logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Habari
  • Na Jembe Digital
  • November 8, 2025

Watu 172 wamepandishwa kizimbani wakituhumiwa kufanya vurugu na unyang'anyi wa kutumia silaha Mwanza

Watu 172 wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza na kusomewa mashtaka kadhaa yakiwemo ya k . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • November 8, 2025

Baraza la Mawaziri la SADC lakutana kwa njia ya mtandao

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Said Shaib Mussa ameshiriki Mkutano wa Dharura wa Baraza . . .

Utalii
  • Na Jembe Digital
  • November 8, 2025

Takribani Mawakala 120 kutoka Marekani wavutiwa na vivutio vya utalii nchini

Mawakala takribani 120 kutoka nchini Marekani wamefurahishwa na vivutio mbalimbali vya utalii vilivyoko nchini Tanzania ikiwemo utajiri wa u . . .

Utalii
  • Na Jembe Digital
  • November 8, 2025

Makumbusho ya jiopaki yaanza kuvutia wadau Ngorongoro

Ikiwa ni siku chache baada ya aliyekuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango kuzindua Makumbusho ya k . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • November 8, 2025

Bodi ya wakurugenzi TOSCI yafanya kikao cha 51

Bodi ya Wakurugenzi ya Taasisi ya Kuthibiti Ubora wa Mbegu Tanzania (TOSCI) imefanya kikao chake cha 51 Novemba 6 mwaka huu katika makao mak . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • November 7, 2025

NEC yafanya uteuzi wa Wabunge Viti Maalumu 115 kati ya 116 wanaostahili

TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imefanya uteuzi wa Wabunge Wanawake wa Viti Maalumu 115 kati ya 116 wanaostahili kuteuliwa kwa mujibu w . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • November 7, 2025

Shinyanga jumla ya wanafunzi 29,193 wanatarajiwa kufanya Mtihani wa Upimaji wa Kidato cha Pili

Jumla ya wanafunzi 29,193 wanatarajiwa kufanya Mtihani wa Upimaji wa Kidato cha Pili mkoani Shinyanga, ambao unatarajiwa kuanza rasmi Novemb . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • November 7, 2025

Niffer na wenzake 21 wasomewa mashtaka matatu ya uhaini

Mfanyabiashara Jeniffer Jovin Bilikwija maarufu ‘Niffer’ na wenzake 21 wamesomewa mashtaka matatu ya uhaini katika Mahakama ya Hakimu Mk . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • November 7, 2025

Wanaogushi akaunti za jeshi mitandaoni waonywa vikali

Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limetoa onyo kali kwa watu wanaogushi akaunti za jeshi hilo na kuzitumia kinyume na taratibu, likisisitiza kuwa . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • November 7, 2025

Kesi ya kumtaka Heche afikishwe mahakamani imehairishwa

Kesi namba 26287/2025 ya iliyofunguliwa dhidi ya Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini(IGP) na wenzake imeahirishwa mpaka jumatatu ya novemba 10 mw . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • November 7, 2025

Wanane wateuliwa Zanzibar kuwa wajumbe wa Baraza la Wawakilishi

Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi ameteua wanane kuwa wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wakiwemo wawili waliokatwa majina yao na kamati za . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • November 7, 2025

Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mbeya limetangaza nia ya kuwaombea watu waliopoteza maisha au kujeruhiwa Oktoba 29

Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mbeya limetangaza nia maalumu ya kuwaombea watu waliopoteza maisha au kujeruhiwa wakati na baada ya Uchaguzi Mk . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • November 7, 2025

Niffer’ afikishwa Mahakamani leo

Mfanyabiashara Jenifer Jovin Bilikwija ‘Niffer’ amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es salaam leo hii.Kufuatia . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • November 7, 2025

TEF yawaomba Watanzania kuimarisha amani

JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF) limewaomba wananchi kusimama pamoja kama taifa, kuzungumza na kujisahihisha, ili vurugu zilizotokea Oktoba . . .

Michezo
  • Na Jembe Digital
  • November 7, 2025

Gabriel Jesus arejea mazoezini baada ya kukosekana uwanjani kwa miezi 10

MSHAMBULIAJI wa Arsenal, Gabriel Jesus amerejea mazoezini baada ya kukosekana uwanjani kwa miezi 10 kutokana na majeraha aliyoyapata mwezi J . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • November 6, 2025

Martínez akamatwa nchini Mexico kwa kujaribu kumbusu rais

Mwanaume mmoja, anayejulikana kwa jina la Uriel Rivera Martínez, amekamatwa na vyombo vya usalama nchini Mexico baada ya kumvamia Rais Clau . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • November 6, 2025

Mwanza wanafunzi watakiwa kurejea shule hali ya usalama ni shwari

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amewataka wazazi kuhakikisha wanafunzi wanarudi shule kwani hali ya usalama imeimarika tayari na kot . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • November 6, 2025

Ras Mwanza ataka fedha za lishe zitumike kwa kufuata mwongozo wa Maktaba

Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Ndg. Henry Mwaijega ametoa rai kwa Halmashauri kuhakikisha wanatumia fedha za lishe kwa ajili ya kuwahudu . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • November 6, 2025

Wacomoro wote wenye shida za Saratani kuletwa nchini Tanzania

Rais wa Bunge la Comoro ambaye pia ndiye kiongozi wa pili katika Uongozi wa Dola nchini humo Mhe. Moustadroine Abdou mapema leo amesema kuw . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • November 6, 2025

Mkutano wa Kimataifa wa wadau Kilimo cha mboga na matunda kufanyika nchini

TAHA kwa kushirikiana na Wizara ya Kilimo imeandaa mkutano mkubwa wa wadau wa mazao ya mboga na matunda utakaowakutanisha washiriki kutoka n . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • November 6, 2025

JKT Queens kushiriki Michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika

Timu ya JKT Queens pamoja na Viongozi na Benchi la Ufundi wameondoka Novemba 5 mwaka huu kwenda nchini Misri kushiriki Michuano ya Ligi ya M . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 29, 2025

Mahakama Kuu Kutowa Hukumu Kesi ya Viongozi wa CHADEMA

Dar es Salaam, Tanzania – Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, inatarajia kutoa hukumu Novemba 04, 2025&nbs . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 29, 2025

Juhudi zaidi zahitajika kushughulikia hali mbaya ya kibinadamu

Kuelekea kongamano la Kimataifa kuhusu amani kwenye ukanda wa Maziwa Makuu litakolofanyika siku ya Alhamisi jijini Paris, mashirika kumi na . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • October 29, 2025

Atakayevuruga amani Ruvuma kukions

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Kamisha Msaidizi Mwandanizi wa Polisi (SACP) Marco G. Chilya amewataka Maafisa na askari na Polisi wasaidi . . .

Matukio
  • Na Jembe Digital
  • October 29, 2025

Jera miaka 30 kwa kusafirisha dawa za kulevya

Mahakama ya Wilaya ya Masasi Mkoani Mtwara imemuhukumu kifungo cha miaka 30 jela Mohamed Hassan Nahero mwenye umri wa miaka 55, mkazi wa Ki . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • October 29, 2025

Mhe,Chumi awahakikishia waangalizi uchaguzi huru

Serikali imeihakikishia Timu ya Waangalizi ya Uchaguzi ya Wabunge-Wanawake kutoka Jumuiya ya Madola (CWP) kuwa Uchaguzi Mkuu wa Rais, wabung . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • October 29, 2025

Taasisi za madini zaeleza mafanikio robo ya kwanza 2025,26

Menejimenti ya Wizara ya Madini Oktoba 27 mwaka huuu ilikutana na Wakuu wa Taasisi zake katika kikao kilicholenga kupokea taarifa ya ufuatil . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • October 29, 2025

Kura ya Mapema yafanyika kwa amani

Zoezi la kura ya mapema limeanza kwa mafanikio makubwa visiwani Zanzibar, likiendelea katika hali ya amani, utulivu na uwazi, huku Wapiga Ku . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • October 28, 2025

Wajumbe wa Kamati za Utafiti na Ubunifu wametakiwa kutekeleza majukumu yao kwa weledi

Wajumbe wa Kamati za Utafiti na Ubunifu ambayo ni Kamati Elekezi na Kamati ya Kiufundi wametakiwa kutekeleza majukumu yao kwa weledi uwazi n . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • October 28, 2025

Uthamini wa fidia mradi wa SGR kipande cha sita Tabora-Kigoma waendelea kwa kasi

Serikali inaendelea na zoezi la uthamini maeneo yatakayopitiwa na ujenzi wa Mradi wa Reli ya Kisasa SGR kipande cha sita kutoka mikoa ya Tab . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • October 28, 2025

Kaya 28 zakabidhiwa hundi za fidia kupisha mradi wa maji Babati

Mkuu wa Wilaya ya Babati Mhe. Emmanuela Mtatifikolo Kaganda Oktoba 28 mwaka huu amekabidhi rasmi hundi za malipo ya fidia kwa kaya 28 za wak . . .

Kilimo
  • Na Jembe Digital
  • October 28, 2025

Ruvuma wakulima 383 kunufaika na mitambo ya umwagiliaji

Wizara ya Kilimo imekabidhi vifaa vya umwagiliaji kwa wakulima 383 wa Wilaya za Songea na Nyasa mkoani Ruvuma vitakavyowasaidia kumwagilia z . . .

UTALII
  • Na Jembe Digital
  • October 28, 2025

Tamasha la Land Rover kutangaza vivutio vya utalii nchini

Tamasha la Land Rover Iringa 2025 litakalofanyika mwezi Novemba 2025 linatarajia kutangaza vivutio vya utalii vya mkoa wa Iringa hivyo kuvut . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • October 28, 2025

Dkt,Abbas aongoza zoezi la kumuaga CP Wakulyamba

Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Hassan Abbasi ameongoza Menejimenti ya Wizara kumuaga Kamishna wa Polisi (CP) Benedict Wakuly . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • October 28, 2025

Prof Mkumbo awataka Watanzania kutumia fursa ya kupiga kura kuilinda amani

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji Profesa Kitila Mkumbo amewahimiza Watanzania kutumia ipasavyo fursa ya Uchaguzi Mkuu u . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • October 28, 2025

Thamini Uhai yaunga mkono juhudi za Serikali kwa kutoa vifaa vya afya

Wizara ya Afya imepokea vifaa vya Ofisi kutoka asasi ya kiraia iitwayo Thamini Uhai ambapo imekabidhi samani za ofisi zikiwemo meza 2, viti . . .

Uwekezaji
  • Na Asha Business
  • October 28, 2025

Tajiri Aliko Dangote aweka rekodi mpya Afrika

Ripoti kutoka Mabilionea Bloomberg Mfanyabiashara mkubwa wa nchini Nigeria, Aliko Dangote, ameandika historia mpya kwa kuwa Mwafrika wa kwan . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • October 28, 2025

Watu 12 wafariki katika ajali ya ndege Kwale

WATU 12, wakiwemo watalii, wanahofiwa kufariki baada ya ajali ya ndege kutokea katika eneo la Vyungwani, Matuga, Kaunti ya Kwale, asubuhi ya . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • October 28, 2025

Diddy kutoka jela ni mei 2028

Kutoka kwenye website ya Magereza nchini Marekani (Federal Bureau of prison) Msanii Diddy anatarajiwa kuachiliwa kutoka Gerezani Mei 202Didd . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • October 28, 2025

Hakuna habari yenye Thamani zaidi kuliko uhai wa mwandishi wa habari

              Usalama kwanza: Katika ulimwengu wa uandishi wa habari tamaa ya kupata habari kubwa na ya p . . .

Kurasa 10 ya 212

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category