logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Siasa
  • Na Jembe Digital
  • October 28, 2025

Dkt.Samia awali katika viwanja vya CCM Kirumba jijini Mwanza kwaajili ya kuhitimisha Kampeni za Uchaguzi Mkuu

Mgombea urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM na Mwenyekiti wa chama hicho . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • October 28, 2025

Mtahiniwa kufanya KCSE rumande Lamu

MWANAFUNZI wa shule ya upili iliyo eneo la Lamu ya Kati, Kaunti ya Lamu, huenda akalazimika kufanya mitihani yake ya KCSE akiwa chini ya uli . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 28, 2025

Alassane Ouattara ashinda kwa kishindo, kulingana na matokeo ya awali

Alassane Ouattara, ambaye ameiongoza Côte d'Ivoire tangu mwaka 2011, ametangazwa kushinda uchaguzi wa urais wa Oktoba 25, 2025, kwa kishind . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 28, 2025

Baraza la usalama na UN lawateua wataalam kuchunguza ukiukaji wa haki

Baraza la Haki za bindamu la Umoja wa Mataifa, limewateua watalaam watatu, kuchunguza madai ya ukiukwaji wa haki Mashariki mwa Jamhuri ya Ki . . .

Top Story
  • Na Jembe Digital
  • October 27, 2025

Mtanzania aweka rekodi mashindano ya AA Junior and Senior Open Water Swimming Championship

LOLITA Borega aweka rekodi nyingine tena nchini Tanzania baada ya kung’ara katika mashindano ya AA Junior and Senior Open Water Swimming C . . .

SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • October 27, 2025

Klabu ya Juventus yamfuta kazi kocha Mkuu Igor Tudor

Klabu ya Juventus imemfuta kazi kocha wao Mkuu Igor Tudor baada ya kupoteza wa Serie A dhidi ya Lazio kwa goli 1-0. Igor alijiunga na Klabu . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • October 27, 2025

Mpango wa Visa Bond wasitishwa nchini Mali

Marekani imepunguza shinikizo la kidiplomasia na Mali, ikiondoa taifa hilo la Afrika Magharibi kutoka kwenye Mpango wa Jaribio la Visa Bond . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • October 27, 2025

Wanaotumia mitandao kuvuruga amani kuvuruga amani polisi watoa onyo

Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga limewataka waumini wa Kanisa la Deliver Hope for All Nations lililopo Kata ya Kizumbi Wilaya ya Shinyanga . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • October 27, 2025

TET na NECTA kujadili utekelezaji wa mitaala iliyoboreshwa

Taasisi ya Elimu Tanzania ( TET) na Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) wamefanya kikao cha pamoja kwa lengo la kujadiliana masuala mbalimba . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • October 27, 2025

Majaliwa ashiriki hafla ya uapisho wa rais Mteule mhe Patrick Herminie

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Oktoba 26 mwaka huu aliwasili Seychelles kwa ajili ya kumwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye uapisho . . .

Kilimo
  • Na Jembe Digital
  • October 27, 2025

WAKULIMA WADOGO 634 KUNUFAIKA NA KILIMO CHA UMWAGILIAJI MKOANI KAGERA

Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Mhe. Fatma Mwassa amezindua ugawaji wa vifaa vya umwagiliaji kwa wakulima wadogo ili kuwawezesha vijana na wanawake . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 27, 2025

VItuo vya kupigia kura vyaongezwa

Jumla ya vituo 384 vya kupigia kura vimeandaliwa katika Jimbo la Mwibara na Bunda katika kata kumi na tisa ili kurahisisha zoezi la upigaji . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • October 27, 2025

Bil. 21.9/- za TACTIC Kujenga Kilomita 8.4 za Barabara Manispaa ya Mpanda

HALMASHAURI ya Manispaa ya Mpanda na Mkandarasi M/s Chonqing International Construction Corporation (CICO), wametiliana saini mkataba wa uje . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • October 27, 2025

Kampeni ya mjue jirani yake yawafikia wakazi wa Kigoma

‎Idara ya Uhamiaji Mkoa wa Ruvuma kupitia Ofisi ya Uhamiaji Wilaya ya Namtumbo Oktoba 24 mwaka huu ilitoa elimu ya ki-Uhamiaji kupitia Kam . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • October 27, 2025

Wasimamizi wa uchaguzi Tarime wahamaaishwa kuzingatia usalama wakati wa uchaguzi mkuu

Wasimamizi wa uchaguzi  mkuu 2025 wametakiwa kufanya kazi kwa kufuata  Miongozo kanuni na Sheria za uchaguzi pia Kuwa waadilifu na . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 27, 2025

Mashambulizi ya Israel yamewaua watu watatu

Lebanon kupitia wizara yake ya afya imesema mashambulizi ya Israel kusini na mashariki mwa nchi hiyo, yamewaua watu watatu, licha ya makubal . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 27, 2025

Ouattara atazamiwa kushinda muhula wa nne madarakani

Rais wa Ivory Coast Alassane Ouattara anatazamiwa kushinda muhula wa nne madarakani, wakati matokeo ya awali yakiashiria ushindi wa kishindo . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 27, 2025

India na China zarejesha usafiri wa moja kwa moja wa ndege

Abiria wa safari ya kwanza ya moja kwa moja kati ya India na China katika kipindi cha miaka mitano wamewasili leo Jumatatu, baada ya mataifa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 27, 2025

Watu wanne wameuawa katika maandamano ya upinzani

Takriban watu wanne wameuawa kwa kupigwa risasi katika maandamano mjini Douala nchini Cameroon siku ya Jumapili wakilalamikia wizi wa kura, . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 26, 2025

Urusi yajaribu kombora la nyuklia la Burevestnik

Baada ya Gazeti la Wall Street Journal kuripoti kuwa utawala wa Trump umeondoa kizuizi muhimu kwa Ukraine kutumia baadhi ya makombora ya mas . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 26, 2025

Trump atangaza kusainiwa kwa mkataba wa amani kati ya Thailand na Cambodia

Donald Trump ametangaza kusainiwa kwa mkataba wa amani kati ya Thailand na Cambodia alipowasili Malaysia siku ya Jumapili kama sehemu ya zia . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 26, 2025

Dkt. Mwinyi" Nitaendelea Kuimarisha Udhamini Na Miundombinu Ya Michezo"

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 24, 2025

Tamko la UDASA sio msimamo wa UDSM-Prof. Anangisye

Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimesema hakitambui wala kuhusika kwa namna yoyote na tamko lililotolewa na Jumuiya ya Wataaluma wa Chuo . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 24, 2025

Rais Samia apokea ujume maalumu wa Rais Tshisekedi

Ujumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Congo (DRC) Mhe. Felix Antoine Tshisekedi, umewasilishwa na Mjumbe Maalum na Waziri wa Ushirikiano wa Ki . . .

Habari
  • Na Asha Business
  • October 24, 2025

Wawili Wahukumiwa Kifungo Cha Miaka 35 Jela Kwa Unyang’anyi Wa Kutumia Nguvu Na Kujaribu Kubaka

Mahakama ya Wilaya Temeke Jijini Dar es Salaam Oktoba 22,2025 imewahukumu kutumikia kifungo cha miaka 35 jela Mohamed Aloyce Mtangile mwenye . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 24, 2025

Wajerumani wengi waunga mkono kauli ya Merz kuhusu uhamiaji

Raia wengi wa Ujerumani wanakubaliana na matamshi ya hivi karibuni ya kansela wa Ujerumani Friedrich Merz yanayopendekeza kwamba matatizo ya . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • October 24, 2025

LUKUWI AFANYA ZIARA YA KIKAZI MKOANI MWANZA.

‎‎Naibu Kamishna wa Uhamiaji (Utawala), DCI Elizabeth Lukuwi Oktoba 23 mwaka huu amefanya ziara ya kikazi katika Ofisi ya Uhamiaji Mkoa . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • October 24, 2025

Tathmini ya elimu ya mwaka wanafunzi wapaza sauti

Wanafunzi wa shule za Msingi na Sekondari wameipongeza Serikali kwa kuboresha miundombinu ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari, wakisema h . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 24, 2025

Meta Yapanga Kuondoa Wafanyakazi 600 Katika Kitengo cha AI

Kampuni ya Meta, hapo awali inayojulikana kama Facebook, imepanga kuondoa takriban wafanyakazi 600 kutoka katika kitengo chake cha AI, hatua . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • October 24, 2025

Waziri mkuu atoa wiki moja kituo cha polisi Nandagala kianze huduma

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Oktoba 23 mwaka huu amekagua ujenzi wa kituo cha Polisi Nandagala, Ruangwa mkoani Lindi na kuagiza kituo hi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 24, 2025

Wananchi wajiandaa kupîga kura siku ya Jumamosi

Wananchi wa Cote Dvoire, kesho watapiga kura kwenye uchaguzi mkuu ambao rais Alassane Ouattara, anatarajiwa kushinda muhula wa nne, baada ya . . .

Kilimo
  • Na Jembe Digital
  • October 24, 2025

COPPER yakabidhiwa mbegu ya kisasa ya Choroko tani 1.5

Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) imekabidhi Mbegu ya kisasa ya Choroko tani moja na nusu kwa Wakulima wa Mkoa wa . . .

Michezo
  • Na Jembe Digital
  • October 24, 2025

MSIGWA AWAKABIDHI UMSOTA MILIONI TANO ZAWADI YA “GOLI LA MAMA

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Ndg. Gerson Msigwa amekabidhi kiasi cha shilingi mi . . .

Kilimo
  • Na Jembe Digital
  • October 24, 2025

Wapima udongo watakiwa kuzingatia weledi na uadilifuu

Mkurugenzi wa Rasilimali Watu na Utawala wa Wizara ya Kilimo, Bw. James Kibamba, amewataka Wataalamu wa udongo nchini kutekeleza majukumu ya . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • October 24, 2025

Matumizi sahihi ya Mbolea kuchochea agenda 10/ 30

Tathmini iliyofanyika hivi karibuni imeonesha kuwa matumizi ya mbolea nchini yamefikia wastani wa kilo 21 kwa hekta moja. Hatua hii imechan . . .

DINI
  • Na Jembe Digital
  • October 24, 2025

Masheha Zanzibar wakumbushwa Kuhusu Usalama na Maadili ya Mtandaoni

Wataalamu wa usalama mtandaoni kutoka Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari (WMTH) kwa kushirikiana na wizara na taasisi za umma, wa . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • October 24, 2025

Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha Yatoa TSh Bilioni 2.1 kwa Makundi Maalum

Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha imetoa jumla ya shilingi bilioni 2.1 kwa ajili ya mikopo kwa makundi maalum ya wanawake, vijana na watu we . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • October 23, 2025

Kilimo, madini na umeme vyachangia kukuza uchumi wa nchi

Mkurugenzi wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPPC) David Kafulila amesema kuwa katika kipindi cha miaka minne ya uongozi w . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • October 23, 2025

Wazazi kujengewa Wodi mpya Handeni kwa Sh milioni 530

Mkuu wa Wilaya ya Handeni Salum Nyamwese amesema Serikali imetenga Shilingi milioni 530 kwa ajili ya ujenzi wa wodi mpya ya wazazi katika Ho . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • October 23, 2025

Polisi Mbeya yapokea magari manne mapya

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limepokea magari manne mapya aina ya Robur Armored TLC300 ukiwa ni mgao kutoka kwa Mkuu wa Jeshi hilo nchini.A . . .

Kurasa 11 ya 212

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category