Upigaji kura utafanyika katika sehemu mbalimbali kwa awamu tatu, ambapo awamu ya pili itakuwa Januari 11 na ya tatu Januari 25.Wakosoaji wanatia shaka kuhusu uwezekano wa mabadiliko halisi kuelekea ut . . .
Waziri Mkuu wa zamani wa Malaysia, Najib Razak, amehukumiwa tena Ijumaa kwa makosa ya ufisadi yanayohusiana na uporaji wa mabilioni ya dola kutoka mfuko wa uwekezaji wa taifa, 1MDB.Mahakama Kuu ya Mal . . .
Rais wa Marekani Donald Trump amesema vikosi vya Marekani vimefanya mashambulizi makali dhidi ya kundi linalojiita dola la kiislam IS kaskazini magharibi mwa Nigeria ambapo ametishia kwamba watafanya . . .
Jumla ya watu milioni 6.8 katika taifa hilo la Afrika Magharibi wanatarajiwa kujitokeza siku ya Jumapili majira ya 7:00 asubuhi hadi saa 6:00 jioni kuwapigia kura wagombea tisa wa nafasi ya urais.Wago . . .
Kwa zaidi ya nusu karne maisha ya Heinz Stücke raia wa Ujerumani mwenye umri wa miaka 85 yamejikita katika safari isiyo ya kawaida—kuizunguka dunia akiwa juu ya baiskeli.Stücke ameandika historia . . .
Katika tukio lililozua mshangao mkubwa mwanaume mmoja ambaye utambulisho wake bado haujafahamika amenaswa akitembea juu ya nyaya za umeme katika eneo la Barangay Ilang jijini Davao City nchini Ufilipi . . .
Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro limewakamata madereva wanne kwa kosa la kuendesha vyombo vya moto wakiwa chini ya ushawishi wa ulevi katika kipindi cha Sikukuu ya Krismasi.Kwa mujibu wa taarifa ya Ka . . .
Watoto tisa wavulana watano na wasichana wanne wamezaliwa salama usiku wa mkesha wa Krismasi katika Hospitali ya Halmashauri ya Tarime Mjini mkoani Mara.Kwa mujibu wa Umoja wa Waandishi wa Habari Wila . . .
Dodoma Watu wanne wamepoteza maisha huku wengine 18 wakijeruhiwa baada ya kuangukiwa na ukuta wa kanisa wakati wa ibada ya ubatizo iliyofanyika Desemba 23 mwaka huu katika Parishi ya Wiliko Dinari ya . . .
Watu watano wamepoteza maisha kufuatia ajali ya helikopta iliyoanguka katika Mlima Kilimanjaro,mlima mrefu zaidi barani Afrika katika tukio lililotokea Jumatano jioni wakati wa operesheni ya uokoaji.K . . .
Nchini Senegali, je, Ousmane Sonko anaweza kufutiwa mashitaka yanayomkabili miezi sita baada ya hukumu ya mwisho kwa kashfa mnamo mwezi Julai 2025? Siku ya Jumatatu, Desemba 22, mawakili wa Wazi . . .
Kulingana na uchunguzi wa shirika la habari la Reuters, ndege ya kijeshi ya Marekani imekuwa ikiruka mara kwa mara juu ya anga ya Nigeria katika wiki za hivi karibuni.Maafisa wa Marekani wam . . .
Ankara — Mkuu wa Majeshi ya Libya Luteni Jenerali Mohammed al-Haddad pamoja na maafisa wengine wanne wa kijeshi wamefariki dunia usiku wa kuamkia leo baada ya ndege waliyokuwa wakisafiria kuanguka m . . .
Baba Mtakatifu Leo ametoa wito kwa watu wote wenye nia njema duniani kuifanya sikukuu ya Krismasi kuwa siku ya amani, akisisitiza umuhimu wa kuheshimu siku hii takatifu ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Y . . .
Asia Mustapha, mwanamke aliyepambana na maradhi ya figo kwa zaidi ya miaka 20 na kutegemea huduma ya kusafisha damu kwa mashine (dialysis), amefariki dunia usiku wa kuamkia leo, Desemba 24 mwaka . . .
Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani limekanusha vikali taarifa zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii ya Facebook na Instagram zikidai kuwa gari la Polisi lilimgonga na kumuua mwananchi katika eneo la Kong . . .
Serikali imepiga hatua kubwa katika kulinda afya na ustawi wa wazee baada ya kufanikiwa kutoa vitambulisho vya matibabu ya bure pamoja na bima za afya kwa wazee zaidi ya 1,256,544 kote nchini. Hatua h . . .
Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum imezitaka familia zenye uhitaji wa kutoa huduma ya malezi ya kambo na kuasili kuwasilisha maombi yao kwa kamishna wa ustawi wa jamii ku . . .
KIONGOZI wa Wiper, Bw Kalonzo Musyoka amejitetea dhidi ya shutumu kuwa hajatekeleza miradi ya maendeleo kwa miaka 40 aliyodumu uongozini akifichua kuwa alikataa shinikizo za kuweka lami katika barabar . . .
Rais Volodymyr Zelenskyy amesema anategemea Urusi itafanya mashambulizi makali ndani ya Ukraine wakati wa sherehe za sikukuu ya Krismasi, akiituhumu Moscow kwa kuonesha tabia hiyo ndani ya miaka minne . . .
Mzozo wa kidiplomasia kati ya Marekani na Nigeria "umetatuliwa kwa kiasi kikubwa," kulingana na Waziri wa Habari wa Nigeria Mohamed Idris, ambaye amezungumzia "ahadi thabiti na ya heshima" kutoka pand . . .
Mbunge wa Jimbo la Ilemela, Kafiti Wilium Kafiti, ametoa msaada wa pikipiki 100 kwa vijana wa Mkoa wa Mwanza katika tukio lililovuta hisia na kuacha alama chanya kwa jamii. Hafla hiyo imefanyika . . .
Familia za waathiriwa wa maandamano ya kupinga serikali zimetangaza nia yao ya kuandamana hadi ikulu ya rais leo Jumatatu, Desemba 22, kuomba mkutano na Rais William Ruto ili kukemea ucheleweshaji kat . . .
Serikali ya Rwanda imefunga zaidi ya makanisa 10,000 ya kiinjili nchini humo baada ya kubainika kushindwa kutimiza masharti ya kisheria yaliyowekwa mwaka 2018 kwa lengo la kudhibiti na kusimamia maene . . .
Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Karagwe Dk. Benson Bagonza, amewataka Watanzania kujiepusha na tabia alizozitaja kuwa ni “sumu” tano zinazodhoofisha maridhian . . .
Jeshi la Polisi wilayani Babati mkoani Manyara linafanya uchunguzi kubaini chanzo cha kifo cha Patrick Francis (35), mkazi wa kijiji cha Mapea, aliyefariki dunia nyumbani kwao katika mazingira ambayo . . .
Mkuu wa Mkoa wa Mara Kanali Evans Mtambi ameagiza wilaya za Tarime na Rorya kulipisha jengo linalomilikiwa na Chama Kikuu cha Wakulima wa Mara (WAMACU) ndani ya muda wa mwezi mmoja, . . .
Marekani imetangaza kuwa inaifuatilia Venezuela kwa lengo la kuikamata meli nyingine ya mafuta inayodai kutumiwa na serikali yake kukwepa vikwazo vya biashara ya mafuta vilivyowekwa na Washington.Kati . . .
Waziri wa Mambo ya Kigeni wa Israel Gideon Saar amewatoa mwito kwa Wayahudi waishio kwenye mataifa ya magharibi kuhamia nchini Israel ili kuepuka chuki inayoongezeka dhidi ya jamii hiyo.Akizungumza kw . . .
Serikali ya Nigeria imethibitisha kuachiwa huru kwa wanafunzi wote waliotekwa nyara katika shule ya St. Mary’s iliyopo katika jimbo la kaskazini la Niger. Taarifa hiyo imetolewa na msemaji wa Ikulu . . .