logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 3, 2026

Wapiganaji saba wauawa katika mashambulizi Yemen

Wapiganaji saba wa kundi la waasi wanaotaka kujitenga wameuawa katika mashambulizi ya angani huku muungano unaoongozwa na Saudi Arabia nchin . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 3, 2026

Rais wa zamani wa Brazil Aruhusiwa Hospitali na Arudishwa Gerezani

Rais wa zamani wa Brazil Jair Bolsonaro ameondoka hospitalini katika Mji Mkuu wa Brasilia ikiwa ni wiki moja baada ya kufanyiwa upasuaji wa . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 3, 2026

Polisi Waendelea na Uchunguzi Ajali ya Lori Morogoro

Polisi Mkoa wa Morogoro limetoa taarifa kwa umma kuwa linaendelea na uchunguzi wa ajali mbaya ya barabarani iliyotokea Desemba 31, 2025 maji . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 3, 2026

Boti Ya Wahamiaji Yapinduka Gambia 96 wameokolewa

Serikali ya Gambia imethibitisha kisa cha kusikitisha ambapo Boti iliyokuwa imebeba Wahamiaji zaidi ya 200 imeripotiwa kupinduka usiku wa ma . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 2, 2026

Binti wa Kim atembelea makaburi ya Kumsusan

Katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita, Ju Ae amekuwa akionekana mara kwa mara na kwa umaarufu mkubwa zaidi kwenye vyombo vya habari vya . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • January 2, 2026

Walimu wakuu wataka wizara irudi kwa mfumo wa zamani wa kuteua wanafunzi sekondari

WALIMU wakuu wa shule za upili sasa wanataka Wizara ya Elimu kutelekeza mfumo wa kitaifa wa kuteua wanafunzi wa Gredi 10 na kukumbatia mfumo . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • January 2, 2026

Gabon Yasimamisha Timu, Aubameyang Afungiwa na Kocha Atimuliwa!

Serikali ya Gabon imesitisha ushiriki wa timu ya taifa ya soka “The Panthers” na kumfungia mshambuliaji nyota Pierre-Emerick Aubameyang, . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 2, 2026

TRA Yavunja Rekodi, Oktoba hadi Desemba Yakusanya Sh. Trilioni 9

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeendelea kuvunja rekodi yake yenyewe ya makusanyo kwa kukusanya kodi kiasi cha Sh. Trilioni 4.13 kwa mwez . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • January 2, 2026

Urusi yasema droni za Ukraine zimeua 24 Kherson

Wizara ya Mambo ya Nje ya Urusi ilitaja tukio hilo kuwa “shambulio la kigaidi,” huku ikisema Rais Vladimir Putin amearifiwa.Mamlaka zili . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 2, 2026

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa "DRC yarejea kama mwanachama asiye wa kudumu"

Mwanzoni mwa mwaka 2026, Somalia inachukua urais wa zamu wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa. Kama ilivyo kawaida, baadhi ya viti visiv . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 1, 2026

Watu 5 wauawa katika mashambulizi dhidi ya boti za madawa

Kwa mujibu wa Kamandi ya Kusini ya jeshi la Marekani, mashambulizi hayo yalifanyika Jumanne na kulenga msafara wa boti tatu hiuvyo  wat . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • January 1, 2026

AFCON hatua ya 16 bora kuanza kutimua vumbi wikiendi hii

Januari 3 Sudan watakipiga na Senegal katika mechi ya mwanzo kabisa katika uwanja wa Grand Stade de Tanger na usiku wake kutakuwa na mtanang . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • January 1, 2026

Raia wa mashariki ya DRC hawana chakusherehekea mwaka mpya 2026

Raia mashariki mwa nchi ya DRC, wameukaribisha mwaka mpya 2026 huku wakiwa hawana chakusherehekea kutokana na kuzorota kwa hali ya usalama k . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 1, 2026

Ukraine Yakanusha Shambulio la Droni Dhidi ya Makazi ya Putin, Urusi Yazidi Kudai

Serikali ya Ukraine Jumanne imekanusha vikali madai ya Urusi kuwa ilihusika na shambulio la droni lililolenga moja ya makazi ya Rais wa Urus . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • December 31, 2025

ASILI YA MWAKA MPYA NA 1 JANUARI KUWA LIKIZO RASMI.

Mamilioni ya watu dunia(leo Desemba 2025) wanajiandaa kuupokei mwaka 2026 kwa Shangwe ,fataki,sala na salamu za heri . Lakini nyuma ya . . .

mahusiano
  • Na Jembe Digital
  • December 31, 2025

Fahamu neno Ndoa na maana yake;

Ndoa ni taasisi ya kijamii na kiroho inayounganisha mwanaume na mwanamke katika muungano rasmi na wakudumu.Ingawa tamaduni na sheria hutofa . . .

Jamii
  • Na Jembe Digital
  • December 31, 2025

Unafikiri ni kwanini Taifa Stars haifanyi vizuri Kimataifa tangu mwaka 1980 hizi hapa sababu

Tangu miaka ya 1980 Taifa stars imekuwa ikipambana kupata mafanikio makubwa kimataifa.Ambapo tatizo si wachezaji kukosa kipaji,bali ni mfumo . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • December 31, 2025

Mvua yaua watu 3 Morogoro

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama katika taarifa aliyoitoa Desemba 30 mwaka huu amewataja waliofariki kuwa ni Lukman Chimbi . . .

SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • December 31, 2025

Arsenal Yaizamisha Aston Villa 4–1

Ligi Kuu ya England iliendelea kwa hamasa kubwa, na matokeo ya mwisho ya mechi za jana yanaonyesha wazi kwamba msimu huu bado umejaa presha, . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 31, 2025

Umoja wa Falme za Kiarabu kuviondoa vikosi vyake Yemen

Umoja wa Falme za Kiarabu umesema unaondoa vikosi vyake vilivyobaki Yemen baada ya Saudi Arabia kutaka vikosi hivyo viondoke katika nchi hiy . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • December 31, 2025

Euro milioni 30 zaibiwa katika wizi wa benki

Wezi waliiba mali yenye thamani ya makumi ya mamilioni ya euro kutoka kwenye masanduku ya kuhifadhia fedha na vito vya thamani ndani ya benk . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • December 31, 2025

Tanzania yaweka historia kwa kutinga hatua ya mchujo AFCON

Senegal na Congo zimetuma ujumbe wa nia yao baada ya kupata ushindi wa uhakika katika mechi zao za Kombe la Mataifa ya Afrika - AFCON 2025 a . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • December 31, 2025

Wanafunzi wajiunga na maandamano Iran kupinga ugumu wa maisha

Wanafunzi nchini Iran walifanya maandamano mitaani mjini Tehran Desembe 29 mwaka huu ambapo ni siku moja baada ya wafanyabiashara wa mji mku . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • December 31, 2025

Wanafunzi wajiunga na maandamano Iran kupinga hali ngumu

Wanafunzi nchini Iran walifanya maandamano mitaani mjini Tehran Jumanne, siku moja baada ya wafanyabiashara wa mji huo mkuu kuandamana kupin . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • December 31, 2025

Euro milioni 30 zaibiwa katika wizi wa benki

Wezi waliiba mali yenye thamani ya makumi ya mamilioni ya euro kutoka kwenye masanduku ya kuhifadhia fedha na vito vya thamani ndani ya benk . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • December 30, 2025

Urusi yaishtumu Ukraine kwa kushambulia makazi ya Putin

Urusi imeishtumu Ukraine kwa kujaribu kushambulia makazi ya Rais Vladimir Putin na kuapa kulipiza kisasi, bila kutoa ushahidi wa madai hayo . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • December 30, 2025

Dereva ashikiliwa baada ya kutelekeza abiria

Dereva wa basi la kampuni ya Makupa lenye namba za usalili T 958 DRK linalofanya safari zake kutoka jiji la Arusha kuelekea Dar es salaam Ib . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • December 30, 2025

Mourinho awapa maua yao wachezaji kutoka Afrika

Miongoni mwa Kocha bora duniani Jose Mourihno (The Special one) katika moja ya mazungumzo yake na Rio Ferdinand amefunguka kuhusu wachezaji . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • December 30, 2025

Chama tawala chapata wingi kamili, PDCI yapata pigo kubwa

Chini Côte d'Ivoire chama tawala cha RHDP kimeimarisha wingi wake kamili katika uchaguzi wa wabunge uliofanyika siku ya Jumamosi, Desemba 2 . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • December 29, 2025

Lamine Yamal Atwaa Tuzo ya Mshambuliaji Bora wa Mwaka 2025

Mshambuliaji nyota wa klabu ya Barcelona Lamine Yamal ametwaa Tuzo ya mshambuliaji bora wa mwaka 2025 kutoka Global Soccer 2025.Lamine ametw . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • December 29, 2025

Rais wa Ufaransa atangaza mkutano wa washirika wa Kyiv mapema Januari Paris

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron metangaza leo Jumatatu, Desemba 29, mkutano wa washirika wa Kyiv huko Paris mapema mwezi Januari kujadili d . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • December 29, 2025

Côte d'Ivoire: Chama cha rais chaongoza kulingana na matokeo ya muda ya uchaguzi wa wabunge

Kama ilivyokuwa katika bunge lililopita, muundo wa Bunge la baadaye la Côte d'Ivoire unaongozwa kwa kiasi kikubwa na chama cha urais.Nchini . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • December 29, 2025

Bobi Wine "Museveni Acha kutumia jeshi kuingilia uchaguzi"

Mgombea wa chama kikuu cha upinzani nchini Uganda, NUP, Robert Kyagulani maarufu kama Bobi Wine, sasa anamtaka mgombea wa NRM, rais Yoweri M . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • December 29, 2025

Ruto ahakikishia ODM atakubali masharti yao mradi wawe pamoja 2027

RAIS William Ruto amesema kuwa utawala wake utazingatia masharti yanayosukumwa na ODM kuelekea uchaguzi wa 2027, akisema chama hicho kinasta . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • December 29, 2025

Korti yamtangaza mfu mwanamume aliyekosa kuwasiliana na familia kwa miaka 17

MAHAKAMA imetoa uamuzi kumtangaza kuwa amekufa, mwanamume aliyetoweka kwa miaka 17 bila kuwasiliana na familia wala jamaa zake.Mahakama Kuu . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 29, 2025

Ukraine na Urusi zinakaribia makubaliano ya amani

Rais wa Marekani Donald Trump amesisitiza kwamba Ukraine na Urusi ziko karibu kufikia makubaliano ya amani aliyasema hayo alipomkaribisha Ra . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 29, 2025

Mtawala wa kijeshi Guinea atarajiwa kushinda uchaguzi

Raia wa Guinea walipiga kura Jumapili katika uchaguzi wa rais unaotarajiwa kumpa ushindi mtawala wa kijeshi Mamady Doumbouya wa kuongoza kwa . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • December 29, 2025

Algeria yatinga hatua ya mtoano ya AFCON nchini Morocco

Algeria imekuwa nchi ya tatu baada ya Misri na Nigeria kutinga hatua ya mtoano ya Kombe la Mataifa ya Afrika - AFCON 2025. Iliifunga Burkina . . .

Afya
  • Na Jembe Digital
  • December 29, 2025

Matunda 5 Yanayosaidia Kuimarisha Afya ya Figo

Lishe sahihi ina mchango mkubwa katika kulinda na kuboresha afya ya figo. Kwa mujibu wa wataalamu wa lishe, uchaguzi wa matunda sahihi unawe . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • December 29, 2025

Msimamo wa Makundi Wazidi Kuchanganya vichwa Morocco

Michuano ya AFCON 2025 imeendelea kuwasha moto nchini Morocco na sasa picha ya nani anaweza kusonga mbele hatua ya 16 bora inaanza kuonekana . . .

Kurasa 8 ya 221

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category