logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • May 21, 2025

DARAJA LA JPM KUZINDULIWA JUNE 19 MWAKA HUU

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika hafla ya ufunguzi wa Daraja la JP Magufuli lililopo Kigongo-Busisi itakaofanyika June 19 mwaka huu.Waziri wa Ujenzi Abdallah Ulega ame . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • May 20, 2025

CHADEMA KUFANYA MKUTANO WA BALAZA KUU MEI 21

Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) inatarajia kukutana jijini Dar es Salaam Jumatano Mei 21, 2025 kwaajili ya kufanya kikao maalumu.Kikao hicho kimeitishwa mara baada ya kipindi . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • May 20, 2025

TAHADHARI IMETOREWA KUHUSU ONGEZEKO LA COVID 19 NCHINI

Wizara ya Afya imesema inaendelea kufanya ufuatiliaji wa karibu na kutoa taarifa za kila siku kuhusu magonjwa ya mlipuko pamoja na tetesi za uwepo wa magonjwa hayo nchini ambapo imesema tangu February . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • May 20, 2025

SHEIKH HASSAN KABEKE "WALIMU WA DINI WAFUNDISHENI WATOTO KUIPENDA NCHI YAO

Waalimu wa dini ya kislaam mkoa wa Mwanza wametakiwa kuwafundisha watoto na jamii maadili mema na kuipenda Nchii yao.Hayo yamesemwa na sheikh wa mkoa wa mwanza Hasan Kabeke katika semina iliyoandaliwa . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • May 20, 2025

SERIKALI YABAINI TAARIFA ZA UPOTOSHAJI

Serikali imebaini uwepo wa taarifa za upotoshaji kupitia mitandao ya kijamii hususani ukurasa wa X kwa kuchapisha maudhui yenye lengo la kuzua taharuki na kuwajaza hofu wananchi.Kupitia taarifa iliyot . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • May 20, 2025

WALIOKUTWA NA MAKOSA YA UKATIRI NA MADAWA YA KULEVYA WAKAMATWA

Jeshi la Polisi Mkoani Arusha kupitia operesheni iliyofanyika kuanzia mwezi Aprili mwaka huu hadi sasa limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa 148 kwa makosa mbalimbali ikiwemo ubakaji, ulawiti, dawa za ku . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • May 20, 2025

WAGONJWA WA COVID 19 WAONGEZEKA DAR

Wizara ya Afya nchini imetangaza ongezeko la watu wenye maambukizi ya ugonjwa wa Uvi-ko-19 nchini katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita.Mganga Mkuu wa serikali Dk Grace Magembe amesema kumekuwepo . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • May 20, 2025

NUSRAT KUHAMIA RASM CCM

Zilianza kama tetesi kisha zikasikika taarifa za kuhamia Chama Cha Mapinduzi (CCM) na baadaye kutumia majukwaa mbalimbali ikiwemo Bunge kupongeza kazi zinazofanywa na Serikali ya Rais Samia Suluhu Has . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • May 20, 2025

VIJANA KUPEWA FURSA YA KUSHIRIKI UCHAGUZI

Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC) Itikadi  Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, CPA Amos Makalla amesema kujiandikisha katika daftari la wapiga kura kwa awamu ya pili ni fursa nzur . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • May 20, 2025

Kamati maalum ya seneti yaomba kikao na Joseph Kabila

Kamati maalumu ya bunge la seneti nchini DRC, imeomba kikao na rais wa zamani Joseph kabila, kuhusiana na mchakato unaoendelea wa kutaka kumuondolea kinga ya kufunguliwa mashtaka rais wa huyo wa zaman . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • May 20, 2025

CHAUMMA WAPOKEA WANACHAMA WAPYA KUTOKA CHADEMA

Wajumbe wa Sekretarieti ya CHADEMA iliyomaliza muda wake akiwemo aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Bara Benson Kigaila, aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu CHADEMA Zanzibar, Salum Mwalimu, Catherine Ruge . . .

Uwekezaji
  • Na Jembe Digital
  • May 20, 2025

TANZANIA KUTORUHUSU WANAHARAKATI KUTOKA NJEE

Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania haitatoa nafasi kwa wanaharakati kutoka ukanda wa Afrika Mashariki kuja kuharibu mambo ya ndani ya nchi baada ya kuharibu katika nchi zao. Rais Samia amesema . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • May 20, 2025

LISSU KUACHWA HURU KIZIMBANI

 Mahakama ya Hakimu Kisutu imetoa maelekezo kwa askari wa Jeshi la Magereza kumuacha huru Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tundu Lissu akiwa  kizimbani badala ya kum . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • May 19, 2025

TRUMP NA PUTIN WATARAJIA KUFANYA MAZUNGUMZO LEO

Rais wa Marekani Donald Trump anatarajiwa kuzungumza kwa njia ya simu na Rais wa Urusi Vladimir Putin leo hii Jumatatu kuhusu mipango ya usitishaji wa vita kati ya Urusi na Ukraine.Rais wa Marekani Do . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • May 19, 2025

BULAYA KUDAI SERIKALI FIDIA ZA UHARIBIFU WILAYA YA BUNDA

Mbunge wa Viti Maalumu, Esther Bulaya ameishutumu Serikali kwa kushindwa kuchukua hatua madhubuti dhidi ya uharibifu unaosababishwa na wanyamapori hususan tembo katika Wilaya ya Bunda mkoani Mara.Ames . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • May 19, 2025

RAIS WA ZAMANI WA MAREKANI JOE BIDEN AGUNDULIKA NA SARATANI

Rais wa zamani wa Marekani, Joe Biden, amethibitishwa na ofisi yake kuwa amegundulika kuwa na aina kali ya saratani ya tezi dume ambayo imeenea hadi kwenye mifupa. Ugonjwa huo umetambuliwa kuwa na ala . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • May 19, 2025

ZITTO ZUBERI KABWE YUPO TAYARI KUELEZA UKWELI MAHAKAMANI

 Mei 18, 2025  jijini Dar es Salaam kiongozi Mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe, alisema amefunguliwa kesi mahakamani na Mfanyabiashara Harbinder Seth ambaye ni mmiliki wa Kampun . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • May 19, 2025

PROF,JANABI KURITHI NAFASI YA DKT,NDUGULILE

Mshauri wa Rais wa Tanzania Masuala ya Afya na Tiba ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Profesa Mohamed Yakub Janabi ametangazwa rasmi kushinda uchaguzi na amechaguliwa k . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • May 19, 2025

TRUMP ATUMA UJUMBE KWA JOE BIDEN

Rais wa zamani wa Marekani Joe Biden (82) amegundulika kuwa na ugonjwa wa saratani ya tezi dume ambayo imesambaa hadi kwenye mifupa yake.Saratani ni ugonjwa ambao hutokea pindi ambapo ukuaji wa seli m . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • May 18, 2025

MLIPUKO WA KALAZAR WAUA WATU 33 NCHINI KENYA

Imeripotiwa hivi karibuni nchini Kenya kukabiliwa na ugonjwa hatari wa KALAZAR, ambapo watu 33 tayari wamekwisha fariki huku visa zaidi ya 1000 vikiripotiwa katika muda mfupi Hali hii Imeibua mas . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • May 18, 2025

MOHAMED JANABI ATOA VIPAUMBELE 7 KWA KUOMBA KURA

Mgombea wa nafasi ya Ukurugenzi wa WHO Kanda ya Afrika kutoka Tanzania Prof. Mohammed Janabi, ametaja vipaumbele saba ambavyo amevinadi mbele ya Mawaziri wa Afya kutoka nchi mbalimbali na wanachama wa . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • May 18, 2025

WHO WAMUENZI DK FAUSTINE NDUGULILE

Bodi ya Utendaji ya Shirika la Afya Duniani (WHO) na Kamati ya Kanda ya Afrika, imemkumbuka Dk Faustine Ndugulile na kutuma salamu za rambirambi kwa familia na nchi ya Tanzania kwa kumpoteza kiongozi . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • May 16, 2025

SHEIKH HASSAN KABEKE" KUWENI WAZALENDO"

Watanzania wametakiwa kuwa wazelendo ili kuilinda nchii  kuelekea kipindi  cha uchaguzi  unaotarajia kufanyika mwaka huuHayo yamesemwa na sheikh wa mkoa wa Mwanza Hasani Kabeke wakati a . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • May 16, 2025

Habari potofu zinazotumika kumtukuza kiongozi Ibrahim Traore

Moshi unapanda kutoka kwenye jengo huku Beyoncé, akiwa amevalia mavazi ya kivita, akipanda gari la kivita. Kapteni Ibrahim Traoré, kiongozi wa kijeshi wa Burkina Faso, yuko kwenye video ya muziki pi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 16, 2025

UN yataka uchunguzi ufanyike wa mauaji Mali

WATAALAMU huru wa Umoja wa Mataifa wametoa wito kwa mamlaka za Mali kufanya uchunguzi wa haraka na wa kina kuhusu madai ya mauaji ya halaiki na kutoweka kwa watu kwa kulazimishwa, wakionya kuwa huenda . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • May 15, 2025

WAKANDARASI WAVIVU WACHUKULIWA HATUA

Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ameitaka Bodi ya Usajili wa Makandarasi (CRB), kuwachukulia hatua makandarasi wazembe wanaosababisha hasara na athari kwa Serikali na wananchi kwa kutokamilisha mirad . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • May 15, 2025

Mahakama yaombwa kuvunja vyama kadhaa vya siasa, kikiwemo chama cha Joseph Kabila

Wizara ya Mambo ya Ndani ya DRC inabainisha kwamba mahakama imeombwa kufutwa kwa vyama kadhaa vya siasa, ikiwa ni pamoja na kile cha PPRD cha Joseph Kabila. Uamuzi ambao upinzani unakiona kama vurugu . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 14, 2025

Majaliwa na Waziri Mkuu wa Côte d’Ivoire Wajadili Ushirikiano wa Kiuchumi na Kilimo

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekutana na Waziri Mkuu wa Côte d’Ivoire, Robert Beugre Mambe na kujadiliana naye masuala ya kidiplomasia, kiuchumi, teknolojia, kilimo na michezo kwenye kikao kilichof . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 14, 2025

Rais Maskini Zaidi Duniani Afariki Akiwa na Umri wa Miaka 89

Rais wa zamani wa Uruguay aliyeiongoza nchi hiyo kati ya mwaka 2010-2015 akijulikana kama ‘Rais maskini zaidi duniani’ kutokana na kuishi maisha yake ya kawaida kabisa, José Mujica, “Pepe”, a . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 13, 2025

Papa Leo wa XIV azungumza kwa simu na Rais Zelensky

Papa Leo wa XIV na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky wamezungumza kwa njia ya simu leo kufuatia wito wa Papa akitaka “kila juhudi kufanyika” ili kufanikisha amani ya kweli na ya kudumu, kwa mujib . . .

Kurasa 30 ya 130

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Polisi Pwani Wakanusha Taarifa zinazosambaa Mitandaoni

    • 7 masaa yaliopita
  • Serikali Yaendelea Kuimarisha Ustawi wa Wazee Nchini

    • 7 masaa yaliopita
  • Unywaji wa kahawa waweza kukuongezea miaka mitano ya ziada ya ujana

    • 10 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode