logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Uwekezaji
  • Na Jembe Digital
  • May 23, 2025

SERIKALI KUTHIBITI UVUVI HARAMU BAHARI YA HINDI

Serikali imesema imefanikiwa kudhibiti uvuvi haramu kwa kutumia vilipuzi (blast fishing) katika Ukanda wa Bahari ya Hindi ambapo kwa sasa hali hiyo imedhibitiwa kuanzia vyanzo, wasambazaji na watumiaj . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • May 23, 2025

MAKAMU MWENYEKITI WA ACT-WAZALENDO AKAMATWA KIMARA,

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo, Isihaka Mchinjita anadaiwa kukamatwa na Jeshi la Polisi baada ya kutembelea mradi wa mwendokasi kuangalia kero wanazopitia wananchi.Kwamujibu wa Taarifa y . . .

Afrika
  • Na Jembe Digital
  • May 23, 2025

SENETI KUTOMSHITAKI JOSEPH KABILA

Ikiwa Serikali ya Kinshasa ilikuwa  ikimshutumu Kabila kwa madai ya uhaini, uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya ubinadamu pamoja na kushirikiana na kundi linaloendesha uasi huko nchini.Sasa bar . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • May 23, 2025

MAADHIMISHO YA WIKI YA AZAKI KUFANYIKA JUNI 2 HADI JUNI 6

Mkurugenzi Mtendaji wa Foundation for Civil Society (FCS) Justice Rutenge amesema maadhimisho ya Wiki ya AZAKi 2025 yatalenga kujadili Dira ya Maendeleo ya Taifa 2050 ambayo yamebebwa na kauli mbiu ya . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • May 23, 2025

USHIRIKIANO WA KIMATAIFA KUSAIDIA KUTHIBITI JANGA LA NJAA

Katika harakati za kudhibiti janga la njaa na kukomesha umasikini ni vyema  kuharakisha maendeleo vijijini na kujenga uhusiano wa mataifa kushirikiana kwa pamoja na kuimarisha miundombinu  k . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • May 22, 2025

MWANAHARAKATI WA KENYA KUACHIWA HURU NA KUREJESHWA NCHINI KWAO

Serikali ya Tanzania imemuachia huru na kutumia usafiri wa gari  kumsafirisha mwanaharakati wa Kenya Boniface Mwangi ambaye sasa amepatikana Ukunda Kaunti ya Kwale nchini Kenya akiwa katika hali . . .

Uwekezaji
  • Na Jembe Digital
  • May 22, 2025

MAJALIWA KUHUZULIA KONGAMANO LA BIASHARA,UWEKEZAJI NA UTALII

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo May 22, 2025 ameondoka nchini kwenda Japan kumwakilisha Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye maonesho ya World Expo 2025 Osaka.PM Majaliwa atashiriki pia ka . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • May 22, 2025

DIRISHA LA KUBORESHA TAARIFA ZA UCHAGUZI KUFUNGWA LEO

Mkurugenzi wa Uchaguzi, Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Ramadhani Kailima amewataka Watanzania kuitumia siku ya leo Mei 22, 2025 ambayo ni ya mwisho kujiandikisha katika Vituo vya Wapiga Kura i . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • May 22, 2025

HENCHE KESHO KUONGOZA KIKAO

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Heche, anatarajia kuongoza Kikao cha Kamati Kuu ya chama hicho kesho Mei 23 na 24.Taarifa iliyotolewa na Chama hicho leo Mei 22 im . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • May 22, 2025

KAMATI YA USHAURI USAJILI WA SARATANI YAZINDULIWA

  Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Tiba Wizara ya Afya, Dkt. Caroline Damian amezindua Kamati ya Ushauri ya Usajili wa Saratani (ACCR) yenye lengo la kuimarisha Usajili wa Saratani nchini kupit . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • May 22, 2025

CWT WATANGAZA NAFASI ZA WAGOMBEA MBALIMBALI

Kati ya wagombea waliojitokeza, 18 wanawania nafasi ya urais huku 19 wakigombea nafasi ya Makamu wa Rais. Makamu wa Rais wa sasa, Ikomba Suleiman, amejiunga katika kinyang’anyiro cha urais na atapam . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • May 22, 2025

KAULI YA SERIKALI KUHUSU WANAFUNZI KUSIMAMA KWENYE MAGARI YA USAFIRI

Mbunge wa Viti Maalumu Latifa Juakali amesema baadhi ya wanafunzi wa shule za msingi hupanda mabasi ya shule bila nafasi ya kuketi kwa mwaka mzima hali inayowaathiri kushuka kimaendeleo na kimaadili.A . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • May 22, 2025

KUMBUKIZI YA MV BUKOBA

Ikiwa ni moja ya kumbukizi zisizoweza kusahaulika kwa Wakaazi wa Kanda ya Ziwa kila ifikapo Mei 21 ya kila mwaka kupoteza wapendwa wao katika ajali ya MV BUKOBA.Hapo jana Mei 21, 2025 imetimia miaka 2 . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • May 22, 2025

Senate kuamua iwapo itamuondolea kinga rais wa zamani Joseph Kabila

Bunge la seneti nchini DRC, hivi leo litapiga kura kuamua ikiwa limuondolee kinga rais wa zamani Joseph Kabila, ambaye anatuhumiwa kwa makosa ya kivita pamoja na kushirikiana na waasi wa AFC/M23 wanao . . .

Uwekezaji
  • Na Jembe Digital
  • May 22, 2025

CRDB BANK KUIWEZESHA ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi  Mei 21, 2025, ameshuhudia hafla ya utiaji saini wa Mkataba wa Mkopo kati ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Be . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • May 22, 2025

MAKALLA KUENDELEZA ZIARA YAKE MKOANI MWANZA

Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC) Itikadi na Uenezi  Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) CPA Amos Makalla amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwezesha utekelezaji wa miradi  mbalim . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • May 22, 2025

MAZUNGUMZO YA TRUMP NA CYRIL RAMAPHOSA KUHUSU MAUWAJI YA WAZUNGU.

Rais wa Marekani Donald Trump alimuuliza Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa pindi walipokutana Ikulu ya White House nchini Marekani May 21,2025 kwamba kama Serikali yake haiungi mkono ubaguzi na ma . . .

Uwekezaji
  • Na Jembe Digital
  • May 21, 2025

WANANCHI WILAYANI RORYA KUNUFAIKA NA KOZI FUPI ZA UJUZI WA UVUVI

Wizara ya Mifugo na Uvuvi kupitia Wakala wa Elimu na Mafunzo ya Uvuvi (FETA) imezindua Mafunzo ya Kozi fupi za Uvuvi na kuboresha Miundombinu ya Kampasi hiyo ya Gabimori ikiwa ni pamoja na kujenga Mad . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 21, 2025

Mawaziri wa fedha wa nchi zilizostawi kiviwanda duniani za G7

 wanakutana nchini Canada kwa mazungumzo yanayojikita katika mzozo wa Ukraine na kuyumba kwa uchumi wa dunia kulikosababishwa na ushuru uliowekwa na rais wa Marekani Donald Trump.Katika mikutano . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • May 21, 2025

SHANGWE LAIBUKA NDANI YA UKUMBI WA UBUNGO PLAZA

Mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Taifa, Mzee Hashim Rungwe Spunda na Viongozi wengine wa chama hicho akiwamo Kaimu Makamu Mwenyekiti wa CHAUMMA, Devotha Minja tayari wamewasili kweny . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • May 21, 2025

JKT YAHAMASISHA VIJANA KUJIUNGA NA MAFUNZO

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Rajabu Mabele amewatoa hofu wazazi kuhusu mafunzo yatolewayo na JKT, kwani wanapatiwa vijana wao kwa mujibu wa sheria. Akizungumza leo Mei 21, 2025 . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • May 21, 2025

Waziri Mkuu wa zamani Matata Ponyo ahukumiwa miaka 10 ya kazi ya kulazimishwa

Mahakama ya Katiba nchini DRC imemhukumu siku ya Jumanne, Mei 20 kiongozi wa upinzani na Waziri mkuu wa zamani Augustin Matata Ponyo (2012-2016) kifungo cha miaka 10 ya kazi ya kulazimishwa, kwa ubadh . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • May 21, 2025

Bunge la Uganda lapitisha kesi za kiraia Jeshini

Bunge la Uganda limepitisha mswada wa sheria kuhusu UPDF, mswada ambao sasa utaruhusu mahakama za kijeshi kusikiliza kesi za kiraia, hatua ambayo imeenda kinyume na uamuzi wa hivi karibuni wa mahakama . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • May 21, 2025

BODABODA WAONYWA KUTOTUMIWA VIBAYA NA MAKUNDI YA WANASIASA

Mkuu wa Wilaya  Babati Mkoani Manyara Emmanuela Kaganda amewaonya Madereva wa boda boda wilayani  humo kutotumika vibaya na makundi ya wanasiasa wasiokua waadilifu, kuelekea Uchaguzi Mkuu ut . . .

Top Story
  • Na Jembe Digital
  • May 21, 2025

DK, MWINYI AFANYA MABADILIKO YA WAKULUGENZI WAPYA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Mwinyi amefanya mabadiliko ya uongozi kwa kuwateua wakurugenzi wapya wa halmashauri na manispaa 11 katika visiwa vya Unguja na Pemba.T . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • May 21, 2025

KATIBU AMCOS AHUKUMIWA MIAKA 20 JERA

Mahakama ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu imemuhukumu kwenda jela miaka 20 Katibu wa Chama Cha Ushirika cha Msingi (Amcos) Kijiji cha Gula mkazi wa wilayani hiyo Masanja Mboje (36) baada ya kukutwa na . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • May 21, 2025

BUNGE LATOA MAJIBU KUHUSU HUDUMA BURE KWA WAJAWAZITO

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Dk Tulia Ackson ameridhishwa na majibu ya Naibu Waziri wa Afya Dk Godwin Mollel kuhusiana na  utekelezaji wa Sera ya Afya ya mwaka 2007 ina . . .

Uwekezaji
  • Na Jembe Digital
  • May 21, 2025

TANZANIA WAIBUKA KUWA VINARA KWA UBORA WA KOROSHO DUNIANI

Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Bw. Francis Alfred Mwakabumbe alisema kuwa ingawa bei ya zao la korosho huathiriwa na mabadiliko ya soko  dunia kutokana na kuwa zao la kimataifa lakini tanzani . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • May 21, 2025

RAIS WA NAMIBIA AWASILI UKULU JIJINI DAR ES SALAAM

Rais wa Jamhuri ya Namibia, Dkt. Netumbo Nandi-Ndaitwah amewasili nchini jana May 20  2025 kwa ajili ya kuanza ziara  yake rasmi ya siku mbili kuanzia May 20 hadi May 21, 2025.Ziara hiyo ya . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • May 21, 2025

DARAJA LA JPM KUZINDULIWA JUNE 19 MWAKA HUU

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika hafla ya ufunguzi wa Daraja la JP Magufuli lililopo Kigongo-Busisi itakaofanyika June 19 mwaka huu.Waziri wa Ujenzi Abdallah Ulega ame . . .

Kurasa 29 ya 130

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Polisi Pwani Wakanusha Taarifa zinazosambaa Mitandaoni

    • 2 masaa yaliopita
  • Serikali Yaendelea Kuimarisha Ustawi wa Wazee Nchini

    • 2 masaa yaliopita
  • Unywaji wa kahawa waweza kukuongezea miaka mitano ya ziada ya ujana

    • 5 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode