logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 28, 2022

Milioni 470 zapotea

Waziri wa TAMISEMI, Angellah Kairuki, ameagiza TAKUKURU kuchunguza matumizi ya shilingi milioni 470, zilizotolewa na serikali kujenga shule mpya ya Sekondari Mwanduitinje, iliyopo jimbo la kisesa wila . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 26, 2022

TANZANIA YANG’ARA MKUTANO WA CITES NCHINI PANAMA

Tanzania imechaguliwa kuwa Mjumbe wa Akiba wa Kamati Kuu upande wa Kamati ya Wanyamapori na mjumbe wa Kamati ya Mimea kwa kipindi cha miaka mitatu (3) kwa nchi Wanachama wa Mkataba wa Kimataifa wa Bia . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 25, 2022

Poland yaitaka Ujerumani kupeleka makombora ya Patrot Ukraine

Waziri wa ulinzi wa Poland, Mariusz Blaszczak ameiomba Ujerumani kuusafirisha kwenda Ukraine, mfumo wa ulinzi wa makombora aina ya Patriot uliokusudiwa kwenda Poland, ili kusaidia ulinzi dhidi ya . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 24, 2022

Uchafuzi wa mazingira unasababisha vifo 238,000 katika Umoja Ulaya

Shirika la Mazingira la Umoja wa Ulaya (EEA) limesema Takriban watu 238,000 katika Umoja wa Ulaya walikufa mapema katika mwaka 2020 kutokana na athari ya uchafuzi wa hewa licha ya uboreshaji wa he . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • November 24, 2022

Jeshi la magereza lapinga Jacob Zuma kurudishwa jela

eshi la magereza nchini Afrika Kusini limesema litapinga uamuzi wa mahakama uliomrudisha rais wa zamani Jacob Zuma jela. “Baada ya kuchunguza hukumu hiyo kwa makini, Huduma za Marekebisho ina uha . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 23, 2022

Papa Francis Afuta Uongozi wa Shirika la Misaada ya Kikatoliki Duniani

Papa Francis  alifuta uongozi mzima wa shirika la Misaada la Kanisa Katoliki kote duniani kufuatia tuhuma za unyanyasaji na udhalilishaji wa wafanyakazi.Katika uamuzi wake, kiongozi huyo wa Kanis . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 23, 2022

Marais wa kikanda kukutana Angola kusaka amani ya mashariki mwa DRC

Mkutano wa marais wa nchi za kikanda unafanyika leo katika mji mkuu wa Angola, Luanda katika juhudi za kutafuta ufumbuzi wa ghasia za umwagaji damu mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 23, 2022

Mahakama ya Juu Marekani yaidhinisha kutolewa kwa hati za kodi za Trump

Mahakama ya Juu ya Marekani  Jumanne iliidhinisha kutolewa kwa nyaraka za kodi za rais wa zamani Donald Trump, kwa kamati ya Baraza la Wawakilishi, hatua ambayo inaashiria kushindwa kwa mwa . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • November 23, 2022

Mwanamume Mwenye Wake 12 na Watoto 102 Ashindwa Kuhudumia Familia

Mwanaume mmoja kutoka nchini Uganda ambaye ana wake 12 na watoto 102 anaomba msaada wa kukimu familia yake akitaja hali ngumu ya maisha kutoka na uchumi. Read more: https://kiswahili.tuko.co.ke/fa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 23, 2022

MANISPAA IRINGA YASHIKA NAFASI YA PILI USAFI WA MAZINGIRA KITAIFA

Halmashauri  ya Manispaa ya Iringa imeendelea kuboresha majinjio ya kisasa pamoja na kuhakikisha ‘madampo’  makuu yanakuwa masafi lengo likiwa ni kuendelea kushika nafasi ya juu au ya kw . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 23, 2022

Mfalme Charles III ampokea rais wa Afrika Kusini anayeizuru Uingereza

Mfalme Charles wa III amemkaribisha kwenye kasri ya Buckingham rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa anayefanya ziara rasmi ya siku mbili nchini Uingereza. Lengo la ziara hiyo ni kuimarisha biasha . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • November 22, 2022

Uzalishaji mbegu kiume wazidi kupungua

Idadi ya mbegu za kiume duniani kote inapungua kwa kasi ya kiwango cha asilimia 50 katika kipindi cha miaka 40 iliyopita, utafiti mpya umebaini. Utafiti huo umeonyesha kwa mwaka 2018 mwana . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • November 22, 2022

RUTO AWAAHIDI WA CONGO AMANI

Rais wa Kenya William Ruto amesema leo kuwa wanajeshi wa jumuiya ya Afrika Mashariki “watahakikisha uwepo wa amani” mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ambayo inakabiliwa na masham . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • November 22, 2022

Canada kuleta wahamiaji milioni 1.5 ifikapo 2025

Canada inaweka dau kubwa juu ya uhamiaji ili kujaza pengo katika uchumi wake lililoachwa na watu wanaozeeka wanaoacha kazi - lakini sio kila mtu yuko tayari kuleta watu wengi kutoka ng'ambo.Mape . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • November 22, 2022

Mahakama ya rufaa Afrika Kusini yaamua Zuma arejeshwe jela

Mahakama ya rufaa nchini Afrika Kusini imesema msamaha uliotolewa kwa rais wa zamani Jacob Zuma, wa kuachiwa kwa ajili ya matibabu ulikuwa kinyume cha sheria, na kwamba Zuma anatakiwa kurudishwa j . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • November 21, 2022

Vijana 200 wapewa mafunzo ya mazingira Mwanza

Vijana zaidi ya mia mbili jijini Mwanza wamepewa mafunzo ya kuhamasisha jamii kupanda na kutunza miti ikiwa ni lengo kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi na kutunza mazingira.  . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • November 21, 2022

Uhuru na Kagame watoa rai kwa M23

Rais mtaafu wa Kenya Uhuru Kenyatta na Rais wa Rwanda Paul Kagame wamekubaliana kuhusu haja waasi wa M23 kukomesha vita na kuondoka maeneo walioteka mashariki wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • November 21, 2022

Mwanafunzi mkongwe zaidi duniani afariki

Mwanafunzi mkongwe zaidi duniani wa shule ya msingi, Priscilla Sitieni, ambaye hamu yake ya kupata elimu akiwa katika umri wa zaidi ya miaka 90 iliwavutia watengeneza filamu wa Kifaransa na kupa . . .

UTALII
  • Na Asha Business
  • November 21, 2022

LESENI YA UMILIKI WA SILAHA ZITATOLEWA KWA RAIA WALIOPATA MAFUNZO

CHAMA cha Uhifadhi na Uwindaji Tanzania (CHATA,) kimeiomba Serikali kutoa leseni za umiliki wa silaha kwa wanaopata mafunzo na kutunukiwa vyeti ili waweze kutumia silaha hizo kwa umahiri zaidi bila ku . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 21, 2022

Francis Atwoli Achaguliwa Naibu Rais wa ITUC kwa Mara ya Nne

Katibu Mkuu wa Muungano wa Vyama vya Wafanyakazi (COTU) Francis Atwoli amechaguliwa tena kwa mara ya nne nne kuwa Naibu wa Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Duniani (ITUC). Atwoli alichaguli . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • November 18, 2022

Twitter yawafungia wafanyakazi nje kwa muda wa wiki moja

Twitter imewaambia wafanyakazi wake kwamba majengo ya ofisi ya kampuni hiyo yatafungwa kwa muda, na zoezi hilo kuanza mara moja.Katika ujumbe ulioonekana na wafanyakazi waliambiwa kuwa ofisi hizo zita . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 18, 2022

Wahukumiwa maisha kwa kuitungua ndege ya Malaysia-MH17 18

Mahakama nchini Uholanzi, Alhamisi, iliwatia hatiani wanaume watatu bila kuwepo mahakamani kwa mauaji ya halaiki kwa jukumu lao katika kuangusha ndege ya shirika la ndege la Malaysia MH17.Ndege hiyo i . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 18, 2022

Sheria za Tanzania ziwalinde wafanyabiashara.

Serikali imetakiwa sasa kuzitazama upya na kuzifanyia maboresho sheria za biashara na uwekezaji kufuatia sasa kufurika kwa wawekezaji wengi kwenye sekta mbalimbali ambapo wengine wanakwama kufanya uwe . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • November 18, 2022

KENYE YAKUBWA NA UKAME

Mamlaka ya Kudhibiti Ukame ya Kitaifa ya Kenya (NDMA) imesema katika chapisho lake jipya lkwamba idadi ya Wakenya wanaokabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula imefikia milioni 4.35, na msimu mfupi wa mvua . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 17, 2022

Kiongozi wa kidini Uturuki ahukumiwa miaka 8,658 jela .

Adnan Oktar, aliongoza vipindi vya televisheni akionekana kuzungukwa na wanawake waliojipodoa sana na wakiwa wamevaa nguo ambazo hazikuwa zikiwastiri vyema, huku akionekana kuhubiri kuhusu maadili ya . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 16, 2022

Rais Mwinyi afya uteuzi leo

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Ali Mwinyi amemteua Dk Sharifa Omar Salim kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Ununuzi na Uondoshaji wa Mali za Umma.Taarifa iliyotol . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 16, 2022

Ivory Coast kujiondoa kulinda amani Mali

Ivory Coast itaondoa taratibu vikosi vyake na polisi kutoka tume ya Umoja wa Mataifa inayolinda Amani katika taifa jirani la Mali.Kwa mujibu wa barua ambayo imeonwa na shirika la habari la Reuters, un . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 16, 2022

Madereva walevi wafungiwa leseni Arusha

Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha, katika kuhakikisha linakomesha matukio ya ajali kuelekea mwisho wa mwaka limeendelea kutoa elimu kwa madereva na kuwafungia leseni za udereva madereva watano (05) kwa m . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 16, 2022

Msemaji wa Kremlin asema hana taarifa juu ya mlipuko nchini Poland

Msemaji wa Ikulu ya Kremlin Dmitry Peskov amesema jana kwamba hakuwa na taarifa kuhusu mlipuko uliotokea nchini Poland. Alipoulizwa swali na shirika la habari la Reuters kuhusu mlipuko huo, Peskov ali . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 15, 2022

TAARIFA KWA UMMA KUTOKA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI

. . .

Kurasa 90 ya 130

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Miaka kumi ya Jembefm

    • 3 masaa yaliopita
  • Madhara ya kichokonoo kwenye meno

    • 3 masaa yaliopita
  • Chaguzi za UDA kupima nguvu zake Mlima Kenya

    • 4 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode