logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
AFYA
  • Na Jembe Digital
  • December 17, 2025

Mwanza yazindua utoaji elimu ya bima ya afya kwa wote

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. Said Mtanda, leo Desemba 17 mwaka huu amezindua utoaji wa elimu ya Bima ya Afya kwa Wote mkoani Mwanza, akihimi . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • December 17, 2025

Maafisa uhamiaji 3 wahukumiwa kunyongwa mpaka kufa

Maafisa watatu wa Uhamiaji, Fredrick Kyomo, Joachim Trathizius na Mabruki Hatibu, wamehukumiwa kunyongwa hadi kufa na Mahakama Kuu ya Tanzan . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • December 17, 2025

Uamuzi kesi ya kufutwa sherehe za uhuru ni leo

Uamuzi katika kesi iliyofunguliwa na Wakili Peter Madeleka dhidi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusu kufutwa kwa Sherehe za Uh . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • December 17, 2025

Uzembe ndiyo chanzo cha ajali iliyoua 5 Songwe

Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe limesema uchunguzi wa awali umebaini kwamba ajali ya barabarani iliyotokea Disemba 16, 2025 majira ya saa 12: . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • December 17, 2025

Donald Trump apiga marufuku raia wa nchi saba zingine kuingia Marekani

Rais wa Marekani Donald Trump, siku ya Jumanne Desemba 16 amepanua orodha ya raia wa kigeni waliopigwa marufuku kuingia nchini Marekani amba . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • December 17, 2025

Mawakili wa Roger Lumbala kukata rufaa dhidi ya kifungo mteja wao cha miaka 30 jela

Timu ya mawakili inayomwakilisha kiongozi wa zamani wa upinzani nchini Kongo Roger Lumbala imetangaza siku ya Jumanne Desemba 16 kwamba wata . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • December 17, 2025

Sudan yaongoza kwenye orodha ya nchi zenye migogoro ya kibinadamu duniani

Sudan inaongoza kweye orodha ya chi zenye migogoro ya kibinadamu duniani kwa mwaka wa tatu mfululizo, kulingana na ripoti iliyochapishwa sik . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • December 17, 2025

Madumu ya mafuta ya magendo yakamatwa Ubungo

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imekamata madumu 23,755 ya mafuta ya kupikia yaliyoingizwa nchini Tanzania kinyume na taratibu kupitia Band . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 17, 2025

Mataifa ya Ulaya yaanzisha Kamisheni ya Madai ya Ukraine

Baraza la Ulaya ni shirika linaloongoza kwa masuala ya haki za binaadamu barani humuna na pia limepiga hatua muhimu kuelekea ulipaji wa fidi . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 17, 2025

Venezuela yautaka Umoja wa Mataifa kulaani uharamia wa Marekani

Venezuela imetuma malalamiko yake rasmi kwenye Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa juu ya kile inachokiita "wizi" wa Marekani iliyoiteka m . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 17, 2025

Lukashenko ataka hatua za haraka kukomesha vita vya Ukraine

Rais Alexander Lukashenko wa Belarus ametowa wito wa kuchukuliwa hatua za haraka kukomesha vita nchini Ukraine wakati huu Marekani ikiendele . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • December 17, 2025

M23 wajiondowa Uvira kwa agizo la Marekani

Imefahamika kuwa kujiondowa kwa kundi la waasi wa M23 mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kutoka mji muhimu wa Uvira kumetokana n . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • December 17, 2025

Watu 30 washitakiwa kwa jaribio la mapinduzi Benin

Mahakama ya Uhalifu wa Kiuchumi na Ugaidi nchini Benin imewashitaki watu wapatao 30 ambao wengi wao wakiwa ni wanajeshi kwa jaribio la mapin . . .

Afya
  • Na Jembe Digital
  • December 17, 2025

Yajue matunda 9 Yanayosaidia Kupunguza Mafuta ya Tumbo

Baadhi ya matunda kama zabibu (grapefruit), nanasi, parachichi na kiwi yanaweza kusaidia kupunguza mafuta ya tumbo kutokana na kuw . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • December 17, 2025

Khalid Aucho Afungiwa Michezo 5 na Kutozwa Faini Sh. 1,000,000

wachezaji wa klabu ya Singida Big Stars Khalid Aucho amefungiwa michezo mitano (5) na kutozwa faini ya Sh. 1,000,000 kwa kosa la kufanya kit . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • December 17, 2025

Madereva watakiwa kuacha tabia ya kupokea simu kwenye vyombo vya usafiri

Afisa Mnadhimu wa  kitengo cha usalama barabarani Makao Makuu ya Polisi Dar-es- Salaam- SACP Butusyo Akim Mwambelo amewataka waendesha& . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 16, 2025

Leo ni siku ya maridhiano nchini Afrika Kusini

Nchini Afrika Kusini kila ifikapo Disemba 16 huwa ni maadhimisho ya Siku ya Maridhiano kufuatia juhudi za upatanisho nchini humo zilizolenga . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • December 16, 2025

Mahakama yaamua PSG imlipe Mbappé zaidi ya dola milioni 70

Mahakama ya Paris inayohusika na masuala ya ajira imeamua kwamba Paris Saint-Germain lazima imlipe Kylian Mbappé zaidi ya euro milioni 60 ( . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • December 16, 2025

Dawa za kulevya zateketezwa Mtwara

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya mkoani Mtwara imefanikiwa kuteketeza kilo 73 za dawa za kulevya aina ya bangi, baada ya . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • December 16, 2025

Bunge la Zambia lapitisha mswaada wa sheria za uchaguzi

Bunge la Zambia limepitisha jana kwa wingi wa kura mswaada wa kurekebisha vifungu vya katiba vinavyohusiana na uchaguzi ambavyo upinzani una . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • December 16, 2025

Kamati Mambo ya Nje Bunge la Marekani kutembelea Tanzania

MWENYEKITI wa Kamati ya Mambo ya Nje ya Bunge la Wawakilishi la Marekani, na Mbunge machachari wa Chama cha Republican katika Jimbo la Flori . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • December 16, 2025

Kesi ya wagombea wa ACT Pemba yaahirishwa hadi Desemba 23

Naibu Msajili wa Mahakama Kuu ya Zanzibar, Kanda ya Pemba, Chausiku Kuya, ameahirisha kesi ya madai iliyofunguliwa na waliokuwa wagombea wan . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • December 16, 2025

Polisi wapiga risasi washukiwa waliowakuta wakipora maduka usiku

WASHUKIWA wawili wa wizi wanauguza majeraha ya risasi baada ya polisi kutibua njama zao eneo la Likoni, Kaunti ya Mombasa.Walikuwa kwenye ku . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • December 16, 2025

Narendra Modi kumtembelea Abiy Ethiopia

Waziri Mkuu wa India Narendra Modi anafanya ziara ya Kiserikali nchini Ethiopia leo Jumanne hii, Desemba 16 wakati India ikijaribu kuongeza . . .

Mafuriko
  • Na Asha Business
  • December 16, 2025

RC Mhita akagua athari za mvua Shinyanga

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mboni Mhita amefanya ziara ya dharura katika Halmashauri ya Wilaya ya Msalala Wilaya ya Kahama kukagua na kujionea . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • December 16, 2025

Msamaha wa riba na adhabu kodi za forodha

Katika kuhamasisha matumizi ya msamaha wa riba na adhabu unaoelekea kukoma Desemba 31 mwaka huu Mamlaka ya Mapato Mkoa wa Mwanza imeandaa ki . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • December 16, 2025

Watumishi Wawili Wasimamishwa Kazi Mafia Kufuatia Dosari Za Usimamizi Wa Fedha Za Miradi

Watumishi wawili wa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia, ambao ni Mkuu wa Idara ya Fedha na Afisa Utumishi na Rasilimali Watu, wamesimamishwa kaz . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • December 16, 2025

Roger Lumbala ahukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa uhalifu dhidi ya binadamu

Kiongozi wa zamani wa waasi nchini DRC Roger Lumbala amepatikana na hatia ya kushiriki katika uhalifu dhidi ya binadamu siku ya Jumatatu, De . . .

UTALII
  • Na Jembe Digital
  • December 16, 2025

Msichana aliyekumbatia mti kwa saa 72 ateuliwa kuwa balozi wa kupanda miti

Rais wa Kenya William Ruto amemteua Truphena Muthoni kuwa balozi wa kampeni ya taifa ya kupanda miti, kufuatia jitihada zake za kipekee kati . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • December 16, 2025

Mabasi yaendayo Mikoani na nje ya Nchi yakaguliwa: Madereva waonywa

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza kupitia Kikosi cha Usalama Barabarani limeendelea na zoezi la kutoa elimu kwa madereva na abiria sambamba na . . .

Afrika Mashariki
  • Na Jembe Digital
  • December 16, 2025

M23 yawataka raia wa DRC waliokimbia warejee nchini mwao

Msemaji wa AFC/M23 Lawrence Kanyuka amewataka wakongomani kurejea nyumbani akitaja kuwa kwa sasa hali ya usalama ni shwari.Msemaji wa kundi . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 16, 2025

Mpigania demokrasia Lai atiwa hatiani Hong Kong

Jimmy Lai bilionea aliyekuwa akimiliki yombo vya habari na mkosoaji mkubwa wa utawala wa China ametiwa hatiani kwenye kesi ya aina yake kuhu . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • December 16, 2025

Mshirika wa Embalo akamatwa na euro milioni 5 taslim

Mshirika wa karibu wa rais aliyepinduliwa nchini Guinea Bissau, Umar Sissoco Embalo ametiwa nguvuni nchini Ureno akiwa na kiasi cha fedha ta . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 16, 2025

Trump aishitaki BBC akitaka fidia ya dola bilioni 10

Rais Donald Trump wa Marekani amefunguwa kesi mahakamani akidai fidia ya dola bilioni 10 kutoka Shirika la Utangazaji la Uingereza, BBC, aki . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 16, 2025

Hizi hapa baadhi ya sababu Zinazopelekea Gari la Rais wa Marekani kuogopwa zaidi Duniani

Rais wa Marekani Donald Trump ni kiongozi wa taifa lenye nguvu kubwa zaidi kisiasa, kiuchumi na kijeshi duniani hivyo basi katika . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • December 16, 2025

Mafia Watumishi Wawili Wasimamishwa Kazi

Watumishi wawili wa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia ambao ni Mkuu wa Idara ya Fedha na Afisa Utumishi na Rasilimali Watu  wamesimamishwa . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • December 15, 2025

Mafunzo ya Madiwa yaleta mchakamchaka wa maendeleo Geita

Mbunge wa Jimbo la Geita Mjini Eng. Chacha Wambura amesema mafunzo ya madiwani wa Mkoa wa Geita ni muhimu katika kuwawezesha viongozi kushir . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 15, 2025

Elon Musk Atambulisha XChat mpya

Elon Musk mmiliki wa jukwaa la X (zamani Twitter) ametambulisha rasmi XChat mfumo mpya wa mawasiliano ulioundwa kuboresha faragha na kuongez . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • December 15, 2025

Rais Samia Afungua Mkutano wa 9 wa Mkuu wa Majeshi Tanga

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu  Dkt. Samia Suluhu Hassan amewasili katika Shule ya Kijeshi ya Ulinzi wa An . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • December 15, 2025

Nuhu aliyedai mwisho wa Dunia desemba 25 akamatwa

Nabli wa Ghana Nuhu Ebo anadaiwa kukamatwa kwa kosa la kuzua taharuki kwa kusambaza habari kuwa Mungu amemfunulia maono kwamba ataiagamiza D . . .

Kurasa 11 ya 221

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category