logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 10, 2023

GAVANA EMMANUEL TUTUBA APOKELEWA NA PROFESA FLORENS LUOGA BoT

Mstaafu, Prof. Florens Luoga alipowasili kwa mara ya kwanza Makao Makuu ya BoT jijiji Dodoma Januari 9, 2023 ikiwa ni saa chache baada ya Kula kiapo cha Maadili ya Viongozi wa Umma IKULU, Chamwino.Wen . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 10, 2023

Nyaraka Za Siri Zakutwa Katika Ofisi Ya Zamani Ya Rais Joe Biden, Ikulu Ya Marekani

IDARA ya haki ya Marekani inachunguza nyaraka za siri zinazodaiwa kupatikana katika ofisi ya zamani ya Rais Joe Biden, Ikulu ya Marekani inasema.Takriban mafaili 10 kati ya nyaraka hizo zilikutwa zime . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 8, 2023

Rais Samia amteua Tatuba Gavana mpya BOT

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Emmanuel Tutuba aliyekuwa katibu mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango kuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT).Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Januari 7, 2022 . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 6, 2023

Japan, Marekani kuzungumzia usalama kabla ya mkutano wa Kishinda na Biden

Japan na Marekani zitafanya mkutano kuhusu usalama kati ya mawaziri wa kigeni na ulinzi mjini Washington, siku moja kabla ya Waziri Mkuu Fumio Kishida kuwasili katika mji mkuu wa Marekani wiki ijayo. . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 6, 2023

TAKUKURU watakiwa kutowatisha wananchi

Baadhi ya madiwani wa manispaa ya Bukoba mkoani Kagera wameiasa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa - TAKUKURU - mkoani humo kuweka mazingira ambayo yatawawezesha kuwa rafiki wa wananchi, badala . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 6, 2023

IGP afanya mabadiliko

IGP Camillus Wambura amemhamisha aliyekuwa Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Fortunatus Muslim kwenda kitengo cha miopango makao makuu na nafasi yake imechukuliwa na ACP Alex Mukama ambaye aliku . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 5, 2023

Iran yaionya Ufaransa

Iran iliionya Ufaransa Jumatano baada ya jarida la kejeli la Charlie Hebdo kuchapisha katuni zinazomoonyesha kiongozi mkuu Ayatollah Ali Khamenei ambazo Tehran iliziona kuwa za kashfa.Jarida hilo la k . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • January 4, 2023

Matokeo darasa la nne, kidato cha Pili yatangazwa

Barazala la Mitihani Tanzania (Nacte) limetangaza matokeo ya kidato cha pili na darasa la nne, jumla ya wanafunzi 1,320,700 kati ya 1, 592, 235 wenye matokeo sawa na asilimia 82.95 wamefaulu mitihani . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 4, 2023

MAWAZIRI 5 WATAJWA KUWA CHANZO CHA UHARIBIFU WA VYANZO VYA MAJI MOROGORO

Katika kuhakikisha vyanzo vya maji vinatunza  katika Halmashauri ya Wilaya ya  Morogoro Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya  kimemuomba  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Sa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 4, 2023

RC Sendiga akemea wanaouza vifaa vya msaada

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Queen Sendiga amewataka wananchi kutouza vifaa vya msaada walivyopatiwa kufuatia maafa ya upepo mkali uliosababisha  nyumba 45 kuezuliwa na baadhi kubomoka katika kijiji cha . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • January 4, 2023

Burkina Faso yamtaka balozi wa Ufaransa aondoke

Burkina Faso imemtaka balozi wa Ufaransa kuondoka nchini humo, wakati kukiwa na ongezeko la hasira dhidi ya mkoloni huyo wa zamani wa Burkina Faso. Msemaji wa wizara ya mambo ya kigeni ya Ufaransa ame . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 3, 2023

VIONGOZI VYAMA VYA SIASA WAWASILI IKULU KUKUTANA NA RAIS DK.SAMIA SULUHU HASSAN

VIONGOZI mbalimbali wa vyama vya siasa tayari wamewasili katika Ukumbi wa mikutano wa Ikulu jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuitikia mwito wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Samia Suluhu . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 3, 2023

Polisi Iran watoa onyo zaidi kuhusu uvaaji wa Hijab kwa wanawake

Polisi wa Iran wametoa tena onyo kwamba wanawake lazima wavae hijabu hata wakiwa kwenye magari, vyombo vya habari viliripoti Jumatatu. Maandamano yameikumba Iran tangu kifo cha Septemba 16 cha . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • January 3, 2023

Malawi yafunga shule kutokana na kuongezeka kwa kipindupindu

Shule katika miji miwili mikubwa nchini Malawi zitasalia kufungwa hadi wakati usiojulikana kutokana na mripuko wa kipindupindu unaoendelea kuwa mbaya zaidi. Wanafunzi walitarajiwa kurudi madarasani ja . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • January 2, 2023

Kaburi la pamoja la watu 18 lagundulika Libya

Serekali ya Libya, Jumapili imesema wamegundua miili 18 ya watu waliozikwa kwenye kaburi la pamoja katika mji wa kati  wa pwani wa Sirte.Mji huo ni ngome ya zamani ya kundi la Islamic State katik . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 2, 2023

Lula arejea madarakani akiahidi kuijenga upya na kuiunganisha Brazil

Luiz Inacio Lula da Silva ameapishwa kuongoza kwa muhula wa tatu kama rais wa Brazil. Lula aliapa jana kuwapigania watu maskini na utunzi wa mazingira na kuijenga upya nchi baada ya utawala wa kiongoz . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 1, 2023

Daraja la Tanzanite kufungwa Januari 2

Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) umetangaza kuwa Daraja la Tanzanite jijini Dar es Salaam litafungwa kuanzia Januari 2 hadi Januari 9 mwaka huu. TANROADS imesema sababu ya kifungwa ni kutoa naf . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • December 29, 2022

Mtanzania Elizabeth Mrema Ateuliwa Kuongoza Shirika la Umoja wa Mataifa

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amemteua Elizabeth Maruma Mrema kutoka Tanzania kuwa Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Mazingira (UN . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • December 29, 2022

Sudan Kusini kupeleka wanajeshi 750 nchini DRC

Sudan Kusini itapeleka wanajeshi 750 katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo siku chache zijazo, watakaoungana na wenzao wa kikosi cha kikanda cha Jumuiya ya Afrika Mashariki katika kukabiliana na . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • December 27, 2022

Waasi wa M23 watuhumiwa kuwashikilia mateka raia

Waasi wa M23 huko mashariki mwa DRC wanawashikilia mateka raia wanaoshukiwa kushirikiana na wanamgambo adui, huku mapigano yakizuka licha ya juhudi za amani za hivi karibuni, vyanzo vya ndani vimeiamb . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • December 27, 2022

Jiji la Dodoma Lazika Maiti 59 zilizokosa Ndugu

Kutokana na maiti kukosa ndugu wa kuzipa heshima ya mwisho, Halmashauri ya Jiji la Dodoma imezika jumla ya maiti 59 zilizopokelewa katika kipindi cha Januari hadi Desemba 19.Mapema mwezi huu, gazeti h . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • December 26, 2022

Chebukati Asema Hajuti Anapoondoka Afisini Januari 17, 2023

MWENYEKITI wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) Wafula Chebukati amesema hajuti anapoondoka afisini baada ya kuhudumu kwa miaka sita.Atastaafu rasmi mnamo Januari 17, 2023, kwani Katiba hairuhusu . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • December 26, 2022

Takwimu zaonyesha ongezeko la Uviko-19

Takwimu zilizotolewa na Wizara ya Afya zimeonyesha ongezeko la wagonjwa wa Uviko-19 nchini kutoka asilimia 4.1 hadi asilimia 5.5.Takwimu za wiki ya kwanza ya Novemba 2022 zinaonyesha watu 1,154 waliop . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • December 26, 2022

Putin "Niko tayari kwa mashauriano juu ya vita vya Ukraine"

Rais wa Russia Vladimir Putin amesema Russia iko tayari kwa mashauriano juu ya vita vya Ukraine na ameilaumu Ukraine na washirika wake wa Magharibi kwa kushindwa kufanikisha mazungumzo, msimamo ambao . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • December 23, 2022

Chanjo ya majaribio dhidi ya ebola kuanza kutolewa Uganda

Serikali ya Uganda imesema kwamba imepokea zaidi ya dozi 5,000 za chanjo ya majaribio dhidi ya virusi vya Ebola aina ya Sudan ambavyo vimesababisha vifo vya watu 50 nchini humo.Waziri wa afya Jane Rut . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • December 23, 2022

Wanawake wa Afghanistan waandamana kupinga kuzuiwa kusoma vyuo vikuu

Wanawake chungunzima wameandamana nje ya chuo kikuu cha Kabul nchini Afghanistan jana Alhamisi, kupinga uamuzi wa kuwazuia wanawake kujiunga na elimu ya chuo kikuu nchini humo. Hatua ya wanawake hao n . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • December 22, 2022

Rwanda yaishutumu Kongo kwa kutengeneza mauaji yaliyofanywa na M23

Rwanda imeishutumu serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa "kuyatengeneza" mauaji ambayo wachunguzi wa Umoja wa Mataifa walisema yalifanywa na waasi wa M23 na kusababisha vifo vya raia 131.Se . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • December 21, 2022

Taliban yawazuia wanawake kujiunga na elimu ya chuo kikuu nchini Afghanistan

Utawala wa Taliban nchini Afghanistan umechukua uamuzi jana wa kuwazuia wanawake kote nchini humo kujiunga na vyuo vikuu. Serikali hiyo yenye msimamo mkali wa Kiislamu inaendelea kukiuka haki na uhuru . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • December 21, 2022

WAZIRI MASAUNI AKUTANA NA WAKUU WA VYOMBO VYA USALAMA VYA WIZARA YAKE, JIJINI DAR ES SALAAM

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, azungumza na Wakuu wa Vyombo vya Usalama vya Wizara yake katika kikao kazi kilichofanyika Ofisi ndogo ya Wizara hiyo, jijini Dar es Sala . . .

Teknolojia
  • Na Asha Business
  • December 21, 2022

Musk asema taachia ngazi kama mkurugenzi mkuu wa Twitter

Mkurugenzi mkuu wa Twitter Elon Musk amesema atajiuzulu nafasi hiyo baada ya kumpata mrithi kufuatia kura ya maoni aliyoianzisha iliyoonyesha watumiaji wanamtaka aachie wadhifa huo. Matokeo ya kura hi . . .

Kurasa 87 ya 130

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Miaka kumi ya Jembefm

    • 13 masaa yaliopita
  • Madhara ya kichokonoo kwenye meno

    • 13 masaa yaliopita
  • Chaguzi za UDA kupima nguvu zake Mlima Kenya

    • 14 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode