logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • July 14, 2025

Mazungumzo ya amani yakwama mjini Doha, Qatar

Rais wa Marekani kwa mara nyingine anajifanya msuluhishi na mtetezi wa amani, huku mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja mjini Doha, Qatar, yaliyoanza Julai 6, yakionekana kukwama katika siku za hivi kar . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • July 14, 2025

Juba inajaribu kuimarisha tena uhusiano wake na Washington

Nchini Sudan Kusini nyaraka za siri zilizovuja kwenye mitandao ya kijamii zinaonesha kuwa, serikali jijini Juba imekuwa ikijaribu kuimarisha tena uhusiano wake na Marekani ambao umeendelea kuyumba kat . . .

Afrika Mashariki
  • Na Jembe Digital
  • July 14, 2025

Upinzani kushutumu ongezeko idadi ya wakimbizi na wanasiasa wanatoroka nchi

Upinzani wa kisiasa nchini DRC unapaza sauti yake. Katika taarifa ya pamoja,viongozi kadhaa na vyama vinavyopinga serikali vimeshutumu kile wanachokiita "sababu kuu" za mgogoro wa pande nyingi unaotik . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • July 14, 2025

Mwandani wa Gachagua kuhojiwa na DCI baada ya kudai serikali inaua Gen Z

MBUNGE wa Naivasha, Jayne Kihara, ameagizwa kufika mbele ya wapelelezi katika Makao Makuu ya Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI), Jumba la Mazingira, Barabara ya Kiambu, Nairobi, leo kuhusiana na madai . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • July 14, 2025

Sheria yasukwa kupandisha umri wa kunywa pombe hadi 21

KENYA inapanga kuongeza umri wa mtu kuruhusiwa kunywa pombe kutoka miaka 18 hadi 21 ili kudhibiti uraibu wa pombe hasa miongoni mwa vijana.Aidha serikali inapania kupiga marufuku uuzaji wa pombe mitan . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • July 14, 2025

Serikali kutoa bilioni 5.7 ujenzi wa shule za wasichana mkoani Mara

Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe. Rais Dkt Samia Suluhu Hassan imetoa kiasi cha shilingi Bilioni 5.7 kwa ajili ya ujenzi wa shule mbili mkoani Mara ambazo ni shule ya Sekondari ya Wasicha . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • July 14, 2025

Kesi ya wanachuo waliomjeruhi mwenzao kusikilizwa leo

Kesi ya kusababisha madhara mwilini inayowakabili wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Mary Matogolo (22) na wenzake wawili itatajwa leo Julai 14 mwaka huu katika Mahakama ya Hakimu Mkazi . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 13, 2025

Humphrey Polepole Ajiuzulu Ubalozi Ampongeza Rais Samia Kwa Fursa

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, amemuandikia barua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, akitangaza kujiuzulu rasmi nafasi yake ya uwa . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • July 11, 2025

ACT kutoridhishwa na uongozi wa Mbunge jimbo la Same Mashariki

Chama cha ACT Wazalendo kimeonesha kutoridhishwa na namna Mbunge wa Same Mashariki mkoani Kilimanjaro, Bi. Anne Kilango Malecela anavyolihudumia jimbo lake kikisema kuwa alitoa taarifa za uongo bungen . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • July 11, 2025

Idadi ya watoto wenye utapiamlo imeongezeka maradufu Darfur

Idadi ya watoto wanaokabiliwa na utapiamlo mkali katika jimbo linalokumbwa na vita la Darfur Kaskazini imeongezeka maradufu tangu mwaka jana, shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto (UNICEF) l . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 11, 2025

Muuguzi wa India asubiri kunyongwa Julai 16

Nimisha Priya alihukumiwa kifo kwa mauaji ya mwanamume mmoja ambaye alikuwa mshirika wake wa zamani wa kibiashara, Talal Abdo Mahdi – ambaye mwili wake uliokatwakatwa uligunduliwa kwenye tanki la ma . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 11, 2025

Iran yasitisha ushirikiano na mamlaka ya atomiki ikiendelea kukuza zana zake za nyuklia

IRAN jana ilisema kuwa haitashirikiana na Mamlaka ya Kimataifa ya Atomiki (IAEA) inapoendelea na kukuza nyuklia yake, ikisema asasi hiyo sasa inadhibitiwa na kutumiwa na Amerika kuikandamiza.Rais wa I . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • July 11, 2025

Ruto ateua Mwenyekiti mpya wa tume ya uchaguzi

Rais William Ruto ametangaza rasmi uteuzi wa Mwenyekiti na Makamishna wapya wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC).Hatua hiyo inafuatia uamuzi uliotolewa na majaji watatu uliotupilia mbali ombi la . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • July 11, 2025

Serikali Yatangaza Gharama mpya za Kupima DNA

Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali haina lengo la kupata faida kwa shughuli zake, bali inatoa huduma kwa wananchi kwa gharama nafuu, amesema Dkt. Fidelice Mafumiko, Mkemia Mkuu wa Serikali.Akizungumza . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • July 11, 2025

Mawaziri wa mambo ya kigeni wa Marekani na China wakutana

Waziri wa Mambo ya Kigeni wa Marekani Marco Rubio amehitimisha siku yake ya pili na ya mwisho kwenye mkutano wa usalama wa Jukwaa la Kikanda la Mataifa ya Kusini Mashariki mwa Asia, ASEAN nchini Malay . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • July 11, 2025

Mkataba wa kihistoria kati ya DRC na Rwanda mwisho miaka 30 ya Vita

 Rais wa Marekani Donald Trump amebainisha Julai 9 mwaka huu ili kutiwa saini kwa makubaliano ya amani kati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na Rwanda mwishoni mwa mwezi wa Julai. Kuling . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • July 11, 2025

Vita baridi ndani ya upinzani miongoni mwa vinara wake uchaguzi wa 2027 ukinukia

JAPO la muungano wa upinzani linaonekana kuwa na mshikamano, mvutano unatokota miongoni mwa vinara wake, hali inayoweza kuvuruga mpango wake wa kudhamini mgombea mmoja wa urais katika uchaguzi mkuu wa . . .

Teknolojia
  • Na Nattyebrandy
  • July 10, 2025

YAS ANZIA ULIPO :TUPOKIGWE AMBWENE KUTOKA MASTERS YA UTANGAZAJI HADI KUUZA MAKANDE POINT.

Katika dunia ya leo ambapo mafanikio hupimwa kwa vyeo, mshahara mkubwa na umaarufu, kuna hadithi chache sana zinazobeba uzito wa uhalisia kama ya Tupokigwe Hii ni hadithi  ya kuacha kazi ya . . .

Teknolojia
  • Na Nattyebrandy
  • July 10, 2025

ANZIA ULIPO: KUTOKA FREELANCER WA LAINI ZA YAS HADI KUMILIKI BIASHARA YA MAGARI

Watu wengi huota kuwa wafanyabiashara wakubwa, lakini si wote wanaochukua hatua za kweli za kuanza na kudumu. Hii ni hadithi ya kijana wa Kitanzania, anayejulikana kwa jina la Aisam Magari, ambaye ame . . .

Teknolojia
  • Na Nattyebrandy
  • July 10, 2025

JINSI NYANDA KABUNDI ALIVYOANZA SAFARI YA KITEKNOLOJIA KUTOKA KIJIJINI AKAANZIA ALIPO KAMA YAS

Kwenye familia ya Nyanda , maisha yalizunguka kwenye jambo moja kuu ufugaji na kilimo Hilo ndilo jambo lililopewa uzito kuliko chochote kingine. Biashara, teknolojia, au ndoto nyingine yoyote yalionek . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • July 10, 2025

Trump kutoza ushuru wa 50% wa bidhaa zinazotoka Brazil

Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza kutoza ushuru wa 50% kwa bidhaa zote zinazotoka Brazil, siku chache tu baada ya vita vya maneno hadharani na Rais wa Brazil Luiz Inacio Lula da Silva. Hat . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • July 10, 2025

Serikali yaendelea kuboresha mazingira rafiki kwa wafanya biashara

Serikali kupitia Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, imeendelea kuboresha mazingira ya biashara kwa kushirikiana kwa karibu na sekta binafsi ili kuhakikisha biashara zinafanyika kwa urahisi, ufanisi . . .

Afrika Mashariki
  • Na Jembe Digital
  • July 10, 2025

Mhamasishaji akamatwa kwa kuchochea vurugu Kenya

Mhamasishaji wa mtandao wa Tiktok nchini Kenya anayeshtumiwa kwa kuchochea vurugu dhidi ya maafisa wa polisi amekamatwa jijini Nairobi.Mtuhumiwa huyo aliyetambuliwa kama Godfrey Mwasiaga Kakan Maiyo a . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • July 10, 2025

Vijana kupatiwa mafunzo ya Ujasiriamali na ajira

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda amezindua rasmi Programu ya Mafunzo ya Ujasiriamali na Ajira, inayolenga kuwasaidia vijana kutoka vyuo viwili vya VETA na chuo kimoja cha Ma . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • July 10, 2025

Kesi ya mgawanyo wa mali za Chadema kusikilizwa leo

Kesi ya mgawanyo wa rasilimali za Chama cha Demokrasia na Maendeleo inatarajiwa kuendelea leo Julai 10, 2025 katika Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar Es Salaam ambapo leo itasikilkzwa kesi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 9, 2025

Trump Apendekezwa Kwa Tuzo ya Nobel na Netanyahu

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amemkabidhi Rais wa Marekani Donald Trump barua rasmi ya pendekezo lake la uteuzi kwa Tuzo ya Amani ya Nobel, akimsifu kwa juhudi zake katika kutafuta suluhu z . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 9, 2025

Prof.Kabudi "Kuna mambo yanaonekana ya kipuuzi ila kwa nchi yetu ni muhimu"

Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Palamagamba Kabudi amesema Tanzania ndio nchi pekee ni Taifa, na kwamba nchi nyingine za Afrika ni mkusanyiko wa makabila.Akiwasilisha mada ya uzale . . .

Kilimo
  • Na Asha Business
  • July 9, 2025

Anavyogeuza taka kuwa mboleahai

IKIWA kuna msemo unaomfafanua vyema Richard Mwangi, basi ni huu: “Nipe tatizo, nitaligeuza kuwa fursa yenye thamani.”Mwangi ndiye mwanzilishi na Afisa Mkuu Mtendaji wa Organic Fields Ltd, kampuni . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • July 9, 2025

Bei ya petroli imepanda kwa Sh29 huku dizeli imeshuka Zanzibar

Wakati bei ya mafuta ya petroli ikipanda kwa Sh29 mafuta ya dizeli imeshuka kwa Sh255 ikilinganishwa na mwezi uliopita.Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar (Zura), imetangaza bei . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • July 9, 2025

Vyombo vya habari mbioni kupata ruzuku

SERIKALI imesema inatafakati kuona namna ya kufadhili vyombo vya habari kwa kuvipa ruzuku.Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo amesema vyombo vya habari ni sehemu . . .

Kurasa 22 ya 129

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Mbunge wa Ilemela agawa pikipiki kwa vijana

    • 8 masaa yaliopita
  • Ajiua kwa kujinyonga kwenye banda la mbuzi Manyara

    • 11 masaa yaliopita
  • Familia za waathiriwa wa maandamano kuandamana hadi ikulu ya rais kudai haki

    • 11 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode