logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • July 21, 2025

TARURA imetoa mafunzo kwa watumishi wapya 98

WAKALA wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imetoa mafunzo elekezi ya kuwajengea uwezo watumishi wapya 98 wa Kada ya Uhandisi, Fundi Sanifu, Maofisa Hesabu, Wachumi pamoja na Ununuzi na Ugavi.Ma . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • July 18, 2025

Watatu wafariki na sita majeruhi kwa ajali Iringa

Watu watatu wamefariki dunia na wengine 6 wamejeruhiwa katika ajali ambayo imehusisha gari ya abiria lenye namba za usajili T 562 EBK aina ya Fuso Mini Bus inayomilikiwa na Khatibu Kihwelo likiendeshw . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • July 18, 2025

Akutwa amefariki akiwa chumbani kwake

Mwili wa aliyekuwa Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Kageme Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga  Juliana Mkumbo (30) amekutwa amefariki dunia ndani ya chumba chake,baada ya kutoonek . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 18, 2025

Polisi wachunguza tukio la dada wa Polepole

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limethibitisha kupokea taarifa za kutekwa na kurejeshwa kwa mwanamke aliyejitambulika kwa jina la Christina Hezroni Polepole Kinyangazi, mwenye umri wa mi . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • July 18, 2025

Ahukumiwa miaka 60 kwa kulawiti

Mahakama ya wilaya ya Mkinga Mkoani Tanga  imemuhukumu Saidi Omary Mtangi mkazi wa Maramba wilaya ya Mkinga kifungo cha miaka 60 jela mara baada ya kukutwa na hatia ya kubaka na kulawiti watoto w . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • July 18, 2025

Tukio la dada wa Polepole kufanyiwa uchunguzi

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limethibitisha kupokea taarifa za kutekwa na kurejeshwa kwa mwanamke aliyejitambulika kwa jina la Christina Hezroni Polepole Kinyangazi, mwenye umri wa mi . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • July 17, 2025

Dira ya taifa nyonzo muhimu kujua wajibu wetu

Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amewataka Watanzania kuipokea kwa matumaini Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025–2050, akisema inaakisi kwa kina dhamira ya kuleta ustawi wa maisha ya wananchi n . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • July 17, 2025

Wastaafu wameridhishwa na dira ya taifa 2050

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Jakaya Mrisho Kikwete amepongeza uzinduzi wa Dira 2050 akisema kuwa ni hatua kubwa katika historia ya maendeleo ya nchi na kwamba wastaafu, akiwemo yeye, wameridhika na d . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • July 17, 2025

Nigeria yadhoofika kimataifa kutokana na kutokuwa na mabalozi

Nigeria iko chini ya shinikizo la kidiplomasia kutoka Marekani na Falme za Kiarabu, ambazo zimeweka vikwazo vikali kwa upataji visa kwa raia wake wiki iliyopita. Siku ya Jumanne, Julai 15, Rais Bola T . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • July 17, 2025

Agizo la kuwataka wasichana waliopata mimba kuendelea na masomo lapingwa

Kanisa Katoliki nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, limepinga agizo la serikali, kuwataka wasichana waliopata mimba kuendelea na masomo.Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki CENCO, limesema . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • July 17, 2025

Serikali yatoa onyo la uuzaji, usambazaji dawa bandia

SERIKALI imeonya kwamba haitamvumilia mfanyabiashara yeyote atakayeuza au kusambaza dawa bandia au vifaatiba duni kwa wananchi.Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paul Chacha ametoa onyo hilo wakati akifungua kik . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • July 17, 2025

Mama na watoto wake wanne waangamizwa kwa kuchomwa katika mzozo wa mapenzi

Watu sita akiwemo mama na watoto wake wanne kutoka Bulapesa, Isiolo, walifariki kwa kuchomeka hadi kutotambulika, huku nyumba mbili zikiteketezwa katika matukio mawili tofauti yaliyoacha wakazi wa ene . . .

Kitaifa
  • Na Baba Juti
  • July 16, 2025

Ekari 614 za Bangi Zateketezwa kwa moto Morogoro

MOROGOROJumla ya Ekari 614 za mashamba ya dawa za kulevya aina ya bangi, kilogramu 3,741.9 za bangi kavu na kilogramu 1,706 za mbegu za bangi zimeteketezwa kwenye Hifadhi za Taifa za Mikumi na Nyere . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • July 16, 2025

Wahamiaji haramu kurejeshwa kwao Burundi

Katika oparesheni maalum inayoendelea mkoani Geita, Idara ya Uhamiaji imefanikiwa kuwakamata wahamiaji haramu 126 kutoka nchini Burundi wengi wao wakiwa ni vijana ambao wapo nchini kinyume na sheria h . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • July 16, 2025

Makumi ya watu wameuawa karibu na kituo cha usambazaji wa misaada kusini Gaza

Shirika la Misaada ya Kibinadamu la Gaza (GHF) limeripoti vifo 20 katika kituo cha usambazaji wa misaada kusini mwa ardhi ya Palestina siku ya Jumatano, Julai 16, likiwatuhumu watu wenye silaha kwa ku . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 16, 2025

Marekani yawafukuza wahamiaji watano kutoka Asia na Caribbean kwenda Eswatini

Marekani imewafukuza wahamiaji watano kutoka nchi za Asia na Caribbean na kuwapeleka katika nchi ndogo ya kifalme ya Eswatini, barani Afrika, maafisa wametangaza Jumanne, Julai 15.Utawala wa Trump ume . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • July 16, 2025

vyombo vya habari vyapigwa ‘msasa’ kuelekea uchaguzi

KATIKA kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu sekta ya habari nchini imeelekezwa kuwa mstari wa mbele katika kulinda amani ya nchi, kuhakikisha taarifa sahihi, na kudumisha maadili ya taaluma ya u . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • July 16, 2025

Mauzo ya magari yapungua kufuatia ongezeko la ushuru wa Marekani

Madhara ya kwanza ya mashambulizi ya kibiashara ya Marekani yanaonekana nchini Afrika Kusini. Usafirishaji wa magari kwenda Marekani umepungua kwa 73% katika kipindi cha miezi mitatu ya kwanza ya mwak . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • July 16, 2025

Ruto ameanza kujipanga kwa kura ya 2027 kwa kusisitiza ukamilishaji wa miradi

RAIS William Ruto ameanza kujipanga kwa kura ya 2027 huku akianzisha mikakati ya kisiasa, kiuchumi na masuala ya kijamii kupata tikiti ya kuhudumu muhula wa pili.Kwenye vikao mbalimbali vya umma, Rais . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 15, 2025

Donald Trump aipa Urusi siku 50 kumaliza Vita nchini Ukraine

Rais wa Marekani Donald Trump, ambaye kwa mara nyingine ameonyesha kusikitishwa kwake kutokana na tabia ya mwenzake wa Urusi Vladimir Putin mnamo Jumatatu, Julai 14, ameipa Urusi siku 50 kumaliza vita . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • July 15, 2025

Maambukizo ya kipindupindu yaendelea kuripotiwa jijini Kinshasa

Maambukizo ya kipindupindu bado hayadhibitiwa katika jiji kuu Kinshasa nchini DRC huku mamlaka katika jimbo jirani la Maï-Ndombe, ikithibitisha ugonjwa huo ambao kwa miezi kadhaa sasa umeendelea kusa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 15, 2025

Mazungumzo ya makubaliano ya amani yashika kasi Doha

Wakati wajumbe kutoka serikali ya Kongo na vuguvugu la waasi la AFC/M23 wanakutana mjini Doha kujaribu kuelekea kwenye makubaliano ya amani, mivutano inaendelea. Katika mazingira haya ya mvutano, wapa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 15, 2025

Rais Paul Biya wa Cameroon, Mwenye Umri wa Miaka 92 Atawania Tena 2026

Rais Paul Biya wa Cameroon, mwenye umri wa miaka 92, ametangaza rasmi kuwa atawania tena urais kwa mara ya nane katika uchaguzi wa Oktoba mwaka huu. Tangazo hilo limekuja kupitia ukurasa wake wa X, ak . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • July 15, 2025

Maambukizo ya kipindupindu yaendelea kusambaa DRC

Maambukizo ya kipindupindu bado hayaja dhibitiwa katika jiji kuu la Kinshasa nchini DRC huku mamlaka katika jimbo jirani la Maï-Ndombe, ikithibitisha ugonjwa huo ambao kwa miezi kadhaa sasa umeendele . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • July 15, 2025

Yaibuka maswali kuhusu Paul Biya kugombea kiti cha urais

Rais wa Cameroon Paul Biya alitangaza kwenye akaunti yake ya Twitter kwamba anagombea tena uchaguzi wa urais wa Oktoba 12 mwaka huu Tangu wakati huo, hisia zimekuwa zikiongezeka kuhusu umuhimu wa mgom . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • July 15, 2025

Mazungumzo na makubaliano ya amani yashika kasi Doha

Wakati wajumbe kutoka serikali ya Kongo na vuguvugu la waasi la AFC/M23 wanakutana mjini Doha kujaribu kuelekea kwenye makubaliano ya amani, mivutano inaendelea. Katika mazingira haya ya mvutano, wapa . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • July 15, 2025

Takribani watu 300 wameuawa na RSF Kordofan Kaskazini

Nchini Sudan, wapiganaji wa RSF wameua karibu watu 300 kufuatia mashambulio katika jimbo la Kordofan Kaskazini yaliyoanza siku ya Jumamosi.Kundi la haki za binadamu la Wanasheria wa Dharura, limesema . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • July 15, 2025

Raia wa Afrika wafutiwa Visa kuingia chini Kenya isipokuwa nchi mbili

Nchi ya Kenya imeandika historia mpya hivi karibuni baada ya kuondoa rasmi hitaji la ‘Visa’ kwa raia wa nchi zote za Afrika isipokuwa kwa raia wa Somalia na Libya. Kupitia sera hii mpya raia . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • July 15, 2025

Chaumma yapata watia nia majimbo yote mkoani Mara

Mratibu wa Uchaguzi na Kampeni wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Kanda ya Serengeti Catherine Ruge ametangaza kupatikana kwa watia nia wa ubunge katika majimbo yote 10 ya mkoa wa Mara akieleza k . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 14, 2025

Msafara Wa Twende Butiama 2025 Wahitimishwa

Washiriki wa Msafara wa Twende Butiama 2025 wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kuhitimisha safari yao wilayani Butiama mkoa wa Mara eneo ambalo amezikwa Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambar . . .

Kurasa 21 ya 129

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Mbunge wa Ilemela agawa pikipiki kwa vijana

    • 6 masaa yaliopita
  • Ajiua kwa kujinyonga kwenye banda la mbuzi Manyara

    • 9 masaa yaliopita
  • Familia za waathiriwa wa maandamano kuandamana hadi ikulu ya rais kudai haki

    • 9 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode