logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Afya
  • Na Asha Business
  • November 18, 2025

Muda mwingi kwenye skrini waongeza hatari za matatizo ya moyo kwa watoto

UTAFITI mpya umeonya kwamba mtoto anapotumia sana vifaa vya kielektroniki, hasa pale shida hii inapoambatana na kiwango kidogo cha usingizi, . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • November 18, 2025

Walimu wakuu wapinga kuongozwa na walimu wa JSS

CHAMA cha Walimu Wakuu wa Shule za Msingi (KEPSHA) na Chama cha Kitaifa cha Walimu (KNUT) vimepinga uongozi mpya unaopendekezwa ambapo walim . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 18, 2025

INEC yatangaza kuteua madiwani wa viti maalumu 1,385

#10YrsJembefm  #Familiamoja #AhsantekwaTime . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 18, 2025

Utafiti: kupungua kwa misaada kutasababisha vifo milioni 22

Zaidi ya watu milioni 22, wengi wao watoto, wako hatarini kufa kutokana na magonjwa yanayoweza kuzuilika ifikapo 2030 kwa sababu ya kupunguz . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 18, 2025

Merz, Macron, Starmer kukutana Berlin leo hii

Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz atakutana na viongozi wa Ufaransa na Uingereza mjini Berlin jioni ya leo. Taarifa hiyo ni kwa mujibu wa . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • November 18, 2025

Simba Yathibitisha Moussa Camara Kuendelea Kukosekana kwa Wiki 10

Klabu ya Simba Sc imethibitisha kuwa golikipa Moussa Pinpin Camara ambaye kwa sasa yupo Nchini Morocco kwa matibabu ataendelea kuwa nje ya u . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 18, 2025

Upinzani waituhumu serikali ya kijeshi kwa kushindwa kulinda nchi

Mrengo wa upinzani nchini Mali, umeituhumu utawala wa kijeshi kwa kushindwa kuilinda nchi hiyo dhidi  mashambulio ya wanajihadi ambao u . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 17, 2025

Rais Samia Atangaza Baraza Jipya la Mawaziri

Dodoma, Tanzania — Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametangaza leo Novemba 17, 2025 Baraza jipya la Mawa . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • November 17, 2025

Miaka kumi ya Jembefm

Kwa heshima na upendo mkubwa, tunapenda kutoa shukrani za dhati kwa wasikilizaji wetu wote wa Jembe FM kwa kutembea nasi katika safari ya mi . . .

Makala
  • Na Asha Business
  • November 17, 2025

Panya wasio na manyoya wavunja rekodi ya uzee- utafiti

Ni viumbe wa ajabu, wenye upara, wanaishi chini ya ardhi wakiwa na mwonekano unaofananishwa na soseji yenye meno, na sasa wataalamu wamefich . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • November 17, 2025

Rais Samia awatakia kheri wanafunzi wanaoanza mtihani leo

RAIS Samia Suluhu Hassan amewatakiwa kheri ya wanafunzi 595,816 wa kidato cha nne ambao wameanza mtihani wa kuhitimu elimu ya sekondari leo . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • November 17, 2025

Liverpool inamfukuzia Semenyo Bournemouth

Mohamed Salah anatarajiwa kuichezea timu ya taifa Misri katika Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika mwezi Desemba na Januari, huku Liverpoo . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • November 17, 2025

Homa ya mapafu: 'Muuaji' mkubwa wa watoto duniani

Homa ya mapafu ni miongoni mwa magonjwa ambukizi yanaongoza kwa kusabisha vifo vingi miongoni mwa watoto walio chini ya umri wa miaka mitano . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • November 17, 2025

32 wamefariki dunia, baada ya mgodi wa Kobalt Congo i kuporomoka

Watu 32 wamefariki dunia, baada ya mgodi wa Kobalti kuporomoka katika eneo la uchimbaji madini la Kalando, katika machimbo ya Mulondo ya Jam . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • November 17, 2025

Wanafunzi 595,816 wa kidato cha nne wameanza rasmi leo mitihani ya kuhitimu elimu ya sekondari

Rais Samia Suluhu Hassan amewatakiwa kheri ya wanafunzi 595,816 wa kidato cha nne ambao wameanza mtihani wa kuhitimu elimu ya sekondari leo . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • November 17, 2025

Watafiti wagundua kinachopunguza uwezo wa wanawake kupata mimba

UWEZO wa mwanamke kupata mimba hupungua kwa kasi kuanzia katikati ya umri wa miaka 30, jambo ambalo limekuwa likiwasumbua wanasayansi kwa mu . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • November 17, 2025

REA,TANESCO watakiwa kushirikiana kuongeza idadi ya wateja vijijini

Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Mhe. Balozi Meja Jenerali Mstaafu Jacob Kingu, ametoa rai kwa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 17, 2025

Waendesha Bodaboda Watakiwa Kuepuka Vitendo Vya Uhalifu

Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita limewataka maafisa usafirishaji (bodaboda) kujiepusha na vitendo vyovyote vya uhalifu au uvunjifu wa amani kut . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 17, 2025

Netanyahu aapa kupinga kuanzisha taifa la Palestina

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu ameapa kupinga jaribio la kuanzisha taifa la Palestina, siku moja kabla ya Baraza la Usalama la Umo . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • November 17, 2025

Kifo cha MC PiliPili kimeacha majonzi makubwa

Jumuiya ya burudani nchini Tanzania imepokea kwa mshtuko mkubwa taarifa za kifo cha ghafla cha mchekeshaji na mshereheshaji maarufu, Emmanue . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • November 17, 2025

Mke wa Besigye atoa wito kuachiwa huru kwa mumewe

Mke wa mwanasiasa mashuhuri nchini Uganda, Kizza Besigye, Winnie Byanyima, sasa anataka mume wake kuachiwa huru na haki itendeke, kauli anay . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • November 17, 2025

Leopards ya Congo yazima matumaini ya Nigeria kufuzu kombe la dunia

Timu ya taifa ya DRC hapo jana iliweka hai matumaini yake ya kufuzu kucheza fainali za kombe la Dunia hapo mwakani baada ya kuwafunga Nigeri . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • November 17, 2025

MIAKA 10 YA JEMBE FM

Asante kwa safari ya miaka 10 ya kuwa nasi pamoja kama familia moja yenye, upendo, na ushirikiano! Kutoka Jembe FM, tunasema asante kwa wasi . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • November 15, 2025

Dkt, Samia wanafunzi elimu ya juu kuongezewa mikopo

Wakati Bunge linaanza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hasan aliwataka wabunge wasimame kuwaombea waliopoteza maisha . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • November 15, 2025

Vijana waliofanya Vurugu Oktoba 29 wafutiwa mashtaka Dkt, Samia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt, Samia Suluhu Hasan amesema serikali yake itaunda wizara maalumu ya vijana na itashughulikia mas . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • November 15, 2025

Dkt, Samia atao maelekezo Wizara ya afya kutozuia maiti katika Hospital na vituo vya afya vyote nchini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameielekeza Wizara ya Afya kusimamia na kutekeleza maelekezo ya kutozuia . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • November 15, 2025

DALALI WA MAHAKAMA ASHIKILIWA KWA TUHUMA ZA WIZI WA KUAMINIWA

Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita linamshikilia Wema Haibe (38), Dalali wa Mahakama, kwa tuhuma za wizi wa kuaminiwa baada ya kuuza nyumba aliyo . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • November 12, 2025

Balozi Mussa ameshiriki maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru wa Angola

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Said Shaib Mussa, ameungana na viongozi mbalimbali wa . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • November 12, 2025

Zaidi ya wakulima 250 Wilayani Magu waishukuru Serikali kwa vifaa vya umwagiliaji

Wakulima zaidi ya 250 katika Wilaya ya Magu, Mkoa wa Mwanza wamepokea jozi 22 za vifaa vya kisasa vya umwagiliaji kwa vikundi vyao 11, kufua . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • November 12, 2025

Makusanyo ya Madini Simiyu Yavuka Malengo, Yafikia Zaidi ya Asilimia 103

AFISA Madini Mkazi wa Mkoa wa Simiyu, Mayigi Makolobela, amesema mkoa huo umeendelea kufanya vizuri katika ukusanyaji wa mapato yatokanayo n . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • November 10, 2025

Mwinyi amezindua rasmi Baraza la 11 la Wawakilishi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amezindua rasmi Baraza la 11 la Wawakilishi Zanzibar na . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • November 10, 2025

ACT-Wazalendo yatoa hoja tatu wanazohiji zitekelezwa

Chama Cha ACT-Wazalendo kimetoa hoja tatu wanazotaka zitekelezwa baada ya kumalizika kwa Uchaguzi Mkuu wa Rais wabunge na madiwani na mgombe . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • November 10, 2025

Demokrasia ni mfumo bora wa utawala rais Ruto

Rais wa Kenya William Ruto, amesema kuwa demokrasia ni mfumo bora wa utawala, ingawa si rahisi kila wakati. Ameeleza kuwa demokrasia ina cha . . .

Mastaa
  • Na Nattyebrandy
  • November 10, 2025

MSANII TEKNO AAMUA KUGAWA PESA ZAKE ZA USHINDI KWA MASHABIKI ZAKE

Msanii maarufu kutoka Nigeria, Tekno, amevutia hisia nyingi baada ya kushinda ₦298,000,000 kupitia mchezo wa betting. Kiasi hiki kikubwa&n . . .

TAMASHA
  • Na Nattyebrandy
  • November 10, 2025

SAUTI ZA BUSARA 2026: MUZIKI WA KIAFRIKA UKIKUSANYIKA ZANZIBAR

Tamasha la Sauti za Busara 2026 linarudi kwa shauku kubwa kutoka 5–8 Februari katika mji wa kihistoria wa Stone Town, Zanzibar. Tukio hili . . .

Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • November 10, 2025

GRACE OF AFRICA YAZINDUA WIMBO MPYA “NGUVU YANGU (MY STRENGTH)

Grace of Africa yazindua rasmi  wa wimbo wao mpya wa injili, “Nguvu Yangu (My Strength)”, unaohamasisha imani, tumaini, n . . .

Jamii
  • Na Jembe Digital
  • November 8, 2025

Je unatambua kuwa "Hekima na Akili ni uhusiano wa kitofauti katika Maisha ya Binadamu"

Katika Maisha ya kila siku Maneno kama hekima na akili hutumika kwa pamoja kana kwamba yana maana moja ambapo Watu wengi  husema " Yule . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • November 8, 2025

Ukraine yatoa onyo raia wa Afrika kuunga mkono Urusi katika vita

Serikali ya Ukraine imeripoti kuwa raia 1,436 kutoka Nchi 36 Barani Afrika wamejiunga na jeshi la Urusi katika vita dhidi ya Ukraine, huku i . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • November 8, 2025

Wanaosakwa na polisi orodha yatolewa rasmi

Jeshi la Polisi Nchini limesema kufuatia uchunguzi na ushahidi uliokusanywa hadi sasa kuhusu vurugu zilizotokea October 29 mwaka huu linawas . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • November 8, 2025

Brass Band ya Uhamiaji yaongoza hafla ya kufunga mafunzo ya askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji

‎Brass Band Mpya ya Idara ya Uhamiaji Tanzania imeongoza  Hafla ya Ufungaji wa Mafunzo ya awali ya askari wapya wa Jeshi la Zimamoto . . .

Kurasa 9 ya 212

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category