logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
ukraine
  • Na Asha Business
  • September 19, 2025

Ukraine yanyaka Wakenya wakipigana kwa niaba ya Urusi vitani

WANAJESHI wa Ukraine wanaendelea kuwazuilia zaidi ya Wakenya wanne ambao imebainika walinyakwa wakipigania jeshi la Urusi.Ukraine na Urusi z . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 19, 2025

Marekani yapiga kura ya turufu azimio la UNSC kutaka kusitishwa mara moja kwa mapigano Gaza

Marekani kwa mara nyingine tena imepinga azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa siku ya Alhamisi lililotaka kusitishwa mara moja na . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • September 19, 2025

Zaidi ya watu 30 wamefariki kwa Ebola nchini DRC

Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza siku ya Alhamisi kuwa wagonjwa 48 wa Ebola wamethibitishwa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • September 18, 2025

FAIDA YA KULA UTUMBO WA TAULO WA NG'0MBE

Faida ya kula utumbo wa taulo (ambao pia hujulikana kama utumbo mkubwa, au kwa Kiingereza tripe) ni nyingi kiafya, hasa pale unapopikwa vizu . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • September 18, 2025

Kikosi cha Simba Chatua Botswana kwa Mtanange wa CAFCL

Kikosi cha Mnyama wa Afrika Mashariki, Simba SC, kimewasili nchini Botswana kwaajili ya mchezo wa hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • September 18, 2025

Mahakama Kuu Afrika Kusini Yatupilia Mbali Rufaa ya Familia ya Edgar Lungu

Mahakama Kuu nchini Afrika Kusini ilitupilia mbali rufaa siku ya Jumanne iliyowasilishwa na familia ya aliyekuwa Rais wa Zambia, Edgar Lungu . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • September 18, 2025

Dkt. Samia" Uchaguzi si Vita, Ni Tendo la Demokrasia Tukapige kura, Turudi Nyumbani"

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewataka wananchi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 18, 2025

Baraza la usalama la UN kupiga kura kuidhinisha usitishwaji wa vita

Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa linatarajiwa kupiga kura kuidhinisha usitishwaji wa vita na kuruhusu misaada kuingia Gaza, licha ya ku . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • September 17, 2025

Wanasiasa wasipotoshe kura ya mapema Z’bar

TUME ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imepuliza kipenga cha kuanza kampeni za vyama vya siasa za takribani siku 40, zikihusisha ya vyama vya siasa . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • September 17, 2025

ACT-Wazalendo yapinga uamuzi wa INEC kumuondoa Mpina

CHAMA cha ACT-Wazalendo kimesema hakikubaliani na uamuzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kumuondoa mgombea wake wa urais, Luhaga Mp . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • September 17, 2025

Kigoma Bodaboda waonywa uhalifu

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2025, Ismail Alli Ussi amewataka maofisa usafirishaji wa pikipiki za abiria maarufu kama ‘bodabo . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • September 17, 2025

Zanzibar yazizima: Samia kunadi Ilani ya CCM leo

Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, leo kunadi sera na ilani katika viunga vya Unguja, visiwani Zanzibar, wanan . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • September 17, 2025

Wataalamu wa ugani nchini wametakiwa kufikisha elimu ya usimamizi wa misitu kwa wananchi

WATAALAMU wa ugani nchini wametakiwa kufikisha kwa wananchi elimu ya usimamizi wa misitu, ili suala la usimamizi endelevu wa misitu, kitalu . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • September 17, 2025

Kesi ya Lissu moto; Akataa kuendelea na shauri kisa wafuasi

KESI ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, imeendelea kuwa moto mahakamani, safari . . .

Jamii
  • Na Jembe Digital
  • September 17, 2025

Tambua tatizo la kukosa usingizi kunavyoathiri afya ya wakazi miji mikubwa

KATIKA miji mikuu inayozidi kukua kwa kasi kama Dar es Salaam, ndoto za mafanikio zinaambatana na hali halisi inayoleta madhara kimyakimya k . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • September 17, 2025

Wadau wataja mambo 20 kuimarisha demokrasia nchini Tanzania

WADAU wa demokrasia nchini, wamependekeza zaidi ya mambo 20 wanayoamini yakifanyiwa kazi yanaweza kuimarisha umoja na mshikamano nchini.Wada . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • September 17, 2025

Nchi zinazoendelea Afrika zapewa mbinu mpya kupambana na umaskini

Balozi wa China nchini Chen Mingjian amesema nchi zinazoendelea ikiwemo Tanzania zinaweza kuondokana na umaskini iwapo watu wake watakuwa na . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • September 17, 2025

Ziara ya Donald Trump Nchini Uingereza kupingwa na waandamanaji

Maelfu ya raia wa Uingereza wamejitokeza mitaani jijini London na miji mingine kupinga ziara ya Rais wa Marekani, Donald Trump, ambaye amewa . . .

mahusiano
  • Na Jembe Digital
  • September 17, 2025

Hizi hapa Faida, Hasara Za Wapendanao Kuambizana Ukweli!

UKIZUNGUMZA na wanaume wengi kwa sasa, watakuambia wanawake siyo wa kuwaeleza kila kitu katika uhalisia wake. Wanatakiwa kudanganywa ki . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • September 17, 2025

Ahukumiwa kwa kurejesha fedha alizowakwepa TRA

Mahakama ya Wilaya Mbeya imemuhukumu Mfanyabiashara Benedicto Abel Matandiko wa Jijini la Mbeya adhabu ya kutofanya Kosa lolote la Jinai nda . . .

Matukio
  • Na Jembe Digital
  • September 17, 2025

Askofu Mkuu Novatus Rugambwa afariki dunia

Aliyekuwa Balozi wa Baba Mtakatifu nchi mbalimbali duniani Mtanzania Askofu Mkuu Novatus Rugambwa amefariki dunia usiku wa Septemba 16 mwaka . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • September 17, 2025

Ushirikiano wa Tanzania na Japan wazidi kuimarika

Ushirikiano wa Tanzania na Japan umezidi kuimarika baada ya kuzinduliwa kwa Kamati ya Pamoja ambayo itasaidi katika Biashara ya Kabon hususa . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • September 17, 2025

Sekta binafsi kushirikishwa katika programu ya TFSRPP

Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo, Bw. Gerald Mweli amesema Serikali kupitia Wizara ya Kilimo inatambua na kuthamini mchango wa Sekta Binafsi kat . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • September 17, 2025

Wajiri watakiwa kutoa mafunzo kwa wafanyakazi

Serikali imetoa wito kwa waajiri nchini kuweka utaratibu wa kuwajengea uwezo watumishi kwa kuwapatia mafunzo yatakayowawezesha kuwa na uelew . . .

Teknolojia
  • Na Jembe Digital
  • September 17, 2025

Kutana na Maajabu ya Mchanga Unaooshwa Tanga

Sekta ya Madini nchini inaendelea kushuhudia mageuzi ya kuongeza thamani madini yakiwemo ya ujenzi kama mchanga na kufungua fursa nyingine m . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • September 17, 2025

Wapiga kura wanasubiri matokeo ya uchaguzi mkuu wa urais

Raia wa Malawi wanasubiri matekeo ya uchaguzi wa urais, baada ya kushiriki uchaguzi Jumanne kuwachagua viongozi wao.Mbali metekeo ya urais r . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • September 17, 2025

Mahakama yatoa hati ya kukamatwa kwa mwanajeshi wa Uingereza

Nchini Kenya, mahakama imetoa siku ya Jumanne kibali cha kukamatwa kwa mwanajeshi wa Uingereza. Mwanajeshi huyo anashukiwa kumuua Agnes Wanj . . .

Top Story
  • Na Baba Juti
  • September 16, 2025

CARDI B: "Wasanii Wa Kike Niliowasaidia Waliishia kunisaliti mpaka Kuchepuka Na Mwanaume Wangu"

Msanii wa Kike katika soko la Rap, Cardi B amefunguka kuwa wasanii wengi wa kike aliowasaidia walimgeuka, wakamsaliti mpaka kufikika hatua . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • September 16, 2025

GGML KUSHIRIKI MAONESHO YA TEKNOLOJIA YA MADINI IKIJIVUNIA MAFANIKIO YA MIAKA 25

Geita Gold Mining Limited (GGML), kampuni tanzu ya AngloGold Ashanti, imethibitisha kushiriki kikamilifu katika Maonesho ya 8 ya Teknolojia . . .

mahusiano
  • Na Jembe Digital
  • September 16, 2025

Tambua Madhara ya kuwa na mke muongeaji kupitilizaYapa Hapa

USHAWAHI kukutana na mwanamke anaongea sana? Yaani yeye ni bandika bandua. Likiisha hili anaingiza hili, anajua kila kitu. Ana ujasiri . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • September 16, 2025

WHO,watoa taarifa ongezeko la unene kupindukia kwa watoto na vijana

Kwa mujibu wa ripoti ya shirika la afya duniani WHO, kuna ongezeko kubwa la unene kupindukia miongoni mwa watoto wenye umri wa miaka 5 hadi . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • September 16, 2025

Wabunge Chad waongeza muda wa rais kukaa madarakani

Wabunge nchini Chad, jana Jumatatu wamepitisha marekebisho ya katiba yanayoongeza muda wa rais kukaa madarakani kutoka miaka 5 hadi 7 na kwa . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • September 16, 2025

Wahamiaji watano waliofukuzwa Marekani na kutumwa Ghana wachukuwa hatua za kisheria

Wakati Rais wa Ghana John Dramani Mahama akithibitisha kuwasili katika nchi yake wahamiaji 14 wa Afrika Magharibi waliofukuzwa kutoka Mareka . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • September 16, 2025

Uchaguzi Mkuu Malawi kufanyika leo

WANANCHI wa Malawi leo wanapiga kura kuchagua viongozi wa ngazi ya urais, ubunge na udiwani katika uchaguzi unaoelezwa kuwa na ushindani mka . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • September 16, 2025

Mgombea ubunge Jimbo la Simanjiro aahidi utatuaji uuzaji ardhi holela

 MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Simanjiro mkoani Arusha, James Ole Millya amesema endapo atachaguliwa kuwa mbunge wa jimbo hilo kipaum . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • September 16, 2025

ACT Wazalendo yaahidi kuunda serikali jumuishi Zanzibar

MGOMBEA urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman amesema wananchi wakimchagua ataunda serikali jumuishi . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • September 16, 2025

NBAA yatoa elimu changamoto hati chafu

 Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) imetoa elimu ya kitaalamu kuhusu changamoto ya hati chafu zinazojitokeza kwenye . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • September 16, 2025

Mwenge wapongeza falsafa ya Serikali kuleta mabadiliko ya kiuchumi

KIONGOZI wa Mbio za Mwenge wa Uhuru, Ismail Ussi amesema kuwa miradi mbalimbali inayotekelezwa na serikali imeleta mabadiliko ya kiuchumi na . . .

Matukio
  • Na Jembe Digital
  • September 16, 2025

RC Iringa aombwa kuingilia kati mgogoro wa mirathi

Sarah Agustino Ilomo, mmoja wa watoto wa aliyekuwa mfanyabiashara maarufu wa Iringa, marehemu Mzee Augustino Ilomo, amemuomba Mkuu wa Mkoa w . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • September 16, 2025

Wabunge waongeza muda wa rais kukaa madarakani

Wabunge nchini Chad, Jumatatu ya wiki hii walipitisha marekebisho ya katiba yanayoongeza muda wa rais kukaa madarakani kutoka miaka 5 hadi 7 . . .

Kurasa 23 ya 212

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category