logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 13, 2026

Watu wawili wauwawa kufuatia shambulizi la Urusi Kharkiv

Watu wawili wameuliwa katika shambulizi la Urusi lililofanywa katika mji wa Kharkiv mashariki mwa Ukraine ambapo shambulio la Urusi katika m . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 13, 2026

Ndoa Iliyopendwa TikTok Yavunjika, Kristy Scott Afungua Talaka

Ndoa iliyokuwa ikitazamwa kama mfano wa upendo wa kudumu imani na mshikamano wa kifamilia sasa imevunjika hadharani Kristy na Desmond Scott . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 12, 2026

Iran yasema maandamano 'yamedhibitiwa kikamilifu'

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi amesema siku ya Jumatatu kwamba hali nchini humo imedhibitiwa kikamilifu baada ya ukandamizaji . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 12, 2026

Tahadhari yatolewa kuhusu mauaji ya halaiki Iran

Shirika la kutetea haki za binadamu la Iran lenye makao yake nchini Norway limesema mamlaka za Iran zimefanya mauaji ya halaiki.Hayo yamesem . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 12, 2026

Wadephul, Rubio kujadili tisho la Trump kuchukua Greenland

Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani Johann Wadephul anakutana siku ya Jumatatu na mwenzake wa Marekani Marco Rubio mjini Washington kuhusu v . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 12, 2026

Mwanaume ashikiliwa na polisi kwa tuhuma za Ukatili dhidi ya Mtoto

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Joseph Daudi Mwakalinga maarufu kama @jiggerman mkazi wa Zimbili . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • January 12, 2026

Dkt. Samia awatakia Watanzania heri ya Mapinduzi ya Zanzibar

Wakati leo Januari 12 ikiwa ni maadhimisho ya Miaka 62 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia . . .

Afrika Mashariki
  • Na Jembe Digital
  • January 12, 2026

Raia wa Uganda wapewa likizo ya siku 2 za uchaguzi

Katika jiji kuu la Kampala, baadhi ya wakaazi wameanza kusafiri kwenda vijijini au Charo kwa lugha ambayo wanaielewa kushiriki kura za Alham . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • January 11, 2026

Tanzania yajiandaa kiuchumi ,na kimaandishi kwa AFCON 2027 inayo karibishwa pamoja na Kenya na uganda.

Tanzania pamoja na Kenya na Uganda,imepata nafasi ya kipekee yakuwa mmoja wa wenyeji wa mashindano ya kombe la mataifa ya kombe la mataifa y . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • January 11, 2026

Bodi ya Brute SACCOs Yapata Mafunzo ya Uandishi wa Habari Bukoba

Bodi ya Brute SACCOs inayopatikana katika Manispaa ya Bukoba imeendesha mafunzo ya uandishi wa habari kwa lengo la kuwajengea uwezo viongozi . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • January 11, 2026

GGML yatoa msaada wa milioni 50 kusherehekea mwaka mpya na watoto yatima

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) Bw. Duan Campbell (kati kati) akipeana mikono na Mkuu wa Mkoa wa Geita Mh . . .

Habari
  • Na Asha Business
  • January 11, 2026

SOMA KWA FURAHA INITIATIVE YAANZA MWAKA 2026 NA CHUMBA CHA TUMAINI ( CHAMBER OF HOPE )

Wazazi na walezi mkoa wa Mwanza wameaswa kusimamia malezi bora na shirikishi kwa lengo la kuwakinga watoto na shughuli ama mambo mbalimbali . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 10, 2026

Udanganyifu, kuandika matusi bado tatizo katika mitihani

Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), limetangaza matokeo ya Upimaji wa Kitaifa wa Darasa la Nne na Kidato cha Pili uliofanyika Oktoba na . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • January 10, 2026

Enzo Maresca Atajwa Kumrithi Ruben Amorim Manchester United

Jina la Enzo Maresca, kocha raia wa Italia aliyemaliza hivi karibuni kazi yake na klabu ya Chelsea, limo kwenye orodha ya makocha wanaotajwa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 10, 2026

Bill Gates Amlipa Melinda Dola Bilioni 8 Miaka Mitano Baada ya Talaka

Bilionea na mwanzilishi mwenza wa Microsoft, Bill Gates, amemlipa aliyekuwa mke wake, Melinda Gates kiasi cha dola bilioni 8 za Kimarekani, . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • January 9, 2026

Yanga Yatangaza wito wa EOI Ujenzi wa Uwanja wa Kisasa Jijini Dar

Klabu ya Yanga imeanza rasmi mchakato wa kuwarahisishia wawekezaji na wabia wa kimkakati kuwasilisha barua za kuonesha nia (EOI) kwa ajili y . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 9, 2026

Magari mabovu marufuku kubeba wanafunzi

Hatua hiyo imekuja kufuatia ukaguzi uliofanywa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi kitengo cha usalama barabarani mkoani humo kubaini kuwa kat . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • January 9, 2026

Hatarini kupata magonjwa ya mlipuko kisa mafuriko

Wananchi hao wameiomba serikali kurejesha huduma muhimu kama umeme maji pamoja na kutuma wataalamu kuja kutibu madimbwi ya maji yanayozagaa . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • January 9, 2026

Urusi yaishambulia Ukraine kwa kombora jipya la Oreshnik

Urusi imesema hivi leo kwamba imetumia kombora jipya chapa Oreshnik pamoja na silaha nyingine katika shambulizi kubwa dhidi ya Ukraine.Maafi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 9, 2026

Maandamano ya kupinga ugumu wa maisha yaendelea Iran

Waandamanaji nchini Iran wamepiga kelele na kuandamana hadi Ijumaa asubuhi kuendelea kupinga ugumu wa maisha.Waandamanaji wa Iran wamepiga k . . .

Top Story
  • Na Jacobmlaytz
  • January 9, 2026

Semenyo atua Man City, aweka rekodi hii hapa

Rasmi Antoine Semenyo amesaini mkataba wa kuitumikia Manchester City akitokea klabu ya AFC Bournemouth ya pale pale England.Semenyo anakuwa . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 9, 2026

Ibaada ya mazishi ya watu waliouawa katika mapigano yafanyika Goma

Maelfu ya waombolezaji walijitokeza jijini Goma Mashariki ya DRC Januari   8 kuhudhuria ibaada ya mazishi ya watu 22 waliouawa wak . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 9, 2026

Wanajeshi wanaotuhumiwa kwa uhaini wahamishiwa katika gereza la Ndolo

Maafisa kadhaa wa ngazi za juu wa jeshi la Kongo, waliokamatwa kwa miezi kadhaa iliopita, wameshtakiwa rasmi na tayari wamehamishiwa katika . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • January 9, 2026

Mhandisi Mshauri Aliyechelewesha Mradi Wa Daraja Tabora Kusitishiwa Malipo

Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI) anayeshughulikia Elimu, Reuben Kwagilwa (Mb), a . . .

Afya
  • Na Jembe Digital
  • January 9, 2026

Unapaswa kutambua Sababu Kuu Za Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Soma hapa

Upungufu wa nguvu za kiume ni hali ya kushindwa kufanya mapenzi kikamilifu au kushindwa kusimamisha via ya uzazi kwa mwanaume katika shughul . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 9, 2026

TRUMP AAGIZA MAREKANI KUJIONDOA KATIKA MASHIRIKA 66 YA KIMATAIFA

Rais wa Marekani Donald Trump ameagiza nchi yake kujiondoa katika mashirika 66 ya kimataifa akieleza kuwa taasisi hizo hazihudumii tena masl . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 9, 2026

Marekani bado ina wajibu wa kufadhili mashirika yake

Umoja wa Mataifa amesema Marekani ina ‘wajibu wa kisheria' kuendelea kulipa michango inayofadhili mashirika ya umoja huo hata baada ya Iku . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 9, 2026

Venezuela haijatishwa na Marekani

Rais wa muda wa Venezuela, Delcy Rodriguez amesisitiza kwamba nchi yake haina hofu yoyote licha ya madai ya Rais wa Marekani Donald Trump kw . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • January 9, 2026

IKULU YATANGAZA MABADILIKO YA BARAZA LA MAWAZIRI

Ikulu ya Tanzania jana imetangaza mabadiliko katika Baraza la Mawaziri yaliyofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 8, 2026

Afisa wa uhamiaji ampiga risasi mwanamke mwenye umri wa miaka 37

Afisa wa uhamiaji nchini Marekani, amempiga risasi mwanamke mwenye umri wa miaka 37 siku ya Jumatano kwenye mji wa Minneapolis.Maafisa wa se . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 8, 2026

Mbunge Segerea, atwishwa kero ya maji Bonyokwa

Mbunge wa Segerea (CHAUMMA), Agnester Lambart, amefanya ziara katika Kata ya Bonyokwa, kusikiliza kero za maji katika eneo hilo.Miongoni mwa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 8, 2026

Waziri Mkuu wa Ivory Coast ajiuzulu

Hatua hiyo imekuja, miezi miwili baada ya rais Ouattara kuchaguliwa tena kuongoza nchi hiyo, baada ya kupata ushindi wa karibu asilimia 90 y . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • January 8, 2026

Shabiki wa Congo Anayesimama Kama Sanamu Kuzawadiwa Milioni 40

Habari za hivi punde zinaeleza kuwa wachezaji wa timu ya taifa ya Algeria, kupitia shirikisho lao la soka, wamemwandalia zawadi ya dola za K . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • January 8, 2026

Wachezaji Nigeria Watia Mgomo Kisa Kutolipwa Bonasi za Ushindi

Hali ya wasiwasi imetanda katika kambi ya timu ya taifa ya Nigeria, “Super Eagles,” baada ya kuripotiwa kuwa wachezaji wamegoma kufanya . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 8, 2026

Papa Leo ataka kanisa liendane na wakati

Papa Leo anaongoza kikao chake cha kwanza cha baraza la maaskofu tangu achaguliwe kwenye nafasi hiyo mwaka jana kufuatia kifo cha mtangulizi . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • January 8, 2026

Vita ya Nusu Fainali Yaiva Januari 9 na 10 AFCON 2025

Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 imeingia hatua ya Robo Fainali ambapo timu nane bora barani Afrika zimejipanga vyema kuw . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 8, 2026

Trump Aonya Republicans Kushindwa Uchaguzi 2026

 Rais wa Marekani Donald Trump ametoa onyo kali kwa wabunge wa chama chake cha Republican huku akisema kuwa kushindwa katika uchaguzi w . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 8, 2026

Raia Wawili wa China Wakabiliwa na Kesi ya Utakatishaji Fedha T-Sh Bilioni 2.13

Raia wawili wa ambao ni wakazi wa  China Weisi Wang (41) pamoja  na Yao Licong wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mk . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 8, 2026

EU Yasisitiza Greenland Haiwezi Kujadiliwa Bila Denmark

Rais wa Baraza la Umoja wa Ulaya Antonio Costa amesema kuwa Umoja wa Ulaya utaiunga mkono Greenland na Denmark inapohitajika na hautakubali . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 8, 2026

Wanajeshi Wengi Wauawa Katika Uvamizi wa Marekani Venezuela

Waziri wa Mambo ya Ndani wa Venezuela Diosdado Cabello amesema watu 100 wameuawa katika shambulio la Marekani mnamo siku ya Jumamosi lililom . . .

Kurasa 6 ya 221

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category