logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 16, 2026

Rais wa Zamani wa Korea Kusini Yoon Suk Yeol Apatikana na Hatia

Rais wa zamani wa Korea Kusini, Yoon Suk Yeol, ambaye aliondolewa madarakani, ametiwa hatiani kwa matumizi mabaya ya madaraka na kughushi nyaraka, kuhusiana na jaribio lake lililoshindikana la kutanga . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • January 16, 2026

Marekani yatishia kuchukua hatua za kijeshi dhidi ya Iran

Marekani kwa mara nyingine imeitishia serikali ya Iran juu ya uwezekano wa kuchukua hatua za kijeshi kutokana na ukandamizaji wakati wa maandamano makubwa ya kitaifa.Balozi wa Marekani katika Umoja wa . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 16, 2026

Bobi Wine Awekewa Kizuizi Nyumbani Wakati Kura Zikihesabiwa

Kiongozi wa upinzani nchini Uganda Bobi Wine anaripotiwa kuwekwa katika kizuizi cha nyumbani huku mchakato wa kuhesabu kura za uchaguzi mkuu ukiendelea nchini humo.Hatua hiyo inakuja wakati matokeo ya . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • January 16, 2026

Spika Zungu Akutana na Spika wa India New Delhi

Spika wa Bunge la India Mheshimiwa Shri Om Birla amekutana na kufanya mazungumzo na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Mussa Azzan Zungu katika ofisi za Bunge la India jijini . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • January 16, 2026

Mkuu wa Mipango Mbogwe Afikishwa Baraza la Maadili

Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma imemfikisha mbele ya Baraza la Maadili Mkuu wa Idara ya Mipango wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe mkoani Geita Alex Manyama kwa tuhuma za matumizi mabaya y . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 16, 2026

Ulaya Yatuma Vikosi Greenland Kusaidia Denmark

Vikosi vya kijeshi kutoka mataifa kadhaa ya Ulaya ikiwemo Ujerumani na Ufaransa vinaendelea kuwasili katika kisiwa kinachojitawala cha Greenland kwa lengo la kuonyesha mshikamano na Denmark kuhusu usa . . .

Afrika Mashariki
  • Na Jembe Digital
  • January 15, 2026

Angola yajadili suala la usalama na viongozi wa kidini nchini DRC

Rais wa Angola Joao Lourenco ambaye pia ni mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU) alikutana na viongozi wa kidini kutoka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo mjini Luanda siku ya Jumatano kujadili hali . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • January 15, 2026

Upigaji Kura Uganda Wachelewa Kuanza, Mashine za Uthibitishaji Zatajwa Kuwa Kikwazo

Shughuli ya upigaji kura nchini Uganda imechelewa kuanza katika maeneo mengi ya nchi hali iliyozua wasiwasi miongoni mwa wapiga kura waliowasili mapema vituoni. Awali vituo vya kupiga kura vilitaraji . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 15, 2026

Denmark yashindwa kuafikiana na Marekani kuhusu Greenland

Maafisa wa Denmark na Greeland wamesema wameshindwa kuafikiana na kubadili mawazo ya utawala wa Rais Donald Trump kuhusu azma ya Marekani kukinyakua kisiwa kinachojitawala cha Greenland.Waziri wa Mamb . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 15, 2026

Trump: Mipango ya waandamanaji kunyongwa Iran imesitishwa

Idadi ya vifo kufuatia maandamano yanayoendelea kuitikisa Iran imeongezeka na kufikia watu 3,428 hayo ikiwa ni kulingana na shirika la haki za binadamu la Iran.Maandamano hayo yamezusha pia hali ya wa . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • January 15, 2026

Raia wa Uganda wanapiga kura leo kumchagua Rais

Raia zaidi ya milioni 21 wa Uganda wanapiga kura Alhamisi  ya leo katika uchaguzi wa rais unaotarajiwa kuendeleza utawala wa muda mrefu wa Rais Yoweri Museveni.Ikiwa Museveni mwenye umri wa miaka . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 15, 2026

Raia wa Kenya Akamatwa Arusha kwa Wizi wa Tsh Milioni 91 Ndani ya Benki

Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limefanikiwa kumkamata mtu mmoja aitwaye Denis Ogesa (28) mkazi wa Nairobi nchini Kenya, kwa tuhuma za kuvunja na kuingia katika tawi la benki ya Azania iliyopo katika m . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • January 14, 2026

Maafa ya maandamano yakiongezeka Iran

MBUNGE wa Iran ameonya kuwa serikali itakabiliwa na maandamano makubwa zaidi iwapo haitashughulikia malalamishi ya wananchi huku maandamano ya kitaifa ya kupinga uhalali wa viongozi wa kidini nchini h . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • January 14, 2026

Uchunguzi waonyesha aliyefariki akikwea Mlima Kenya alikosa hewa

UCHUNGUZI wa maiti umebaini kuwa mwanamume aliyefariki akikwema Mlima Kenya, alifariki kutokana na kukosa hewa ya oksijeni, hatua iliyosaidia kuleta afueni kwa familia yake baada ya wiki kadhaa za sin . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • January 14, 2026

Mtuhumiwa adaiwa kujinyonga akiwa mahabusu, Polisi kufanya uchunguzi

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linafanya uchunguzi wa tukio la kujinyonga kwa mtuhumiwa aitwaye Michael Lambau (18), mkazi wa mtaa wa Karikacha, Kata ya Rau Manispaa ya Moshi akiwa mahabusu katik . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 14, 2026

Waziri wa zamani wa Burkina Faso auawa

Mamlaka za mahakama zimefungua uchunguzi na kutoa wito kwa mashahidi wowote kujitokeza kutoa taarifa kuhusu waziri wa zamani wa Burkina Faso, Yolande Viviane Compaoré aliyeuawa katika makazi yake mji . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 14, 2026

Marekani kufuta ulinzi wa kufukuzwa kwa wahamiaji Wasomali

Mareani imesema itafuta hadhi ya ulinzi wa muda kwa baadhi ya wahamiaji kutoka Somalia ambapo hatua hii ni katika kuendeleza juhudi za rais Donald Trump kuwafukuza watu wengi kutoka nchini Marekani.Ut . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 14, 2026

EU yajiandaa kuweka vikwazo vipya dhidi ya Iran

Rais wa Halmashauri Kuu ya Umoja wa Ulaya, Ursula von der Leyen, amesema Umoja huo unajiandaa kuweka vikwazo vipya dhidi ya Iran.Rais wa Halmashauri Kuu ya Umoja wa Ulaya Ursula von der Leyen amesema . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 14, 2026

Iran: Marekani yatafuta 'kisingizio cha kuingilia kijeshi'

Iran imedai Marekani inatafuta sababu ya kuingilia kati kijeshi kwa kutumia maandamano ya machafuko ya Wairan wanaopinga hali ngumu ya maisha.Ambapo serikali ya Iran imeishutumu Marekani kuwa kutafuta . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 14, 2026

Zelensky akiri hali ni ngumu nchini Ukraine

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema baada ya karibu miaka minne ya vita, hali ya ugumu wa maisha  nchini mwake inaendelea kuwa mbaya zaidi katika eneo la vita na kwa watu kote katika nchi . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • January 13, 2026

Marufuku kwa kaunti na mashirika ya umma kuajiri mawakili wa kibinafsi

MAHAKAMA Kuu imepiga marufuku kwa muda mashirika ya umma na serikali za kaunti kuajiri mawakili binafsi pale ambapo kuna mawakili wa serikali au mawakili wa kaunti wanaoweza kushughulikia kazi husika. . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • January 13, 2026

Watoto 2 wanusurika kifo ajali ya moto Mtwara

Tukio hilo limetokea January 12, 2026 katika mtaa wa Ligula "A" kata ya Chuno halmashauri ya Manispaa ya Mtwara Mikindani mkoani Mtwara.Baadhi ya mashuhuda wa tukio hilo wameeleza kuwa chanzo cha moto . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • January 13, 2026

Maambukizi ya Damu ya Vimelea Vingi Yatia Wasiwasi Hospitali za Rufani

Maambukizi ya damu yanayosababishwa na vimelea zaidi ya mmoja yanaendelea kuwa changamoto kubwa katika hospitali za rufani nchini Tanzania, huku yakiongeza hatari ya vifo, hususan kwa watoto wachanga. . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • January 13, 2026

EC Uganda Yapiga Marufuku Bendera ya Taifa Katika Vituo vya Kupiga Kura

Tume Huru ya Uchaguzi ya Uganda (EC) imepiga marufuku wapigakura kubeba au kupeperusha Bendera ya Taifa katika vituo vya kupiga kura, ikionya dhidi ya matumizi ya nembo za taifa kwa malengo ya kisiasa . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 13, 2026

Jamhuri Kuanza Kutoa Ushahidi Kesi ya Uhujumu Uchumi ya Sh10 Bilioni

Wafanyabiashara sita wanaokabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi inayohusisha kuwasilisha nyaraka za uongo katika Bandari ya Dar es Salaam na kujipatia zaidi ya Sh10 bilioni kutokana na shehena ya mafuta . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 13, 2026

Trump kukutana na kiongozi wa upinzani wa Venezuela Machado

Kiongozi wa upinzani wa Venezuela Maria Corina Machado atakutana na rais wa Marekani Donald Trump wiki hii. Mkutano huo utafanyika wakati Venezuela ikikabiliwa na shinikizo kuhusu kuwaachia huru wafun . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 13, 2026

Gambia yadai Myanmar ililenga kuangamiza jamii ya Warohingya

Myanmar ilifanya mashambulizi ya kikatili dhidi ya jamii ya wachache wa Rohingya kwa lengo la kuiangamiza jamii hiyo Gambia iliripoti taarifa hiyo .Waziri wa Sheria wa Gambia Dawda Jallow ameiambia ma . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 13, 2026

Díaz-Canel: Hakuna mazungumzo kati ya Cuba na Marekani

Rais wa Cuba Miguel Díaz-Canel amesema mpaka sasa hakuna mazungumzo yoyote ya kutafuta makubaliano na Marekani yanayoendelea kufuatia vitisho vilivyotolewa na rais Donald Trump. Miguel Díaz-Can . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 13, 2026

Trump atangaza ushuru kwa washirika wa kibiashara wa Iran

Rais Donald Trump amesema kuwa nchi yoyote itakayofanya biashara na Iran itatozwa ushuru wa asilimia 25 kufuatia hatua ya Iran kuyakandamiza kwa nguvu kubwa maandamano ya kupinga ugumu wa maisha.Trump . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 13, 2026

Somalia yafuta makubaliano na Umoja wa Falme za Kiarabu

Serikali ya Somalia imefuta makubaliano yote iliyotia saini na Umoja wa Falme za Kiarabu kuhusiana na mvutano juu ya hatua ya Israel kuitambua Somaliland kama nchi huru.Somalia imefuta makubaliano yot . . .

Kurasa 5 ya 138

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Nchemba Awaagiza Viongozi Kutatua Kero za Wananchi

    • 2 siku zilizopita
  • Spika Zungu: Hakuna Udini Kwenye Miradi ya Utalii

    • 2 siku zilizopita
  • Ukraine na Urusi zimefanya ubadilishanaji wa wafungwa

    • 2 siku zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode