya kugunduliwa kwa miili ya wanawake wawili wasiojulikana kwenye kijito.wakazi wa eneo la Dallas walikumbana na miili miwili ili . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • August 14, 2025

Gachagua akatiza ziara yake ya miezi 2 Amerika kushirika kampeni za chaguzi ndogo

ALIYEKUWA Naibu Rais Rigathi Gachagua amekatiza ziara yake nchini Amerika ili arejee nyumbani kujishughulisha na kampeni za chaguzi ndogo zijazo.Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) tayari imetangaz . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 14, 2025

Rais Samia atunikiwa tuzo ya kimataifa kinara huduma ya maji

Rais Samia Suluhu Hassan ametunukiwa Tuzo ya Rais ya Kimataifa ya Wabunifu wa Mabadiliko katika Sekta ya Maji 2025 (Presidential Global Water Changemakers Award 2025), heshima kubwa inayotolewa na taa . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • August 14, 2025

Wanne waokolewa na mmoja kufariki mgodi wa Shinyanga

Vikosi vya uokoaji vimefanikiwa kuokoa Wachimbaji wanne kati ya 25 wafukiwa na kifusi Agost 11 Mwaka huu wakati watengenza Maduara katika Mgodi mdogo wa Nyandolwa unaomilikiwa na kikundi cha Wachapaka . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • August 14, 2025

Watu kadhaa wauawa katika mashambulizi dhidi ya wanaounga mkono jeshi Al-Jazeera

Shambulizi la ndege zisizo na rubani limelenga mji wa Tambul, kusini mashariki mwa Khartoum, siku ya Jumatano, Agosti 13, 2025, wakati sherehe za jeshi zilikuwa zikiendelea. Tambul iko katika Jimbo la . . .

Kurasa 17 ya 129

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Mbunge wa Ilemela agawa pikipiki kwa vijana

    • 3 masaa yaliopita
  • Ajiua kwa kujinyonga kwenye banda la mbuzi Manyara

    • 5 masaa yaliopita
  • Familia za waathiriwa wa maandamano kuandamana hadi ikulu ya rais kudai haki

    • 6 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode