logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • October 14, 2025

Majaliwa ashiriki ibada ya kumwombea baba wa taifa

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa leo Oktoba 14 mwaka huu ameshiriki katika Ibada ya kumuombea Baba wa Taifa Hayati Mwalimu. Julius Kambarage Nyerere iliyofanyika katika Kanisa Katoliki Parokia ya Mtakatifu . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • October 14, 2025

MAJALIWA ARIDHISHWA NA MAANDALIZI YA KILELE CHA MBIO ZA MWENGE WA UHURU

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa  Oktoba 13 mwaka huu amekagua Maandalizi ya Kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru na Kumbukizi ya Baba wa Taifa katika uwanja wa Sokoine jijini Mbeya. Katika u . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 14, 2025

Venezuela yazifunga balozi zake Norway, Australia

Venezuela imetangaza kufunga balozi zake nchini Norway na Australia, na kufungua mpya katika mataifa ya Burkina Faso na Zimbabwe, ikisema ni sehemu ya “mabadiliko ya kimkakati” ya huduma za kidipl . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 14, 2025

Zelenskiy kukutana na Trump Ijumaa kuzungumzia silaha mpya

Rais Donald Trump amethibitisha kuwa atamkaribisha Volodymyr Zelenskiy White House Ijumaa hii kujadili msaada wa kijeshi na makombora ya Tomahawk, huku Urusi ikionya kuwa hatua hiyo ni uchokozi mkubwa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 14, 2025

China 'kupambana hadi mwisho' vita vya biashara na Marekani

China imesema iko tayari “kupambanaa hadi mwisho” katika vita vya kibiashara na Marekani, baada ya Rais Donald Trump kutangaza ushuru wa asilimia 100 kwa bidhaa zote za China, hatua iliyotikisa ma . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 14, 2025

Makamu Wa Rais Dkt. Mpango, Majaliwa Wahudhuria Ibada Ya Kumuombea Mwalimu Nyerere Mbeya

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, ameshiriki leo, Oktoba 14, 2025, katika Ibada ya kumuombea Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, iliyofanyika ka . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 14, 2025

Pendekezo la Trump la Mashariki ya Kati ni 'nafasi ya mwisho' ya amani katika eneo hilo

Rais wa Misri ameuambia mkutano wa kilele wa viongozi wa dunia siku ya Jumatatu kwamba pendekezo la Rais wa Marekani Donald Trump la Mashariki ya Kati ni "nafasi ya mwisho" ya amani katika eneo hilo n . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • October 13, 2025

Dereva wa Mbunge atozwa faini ya Sh.100,000 kwa kosa la kuendesha gari kinyume na sheria

DEREVA wa Mbunge wa Kibra Peter Orero ambaye alinaswa kwenye kamera akiendesha gari upande usiofaa wa barabara siku ya Jumatatu ametozwa faini ya Sh100,000 au kutumikia kifungo cha  miezi 12 gere . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • October 13, 2025

Wakazi wa Shinyanga watakiwa kujitokeza katika kambi ya Madaktari Bingwa

Kambi ya Madaktari Bingwa wa Mama Samia ni mpango wa serikali ya awamu ya tano ya kusogeza huduma za afya kwa wananchi hasa huduma za kibingwa, na kupunguza adha inayosababishwa na ufinyu wa hospitali . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • October 13, 2025

Wanne matatani kwa kosa la kusafirisha dawa za kulevya

MAHAKAMA Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi imewatia washtakiwa wanne matatani baada ya kuwakuta na kesi ya kujibua mbapo wakidaiwa kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroine kilo 1. . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • October 13, 2025

Mwenge wa Uhuru kuzimwa kesho na Rais Samia jijini Mbeya

Mwenge wa Uhuru umeendelea na mbio zake mkoani Mbeya ambapo asubuhi ya leo umeingia katika Jiji la Mbeya Halmashauri ya mwisho kukimbizwa mwenge huo kwa mwaka huu tangu ulipowashwa mapema mwaka huu.Mw . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • October 13, 2025

BOOST yaleta mageuzi makubwa elimu ya msingi

Mratibu wa Mradi wa BOOST kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI Ally Swalehe amesema Programu ya BOOST imeendelea kuleta matokeo makubwa katika kuboresha elimu ya awali na msingi tangu kuanza kutekelezwa mwak . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • October 13, 2025

Serikali yaendelea kuwawezesha vijana kupata fursa za maendeleo

Serikali chini ya uongozi wa Dkt. Samia Suluhu Hassan rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaendelea kutekeleza mikakati ya kuhakikisha vijana wanapata fursa sawa za kujiletea maendeleo binafsi na . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 13, 2025

Waziri Mchengerwa Ataka Mabadiliko Ya Haraka Huduma Ya Usafiri Jiji La Dar

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa Oktoba 14, 2025 amekutana na viongozi wapya wa Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) na Kampuni ya Mabasi Yaendayo Haraka (UDART) na kuwataka . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • October 10, 2025

Dallu atangaza kutoweka kwa Padri Camillus

Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki jimbo kuu la Songea Damian Dallu aatangaza kuhusu tukio la kutoweka kwa Padri Camillus Nikata wa Jimbo Kuu la Songea ambaye ni Mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Mtakatifu A . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • October 10, 2025

Bilioni 19 zatumika kujenga vyuo vya vyeta vinne

Serikali kupitia Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia imekabidhi Vyuo vinne vya Ufundi Stadi na Huduma kwa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) vilivyopo Njombe, Simiyu, Rukwa na Geita, . . .

Kilimo
  • Na Jembe Digital
  • October 10, 2025

Sera mpya yawekwa kuimarisha sekta ya misitu nchini

WIZARA ya Maliasili na Utalii imeweka mikakati madhubuti katika utekelezaji wa Sera mpya ya Misitu na Ufugaji Nyuki ili kuimarisha usimamizi wa rasilimali za misitu kwa kushirikisha wadau mbalimbali w . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • October 10, 2025

MKAKATI SHIRIKISHI KUANZISHWA ILI KUPAMBANA NA CHANGAMOTO YA UHARIBIFU WA VYANZO VYA MAJI

Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Balozi Dkat. Batilda Burian amewataka Viongozi wa Vijiji na Kata kwa kushirikiana na Viongozi wa Wilaya kuhakikisha wanaweka misingi madhubuti ya kiusalama katika kusimamia . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • October 10, 2025

KNH yalemewa na wagonjwa migomo ikiendelea Nairobi, Kiambu

HOSPITALI ya Kitaifa ya Kenyatta (KNH) imejipata katika hali ngumu kutokana na kuongezeka kwa idadi ya wagonjwa wanaofika kwa wingi, hasa kutoka kaunti za Nairobi na Kiambu, ambapo huduma nyingi za af . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • October 10, 2025

Bilionea wa Nigeria Afunga Ndoa na Mke wa 19, Atetea Ndoa za Wake Wengi

 Mfanyabiashara maarufu na bilionea Chief Jite Odeworitse Tesigimoje, Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya GIM Brown Marine, ameibua mjadala mkubwa nchini Nigeria baada ya kufunga ndoa na mke wake w . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 10, 2025

Rais Dina Boluarte atimuliwa mamlakani na Bunge

Rais wa Peru Dina Boluarte ametimuliwa usiku wa Alhamisi, Oktoba 9, kuamkia Ijumaa, Oktoba 10, kwa kura nyingi za wabugne, kufuatia hoja kadhaa zilizowasilishwa wakati wa mchana na makundi mbalimbali . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • October 10, 2025

MSAJILI HAZINA ASHIRIKI UZINDUZI UJENZI MGODI WA MADINI KINYWE

 Msajili wa Hazina Bw. Nehemiah Mchechu ameshiriki uzinduzi wa shughuli za ujenzi wa mgodi wa madini ya kinywe (graphite) uliofanywa na Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde katika hafla iliyofan . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • October 8, 2025

Kiongozi wa wanamgambo Sudan apatikana na hatia ya uhalifu wa kivita

KIONGOZI wa wanamgambo wa Sudan amepatikana na hatia ya kufanya uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya binadamu katika eneo la Darfur zaidi ya miaka 20 iliyopita.Ali Muhammad Ali Abd-Al-Rahman, anayeju . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • October 8, 2025

Burkina Faso yawatia mbaroni watu 8 wakiwemo 3 wa Ulaya

Serikali ya kijeshi ya Burkina Faso imetangaza kuwakamata watu wanane wa shirika la misaada ya kibinadamu, wakiwemo raia watatu wa Ulaya, kwa tuhuma za ujasusi na uhaini.Waziri wa Usalama, Mahamadou S . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 8, 2025

Rais Macron akabiliwa na shinikizo la kujiuzulu

Aliyekuwa waziri mkuu wa kwanza wa rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron, katika hatua ya kushangaza, amemtaka kiongozi huyo ajiuzulu kuinusuru nchi hiyo kutumbukia zaidi katika mzozo wa kisiasaWito wa Ed . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 8, 2025

Ethiopia yaituhumu Eriteria kwa kuungana na TPLF kuandaa vita

Ethiopia imeishtumu Eritrea kwa kuungana na vikosi vya Tigray People's Liberation Front (TPLF), kujiandaa kwa ajili ya vita.Wizara ya Mambo ya nje ya Ethiopia, kupitia barua ilionekana na Shirika la H . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 7, 2025

Donald Trump Aongoza Orodha ya Wagombea Tuzo ya Amani ya Nobel

Zikiwa zimesalia siku nne kabla ya kutangazwa rasmi kwa mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel, Rais wa Marekani, Donald Trump, anashika nafasi kubwa ya kushinda tuzo hiyo.Tuzo ya Alfred Nobel inatolewa ki . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 7, 2025

Jenerali wa jeshi ateuliwa kuwa Waziri Mkuu nchini Madagascar

Rais wa Madagascar Andry Rajoelina, amemteua Jenerali wa jeshi Ruphin Fortunat Dimbisoa Zafisambo, kuwa Waziri Mkuu mpya, wakati huu kisiwa hicho kinachoendelea kukabiliwa na maandamano ya vijana.Uteu . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • October 7, 2025

ICC yamkuta na hatia aliyekuwa mbabe wa kivita nchini Sudan Ali Kushayb

Mahakama ya kimataifa ya ICC, imemkuta na hatia ya makosa ya uhalifu wa kivita na dhulma dhidi ya binadamu, aliyekuwa muasi na mbabe wa kivita nchini Sudan, Ali Muhammad Ali Abdi-Rahman, uhalifu aliou . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • October 6, 2025

Bunda wameishukuru serikali kwa kuwajengea vizimba

Wananchi wa Wilaya ya Bunda mkoani Mara wameishukuru serikali kwa kuwajengea vizimba maalum vya kuzuia mamba, hatua iliyosaidia kuwalinda wanapochota maji, kufua, kuoga na kufanya shughuli nyingine pe . . .

Kurasa 12 ya 129

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Mbappé Avunja Ukimya wa Miaka 12 Real Madrid, Aifikia Rekodi ya Ronaldo

    • 18 masaa yaliopita
  • SIMBACHAWENE AVIOMBA VYOMBO VYA HABARI KUFANYA UTAFITI JUU YA RUSHWA

    • jana
  • UN yaomba ufadhili wa dharura kuhudumia wakimbizi Burundi

    • 2 siku zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode