logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
matukio
  • Na Jembe Digital
  • December 1, 2025

Wanajeshi 40 wauawa kwenye mahandaki Gaza

Jeshi la Israel limetoa taarifa kuwa Jumapili  ya Novemba 30 mwaka huu  limewaua zaidi ya wapiganaji 40 wa Kipalestina katika operesheni dhidi ya mitandao ya mahandaki karibu na Rafah Ukanda . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 1, 2025

Marekani yawasitisha wahamiaji kutoka nchi masikini

Rais wa Marekani Donald Trump amesema atasitisha kwa muda uhamiaji kutoka nchi alizozitaja kama “masikini,” ikiwa ni siku moja baada ya raia wa Afghanistan kudaiwa kuwapiga risasi na kuwaua wanaje . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • December 1, 2025

Uamuzi mdogo kesi ya ghorofa la Kariakoo kutolewa leo

Uamuzi mdogo wa kesi ya kuporomoka kwa ghorofa la Kariakoo, iliyosababisha vifo na madhara makubwa kwa wananchi, unatarajiwa kutolewa leo katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Divisheni ya Ardhi jijini Dar . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • December 1, 2025

Afrika yasukuma kutambuliwa kwa uhalifu wa enzi za ukoloni

Viongozi wa Afrika walisisitiza Jumapili kutaka uhalifu wa enzi za ukoloni utambulike, uhalalishwe kama makosa ya jinai na kushughulikiwa kupitia fidia.Katika mkutano uliofanyika Algiers, wanadiplomas . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • December 1, 2025

Polisi wa Ujerumani walalamikiwa kutumia nguvu kupita kiasi

Polisi nchini Ujerumani wameshutumiwa kutumia nguvu kupita kiasi na waandamanaji baada ya kushambulia na kutumia virungu dhidi ya kundi la waandamanaji waliokuwa wakipinga ufashisti mwishoni mwa wiki. . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • December 1, 2025

Rais Yoweri Museveni akosa kuhudhuria mdahalo wa Urais

Nchini Uganda, usiku wa Jumapili ya wiki iliopita kulifanyika mdahalo wa kwanza wa televisheni kwa nafasi ya Urais, mdahalo ambao kwa mara ya kwanza mgombea wa chama tawala NRM, Yoweri Museveni hakuhu . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • December 1, 2025

Kigali na Kinshasa zaendelea kutuhumiana kuhusu mzozo wa DRC

Wakati nchi za Rwanda na DR Congo zikitarajiwa kutia saini wiki hii makubaliano ya amani jijini Washington Marekani, Kigali na Kinshasa zimeendelea kutuhumiana kuhusu mzozo wa mashariki ya Kongo.Wazir . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 30, 2025

Kigamboni yahakikishiwa umeme wa uhakika

Waziri wa Nishati Mhe. Deogratius Ndejembi amefanya ziara ya kikazi ndani ya Mkoa wa kitanesco wa Kigamboni na kuagiza kuchukuliwa hatua za haraka za kuhakikisha hali ya umeme katika Mkoa wa Kigamboni . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 30, 2025

Afrika Kusini Yalaani Hatua ya Trump Kutaka Kuiweka Kando Kutoka G20 2026

Afrika Kusini imelaani nia ya rais wa Marekani Donald Trump ya kuizuia nchi hiyo kuhudhuria Mkutano wa Kundi la 20 (G20) huko Miami, Florida, mwaka ujao.Trump amesema kwamba hataialika Afrika Kusini k . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 28, 2025

Jeshi la Israeli lawauwa watu 10 kusini mwa Syria

WATU 10 wameuawa Novemba 28, 2025 kwenye operesheni ya wanajeshi wa Israeli iliyofanyika kusini mwa Syria.Hili likiwa shambulio baya zaidi tangu kuondolewa mamlakani kwa Bashar al-Assad takriban mwaka . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • November 28, 2025

Rwanda yaishtumu Kongo kwa kuchelewesha mkataba wa amani

Rais wa Rwanda Paul Kagame, ameilaumu serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa kuchelewesha kutiwa saini makubaliano ya amani yenye lengo la kumaliza mzozo katika eneo la mashariki lenye utaji . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 28, 2025

Rais wa Guinea Bissau akimbilia Senegal

Rais wa Guinea-Bissau aliyepinduliwa madarakani Umaro Sissoco Embalo amekimbilia katika nchi jirani ya Senegal baada ya kuzuiliwa wakati wa mapinduzi ya kijeshi huku mpinzani wake mkuu akimshutumu kwa . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • November 27, 2025

Guinea Bissau" Jeshi lachukua udhibiti wa nchi, Rais ondolewa madarakani"

Nchini Guinea-Bissau jeshi limechukua udhibiti wa nchi hiyo ambayo imekuwa ikikabiliwa na mvutano wa kisiasa baada ya rais na mpinzani wake kwenye uchaguzi wa Jumapili kujitangaza washindi katika ucha . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • November 27, 2025

Waziri Ulega atoa maelekezo vijana wasifukuzwe kazi hovyo

Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ametoa maelekezo kwa Mameneja na wasimamizi wa miradi ya ujenzi wa miundombinu nchini kuhakikisha wanalinda na kusimamia maslahi ya watanzania waliopata fursa ya kuaji . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • November 27, 2025

Wanunuzi wa madini wajipanga kwa mnada mkubwa leo

Wanunuzi wa madini kutoka maeneo mbalimbali nchini wameendelea kujitokeza katika Kituo cha Jemolojia Tanzania (TGC) jijini Arusha, wakikagua na kuhakiki ubora wa madini yatakayouzwa katika Mnada wa Ta . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • November 27, 2025

Wanne wakamatwa na nyara za serikali Kagera

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kagera linawashikilia Watuhumiwa wanne (04) kwa tuhuma za kupatikana na meno ya tembo.Mnamo novemba 26 mwaka huu katika kizuizi cha Polisi kilichopo kitongoji cha Kyamnyorwa Ka . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • November 27, 2025

Shambulio la aibu lampeleka jera Rashid Ruambo miaka 20

Mahakama ya Wilaya Temeke Jijini Dar es Salaam  imemukumu kutumikia kifungo cha miaka 20 jela Rashidi  Ruambo mwenye umri wa miaka 56  fundi ushonaji mkazi wa Yombo Makangarawe kwa kupa . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • November 27, 2025

Serikali yazindua ugawaji wa vifaa vya kisasa kwa Vyuo vya VETA

Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kupitia Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imezindua ugawaji wa vifaa vya mafunzo ya ubunifu, ushonaji, teknolojia ya nguo na umeme kwa Vyuo vya . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • November 27, 2025

Maswali 7 magumu kwa Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba kutoka kwa wahariri wa vyombo vya habari kuhusu vurugu za Oktoba 29 Tanzania

Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba Novemba 25 mwaka huu alikutana na wahariri wa vyombo vya habari jijini Dar es Salaam, na maswali mazito yakielekezwa moja kwa moja kwake kuhusu kile kilichotokea Oktoba 29, . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • November 27, 2025

Polisi waanza Uchunguzi Dhidi ya Kauli ya OCD Chunya

Jeshi la Polisi Tanzania limesema linafanya uchunguzi kuhusu taarifa inayoenea kwenye mitandao ya kijamii ikidaiwa kutolewa na Mkuu wa Polisi Wilaya (OCD) wa Chunya mkoani Mbeya, inayomwonesha akitoa . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • November 27, 2025

MWAUWASA yawahakikishia wakazi wa Mkolani na Nyegezi maji ya uhakika

Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Mwanza (MWAUWASA) imewahakikishia wakazi wa Mkolani, Nyegezi na maeneo ya jirani kuwa upatikanaji wa maji safi na salama utaboreshwa na kuwa wa uhakik . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • November 27, 2025

Rais wa Guinea-Bissau akamatwa na wanajeshi baada ya uchaguzi wenye utata

Rais wa Guinea-Bissau, Umaro Sissoco Embaló, amekamatwa na wanajeshi wenye silaha leo Jumatano zikiwa zimepita siku tatu baada ya uchaguzi wa Rais ulioandaliwa kwa hali iliyojaa utata na migogoro ya . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 26, 2025

ripoti "Sita kati ya watoto 10 duniani hawawezi kusoma licha ya kuwa shuleni,"

WATOTO sita miongoni mwa 10 duniani kote hawajui kusoma sentensi rahisi wala kusuluhisha maswali ya kimsingi ya hesabu licha ya thuluthi yao kuwa shuleni kwa sasa.Haya ni kwa mujibu wa ripoti mpya ili . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • November 26, 2025

Mkutano mkuu wa 7 wa nchi na Serikali wa umoja wa Afrika na umoja wa Ulaya wahitimishwa jijini Luanda

Mkutano wa 7 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika (AU) na Umoja wa Ulaya (EU) umekamilika jijini Luanda, Angola, baada ya siku mbili za majadiliano ya kina kuhusu mustakabali wa ushirikiano . . .

Kilimo
  • Na Jembe Digital
  • November 26, 2025

Mtwara Kliniki ya ardhi yatoa hamasa kwa wananchi kumiliki ardhi

Kliniki ya Ardhi inayoendelea mitaa ya Mbae Mashariki na Likombe katika manispaa ya Mtwara- Mikindani mkoani Mtwara imetoa muitikio kwa wananchi wa mtaa mitaa hiyo  kufuatilia masula ya ardhi iki . . .

Teknolojia
  • Na Jembe Digital
  • November 26, 2025

ICoT kuboresha mitaala kukabiliana na mabadiliko ya teknolojia

Taasisi ya Teknolojia ya Ujenzi (ICoT) imetangaza mpango wa kuboresha mitaala yake ili iendane na mabadiliko ya kasi ya sayansi na teknolojia, hatua inayolenga kuongeza ushindani wa wahitimu katika so . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • November 26, 2025

Ulega aruhusu magari kutumia barabara ya mwendokasi ya Gongo la Mboto

Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ametoa ruhusa kwa magari ya abiria kuanza kutumia barabara ya Mabasi Yaendayo Haraka Awamu ya tatu inayoanzia katikati ya jiji la Dar es Salaam kupitia Uwanja wa Ndege . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 26, 2025

Waziri Simbachawene Atembelea Vituo Vya Polisi Vilivyochomwa Moto Oktoba 29 Dar

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. George Simbachawene, amewasihi wananchi kudumisha amani na kushirikiana na Jeshi la Polisi ili kuhakikisha usalama wa Taifa unaendelea kuimarika.Mhe. Simbachawen . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • November 26, 2025

Dodoma Leseni za madini 73 ambazo hazijaendelezwa zafutwa

WAZIRI wa Madini Mhe. Anthony Mavunde ameilekeza Tume ya Madini kufuta leseni 73 za uchimbaji wa kati na utafiti wa madini ambazo hazijaendelezwa.Mhe. Mavunde ametoa maelekezo hayo leo Novemba 25 mwak . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • November 26, 2025

Serikali kuimarisha mafunzo ya Waandishi wa Habari kupitia Bodi ya Ithibati

Serikali imesema tukio la Oktoba 29 limeonesha wazi kuwa hakuna idadi ya kutosha ya waandishi wa habari waliobobea katika uandishi wa masuala ya migogoro, vurugu na machafuko, hali ambayo pia iliweka . . .

Kurasa 5 ya 129

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Mbappé Avunja Ukimya wa Miaka 12 Real Madrid, Aifikia Rekodi ya Ronaldo

    • 6 masaa yaliopita
  • SIMBACHAWENE AVIOMBA VYOMBO VYA HABARI KUFANYA UTAFITI JUU YA RUSHWA

    • 24 masaa yaliopita
  • UN yaomba ufadhili wa dharura kuhudumia wakimbizi Burundi

    • jana

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode